Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania

Ministry of Energy

DKT. BITEKO AFUNGUA MKUTANO WA...

DKT. BITEKO AFUNGUA MKUTANO WA NISHATI WA VIONGOZI - AFRIKA

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amefungua mkutano wa Kimataifa wa Nishati unaowakutanisha Viongozi mbalimbali wa Afrika, Mashirika ya Kimataifa; Viongozi wa Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Afrika na taasisi ya Rockefeller (M300)inayofanyika leo Januari 27, 2025 jijini Dar es salaam.