NISHATI YA JUA YAZIDI KUIMARISHA GRIDI YA TAIFA.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Serikali inaendelea kuongeza matumizi ya nishati jadidifu, hususan nishati ya jua, katika uzalishaji wa umeme nchini, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuongeza uwezo wa uzalishaji na kuimarisha upatik...
SERIKALI YAIMARISHA MIUNDOMBINU YA UMEME IGUNGA - MHE. SALOME.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) imeendelea kuimarisha miundombinu ya umeme katika Wilaya ya Igunga kwa kutekeleza miradi mbalimbali yenye lengo la kuongeza upatikanaji na uhak...
SERIKALI YAFIKISHA UMEME KATIKA MAENEO 582 YA WACHIMBAJI WADOGO, KILIMO NA VIWANDA TANZANIA BARA.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imetekeleza Mradi wa Usambazaji Umeme katika maeneo 582 ya wachimbaji wadogo, kilimo na viwanda Tanzania Bara, kwa gharama ya Shilingi bilioni 115...
MHE. SALOME: WIZARA YA NISHATI INA WAJIBU WA KUHAKIKISHA WANANCHI WANAPATA UMEME WA UHAKIKA.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema jukumu kuu la Wizara ya Nishati ni kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa uhakika na wanapatiwa taarifa kwa wakati pindi changamoto zinapojitokeza.Mhe. Makamba ameyasema hayo, Septemba 01, 2026, w...
BUNGE LAMTHIBITISHA NDEJEMBI KWA ASILIMIA 100 UMAKAMU WA RAIS.
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo (Ijumaa, Agosti 28, 2026) limemthibitisha Mheshimiwa Deogratius Ndejembi kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Mheshimiwa Ndejembi amepitishwa kwa asilimia 100 ya kura zote 324 zilizopigwa...
MHE.NDEJEMBI ATOA SHUKRAN ZAKE ZA DHATI BUNGENI KWA MHE.RAIS DKT.SAMIA.
"Shukran zangu za Dhati zinaanza kwenda kwa Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan,Kwa Imani aliyoionesha kwangu situ katika uteuzi huu wakuweza kuwa msaidizi wake namba moja Kama makamu wake wa Rais, Lakini imani yake al...
TANZANIA YAUNGA MKONO TEKNOLOJIA BUNIFU ZA NYUKLIA KUPITIA MPANGO WA ATLAS.
Waziri wa Nishati na Makamu wa Rais Mteule, Mhe. Deogratius Ndejembi, amelipongeza Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) kwa juhudi zake za kuwezesha uzinduzi wa Mpango wa Teknolojia za Atomiki Zilizopewa Leseni ya Matumizi ya Baharini (A...
WAZIRI NDEJEMBI AWASILI WASHINGTON D.C. KUSHIRIKI KIKAO CHA MAWAZIRI KUHUSU NISHATI YA NYUKLIA.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amewasili katika Ubalozi wa Tanzania jijini Washington D.C., Marekani, Agosti 26, 2026, na kupokelewa na Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Bi. Eva Ng’itu.Mhe. Ndejembi yuko Washington D.C. kushirik...
BAHI ENGLISH MEDIUM YA ACHANA NA MATUMIZI YA KUNI.
Shule ya Mchepuo wa Kingereza ya Bahi imeanza kunufaika na matumizi ya nishati safi ya kupikia baada ya kuachana na matumizi ya kuni, hatua iliyosaidia kupunguza gharama za nishati na kurahisisha shughuli za upishi shuleni.Mwalimu Mkuu wa shule hiyo,...
MISS UNIVERSE TANZANIA YASHIRIKIANA NA SERIKALI KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amewapongeza washiriki wa shindano la urembo la Miss Universe Tanzania kwa jitihada zao za kuwa mabalozi wa Nishati Safi ya Kupikia kwa kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa kutumia nishati hiyo nchini.Mhe....
RAIS SAMIA AZINDUA RASMI KITUO CHA KUZALISHA UMEME CHA BWAWA LA JULIUS NYERERE.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) chenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,115 leo Agosti 22, 2026, katika eneo la mradi lililopo Rufiji, mkoani Pwani.Vi...
NJIA ZA KUSAFIRISHA UMEME KUWA NGUZO YA KUPELEKA UMEME WA JNHPP KOTE NCHINI – NDEJEMBI.
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema Serikali imeendelea kuimarisha miundombinu ya kusafirisha umeme ili kuhakikisha ongezeko la uzalishaji, hususan kutoka katika Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP), linafika kwa uhakika katika maeneo mbalimba...
TANZANIA SASA INA ZIADA YA MEGAWATI 2,375 ZA UMEME, KUANZA KUUZA NJE- NDEJEMBI.
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema uzinduzi wa Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Bwawa la Mwalimu Julius Nyerere ni matokeo ya juhudi kubwa za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha mradi huo unakamilika na kuongeza uwezo wa Taifa wa...
NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME KUTOKA BWAWA LA JULIUS NYERERE YA CHALINZE - DODOMA IMEKAMILIKA - MRAMBA.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, amesema Njia ya Kusafirisha Umeme ya Msongo wa Kilovolti 400 kutoka Chalinze hadi Dodoma imekamilika hatua itakayowezesha umeme unaozalishwa katik...
KAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YATAKA MIRADI YA LNG NA CNG KUWA CHACHU YA MAENDELEO KWA TAIFA...
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wake, Mhe. Simon Songe imepokea na kujadili taarifa ya Maendeleo ya Miradi ya Gesi Asilia ya LNG na CNG ambapo imeelekeza Wizara ya Nishati kuhakikisha miradi hiyo inaleta...
TANZANIA, RWANDA ZAKUBALIANA KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA MAFUTA.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Biashara na Viwanda wa Jamhuri ya Rwanda, Mhe. Antoine Kajangwe, yaliyolenga kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Rwanda katika maendeleo ya sekta ya nish...
DKT.SAMIA SULUHU HASSAN KUZINDUA RASMI MRADI WA JNHPP AGOSTI 22.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema kuwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) chenye uwezo wa kuzalisha Megawati 2,115...
UKATAJI WA HEKTA 469,420 ZA MISITU KWA AJILI YA KUNI NA MKAA WAATHIRI MAZINGIRA.
Mhandisi Benezeth Kabunduguru, Mtaalamu kutoka Wizara ya Nishati, Kitengo cha nishati safi ya kupikia, Agosti 13, 2026, ametoa elimu kwa Waheshimiwa Madiwani wa Manispaa ya Mpanda kuhusu athari za matumizi ya nishati zisizo safi za kupikia na umuhimu...
SERIKALI YAWEKA MKAKATI WA KUPUNGUZA MUDA WA MELI ZA MAFUTA BANDARINI.
Serikali imeweka mkakati wa kupunguza muda ambao meli za mafuta hutumia bandarini, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuongeza ufanisi katika upokeaji, uhifadhi na usambazaji wa bidhaa za mafuta nchini.Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, anayeshughulikia Maf...
MHE. SALOME APONGEZA UTOAJI ELIMU KWA WANANCHI MAONESHO YA KIZIMKAZI.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba (Mb.), ametembelea mabanda ya Wizara ya Nishati na taasisi zake katika Maonesho ya Tamasha la Kizimkazi yanayoendelea Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar.Akiwa katika mabanda hayo, Mhe. Salome amezu...