Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania

Ministry of Energy

News

Oct 11, 2025
​WIZARA YA NISHATI YATUMIA MAADHIMISHO YA SIKU YA CHAKULA DUNIANI KUTOA ELIMU YA NISHATI SAFI YA KUP...
Wizara ya Nishati pamoja na Taasisi zake imeendelea kutumia njia mbalimbali kufikisha elimu ya Nishati Safi ya Kupikia kwa wananchi ambapo safari hii...
Oct 11, 2025
​UTAFITI MIAMBA BONDE LA EYASI WEMBERE WATHIBITISHA UWEZEKANO WA UPATIKANAJI MAFUTA
Utafiti unaofanyika katika mradi wa kimkakati wa Eyasi Wembere unaolenga kutafuta mafuta na gesi katika bonde la ufa la Afrika Mashariki umeonesha mat...
Oct 10, 2025
MRADI WA KUZALISHA UMEME KUTUMIA JUA KATIKA KIJIJI CHA NGUNGA WILAYANI KISHAPU-SHINYANGA WAFIKIA 78....
Serikali imeridhishwa na utekelezaji wa mradi wa uzalishaji umeme unaotokana na jua katika Kijiji cha Ngunga, Kata ya Talaga, Wilayani Kishapu, Mkoani...
Oct 10, 2025
SHULE ZINAZOTUMIA KUNI KAMA NISHATI YA DHARURA ZAELEKEZWA KUTUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Mkurugenzi wa Nishati safi ya kupikia, Wizara ya Nishati, Bw. Nolasco Mlay, ametoa wito kwa shule zote nchini kuhakikisha zinaachana na matumizi ya ku...
Oct 10, 2025
​WANUFAIKA WA MITAJI YA COOKFUND WAHIMIZWA KUWEKEZA KATIKA MITUNGI MIDOGO YA GESI
Wanufaika wa mitaji kupitia mradi wa CookFund ambao upo chini ya mpango wa kimataifa wa Integrated Approach to Sustainable Clean Cooking Solution unao...
Oct 10, 2025
WIZARA YA NISHATI YAENDELEA KUTOA ELIMU KUHUSU MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Wizara ya Nishati imeendesha mafunzo ya matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kwa Watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria katika Mji wa Serikali Mtumba,...
Oct 07, 2025
​DKT. MATARAGIO AONGOZA WADAU UTOAJI MAONI MPANGO WA MATUMIZI YA GESI ASILIA NCHINI (NGUMP)
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio amefungua warsha ya wadau iliyolenga kuchambua na kutoa maoni kuhusu Mpango Kabambe wa Ma...
Oct 07, 2025
WIZARA YA NISHATI YAKAGUA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KWA TAASISI ZINAZOLISHA WATU ZAIDI YA...
Mkurugenzi wa Nishati safi ya Kupikia, Nolasco Mlay pamoja na Wataalam kutoka Wizara ya Nishati wameanza ziara ya kikazi mkoani Mwanza kwa lengo la ku...
Oct 01, 2025
​Baraza la Wafanyakazi Wizara ya Nishati lakutana
Baaraza la Wafanyakazi Wizara ya Nishati limefanya mkutano wa dharura ili kujadili rasimu ya miundo ya maendeleo ya utumishi kwa kada zilizo chini ya...
Sep 28, 2025
​UTENDAJI KAZI WA WIZARA YA NISHATI NA TAASISI ZAKE WAIMARIKA
Imeelezwa kuwa, utendaji kazi wa Wizara ya Nishati kupitia Taasisi inazosisimamia umezidi kuimarika na kufikia asilimia 96.16 katika kipindi cha robo...
Sep 25, 2025
​SERIKALI YASEMA MCHANGO WA WAHANDISI NI NGUZO YA MAENDELEO NCHINI
Tafiti zinaonesha kuwa, zaidi ya asilimia 70 ya ubunifu mpya wa teknolojia duniani unahusishwa moja kwa moja na taaluma ya uhandisi ambayo ndani yake...
Sep 24, 2025
SERIKALI YAONDOA VAT KWA VITUO VYA GESI ASILIA ILIYOSHINDILIWA (CNG)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mha. Felchesmi Mramba amesema Serikali imeondoa kodi ya ongezeko la thamani (VAT) kwa vituo vyote vya Gesi iliyoshin...
Sep 24, 2025
​TANZANIA YANG’ARA UWEKEZAJI KATIKA ELIMU KWA RASILIMALI ZA NDANI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizopiga hatua katika matumizi ya rasilimali za...
Sep 22, 2025
UJENZI MRADI WA TAZA WAFIKIA ASILIMIA 58 KWA UPANDE WA TANZANIA
Ujenzi wa mradi wa usafirishaji umeme wa msongo wa kilovoti 400 unaounganisha Tanzania na Zambia( TAZA) umefikia asilimia 58 ya uekelezaji wake kwa up...
Sep 22, 2025
KATIBU MKUU MRAMBA AKUTANA NA KAMPUNI YA NYUKLIA YA CHINA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mha. Felchesmi Mramba ameongoza ujumbe wa Serikali ya Tanzania katika kikao na Shirika la Taifa la Nyuklia la China...
Sep 19, 2025
​WATUMISHI WIZARA YA NISHATI WAPATIWA ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Watumishi wa Wizara ya Nishati leo wamepata elimu ya matumizi bora na sahihi ya majiko yanayotumia umeme kidogo (Induction cookers) baada ya kukabidhi...
Sep 18, 2025
SERIKALI YA AUSTRIA KUFADHILI MIRADI YA UMEME TANZANIA
Serikali ya Austria kupitia Benki ya UniCredit imeahidi kuipatia fedha Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kiasi cha Euro Milioni 20 sawa na...
Sep 16, 2025
MHANDISI MRAMBA ASHIRIKI MKUTANO WA KIMATAIFA WA NGUVU ZA ATOMIKI NCHINI AUSTRIA
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Mha.Felchesmi Mramba ameshiriki mkutano wa 69 wa Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomiki -IAEA jijini Vienna Austria am...
Sep 15, 2025
DKT. MATARAGIO: MRADI WA TAZA NI UTEKELEZAJI WA MPANGO MAHSUSI WA NISHATI (MISSION 300)
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Dkt.James Mataragio amesema kuwa utekelezaji wa Mradi wa TAZA unachangia kwa kiwango kikubwa utekelezaji wa Mpa...
Sep 13, 2025
​MFUMO WA UFUATILIAJI NA TATHMINI NI NYENZO YA UTENDAJI KAZI FANISI SERIKALINI- DKT. BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amehitimisha Kongamano la Nne la Kitaifa la Ufuatiliaji, Tathmini na Kujifunza lililofan...