Unahusisha ujenzi wa paneli elfu 82 zenye uwezo wa Wati 605 kila moja. Mradi huu utakua na manufaa makubwa kutokana na umuhimu wake kwenye utunzaji wa mazingira unaoepuka uzalishaji wa hewa ya ukaa na umeajiri Watanzania wengi kwa kipindi chote cha utekelezaji wake. Mpaka sasa mradi umefikia zaidi ya asilimia 89
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Shule ya Msingi Bunge jijini Dar es Salaam mara baada ya kukabidhi mradi wa Nishati safi ya Kupikia shuleni hapo.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba akipika kwa kutumia Nishati safi ya Kupikia katika Shule ya Msingi Bunge jijini Dar es Salaam mara baada ya kukabidhi mradi huo.
Kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Mpomvu mkoani Geita, chenye uwezo wa megawati 90.
Kituo kimeimarisha hali ya umeme katika Mikoa ya Geita, Kagera, Mwanza na Kigoma.
Minister for Energy Hon. Deogratius Ndejembi, receiving technical briefing from Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) Engineer during his inspection visit of Mahumbika Substation in Lindi Region, which has a capacity of 35MVA.
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa Mradi wa kupooza umeme uliopo Mkata mkoani Tanga ambao chenye uwezo wa 2X60MVA 132/33kV, pamoja na ujenzi wa njia za kusambaza umeme msongo wa kilovoti 33 yenye urefu wa kilomita 45 kutoka kituo cha Mkata kwenda kijiji cha Kwamsisi
Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba (Mb.), akipika kwa nishati
safi ya kupikia mara baada ya kuzindua mradi huo katika Shule ya
Sekondari ya Wasichana Kondoa Mkoani Dodoma leo tarehe 17.02.2026.
Picha ya pamoja ya viongozi kutoka nchi mbalimbali duniani katika Maadhimisho ya Wiki ya Nishati yaliyo adhimishwa katika Jimbo la Goa’ nchini India kuanzia tarehe 27-30 January 2026.
Waziri wa NishatiMhe, Deogratius Ndejembi azindua Mita janja katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali, wadau wa sekta ya nishati na watendaji wa TANESCO, Disemba 05, 2025.