Oct 28, 2025
SEKONDARI YA MORINGE SOKOINE YAPEWA ELIMU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Imeelezwa kuwa, familia nyingi nchini bado zinatumia kuni na mkaa kama vyanzo vikuu vya nishati safi ya kupikia, vyanzo ambavyo vina athari kubwa kwa...
Oct 28, 2025
ELIMU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAWAFIKIA MAAFISA DAWATI NGAZI YA MIKOA NA HALMASHAURI
Wizara ya Nishati imeanza kutoa elimu kuhusu Nishati Safi ya Kupikia kwa Maafisa Dawati wa Nishati Safi ya Kupikia ngazi ya mikoa na halmashauri kwa l...
Oct 27, 2025
WANAFUNZI WA KIKE 10 WAPATA UFADHILI WA MASOMO KATIKA MASUALA YA NISHATI ENDELEVU
Wanafunzi 10 wa kike nchini wamepata ufadhili wa masomo katika masuala ya Nishati Endelevu kupitia Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) na...
Oct 16, 2025
DALILI ZA UWEPO WA GESI ASILIA KATIKA KITALU CHA LINDI-MTWARA
Utafiti unaoendelea kufanyika katika Kitalu cha Lindi–Mtwara, mkoani Mtwara umeonesha dalili za uwepo wa Gesi Asilia, hususani katika vijiji vya Mnyun...
Oct 15, 2025
KATIBU MKUU NISHATI ARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI MRADI WA UMEME JUA KISHAPU
Serikali kupitia Wizara ya Nishati imeeleza kuridhishwa kwake na kasi ya utekelezaji wa mradi mkubwa wa kitaifa wa kuzalisha umeme jua (150MW) katika...
Oct 15, 2025
TANZANIA YAZINDUA MRADI WA DUNIA KUKABILIANA NA MAGONJWA YA MLIPUKO NA DHARURA ZA KIAFYA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amezindua Mradi wa Dunia wa kukabiliana na magonjwa ya Mlipuko nchini na kuzitaka wizara...
Oct 15, 2025
TANZANIA KUZINDUA MAABARA ZA KISASA ZA KUPIMA MATUMIZI BORA YA NISHATI
Serikali kwa Kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), kupitia ufadhili wa Umoja wa Ulaya (EU) watazindua Viwango Fanisi vya Ch...
Oct 14, 2025
KATIBU MKUU NISHATI AHIMIZA UZALENDO NA UADILIFU KWA WANACHAMA WA EWURA CCC
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mha. Felchesmi Mramba, ametoa wito kwa wajumbe wa Baraza jipya la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Nishati na Maji...
Oct 14, 2025
WIZARA YA NISHATI KIVUTIO MAONESHO WIKI YA CHAKULA TANGA
Ushiriki wa Wizara ya Nishati na taasisi zake (Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) katika Maonesho ya Wiki ya Chak...
Oct 11, 2025
WIZARA YA NISHATI YATUMIA MAADHIMISHO YA SIKU YA CHAKULA DUNIANI KUTOA ELIMU YA NISHATI SAFI YA KUP...
Wizara ya Nishati pamoja na Taasisi zake imeendelea kutumia njia mbalimbali kufikisha elimu ya Nishati Safi ya Kupikia kwa wananchi ambapo safari hii...
Oct 11, 2025
UTAFITI MIAMBA BONDE LA EYASI WEMBERE WATHIBITISHA UWEZEKANO WA UPATIKANAJI MAFUTA
Utafiti unaofanyika katika mradi wa kimkakati wa Eyasi Wembere unaolenga kutafuta mafuta na gesi katika bonde la ufa la Afrika Mashariki umeonesha mat...
Oct 10, 2025
MRADI WA KUZALISHA UMEME KUTUMIA JUA KATIKA KIJIJI CHA NGUNGA WILAYANI KISHAPU-SHINYANGA WAFIKIA 78....
Serikali imeridhishwa na utekelezaji wa mradi wa uzalishaji umeme unaotokana na jua katika Kijiji cha Ngunga, Kata ya Talaga, Wilayani Kishapu, Mkoani...
Oct 10, 2025
SHULE ZINAZOTUMIA KUNI KAMA NISHATI YA DHARURA ZAELEKEZWA KUTUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Mkurugenzi wa Nishati safi ya kupikia, Wizara ya Nishati, Bw. Nolasco Mlay, ametoa wito kwa shule zote nchini kuhakikisha zinaachana na matumizi ya ku...
Oct 10, 2025
WANUFAIKA WA MITAJI YA COOKFUND WAHIMIZWA KUWEKEZA KATIKA MITUNGI MIDOGO YA GESI
Wanufaika wa mitaji kupitia mradi wa CookFund ambao upo chini ya mpango wa kimataifa wa Integrated Approach to Sustainable Clean Cooking Solution unao...
Oct 10, 2025
WIZARA YA NISHATI YAENDELEA KUTOA ELIMU KUHUSU MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Wizara ya Nishati imeendesha mafunzo ya matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kwa Watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria katika Mji wa Serikali Mtumba,...
Oct 07, 2025
DKT. MATARAGIO AONGOZA WADAU UTOAJI MAONI MPANGO WA MATUMIZI YA GESI ASILIA NCHINI (NGUMP)
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio amefungua warsha ya wadau iliyolenga kuchambua na kutoa maoni kuhusu Mpango Kabambe wa Ma...
Oct 07, 2025
WIZARA YA NISHATI YAKAGUA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KWA TAASISI ZINAZOLISHA WATU ZAIDI YA...
Mkurugenzi wa Nishati safi ya Kupikia, Nolasco Mlay pamoja na Wataalam kutoka Wizara ya Nishati wameanza ziara ya kikazi mkoani Mwanza kwa lengo la ku...
Oct 01, 2025
Baraza la Wafanyakazi Wizara ya Nishati lakutana
Baaraza la Wafanyakazi Wizara ya Nishati limefanya mkutano wa dharura ili kujadili rasimu ya miundo ya maendeleo ya utumishi kwa kada zilizo chini ya...
Sep 28, 2025
UTENDAJI KAZI WA WIZARA YA NISHATI NA TAASISI ZAKE WAIMARIKA
Imeelezwa kuwa, utendaji kazi wa Wizara ya Nishati kupitia Taasisi inazosisimamia umezidi kuimarika na kufikia asilimia 96.16 katika kipindi cha robo...
Sep 25, 2025
SERIKALI YASEMA MCHANGO WA WAHANDISI NI NGUZO YA MAENDELEO NCHINI
Tafiti zinaonesha kuwa, zaidi ya asilimia 70 ya ubunifu mpya wa teknolojia duniani unahusishwa moja kwa moja na taaluma ya uhandisi ambayo ndani yake...
