Unahusisha ujenzi wa paneli elfu 82 zenye uwezo wa Wati 605 kila moja. Mradi huu utakua na manufaa makubwa kutokana na umuhimu wake kwenye utunzaji wa mazingira unaoepuka uzalishaji wa hewa ya ukaa na umeajiri Watanzania wengi kwa kipindi chote cha utekelezaji wake. Mpaka sasa mradi umefikia zaidi ya asilimia 89
Taswira ya juu ya mradi wa umemejua unaotekelezwa wilayani kishapu mkoani Shinyanga unahusisha ujenzi wa paneli elfu 82 zenye uwezo wa Wati 605 kila moja. Mradi huu utakua na manufaa makubwa kutokana na umuhimu wake kwenye utunzaji wa mazingira unaoepuka uzalishaji wa hewa ya ukaa na umeajiri Watanzania wengi kwa kipindi chote cha utekelezaji wake. Mpaka sasa mradi umefikia zaidi ya asilimia 89
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amezindua mradi wa usambazaji wa umeme katika vitongoji vya Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro,15 Disemba, 2025.
Waziri wa Nishati Deogratius Ndejembi azindua Mita janja katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali, wadau wa sekta ya nishati na watendaji wa TANESCO, Disemba 05, 2025.
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome Makamba ametembelea na kukagua mradi wa kuzalisha umeme kwa njia ya maji la Bwala la Mtera liliopo mpakani kati ya Iringa na Dodoma, Novemba 26, 2025.
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio (kulia) akipokea maua mara baada ya kuwasili rasmi katika Ofisi za Wizara ya Nishati, Mji wa Serikali-Mtumba jijini Dodoma tarehe 11 Machi, 2024.
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko (wa Nne kutoka kushoto waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na Mawaziri na viongozi waandamizi kutoka Wizara zinazohusika na Sekta ya Nishati mara baada ya kikao chao katika Mkutano wa 18 wa Baraza la Mawaziri wanaohusika na mfumo wa pamoja wa umeme kwa nchi za Mashariki ya Afrika (EAPP Council of Ministers) ambao unafanyika kwa siku mbili jijini Nairobi nchi Kenya.