Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania

Ministry of Energy

News

Jul 31, 2025
RAIS SAMIA AIPA NEEMA MIRADI YA KUZALISHA UMEME IRINGA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi cha shilingi bilioni 15 kwenye mradi wa kuzalisha umeme wa Mwenga...
Jul 31, 2025
​PROF. MWANDOSYA KINARA WA MATIBABU YA SARATANI NCHINI - DKT. BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amemuelezea Prof. Mark Mwandosya kuwa ni Shujaa wa Saratani ya Damu (Multiple Myeloma) a...
Jul 29, 2025
​DKT MATARAGIO AITAKA EACOP KUONGEZA KASI UTEKELEZAJI MiRADI YA KIJAMII KWA WANANCHI WANAOPITIWA NA...
Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Sekta ya Mafuta na Gesi Wizara ya Nishati, Dkt James Mataragio, ameelekeza kampuni ya ujenzi wa bomba la mafuta -EA...
Jul 29, 2025
​WANANCHI KIJIJI CHA NDEBWE CHAMWINO WAPATIWA MAJIKO BANIFU 310
Shirika la Offgridsun wakishirikiana na Shirika la Action for Community care leo tarehe 29 Julai 2025 wamegawa majiko banifu 310 kwa wananchi wa Kijij...
Jul 29, 2025
MASLAHI MAPANA YA NCHI YANAZINGATIWA UTEKELEZAJI WA MRADI WA EACOP-DKT. MATARAGIO
Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Sekta ya Mafuta na Gesi Wizara ya Nishati, Dkt James Mataragio, amesema utekelezaji wa mradi wa bomba la mafuta gha...
Jul 28, 2025
​TUNAWEZA KUZUIA ASILIMIA 80 YA VIFO NCHINI TUKIBADILI MTINDO WA MAISHA-DKT.BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa asilimia 80 ya vifo nchini vinaweza kuzuilika endapo Watanzania wataamua ku...
Jul 25, 2025
DKT. BITEKO ATOA WITO VYOMBO VYA HABARI KUELIMISHA JAMII KUHUSU MASHUJAA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa vyombo vya habari kushirikiana na Serikali katika kuelimisha jamii kuhus...
Jul 24, 2025
VITUO VIWILI VYA KUPUNGUZA KASI YA MAFUTA GHAFI EACOP KUJENGWA NCHINI
Jumla ya vituo viwili vya kupunguza kasi ya mafuta ghafi yanayotoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani- Tanga vinatarajia kujengwa ili kusaidia upun...
Jul 23, 2025
LUKUVI AIPONGEZA WIZARA YA NISHATI KUTEKELEZA AZMA YA SERIKALI YA KUHAMIA KATIKA MJI WA SERIKALI MTU...
Wizara ya Nishati imepongezwa kwa kuhamia rasmi katika Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma ambapo Idara na Vitengo vyote vya Wizara sasa vimeshahamia...
Jul 23, 2025
​BENKI YA DUNIA KUJENGA MRADI WA NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME WA KV 400 KUTOKA UGANDA HADI TANZANIA
Benki ya Dunia (WB) imeeleza kuwa itatoa fedha za utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo mkubwa wa kilovolti 400 kutoka...
Jul 21, 2025
​MAFUTA GHAFI MRADI WA EACOP KUZALISHA UMEME KUKIDHI MAHITAJI WAKATI WA DHARURA
Mradi wa ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga utazalisha umeme wake kwa kutumi...
Jul 18, 2025
​MRADI WA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA (EACOP) HAUATHIRI SHUGHULI ZA KIUTENDAJI ZA WANANCHI
Mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga haujaathiri shughuli mbalimbali...
Jul 17, 2025
MRADI WA EACOP HAUNA ATHARI ZA KIMAZINGIRA; WANANCHI ZAIDI YA 26,000 WANUFAIKA NA MAJI
Imeelezwa kuwa mradi wa ujenzi wa bomba la Mafuta ghafi la Afrika Mashariki -EACOP hauna athari za kimazingira kutokana na Serikali kuweka Sera nzuri...
Jul 16, 2025
MRADI WA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA (EACOP) UMELETA MAPINDUZI YA KIUCHUMI KWA WANANCHI WA TANGA
Wananchi waishio kwenye vijiji vinavyopakana na mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki, EACOP wamesema Serikali ya awamu ya sita ya Mhe. R...
Jul 14, 2025
​WAZIRI MKUU MAJALIWA AKABIDHI TUZO YA UMAHIRI KWA MKUU WA KITENGO CHA MAWASILIANO WIZARA YA NISHATI
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa leo tarehe 13 Julai, 2025 amemkabidhi Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Se...
Jul 10, 2025
TANZANIAINA UMEME WA KUTOSHA – DKT. BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Tanzania ina umeme wa kutosha hatua ambayo imechangiwa na kukamilika kwaMiradi m...
Jul 09, 2025
​SEKTA YA HABARI NI NYENZO MUHIMU KULINDA NA KUDUMISHA AMANI KIPINDI CHA UCHAGUZI: DKT. BITEKO
Tasnia ya habari nchini inatoa mchango mkubwa katika maendeleo ya nchi kabla na baada ya uhuru ambapo uwepo wa baadhi ya vyombo vya habari vya awali k...
Jul 09, 2025
​RAIS MWINYI ATEMBELEA BANDA LA NISHATI MAONESHO YA SABASABA
Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi leo 7 Julai, 2025 ametembelea banda la Wizara ya Nishati kwenye maonesho...
Jul 04, 2025
SADC: SEKTA YA NISHATI IWE KICHOCHEO CHA KUIUNGANISHA AFRIKA KUJENGA UCHUMI
Mawaziri wanaoshughulikia masuala ya Nishati na Maji wa Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wametaka Sekta ya Nishati kuwa kichocheo...
Jul 04, 2025
​NISHATI SAFI YA KUPIKIA NI AJENDA YA DUNIA, WIZARA INAITEKELEZA KWA VITENDO - DKT. KAZUNGU
Naibu katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia umeme na nishati Jadidifu, Dkt Khatibu Kazungu leo 04 Julai, 2025 amepokea magari mawili yatakayo...