TRIL.1.5/- ZA UMEME VITONGOJINI: NDEJEMBI AWASIHI MA-RC NA MA-DC KUSIMAMIA KWA UFANISI MRADI
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amewataka viongozi na watendaji wa ngazi za Mikoa na Wilaya kushirikiana kwa karibu na Wizara ya Nishati katika kusimamia utekelezaji wa Mradi wa Upelekaji Umeme katika vitongoji 9,009 nchini, ili kuhakiki...
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, imekutana na Viongozi watendaji Wizara ya Nishati
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, chini ya Mwenyekiti wake Mhe. Subira Mgalu (Mb), imekutana na viongozi na watendaji wa Wizara ya Nishati pamoja na baadhi ya taasisi zilizo chini ya Wizara hiyo.Lengo la kikao hicho ni kupata uelewa wa...
NDEJEMBI: GHARAMA ZA UMEME HAZIJAPANDA KWA MIAKA 10
Licha ya kuongezeka kwa gharama za vifaa vya umeme ikiwemo nguzo, waya na mita, Serikali imeendelea kuhakikisha gharama za matumizi ya umeme kwa wananchi hazipandi kwa kipindi cha miaka 10 kuanzia mwaka 2016.Akizungumza Januari 21, 2026 jijini Dodoma...
WAZIRI WA NISHATI AMEKUTANA NA MTENDAJI MKUU WA EACOP
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amekutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki ( EACOP), Bw. Guillaume Dulout katika Ofisi za Wizara Mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma.Kikao hicho...
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI IMEPOKEA TAARIFA KUHUSU SERA, SHERIA NA MUUNDO WA MAJ...
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ikiongozwa na Mwenyekiti Mhe.Subira Mgalu imepokea taarifa kuhusu Sera, Sheria, Muundo na Majukumu ya Wizara ya Nishati katika kikao cha kwanza kati ya Kamati hiyo na viongozi wa Wizara ya Nishati pamoja...
SIKU 100 ZA RAIS SAMIA: KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA KASI YA WIZARA YA NISHATI
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeipongeza Wizara ya Nishati kwa kazi kubwa inayoendelea kutekelezwa ndani ya siku 100 za uongozi wa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ikiwemo kuanza kusambaza umeme katika vitongoji 9,009, hatua inayo...
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amefanya kikao na Menejimenti ya Wizara ya Nishati pamoj...
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amefanya kikao na Menejimenti ya Wizara ya Nishati pamoja na Wakuu wa Taasisi na Mashirika yanayosimamiwa na Wizara hiyo Januari 17, 2026 katika Ofisi za Wizara jijini Dodoma.Lengo la kikao hicho ni kupitia...
REA YASAINI MIKATABA YA TRILIONI 1.2 YA KUSAMBAZA UMEME KATIKA VITONGOJI 9,009
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imesaini mikataba 30 yenye thamani ya shilingi Trilioni 1.2 kwa ajili ya kutekeleza Mradi wa Kusambaza Umeme katika Vitongoji 9,009 utakaonufaisha Wateja wa awali 290,300 katika mikoa 25 ya Tanzania B...
WIZARA YA NISHATI KUSHIRIKIANA NA TBC KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Nishati, Bi. Neema Mbuja amepokea ujumbe rasmi kutoka Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wenye lengo la kuimarisha ushirikiano katika kuitangaza Wizara ya nishati hususani katika kuhamasisha matu...
NDEJEMBI ATEMBELEA OFISI ZA UBALOZI WA TANZANIA KATIKA FALME ZA KIARABU
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, leo ametembelea Ofisi za Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Abu Dhabi, Falme za Kiarabu, ambapo amekutana na kufanya mazungumzo na Kaimu Balozi wa Tanzania nchini humo, Bw. Bakari Ameir.Ziar...
TANZANIA INA FURSA KUBWA YA KUENDELEZA NISHATI YA JOTOARDHI; WAZIRI NDEJEMBI ALIELEZA BARAZA LA IREN...
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amesema kutokana na uwepo wa vyanzo vingi vya nishati ya jotoardhi, Tanzania inayo fursa ya kuviendeleza vyanzo hivyo ili wananchi wapate nishati ya kutosha, nafuu na endelevu ikiwa pia ni sehemu ya kuunga...
TANZANIA KUZALISHA MEGAWATI 130 ZA JOTOARDHI KUFIKIA 2030
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema katika kuendeleza nishati ya jotoardhi, Tanzania inaendelea na shughuli za utafiti ikiwemo katika eneo la Ziwa Ngozi lilipo wilayani Rungwe mkoani Mbeya ili kuhakikisha inazalisha megawati 130 za jo...
TANZANIA YATAJA MAFANIKIO YAKE YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KATIKA JUKWAA LA KIMATAIFA LA IRENA -ABU D...
meelezwa kuwa, Tanzania inaendelea kufanya jitihada mbalimbali ili kuhakikisha wananchi wanaendelea kupata nishati safi, salama na nafuu ya kupikia, kwa kuhakikisha fedha za kuwezesha miradi ya nishati safi ya kupikia zinapatikana kutoka Serikalini,...
MRADI WA UMEMEJUA KISHAPU KULETA MAPINDUZI MAKUBWA SEKTA YA NISHATI NA KIUCHUMI NCHINI. MHE. SALOME
Naibu Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Salome Makamba, amesema mradi wa umemejua unaotekelezwa wilayani kishapu mkoani Shinyanga utaleta mapinduzi makubwa kwenye sekta ya nishati na kiuchumi kutokana na kutoa mchango mkubwa wa upatikanaji wa umeme wa uh...
TUNA DENI LA KUSIMAMIA MIRADI NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI ILI KULETA MAENDELEO YA KWELI–MHE. SALO...
Naibu Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Salome Makamba, amesema viongozi wana deni kubwa la kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo sambamba na kusikiliza pamoja na kutatua kero za wananchi ili kufanikisha maendeleo ya kweli.Mheshimiwa Salome ameyas...
WANANCHI KAHAMA WAMSHUKURU RAIS SAMIA KUWAFIKISHIA UMEME WA REA
Wananchi Kata za Wendele na Mwendakulima Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwawezesha kubadilisha maisha yao kupitia mradi wa umeme uliotekelezwa na Wakala wa Ni...
HIMIZENI WANANCHI, ViJANA NA WANAFUNZI KUTEMBELEA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA; ASEMA WAZIRI NANKABIRWA
Waziri wa Nishati na Maendeleo ya Madini wa Uganda, Dkt. Ruth Nankabirwa, ametoa wito kwa nchi zinazotekeleza mradi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kuhimiza wananchi, vijana na wanafunzi kutembelea mradi huo akisema kuwa hatua hi...
UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU YA UMEME UTAIMARISHA UPATIKANAJI WA UMEME KWA WANANCHI – MHE. NDEJEMBI
Mhe. Ndejembi ameyasema hayo Januari 06, 2026 jijini Dar es Salaam wakati wa ziara yake ya kukagua vituo vya kupokea na kupoza umeme vya Gongolamboto, Kinyerezi, Mabibo na Ubungo.Amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muun...
TANZANIA NA UGANDA ZAWEKA HISTORIA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI AFRIKA MASHARIKI (EACOP)
Waziri wa Nishati na Maendeleo ya Madini wa Uganda, Dkt. Ruth Nankabirwa, ameipongeza Tanzania kwa hatua kubwa iliyofikiwa katika utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), unaotekelezwa kwa ushirikiano kati ya Tanzani...
MRADI WA EACOP WAFUNGUA FURSA ZA AJIRA NA KUCHOCHEA MAENDELEO YA UCHUMI
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi (MB) amesema Mradi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi kutoka Uganda hadi Tanzania (EACOP) umefungua fursa mbalimbali za ajira, biashara na maendeleo ya uchumi kwa Watanzania, hususani wananchi wanaoishi k...