WIZARA YA NISHATI KUSHIRIKIANA NA TBC KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Nishati, Bi. Neema Mbuja amepokea ujumbe rasmi kutoka Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wenye lengo la kuimarisha ushirikiano katika kuitangaza Wizara ya nishati hususani katika kuhamasisha matu...
NDEJEMBI ATEMBELEA OFISI ZA UBALOZI WA TANZANIA KATIKA FALME ZA KIARABU
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, leo ametembelea Ofisi za Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Abu Dhabi, Falme za Kiarabu, ambapo amekutana na kufanya mazungumzo na Kaimu Balozi wa Tanzania nchini humo, Bw. Bakari Ameir.Ziar...
TANZANIA INA FURSA KUBWA YA KUENDELEZA NISHATI YA JOTOARDHI; WAZIRI NDEJEMBI ALIELEZA BARAZA LA IREN...
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amesema kutokana na uwepo wa vyanzo vingi vya nishati ya jotoardhi, Tanzania inayo fursa ya kuviendeleza vyanzo hivyo ili wananchi wapate nishati ya kutosha, nafuu na endelevu ikiwa pia ni sehemu ya kuunga...
TANZANIA KUZALISHA MEGAWATI 130 ZA JOTOARDHI KUFIKIA 2030
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema katika kuendeleza nishati ya jotoardhi, Tanzania inaendelea na shughuli za utafiti ikiwemo katika eneo la Ziwa Ngozi lilipo wilayani Rungwe mkoani Mbeya ili kuhakikisha inazalisha megawati 130 za jo...
TANZANIA YATAJA MAFANIKIO YAKE YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KATIKA JUKWAA LA KIMATAIFA LA IRENA -ABU D...
meelezwa kuwa, Tanzania inaendelea kufanya jitihada mbalimbali ili kuhakikisha wananchi wanaendelea kupata nishati safi, salama na nafuu ya kupikia, kwa kuhakikisha fedha za kuwezesha miradi ya nishati safi ya kupikia zinapatikana kutoka Serikalini,...
MRADI WA UMEMEJUA KISHAPU KULETA MAPINDUZI MAKUBWA SEKTA YA NISHATI NA KIUCHUMI NCHINI. MHE. SALOME
Naibu Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Salome Makamba, amesema mradi wa umemejua unaotekelezwa wilayani kishapu mkoani Shinyanga utaleta mapinduzi makubwa kwenye sekta ya nishati na kiuchumi kutokana na kutoa mchango mkubwa wa upatikanaji wa umeme wa uh...
TUNA DENI LA KUSIMAMIA MIRADI NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI ILI KULETA MAENDELEO YA KWELI–MHE. SALO...
Naibu Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Salome Makamba, amesema viongozi wana deni kubwa la kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo sambamba na kusikiliza pamoja na kutatua kero za wananchi ili kufanikisha maendeleo ya kweli.Mheshimiwa Salome ameyas...
WANANCHI KAHAMA WAMSHUKURU RAIS SAMIA KUWAFIKISHIA UMEME WA REA
Wananchi Kata za Wendele na Mwendakulima Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwawezesha kubadilisha maisha yao kupitia mradi wa umeme uliotekelezwa na Wakala wa Ni...
HIMIZENI WANANCHI, ViJANA NA WANAFUNZI KUTEMBELEA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA; ASEMA WAZIRI NANKABIRWA
Waziri wa Nishati na Maendeleo ya Madini wa Uganda, Dkt. Ruth Nankabirwa, ametoa wito kwa nchi zinazotekeleza mradi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kuhimiza wananchi, vijana na wanafunzi kutembelea mradi huo akisema kuwa hatua hi...
UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU YA UMEME UTAIMARISHA UPATIKANAJI WA UMEME KWA WANANCHI – MHE. NDEJEMBI
Mhe. Ndejembi ameyasema hayo Januari 06, 2026 jijini Dar es Salaam wakati wa ziara yake ya kukagua vituo vya kupokea na kupoza umeme vya Gongolamboto, Kinyerezi, Mabibo na Ubungo.Amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muun...
TANZANIA NA UGANDA ZAWEKA HISTORIA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI AFRIKA MASHARIKI (EACOP)
Waziri wa Nishati na Maendeleo ya Madini wa Uganda, Dkt. Ruth Nankabirwa, ameipongeza Tanzania kwa hatua kubwa iliyofikiwa katika utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), unaotekelezwa kwa ushirikiano kati ya Tanzani...
MRADI WA EACOP WAFUNGUA FURSA ZA AJIRA NA KUCHOCHEA MAENDELEO YA UCHUMI
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi (MB) amesema Mradi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi kutoka Uganda hadi Tanzania (EACOP) umefungua fursa mbalimbali za ajira, biashara na maendeleo ya uchumi kwa Watanzania, hususani wananchi wanaoishi k...
WIZARA YA NISHATI YATAMBUA MCHANGO WA VYOMBO VYA HABARI KATIKA SEKTA YA NISHATI
Wizara ya Nishati imepongeza mchango mkubwa wa vyombo vya habari nchini kwa kuwa washirika wa karibu na nguzo muhimu katika kuhakikisha Watanzania wanapata taarifa sahihi na kwa wakati kuhusu Sekta ya Nishati.Akizungumza Jijini Dodoma, Mkuu wa Kiteng...
MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAFUNGUA FURSA MPYA ZA AJIRA KWA WATANZANIA
Imeelezwa kuwa matumizi ya nishati safi ya kupikia yameendelea kufungua fursa nyingi za ajira kwa Watanzania, hususani katika uzalishaji wa mkaa mbadala na utengenezaji wa mashine za kuzalishia mkaa huo. Mkurugenzi wa Nishati Safi ya Kupikia kutoka W...
WAZIRI NDEJEMBI ATAKA HAKI NA USAWA KUZINGATIWA KWA WAWEKEZEJI WA MAFUTA.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deugratius Ndejembi, ameitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kuhakikisha inatenda haki kwa wawekezaji katika sekta ya mafuta bila upendeleo wowote, na kusisitiza kuwa maamuzi yote yafanywe kwa kuzinga...
WANANCHI KUNUFAIKA NA HUDUMA ZA KIJAMII MRADI WA LNG MKOANI LINDI
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi ameeleza kuwa utekelezaji wa mradi wa kubadilisha gesi asilia kuwa kimiminika ( LNG) unatarajiwa kuwanufaisha wazawa kwa kiasi cha takribani dola za Marekani milioni 10 (USD 10M) pindi mradi huo utakapoanza...
TUZINGATIE MATUMIZI YA RASILIMALI ZETU KATIKA KUTEKELEZA MPANGO WA KUZALISHA UMEME WA NYUKLIA NCHINI...
Mkurugenzi Mkuu Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania(TAEC) Prof. Najat Mohammed amewataka wajumbe wa Kamati tendaji ya uratibu Mpango wa uzalishaji umeme wa Nyuklia Nchini(NEPIO) kuhakikisha wanaanza maandalizi mapema ya namna mpango huo utakavyotekelez...
TUNAIMARISHA GRIDI YA UMEME YA TAIFA ILI WANANCHI WOTE MPATE UMEME WA UHAKIKA – DKT. NCHEMBA
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema baada ya Tanzania kuzalisha umeme wa kutosha kupitia miradi mbalimbali ukiwemo Mradi wa Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP), hatua inayofuata ni kuhakikisha wananchi wote...
WAZIRI MKUU APONGEZA TPDC KWA UJENZI WA SHULE YA MSINGI LIKONG'O KUPITIA MRADI WA LNG
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. Mwigulu Nchemba amepongeza Wizara ya Nishati kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kwa ujenzi wa shule bora ya Awali na Msingi katika Kijiji cha Likong'o mkoani Lindi inayojen...
GEREZA LA KILIMO URAMBO KUNEEMEKA NA MIUNDOMBINU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imepanga kupeleka majiko matatu ya kisasa yanayotumia mkaa mbadala pamoja na sufuria zake katika Gereza la Kilimo Urambo, mkoani Tabora.Hatua hiyo ni sehemu ya jitihada za Serikali kuimarisha matumizi...