SERIKALI YATENGA SH. BILIONI 3.2 KUSAMBAZA UMEME VIJIJI 9 LUDEWA.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema Serikali imetenga kiasi cha Sh Bilioni 3.2 kupitia kwa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa ajili ya kusambaza umeme katika vitongoji vilivyopo ndani ya vijiji Tisa vya Kitewele, Kimata, Ndoa, Chan...
TANZANIA NI NJIA YA USAFIRISHAJI MAFUTA YA UGANDA KUPITIA MRADI WA EACOP.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema ushiriki wa Tanzania kwenye Mradi wa Bomba la Mafuta (EACOP) upo kwenye biashara ya kusafirisha mafuta ghafi tu (transit nation) kutoka Kabaale Hoima hadi Chongoleani, Tanga na baadaye kupelekwa kw...
BILIONI 5.1 KULIPA FIDIA KWA WANANCHI 1,730 MRADI WA UMEME.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema Serikali katika mwaka wa fedha 2025/26 imetenga bajeti kwa ajili ya malipo ya fidia yenye thamani ya Sh Bilioni 5.1 kwa wananchi 1,730 wanaopisha njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa Kilovoti 220...
WAZIRI NDEJEMBI AKUTANA NA KAMPUNI ZA EQUINOR NA SHELL KUJADILI UTEKELEZAJI WA MRADI WA LNG NCHINI.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amekutana na kufanya mazungumzo na Kampuni ya Equinor Tanzania AS pamoja na Shell Exploration and Production Tanzania Ltd kuhusu utekelezaji wa uchimbaji wa gesi ya LNG katika mikoa ya kusini, leo Aprili 10...
WATENGENEZA MAUDHUI MTANDAONI WATAKIWA KUWA NGUVU YA KUBADILISHA JAMII KATIKA MATUMIZI YA NISHATI SA...
Katika mwendelezo wa mafunzo kwa watengeneza maudhui mtandaoni (Content Creators), awamu ya kwanza inayoendelea Jijini Arusha Aprili 8, 2026, Wizara ya Nishati imewahimiza washiriki kutumia majukwaa yao ya kidijitali kama chachu ya kuleta mabadiliko...
NISHATI SAFI YAFUNGUA MILANGO YA FURSA KWA WATENGENEZA MAUDHUI.
Watengeneza maudhui nchini wamehamasishwa kutumia ubunifu wao kujipatia kipato kupitia fursa zitokanazo na nishati safi ya kupikia, kwa kuelimisha jamii kupitia kazi zao zikiwemo video za elimu, vichekesho, hadithi na kampeni mbalimbali zitakazowafik...
WIZARA YA NISHATI KUWA MFANO WA MATUMIZI BORA YA NISHATI KATIKA MJI WA SERIKALI MTUMBA.
Wizara ya Nishati kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) inatarajia kutekeleza Mradi wa Matumizi Bora ya Nishati katika Jengo la Wizara ya Nishati na baadaye Mji wote wa Serikali Mtumba.Hayo yameelezwa na Kamishna wa Umem...
MAFUTA KUPANDA BEI, SERIKALI YAAHIDI SULUHISHO KWA WANANCHI.
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kusimamia upatikanaji wa bidhaa za mafuta ya petroli na mafuta mengine ili kuhakikisha bei zake zinaendelea kuwa himilivu, licha ya kuwepo kwa changamoto za kiusalama za kikanda na kimatai...
KITUO CHA UMEME IFAKARA CHACHOCHEA MAENDELEO KILOMBERO.
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imetumia shilingi bilioni 25 kujenga Kituo cha Kupoza Umeme 1x20MVA, 220/33kv pamoja na njia za kusambaza Umeme katika Wilaya ya Kilombero, hatua ambayo imeboresha upatikanaji wa umeme na kuondoa chan...
UKIKAMATWA UMEFICHA MAFUTA: NI KESI YA UHUJUMU UCHUMI.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi, Dkt. James Mataragio, ameiagiza Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Huduma za Maji (EWURA) kuendesha operesheni ya kuwabaini watu wanaojihusisha na vitendo vya kuficha mafuta kwa makusudi i...
SERIKALI YAELEZA HALI YA UPATIKANAJI WA MAFUTA NCHINI.
Serikali kupitia Wizara ya Nishati imeeleza kuwa hali ya upatikanaji wa mafuta nchini bado ni shwari, huku bei zikiwa himilivu, ambapo mafuta yaliyopo yanatosheleza kwa kipindi cha miezi miwili hadi mitatu.Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya...
SERIKALI YAONGEZA NGUVU KATIKA MIKAKATI YA KUHAKIKISHA UPATIKANAJI ENDELEVU WA MAFUTA NCHINI.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratias Ndejembi amekutana na kufanya mazungumzo na Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishatizinashughuliki mafuta na gesi nchini katika Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es salaam.Kikao hicho kilichofanyika, Machi...
WAZIRI NDENJEMBI NA WAZIRI CHIKOTE WA ZAMBIA WAJADILI USHIRIKIANO SEKTA YA NISHATI.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Nishati wa Zambia, Mhe. Makozo Chikote, Machi 27, 2026 katika Jiji la Lusaka, Zambia.Katika kikao hicho kilichowashirikisha wataalam kutoka nchi hizo mbili, Vio...
UTEKELEZAJI MKAKATI MATUMIZI BORA YA NISHATI YA UMEME KUANZA JULAI MOSI.
Serikali itaanza utekelezaji wa Mkakati wa Taifa wa Ufanisi wa Nishati, Julai Mosi mwaka huu ili kuimarisha matumizi bora ya umeme na kupunguza gharama kwa watumiaji.Akizungumza jijini Dar es Salaam katika mdahalo wa ngazi ya juu kuhusu viwango vya c...
KUTOKA KUNI HADI GESI: JANGWANI SEC NA DIAMOND PRIMARY ZAPIGA HATUA KUBWA NISHATI SAFI.
Serikali imezidi kusisitiza matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa taasisi za umma, huku Shule ya Sekondari Jangwani na Shule ya Msingi Diamond jijini Dar es Salaam zikiwa miongoni mwa Taasisi za mfano kwa utekelezaji wa ajenda hiyo muhimu ya kitaif...
MIL.900/- ZALETA MAPINDUZI YA NISHATI SAFI KWA TAASISI 45.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema zaidi ya sh. milioni 900 zimetumika kufanikisha uwekaji wa mifumo ya nishati safi ya kupikia katika taasisi 45 zinazohudumia watu zaidi ya 100 kwa siku.Akizungumza katika hafla ya makabidhiano ya...
NDEJEMBI ATOA MAAGIZO KWA PBPA RATIBA YA USHUSHAJI MAFUTA.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius John Ndejembi, ameutaka Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) kuhakikisha maghala yote makubwa ya usambazaji wa mafuta yanapata bidhaa hiyo kwa wakati, ili kuimarisha upatikanaji wake nchini.Akizungumza Machi...
WATENGENEZA MAUDHUI WAHAMASISHWA KUTUMIA FURSA ZA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KUELIMISHA JAMII NA KUJIPA...
Mkurugenzi wa Nishati Safi ya Kupikia, Nolasco Mlay, amewahimiza watengeneza maudhui nchini kutumia ubunifu wao kuelimisha jamii kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia, huku wakitumia fursa hiyo kujiongezea kipato.Ameyabainishahayo Machi 25, 2026...
WAANDAAJI WA MAUDHUI KUWEZESHWA KUNUFAIKA KIUCHUMI KUPITIA UHAMASISHAJI WA NISHATI SAFI.
Mkurugenzi wa Nishati Safi ya Kupikia kutoka Wizara ya Nishati, Bw. Nolasco Mlay, ameshiriki mafunzo maalum kwa waandaaji wa maudhui (content creators) yaliyofanyika Machi 25,2026, mkoani Dar es Salaam yakilenga kuwajengea uwezo ili kuboresha ubunifu...
MHE. SALOME AHIMIZA WADAU KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA NCHINI.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, ametoa wito kwa wadau na waandaaji wa majukwaa mbalimbali ya wanawake nchini kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, pamoja na kutoa elimu itakayosaidia kuwaokoa wanawake dhidi ya changamoto zito...