MHE. SALOME APONGEZA UTOAJI ELIMU KWA WANANCHI MAONESHO YA KIZIMKAZI.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba (Mb.), ametembelea mabanda ya Wizara ya Nishati na taasisi zake katika Maonesho ya Tamasha la Kizimkazi yanayoendelea Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar.Akiwa katika mabanda hayo, Mhe. Salome amezu...
NAIBU WAZIRI MAKAMBA AITAKA PBPA KUENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba (Mb.), ameutaka Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) kuendelea kuimarisha utoaji wa elimu kwa umma ili wananchi wawe na uelewa mpana kuhusu majukumu ya Wakala na mchango wake katika kuhakikisha upat...
KIZIMKAZI 2026: WIZARA YA NISHATI YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI.
Wataalam wa Wizara ya Nishati wanaendelea kutoa elimu na ufafanuzi kwa wananchi wanaotembelea Banda la Wizara na taasisi zake katika Maonesho ya Tamasha la Kizimkazi 2026, yanayofanyika Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar.Wananchi wanapata fur...
RAIS SAMIA ATAMBUA MCHANGO WA WIZARA YA NISHATI NA TAASISI ZAKE KATIKA KUFANIKISHA MDAHALO WA NISHAT...
Wizara ya Nishati pamoja na taasisi zake imetunukiwa tuzo ya kutambua mchango wake katika kufanikisha Mdahalo wa Nishati Safi ya Kupikia, uliofanyika Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar, Agosti 11, 2026.Tuzo hiyo imetolewa usiku wa kuamkia Ago...
WATU MILIONI 15.6 WAHAMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA NDANI YA MIAKA MITANO.
Watu milioni 15.6 nchini Tanzania wamehama kutoka katika matumizi ya nishati isiyo salama na kuanza kutumia nishati safi ya kupikia ndani ya kipindi cha miaka mitano.Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati (Umeme na Nishati Jadidifu), Mha...
NDEJEMBI: MABADILIKO YA MILA, MITAZAMO NI MUHIMU KUFIKIA MALENGO YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema juhudi za usambazaji wa teknolojia za nishati safi ya kupikia zinapaswa kwenda sambamba na kuweka mkazo katika mabadiliko ya mila, desturi na mitazamo ambayo inachangia katika kurudisha nyuma juhudi...
WAZIRI NDEJEMBI MGENI RASMI MDAHALO WA NISHATI SAFI KIZIMKAZI.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb.), amewasili Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja-Zanzibar, ambapo ni mgeni rasmi katika Mdahalo wa Nishati Safi unaolenga kujadili masuala mbalimbali kuhusu nishati hiyo, leo Agosti 11, 2026.Mdahalo huo um...
MKAKATI WA MAWASILIANO UNATUTAKA TUWAFIKIE WANANCHI POPOTE WALIPO – MGEJWA
Mjiolojia Mkuu kutoka Wizara ya Nishati, Kitengo cha Nishati Safi ya Kupikia, Bw. Njeleja Mgejwa, amesema Mkakati wa Mawasiliano wa Nishati Safi ya Kupikia unalenga kuhakikisha elimu na uhamasishaji kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia unawafik...
MHE. NDEJEMBI AWASHA UMEME MWANUBI, ASEMA UMEME NI HITAJI LA MSINGI KWA WATANZANIA.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amewasha umeme katika Kitongoji cha Mwanubi mkoani Shinyanga na kusema kuwa huduma ya umeme ni hitaji la msingi kwa Watanzania na nyenzo muhimu katika kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii.Akizungumza...
NDEJEMBI: BILIONI 6.7 KWA AFYA YA WANANCHI, JENGO LA MAMA NA MTOTO LIKAMILISHWE KWA WAKATI.
Waziri wa Nishati na Mlezi wa Mkoa wa Shinyanga Kiserikali, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameitaka Manispaa ya Kahama kuongeza kasi ya ujenzi wa Jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Manispaa ya Kahama, ili likamilike kwa wakati na kuanza kutoa hudu...
SERIKALI KUJA NA MRADI MAALUMU WA KUSAMBAZA UMEME KWENYE MAENEO YA UZALISHAJI.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, Serikali inaandaa mradi maalumu wa kusambaza umeme katika maeneo ya uzalishaji, hususan maeneo yenye shughuli za uchimbaji wa madini, kwa lengo la kuwawezesha wazalishaji kutumia nishati ya uhakika na kupu...
NDEJEMBI AMTAKA MKANDARASI KUONGEZA KASI UJENZI WA BARABARA YA KAHAMA- BULYANHULU JCT-KAKOLA.
Waziri wa Nishati na Mlezi wa Mkoa wa Shinyanga Kiserikali, Mhe. Deogratius Ndejembi, amemtaka Mkandarasi wa Barabara ya Kahama–Bulyanhulu Jct–Kakola, M/s China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC), kuongeza kasi ya utekelezaji wa mradi...
WAZIRI NDEJEMBI AANZA ZIARA MAALUM MKOANI SHINYANGA.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb.), amewasili mkoani Shinyanga kwa ziara maalum ya kikazi ya kukagua utekelezaji na kuzindua miradi ya maendeleo, pamoja na kuzungumza na wananchi katika wilaya za Mkoa wa Shinyanga.Waziri Ndejembi, amba...
AJIRA ZAIDI YA 420 ZAZALISHWA KUPITIA UJENZI WA KITUO CHA EACOP PS4 MBOGWE.
Zaidi ya wananchi 420 wamepata ajira zisizo za ujuzi kupitia utekelezaji wa ujenzi wa Kituo cha Kuongeza Msukumo wa Mafuta (PS4) cha Mbogwe, kinachotekelezwa chini ya Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP).Hayo yameelezwa Agosti 8...
MITUNGI YA GESI 359,887 YASAMBAZWA NCHINI KATIKA KUENDELEZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Serikali imeendelea kuimarisha utekelezaji wa Mkakati wa Taifa wa Nishati Safi ya Kupikia kupitia miradi mbalimbali inayolenga kuongeza upatikanaji wa nishati safi kwa wananchi na taasisi, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuboresha afya, kuhifadhi mazi...
MADIWANI SINGIDA WATAKIWA KUUNGA MKONO JITIHADA ZA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Manispaa ya Singida, Mhe. Elia Digha, amewataka Waheshimiwa Madiwani kuunga mkono jitihada za Serikali za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, akieleza kuwa ushiriki wao ni muhimu katika kufanikisha utekelezaj...
MGALU APONGEZA HATUA ZA SERIKALI KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Mhe. Subira Mgalu, amepongeza hatua madhubuti zinazochukuliwa na Wizara ya Nishati pamoja na taasisi zake katika kuhamasisha na kusambaza nishati safi ya kupikia nchini.Mhe. Mgalu ametoa p...
WANAWAKE NA VIJANA WAASWA KUCHANGAMKIA AJIRA NA UCHUMI KUPITIA NISHATI SAFI.
Serikali, kupitia Wizara ya Nishati, imeitaka jamii kuchangamkia fursa za uwekezaji katika sekta ya nishati safi ya kupikia, ikiwemo uzalishaji, usambazaji na matumizi ya teknolojia za kupikia kwa kutumia umeme, gesi, bayogesi na majiko banifu, hatua...
TANZANIA, SENEGAL ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA SEKTA YA NISHATI.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Nishati na Petroli wa Jamhuri ya Senegal, Mhe. Dkt. Elhadji Abdourahmane Diouf, kwa lengo la kuimarisha ushirikiano wa kimkakati kati ya Tanzania na Senegal kat...
MRADI WA KITUO CHA KUONGEZA MSUKUMO WA MAFUTA (PS3) MULEBA WAFIKIA ASILIMIA 88.
Mradi wa Kituo cha Kuongeza Msukumo wa Mafuta (Pump Station 3 – PS3) katika Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), kilichopo Wilaya ya Muleba mkoani Kagera, umefikia asilimia 88 ya utekelezaji na unatarajiwa kukamilika mwishoni m...