Jul 10, 2025
TANZANIAINA UMEME WA KUTOSHA – DKT. BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Tanzania ina umeme wa kutosha hatua ambayo imechangiwa na kukamilika kwaMiradi m...
Jul 09, 2025
SEKTA YA HABARI NI NYENZO MUHIMU KULINDA NA KUDUMISHA AMANI KIPINDI CHA UCHAGUZI: DKT. BITEKO
Tasnia ya habari nchini inatoa mchango mkubwa katika maendeleo ya nchi kabla na baada ya uhuru ambapo uwepo wa baadhi ya vyombo vya habari vya awali k...
Jul 09, 2025
RAIS MWINYI ATEMBELEA BANDA LA NISHATI MAONESHO YA SABASABA
Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi leo 7 Julai, 2025 ametembelea banda la Wizara ya Nishati kwenye maonesho...
Jul 04, 2025
SADC: SEKTA YA NISHATI IWE KICHOCHEO CHA KUIUNGANISHA AFRIKA KUJENGA UCHUMI
Mawaziri wanaoshughulikia masuala ya Nishati na Maji wa Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wametaka Sekta ya Nishati kuwa kichocheo...
Jul 04, 2025
NISHATI SAFI YA KUPIKIA NI AJENDA YA DUNIA, WIZARA INAITEKELEZA KWA VITENDO - DKT. KAZUNGU
Naibu katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia umeme na nishati Jadidifu, Dkt Khatibu Kazungu leo 04 Julai, 2025 amepokea magari mawili yatakayo...
Jul 03, 2025
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga akiwa ameambatana na Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe...
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga akiwa ameambatana na Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Mhe. Suzan Kaganda, wameshiriki katika hafla fup...
Jul 03, 2025
SADC YAITAJA TANZANIA KINARA UTEKELEZAJI AJENDA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametajwa kuwa kinara namba moja wa uhamasishaji wa matumizi ya nishati safi ya...
Jul 03, 2025
DKT KAZUNGU AKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN, WAAHIDI KUWEKEZA KWENYE MIRADI YA UMEME
Naibu katibu Mkuu Wizara ya Nishati, anayeshughulikia umeme na nishati jadidifu Dkt Khatibu Kazungu, leo amekutana na kuzungumza na ujumbe wa wawekeza...
Jul 03, 2025
WIZARA YA NISHATI YAANZA KUFANYIA KAZI MAAGIZO YA RAIS SAMIA KUHUSU NISHATI YA NYUKLIA
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. Khatibu Kazungu ameongoza kikao kazi maalum kilicholenga kujadili hatua za utekelezaji wa maagizo ya Rais...
Jul 03, 2025
MIRADI YA NISHATI SAFI IACHE ALAMA KWA WANANCHI, ASEMA KAMISHNA LUOGA
Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Innocent Luoga amesema utekelezaji wa miradi ya nishati safi ya kupikia inapaswa kuweka alama kwa wananchi...
Jun 29, 2025
DKT. BITEKO AWASILI RWANDA KUSHIRIKI MKUTANO WA NYUKLIA AFRIKA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt Doto Biteko Juni 29, 2025 amewasili Kigali nchini Rwanda kwa ajili ya kushiriki katika Mkutano unaohu...
Jun 29, 2025
WiZARA YA NISHATI TEMBEENI KIFUA MBELE MNAFANYA KAZI NZURI-DKT BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Sekta ya Nishati ni miongoni mwa sekta zinazotajwa kukua kwa kasi ya asilimia 14....
Jun 28, 2025
RAIS SAMIA ATAJA MAFANIKIO SEKTA YA NISHATI 2020-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameeleza kuwa Sekta ya Nishati imekuwa na mafanikio makubwakatika kipindi cha m...
Jun 27, 2025
WATENDAJI TAASISI ZA WIZARA YA NISHATI WANOLEWA KUHUSU UFUATILIAJI NA TATHMINI
Watendaji kutoka Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati wamepata mafunzo kuhusuUfuatiliaji na Tathmini ambayo yanalenga kuziwezesha Taasisi hizo ku...
Jun 27, 2025
DKT. BITEKO MGENI RASMI NISHATI BONANZA 2025
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe Dkt Doto Biteko anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Bonanza la Wizara ya Nishati na Taasisi zake litakalofa...
Jun 26, 2025
DKT. BITEKO AZIPONGEZA SSF NA TOTAL ENERGIES KUFIKIA VIWANGO VYA JUU VYA USALAMA VYA USAFIRISHAJI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amezipongeza Kampuni za Total Ernergies na Super Star Fowarders – SSFkwa kuweza kufikia...
Jun 25, 2025
SEKTA YA NISHATI YACHANGIA ASILIMIA 14.4 YA PATO LA TAIFA
Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Sekta ya Nishati ni moja kati ya Sekta tatu nchini ambazo zimechangia ukuaji wa pato la Taifa katika...
Jun 25, 2025
TANZANIA NA BENKI YA DUNIA WAJADILIANA UTEKELEZAJI MPANGO MAHSUSI WA NISHATI WA MISHENI 300
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felichesmi Mramba amekutana na Viongozi Waandamizi kutoka Benki ya Dunia (WB) kwa lengo la kujadili hatua m...
Jun 25, 2025
TANZANIA YAWA MFANO AFRIKA UTEKELEZAJI MIRADI SEKTA YA NISHATI
Ufanisi wa utekelezaji wa miradi ya Sekta ya Nishati nchini ikiwemo ukamilishaji wa mradi wa usambazaji umeme katika Vijiji 12,318 umekuwa kivutio kat...
Jun 19, 2025
ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 107 ZAKAMILISHA USAMBAZAJI UMEME VIJIJINI SIMIYU
Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wizara ya Nishati imetumia takribani shilingi bilioni 107.36 kupeleka umeme kwenye...