Dec 11, 2025
WAZIRI NDEJEMBI AZINDUA MKAKATI MPYA WA MAGEUZI YA NISHATI AFRIKA.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amezindua Mkakati na Mpango Kazi wa Mageuzi ya Nishati kwa Bara la Afrika, ambao utaanza kutekelezwa kupit...
Dec 11, 2025
TUNAENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA UMEME ILI WANANCHI MPATE UMEME WA UHAKIKA- MHE.SALOME
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema kuwa Serikali inaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kuboresha miundombinu ya umeme nchini i...
Dec 10, 2025
NCHI ZA AFRIKA ZAHIMIZWA KUSHIRIKIANA KATIKA KUIMARISHA MATUMIZI BORA YA NISHATI.
WAZIRI wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ametoa wito kwa Nchi za Afrika kuungana kwa pamoja katika kutekeleza mikakati na mipango ya kuendeleza mat...
Dec 09, 2025
NDEJEMBI KUSHIRIKI KONGAMANO LA MAWAZIRI WA NISHATI WA AU NCHINI ETHIOPIA
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi leo Disemba 09, 2025 amewasili jijini Addis Ababa, Ethiopia kwa ajili ya kushiriki Kongamano la Mawaziri w...
Dec 08, 2025
TPDC na PURA hakikisheni Watanzania Wananufaika na Rasilimali za Mafuta na Gesi- MHE.SALOME
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome Makamba amefanya ziara katika Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) pamoja na Mamlaka ya Udhibiti wa Mko...
Dec 06, 2025
PBPA HAKIKISHENI WAWEKEZAJI WAZAWA WANAPEWA KIPAUMBELE KATIKA FURSA ZA UWEKEZAJI MHE.SALOME.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, ametoa wito kwa Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) kuhakikisha wanatoa fursa za uwekezaji kwa w...
Dec 06, 2025
WAZIRI WA NISHATI MHE. NDEJEMBI AZINDUA RASMI MITA JANJA
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter) yenye lengo la kuboresha na kumrahisishia mteja kufanya manunuzi y...
Dec 06, 2025
WADAU WAJADILIANA MBINU ZA KUFIKIA WALENGWA ILI KUFANIKISHA AJENDA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Wadau wa masuala ya Nishati safi ya kupikia zikiwepo Wizara na Taasisi mbalimbali nchini, wamekutana Jijini Dodoma na kujadili mbinu mbalimbali za ku...
Dec 04, 2025
SHULE ZA SEKONDARI 52; CHUO CHA VETA KUFUNGIWA MIUNDOMBINU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imesaini mikataba ya kufunga miundombinu ya nishati safi ya kupikia kwa shule za Sekondari 52 na Chuo cha VETA kimoja...
Nov 29, 2025
MHE. NDEJEMBI AWAHAKIKISHIA WAKAZI WA KIGAMBONI UMEME WA UHAKIKA
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amefanya ziara ya kikazi ndani ya Mkoa wa kitanesco wa Kigamboni na kuagiza kuchukuliwa hatua za haraka za...
Nov 29, 2025
WIZARA YA NISHATI YAKUTANA NA WADAU WA TEKNOLOJIA YA NISHATI SAFI.
Wizara ya Nishati kupitia kitengo cha Nishati Safi ya Kupikia, Imekutana na wadau mbalimbali wa uzalishaji usambazaji wa Teknolojia za nishati safi ya...
Nov 29, 2025
REA IMEFANYA KAZI KUBWA YA KUFIKISHA HUDUMA ZA NISHATI VIJIJINI - WAZIRI NDEJEMBI
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameipongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA), kwa kufikisha umeme kwenye vijiji na maeneo ya pembezoni mwa...
Nov 26, 2025
WANANCHI MIKOA YA IRINGA NA DODOMA KUWA NA UMEME WA UHAKIKA-MHE. MAKAMBA.
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome Makamba leo Novemba 26, 2025 ametembelea na kukagua mradi wa kuzalisha umeme kwa njia ya maji la Bwala la Mtera li...
Nov 26, 2025
REA-VIJANA CHANGAMKIENI FURSA ZILIOPO KWENYE NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Wakala wa Nishati vijijini (REA) imewataka vijana nchini na vikundi vya wanawake kuchangamkia mafunzo yatakayotolewa na REA ya fursa zilizopo katika m...
Nov 25, 2025
MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA SIO ANASA-MHE. MAKAMBA.
Imeelezwa kuwa matumizi ya Nishati safi ya kupikia sio anasa bali ni muhimu kwa kutunza mazingira na afya za wananchi,na pia inasaidia kupunguza muda...
Nov 25, 2025
WAZIRI NDEJEMBI AWATAKA PBPA KUHAKIKISHA KUNAKUWEPO NA AKIBA YA KUTOSHA YA MAFUTA NCHINI
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amewataka Wakala wa Kuagiza Mafuta kwa Pamoja( PBPA) kuhakikisha kunakuwepo na akiba ya kutosha ya mafuta n...
Nov 24, 2025
MHE.NDEJEMBI ASISITIZA USHIRIKIANO KWA VIONGOZI KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YENYE KIPAUMBELE KWA W...
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb), ametoa wito kwa viongozi na watendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) pamoja na M...
Nov 24, 2025
NAIBU WAZIRI MAKAMBA ASISITIZA UWEPO WA MAGHALA YA KUHIFADHIA MAFUTA NCHINI.
Naibu Waziri wa Wizara ya Nishati Mhe. Salome Makamba ameitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kuimarisha njia bora na ya har...
Nov 24, 2025
MKAKATI WA TAIFA WA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KULETA MABADILIKO CHANYA KATIKA MAZINGIRA, A...
Imeelezwa kuwa Mkakati wa Taifa wa matumizi ya nishati safi ya kupikia umeendelea kuleta matokeo chanya katika maeneo ya masoko kwa wafanyabiashara wa...
Nov 22, 2025
WAZIRI NDEJEMBI AONGOZA KIKAO KAZI NA VIONGOZI WA TANESCO
Waziri Wizara ya Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameongoza kikao kazi cha Watumishi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Jijini Dodoma.Mhe. Ndej...
