Bilioni 44.14 Kubadilisha Taswira ya Umeme Handeni
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amesema mradi wa kimkakati wa ujenzi wa kituo cha kupoza umeme katika eneo la Mkata wilayani Handeni utagharimu shilingi bilioni 44.14 mpaka kukamilika kwake na utaimarisha upatikanaji wa umeme wa uhakika na...
DKT. MWIGULU AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA KUPOOZA UMEME-MKATA
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa Mradi wa kupooza umeme uliopo Mkata mkoani Tanga ambao chenye uwezo wa 2X60MVA 132/33kV, pamoja na ujenzi wa njia za kusambaza umeme msongo wa kilovoti 33 yenye urefu wa kilomita 4...
EWURA YAPONGEZWA KWA KUDUMISHA UHIMILIVU WA BEI ZA NISHATI
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Mhe. Subira Mgalu, ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kwa juhudi zake za kudumisha uhimilivu wa bei za nishati, hususan mafuta na umeme.Amesema kuwa hatua...
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi akitoa maelezo ya Mradi wa Kituo cha Kupooza na Kusambaz...
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi akitoa maelezo ya Mradi wa Kituo cha Kupooza na Kusambaza Umeme cha Msongo wa Kilovati 132/33 kilichopo Mkata wilayani Handeni kwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba w...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akiwasili katika Kituo cha...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akiwasili katika Kituo cha Kupooza na Kusambaza Umeme cha Msongo wa Kilovati 132/33 kilichopo Mkata wilayani Handen, Tanga ambapo amekagua ujenzi wa kituo hicho pamoja na kuwek...
NDEJEMBI: TAFUTENI VYANZO VIPYA VYA UMEME TUFIKIE MEGAWATI 8,000
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amewataka Makatibu Wakuu wa Wizara hiyo kushirikiana kikamilifu katika kutafuta vyanzo vipya vya nishati ya umeme ili kufikia uzalishaji wa megawati 8,000 ifikapo mwaka 2030 ambapo kwa sasa tumefikia takri...
WIZARA YA NISHATI YAPEWA KONGOLE NA KAMATI YA BUNGE KWA UBUNIFU WA MIRADI YA NISHATI
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Mhe. Subira Mgalu, ameipongeza Wizara ya Nishati, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kubuni na kutekeleza miradi mbalimbali inayorahisisha upatikan...
DKT. MATARAGIO APOKELEWA RASMI WIZARA YA NISHATI
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi Asilia, Dkt. James Mataragio ameripoti na kupokelewa rasmi katika Ofisi Ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam mara baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. S...
KIKAO CHA USHIRIKIANO WA VITENGO VYA UFATILIAJI NA TATHMINI BAINA YA SEKTA YA MAJI NA NISHATI
Leo kimefanyika kikao cha ushirikiano wa vitengo vya ufatiliaji na tathmini vya wizara ya maji na wizara ya nishati, kikao icho kimefanyika katika ukumbi wa mikutano wa wizara ya maji Mtumba, Jijini Dodoma.Katika kikao icho kilichoongozwa na mkurugen...
DKT. MWIGULU AIAGIZA WIZARA YA NISHATI KUPANUA WIGO USAMBAZAJI GESI ASILIA
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameiagiza Wizara ya Nishati kuongeza kasi ya kupanua mtandao wa usambazaji wa gesi asilia ili kukidhi mahitaji ya Taifa. Amesema kwa kufanya hivyo kutawawezesha wananchi kupata nafuu ya gharama katika uendeshaji wa v...
MHE.SALOME: VYOMBO VYA MOTO ZAIDI YA 15,000 VINATUMIA GESI ASILIA
MATUMIZI ya gesi asilia iliyoshindiliwa (CNG) katika sekta ya usafirishaji nchini yameendelea kuongezeka kwa kasi, huku zaidi ya vyombo vya moto 15,000 tayari vimeanza kutumia nishati hiyo inayotajwa kuwa nafuu na rafiki kwa mazingira.Hadi kufikia Ja...
MRADI WA EACOP WAFIKIA HATUA NZURI; SHEHENA YA KWANZA YATARAJIWA KUSAFIRISHWA JULAI 2026.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema utekelezaji wa mradi wa bomba la kusafirisha mafuta ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) umefikia hatua nzuri, ambapo ifikapo mwezi Julai mwaka huu, shehena ya kwanza...
SERIKALI YABAINISHA MAENEO YA MIRADI YA UMEME WA JUA, KISHAPU KUZALISHWA MW 150
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema Serikali imekwishabainisha na kufanya utafiti wa maeneo mbalimbali yanayofaa kuendelezwa kwa ajili ya miradi ya kuzalisha umeme kwa kutumia upepo na jua, ikiwa ni pamoja na Zuzu-Dodoma, Same-Kilima...
SEKTA YA FEDHA YAITWA KUSUKUMA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Serikali imetoa wito kwa wadau kutoka sekta ya fedha nchini kuanzisha huduma na bidhaa za kifedha zitakazowezesha ajenda ya nishati safi ya kupikia kusambaa zaidi, hususan kwa kuwawezesha wajasiriamali wadogo katika maeneo ya pembezoni na vijijini pa...
SERIKALI YAWAPONGEZA WADAU WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Serikali kupitia Wizara ya Nishati imewapongeza wadau wa Nishati Safi ya Kupikia kwa kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali zinazolenga kuhakikisha kuwa asilimia 80 ya Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034.Pongezi hizo zi...
Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma, Mhe. Alimwoni Chaula, ampongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanz...
Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma, Mhe. Alimwoni Chaula, leo Februari 04, 2026 amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuwa kinara wa kampeni ya Nishati Safi ya Kupikia nchini.Mhe. Chaula amesema kuwa uongozi...
Mwenyekiti aimiza Uadilifu ndani Wizara ya Nishati na Taasis zake
Mwenyekiti wa Kamati za Uadilifu ya Wizara ya Nishati na Taasisi zake ambaye ni Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Innocent Luoga amefungua kikao kazi cha wajumbe wa Kamati ya Uadilifu ya Wizara ya Nishati na Taasis zake, kilichofanyika Febr...
TAASISI 1,136 ZAHAMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Wizara ya Nishati imesema hadi sasa taasisi 1,136 kati ya zaidi ya taasisi 30,000 zinazolisha watu zaidi ya 100 nchini zimehamia kwenye matumizi ya nishati safi ya kupikia, huku wadau wakihimizwa kuendelea kuunga mkono jitihada hizo ili kufikia lengo...
TANZANIA YAPIGA HATUA MAANDALIZI YA UWEKEZAJI WA NISHATI YA NYUKLIA
Tanzania imeendelea kupiga hatua katika maandalizi ya uwekezaji na uzalishaji wa umeme kwa kutumia nishati ya nyuklia, baada ya Serikali kukamilisha hatua kadhaa za awali ikiwemo mpango mkakati wa utekelezaji wa mradi huo.Hatua hiyo imeelezwa leo Feb...
TANZANIA YAVUTIA WAWEKEZAJI KATIKA JUKWAA LA WIKI YA NISHATI INDIA
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, ameshiriki katika mdahalo wa Mawaziri kuhusu uwekezaji na uimarishaji wa ushirikiano wa kimataifa katika sekta ya mafuta na gesi, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Nishati ya India (India Energy W...