Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania

Ministry of Energy

News

Sep 11, 2025
WATAALAM WA UFUATILIAJI NA TATHMINI WIZARA YA NISHATI WASHIRIKI KONGAMANO LA KITAIFA LA UFUATILIAJI...
Wataalam kutoka Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini Wizara ya Nishati wakiongozwa na Mkurugenzi wa Kitengo hicho Bi. Anitha Ishengoma, wameshiriki Kon...
Sep 09, 2025
​MHANDISI MRAMBA NA JICA WAJADILI UTEKELEZAJI WA MIRADI YA NISHATI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amekutana na Wataalam kutoka Shirika la Maendeleo la Japan (JICA) ili kujadili hali ya ute...
Sep 08, 2025
​DKT. BITEKO AHIMIZA WANAMICHEZO KUCHUNGUZA AFYA ZAO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa rai kwa wanamichezo kufanya uchunguzi wa afya zao kwa kuhusisha vipimo vyote muhi...
Sep 05, 2025
​TIMU YA NETIBOLI NISHATI YATINGA KUMI NA SITA BORA MASHINDANO YA SHIMIWI
Wakati mashindano yaliyoandaliwa na Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) yakishika kasi jijini Mwanza kwa hatua za awali, Wi...
Aug 30, 2025
​SHIMIWI NI MAHALA PA KAZI – Bi ZIANA MLAWA
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Wizara ya Nishati, Bi. Ziana Mlawa leo amesema kushiriki michezo mbali mbali inasaidia katika kujenga afya ya...
Aug 30, 2025
​NISHATI SAFI YA KUPIKIA SIO GESI NA UMEME PEKEE-BW. MLAY
Mkurugenzi wa Nishati safi ya kupikia kutoka Wizara ya Nishati Bw. Nolasco Mlay amesema kuwa nishati safi ya kupikia sio gesi na umeme pekee bali ni z...
Aug 30, 2025
​SERIKALI YAIMARISHA MIUNDOMBINU YA CNG KATIKA HARAKATI ZA KULETA MAPINDUZI YA NISHATI
Katika juhudi za kuiwezesha Tanzania kupiga hatua katika matumizi ya gesi asilia iliyoshindiliwa (CNG) kwa ajili ya magari, Serikali kupitia Wizara ya...
Aug 27, 2025
DKT. BITEKO AZINDUA TEKNOLOJIA YA KUONDOA UVIMBE MWILINI BILA UPASUAJI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameziindua teknolojia ya kuondoa uvimbe mwilini bila upasuaji inayofahamika kama High-In...
Aug 26, 2025
​DKT. BITEKO AHIMIZA UTEKELEZAJI WA MAAZIMIO VIKAO VYA KIMKAKATI VYA WENYEVITI WA BODI NA WAKUU WA T...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewahimiza Wenyeviti na Wakuu wa Taasisi za Umma nchini kusimamia utekelezaji wa maazim...
Aug 25, 2025
​AHADI YA SERIKALI KUFIKISHA UMEME WA GRIDI KAGERA YATEKELEZWA
Ahadi ya Serikali ya kufikisha umeme wa gridi ya taifa katika Wilaya zote za Mkoa wa Kagera imetekelezwa baada ya Serikali kusaini mikataba ya ujenzi...
Aug 22, 2025
​DKT. BITEKO ATAKA WATUMISHI WIZARA YA NISHATI NA TAASISI ZAKE KUWA MFANO WA MATUMIZI NISHATI SAFI Y...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, amewataka watumishi katika Wizara ya Nishati na Taasisi zilizochini ya wizara hiyo kuwa...
Aug 21, 2025
​AGIZO LA MINADA YOTE NCHINI KUTUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA LAANZA KUTEKELEZWA
Agizo la Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko kwa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha kuwa minada yote nchini inakuw...
Aug 21, 2025
WATUMISHI WAHIMIZWA KUJENGA MAKAZI KABLA YA KUSTAAFU
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba, amewahimiza watumishi wa umma kutumia fursa zilizopo katika taasisi za kifedha kwa ajili...
Aug 21, 2025
KASI NDOGO YA UTEKELEZAJI MRADI WA UMEME WA CHALINZE- DODOMA YAMKASIRISHA DKT. BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amekagua mradi wa njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa kilovolti 400 kutoka Chalinze h...
Aug 20, 2025
​MWANAMKE NI MSUKUMO WA MAENDELEO KATIKA JAMII - DKT. BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Wanawake ni chanzo cha msukumo wa maendeleo katika Jamii hivyo Serikali itaendel...
Aug 20, 2025
WIZARA YA NISHATI YAJIVUNIA UTEKELEZAJI WA MIRADI SABA KATI YA 17 NCHINI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mha. Felchesmi Mramba amesema kuwa katika miradi ya kimkakati inayotekelezwa nchini Wizara ya Nishati inatekeleza ta...
Aug 18, 2025
​DKT.BITEKO AZINDUA MRADI UTAKAOWAKWAMUA VIJANA KIUCHUMI KATIKA MAENEO YANAYOPITIWA NA BOMBA LA MAFU...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amezindua Mpango wa Uwezeshaji wa vijana Kiuchumi (YEE) ambao unagusa maeneo yanayopitiwa...
Aug 18, 2025
TUKITUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA TUTAOKOA HEKTA 400,000 ZA MISITU ZINAZOTEKETEA KWA MWAKA-MJIOLOJIA...
Imeelezwa kuwa matumizi ya nishati isiyo safi ya kupikia si tu yanahatarisha afya bali pia yanachochea uharibifu wa mazingira ambapo takribani hekta 4...
Aug 18, 2025
ELIMU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAWAFIKIA WANAWAKE MKOANI MBEYA
Serikali kupitia Wizara ya Nishati imetoa wito kwa wananchi kuachana na matumizi ya nishati isiyo safi ya kupikia na kutumia nishati safi ya kupikia k...
Aug 09, 2025
UZALISHAJI UMEME KWA KUTUMIA NISHATI JADIDIFU UMEFIKIA ASILIMIA 67- KAMISHNA LUOGA
Tanzania imeendelea kuongeza vyanzo vya kuzalisha umeme kwa kutumia nishati jadidifu hadi kufikia asilimia 67, hii ikijumuisha matumizi ya nishati ya...