NDEJEMBI AMTAKA MKANDARASI KUONGEZA KASI UJENZI WA BARABARA YA KAHAMA- BULYANHULU JCT-KAKOLA.
Waziri wa Nishati na Mlezi wa Mkoa wa Shinyanga Kiserikali, Mhe. Deogratius Ndejembi, amemtaka Mkandarasi wa Barabara ya Kahama–Bulyanhulu Jct–Kakola, M/s China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC), kuongeza kasi ya utekelezaji wa mradi...
WAZIRI NDEJEMBI AANZA ZIARA MAALUM MKOANI SHINYANGA.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb.), amewasili mkoani Shinyanga kwa ziara maalum ya kikazi ya kukagua utekelezaji na kuzindua miradi ya maendeleo, pamoja na kuzungumza na wananchi katika wilaya za Mkoa wa Shinyanga.Waziri Ndejembi, amba...
AJIRA ZAIDI YA 420 ZAZALISHWA KUPITIA UJENZI WA KITUO CHA EACOP PS4 MBOGWE.
Zaidi ya wananchi 420 wamepata ajira zisizo za ujuzi kupitia utekelezaji wa ujenzi wa Kituo cha Kuongeza Msukumo wa Mafuta (PS4) cha Mbogwe, kinachotekelezwa chini ya Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP).Hayo yameelezwa Agosti 8...
MITUNGI YA GESI 359,887 YASAMBAZWA NCHINI KATIKA KUENDELEZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Serikali imeendelea kuimarisha utekelezaji wa Mkakati wa Taifa wa Nishati Safi ya Kupikia kupitia miradi mbalimbali inayolenga kuongeza upatikanaji wa nishati safi kwa wananchi na taasisi, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuboresha afya, kuhifadhi mazi...
MADIWANI SINGIDA WATAKIWA KUUNGA MKONO JITIHADA ZA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Manispaa ya Singida, Mhe. Elia Digha, amewataka Waheshimiwa Madiwani kuunga mkono jitihada za Serikali za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, akieleza kuwa ushiriki wao ni muhimu katika kufanikisha utekelezaj...
MGALU APONGEZA HATUA ZA SERIKALI KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Mhe. Subira Mgalu, amepongeza hatua madhubuti zinazochukuliwa na Wizara ya Nishati pamoja na taasisi zake katika kuhamasisha na kusambaza nishati safi ya kupikia nchini.Mhe. Mgalu ametoa p...
WANAWAKE NA VIJANA WAASWA KUCHANGAMKIA AJIRA NA UCHUMI KUPITIA NISHATI SAFI.
Serikali, kupitia Wizara ya Nishati, imeitaka jamii kuchangamkia fursa za uwekezaji katika sekta ya nishati safi ya kupikia, ikiwemo uzalishaji, usambazaji na matumizi ya teknolojia za kupikia kwa kutumia umeme, gesi, bayogesi na majiko banifu, hatua...
TANZANIA, SENEGAL ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA SEKTA YA NISHATI.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Nishati na Petroli wa Jamhuri ya Senegal, Mhe. Dkt. Elhadji Abdourahmane Diouf, kwa lengo la kuimarisha ushirikiano wa kimkakati kati ya Tanzania na Senegal kat...
MRADI WA KITUO CHA KUONGEZA MSUKUMO WA MAFUTA (PS3) MULEBA WAFIKIA ASILIMIA 88.
Mradi wa Kituo cha Kuongeza Msukumo wa Mafuta (Pump Station 3 – PS3) katika Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), kilichopo Wilaya ya Muleba mkoani Kagera, umefikia asilimia 88 ya utekelezaji na unatarajiwa kukamilika mwishoni m...
MKURUGENZI MSAIDIZI TAKUKURU ATEMBELEA BANDA LA NISHATI NANENANE.
Mkurugenzi Msaidizi wa Utafiti kutokaTaasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Dkt. John Joseph, ametembelea Banda la Wizara ya Nishati katika maonesho ya NaneNane yanayoendelea katika Viwanja vya Dkt.John Samuel Malecela, Nzuguni jijini D...
WADAU WAKUTANA KUJADILI UTEKELEZAJI WA MKAKATI WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Katika kuendeleza jitihada za kuimarisha utekelezaji wa Mkakati wa Taifa wa Nishati Safi ya Kupikia wa mwaka 2024–2034, Jumuiya ya Wadau wa Nishati Jadidifu Tanzania (TAREA) na African Enterprise Challenge Fund (AECF), kwa kushirikiana na Wizara ya N...
NDEJEMBI: MoU YA TANZANIA NA UGANDA KUIFANYA TANGA KITOVU CHA NISHATI AFRIKA MASHARIKI.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema kusainiwa kwa Hati ya Makubaliano (MoU) kati ya Serikali za Tanzania na Uganda kuhusu Uendelezaji wa Kituo Kikuu cha Nishati cha Tanga (Tanga Regional Energy Hub) ni hatua ya kimkakati itakayobadili...
MABADILIKO YA TABIA YA NCHI YACHOCHEA HAMASA YA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA MEATU.
Mabadiliko ya tabia ya nchi yanayoendelea kushuhudiwa nchini yameelezwa kuwa ni kichocheo muhimu cha kuharakisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, huku viongozi wakisisitiza kuwa ni wakati wa wananchi kuachana na utegemezi wa kuni na mkaa ili kuli...
MAJIKO BANIFU 122,776 YAMESHASAMBAZWA NCHINI.
Wizara ya Nishati kupitia Kitengo cha Nishati Safi ya Kupikia imeendelea kutoa elimu kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, ikiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali za kuhamasisha mat...
NDEJEMBI: AFRIKA ITUMIE GESI ASILIA KUHARAKISHA UPATIKANAJI WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amesema Afrika ina fursa ya kutumia rasilimali zake za gesi asilia kuharakisha upatikanaji wa nishati safi ya kupikia kwa wananchi, akisisitiza kuwa rasilimali hizo zinapaswa kutumika zaidi kuchochea maend...
ELIMU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KATIKA NGAZI YA AWALI.
Wizara ya Nishati inaendelea kuhakikisha elimu kuhusu nishati safi ya kupikia inawafikia wananchi wa makundi mbalimbali ikiwemo kuanzia ngazi ya elimu ya awali, ili watoto wakue wakifahamu maana ya nishati safi ya kupikia, faida zake pamoja na madhar...
ELIMU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAWAFIKIA MADIWANI WA BARIADI, SIMIYU.
Wizara ya Nishati inaendelea kuimarisha mnyororo wa thamani wa matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini ambapo imeanza kuwajengea uwezo Madiwani wa halmashauri mbalimbali nchini.Wanufaika wa awali wa mpango huu ni Madiwani wa Halmashauri ya Mji na...
WAANDISHI WA HABARI WAPATA ELIMU YA MIRADI YA NISHATI NANENANE.
Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wametembelea Banda la Wizara ya Nishati katika Maonesho ya NaneNane yanayoendelea katika Viwanja vya Dkt. John Samuel Malecela, Nzuguni, jijini Dodoma. Mara baada ya kutembelea banda hilo waandi...
NANENANE 2026: LEO AGOSTI 4, WIZARA YA NISHATI YAENDELEA KUHUDUMIA WANANCHI.
Wataalam wa Wizara ya Nishati wakiwa katika picha ya pamoja kwenye Banda la Wizara ya Nishati katika Maonesho ya NaneNane yanayoendelea katika Viwanja vya Dkt. John Samuel Malecela, Nzuguni, jijini Dodoma.Wizara inaendelea kutoa elimu kwa wananchi ku...
WAZIRI NDEJEMBI AONGOZA KIKAO MAALUM KUIMARISHA USALAMA WA UPATIKANAJI WA MAFUTA NCHINI.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, Agosti 3, 2026 ameongoza kikao kazi cha pamoja na taasisi zinazoshughulikia sekta ya mafuta na gesi katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Nishati, jijini Dar es Salaam.Lengo la kikao hicho lilikuwa kuweka mikaka...