TANZANIA YAVUTIA WAWEKEZAJI KATIKA JUKWAA LA WIKI YA NISHATI INDIA
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, ameshiriki katika mdahalo wa Mawaziri kuhusu uwekezaji na uimarishaji wa ushirikiano wa kimataifa katika sekta ya mafuta na gesi, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Nishati ya India (India Energy W...
SERIKALI YAHAKIKISHA UPATIKANAJI ENDELEVU WA MAFUTA NCHINI.
Serikali kupitia Wizara ya Nishati imeahidi kuendelea kushirikiana kwa karibu na wadau wa sekta ya mafuta nchini ili kuhakikisha upatikanaji wa mafuta ya kutosha, salama na yanayopatikana kwa bei shindani kwa manufaa ya Taifa.Kauli hiyo imetolewa na...
WADAU WA TEKNOLOJIA ZA NISHATI SAFI YA KUPIKIA WATAKIWA KUONGEZA UBUNIFU
Wadau wa uzalishaji wa teknolojia za nishati safi ya kupikia wametakiwa kuongeza ubunifu katika bidhaa zao ili ziweze kumudu gharama kwa wananchi wengi zaidi sambamba na kupanua upatikanaji wake kote nchini.Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Nishati...
WANANCHI MONDULI WAHAMASISHWA KUUNGA MKONO AJENDA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Wizara ya Nishati imetoa wito kwa wananchi wa Wilaya ya Monduli kuachana na matumizi ya kuni na mkaa na badala yake watumie nishati safi ya kupikia, ili kuunga mkono juhudi za Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan za kuhakikisha ifikapo mwaka 2034, asil...
WAZAZI WAHAMASISHWA KUUNGA MKONO JUHUDI ZA RAIS DKT. SAMIA KWA KUCHANGIA SHULE ILI UENDELEZA NISHATI...
Mkurugenzi Wa Nishati Safi Ya Kupikia Kutoka Wizara ya Nishati, Bw. Nolasco Mlay amewahimiza Wazazi kuachana na matumizi ya kuni na mkaa na badala yake watumie nishati safi ya kupikia ili kuunga mkono jitihada na dhamira ya Mheshimiwa Rais Samia Sulu...
NAIBU WAZIRI WA NISHATI MHE. SALOME AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA WIKI YA NISHATI-INDIA 2026
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, leo Januari 27, 2026 ameshiriki katika ufunguzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Nishati India (India Energy Week – IEW 2026), yanayolenga kujadili na kuweka mikakati ya pamoja ya kukuza sekta ya nishati kwa nji...
BILIONI 6.2 KULIPA FIDIA LUDEWA- NDEJEMBI
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema kiasi cha Sh. Bilioni 6,02 kinatarajiwa kuwalipwa na serikali kwa wananchi 347 wa Vijiji vya Lifua, Liugai na Masimavalafu wilayani Ludewa, Mkoa wa Njombe, waliopisha utekelezaji wa mradi wa umeme,...
TRIL.1.5/- ZA UMEME VITONGOJINI: NDEJEMBI AWASIHI MA-RC NA MA-DC KUSIMAMIA KWA UFANISI MRADI
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amewataka viongozi na watendaji wa ngazi za Mikoa na Wilaya kushirikiana kwa karibu na Wizara ya Nishati katika kusimamia utekelezaji wa Mradi wa Upelekaji Umeme katika vitongoji 9,009 nchini, ili kuhakiki...
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, imekutana na Viongozi watendaji Wizara ya Nishati
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, chini ya Mwenyekiti wake Mhe. Subira Mgalu (Mb), imekutana na viongozi na watendaji wa Wizara ya Nishati pamoja na baadhi ya taasisi zilizo chini ya Wizara hiyo.Lengo la kikao hicho ni kupata uelewa wa...
NDEJEMBI: GHARAMA ZA UMEME HAZIJAPANDA KWA MIAKA 10
Licha ya kuongezeka kwa gharama za vifaa vya umeme ikiwemo nguzo, waya na mita, Serikali imeendelea kuhakikisha gharama za matumizi ya umeme kwa wananchi hazipandi kwa kipindi cha miaka 10 kuanzia mwaka 2016.Akizungumza Januari 21, 2026 jijini Dodoma...
WAZIRI WA NISHATI AMEKUTANA NA MTENDAJI MKUU WA EACOP
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amekutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki ( EACOP), Bw. Guillaume Dulout katika Ofisi za Wizara Mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma.Kikao hicho...
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI IMEPOKEA TAARIFA KUHUSU SERA, SHERIA NA MUUNDO WA MAJ...
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ikiongozwa na Mwenyekiti Mhe.Subira Mgalu imepokea taarifa kuhusu Sera, Sheria, Muundo na Majukumu ya Wizara ya Nishati katika kikao cha kwanza kati ya Kamati hiyo na viongozi wa Wizara ya Nishati pamoja...
SIKU 100 ZA RAIS SAMIA: KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA KASI YA WIZARA YA NISHATI
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeipongeza Wizara ya Nishati kwa kazi kubwa inayoendelea kutekelezwa ndani ya siku 100 za uongozi wa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ikiwemo kuanza kusambaza umeme katika vitongoji 9,009, hatua inayo...
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amefanya kikao na Menejimenti ya Wizara ya Nishati pamoj...
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amefanya kikao na Menejimenti ya Wizara ya Nishati pamoja na Wakuu wa Taasisi na Mashirika yanayosimamiwa na Wizara hiyo Januari 17, 2026 katika Ofisi za Wizara jijini Dodoma.Lengo la kikao hicho ni kupitia...
REA YASAINI MIKATABA YA TRILIONI 1.2 YA KUSAMBAZA UMEME KATIKA VITONGOJI 9,009
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imesaini mikataba 30 yenye thamani ya shilingi Trilioni 1.2 kwa ajili ya kutekeleza Mradi wa Kusambaza Umeme katika Vitongoji 9,009 utakaonufaisha Wateja wa awali 290,300 katika mikoa 25 ya Tanzania B...
WIZARA YA NISHATI KUSHIRIKIANA NA TBC KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Nishati, Bi. Neema Mbuja amepokea ujumbe rasmi kutoka Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wenye lengo la kuimarisha ushirikiano katika kuitangaza Wizara ya nishati hususani katika kuhamasisha matu...
NDEJEMBI ATEMBELEA OFISI ZA UBALOZI WA TANZANIA KATIKA FALME ZA KIARABU
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, leo ametembelea Ofisi za Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Abu Dhabi, Falme za Kiarabu, ambapo amekutana na kufanya mazungumzo na Kaimu Balozi wa Tanzania nchini humo, Bw. Bakari Ameir.Ziar...
TANZANIA INA FURSA KUBWA YA KUENDELEZA NISHATI YA JOTOARDHI; WAZIRI NDEJEMBI ALIELEZA BARAZA LA IREN...
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amesema kutokana na uwepo wa vyanzo vingi vya nishati ya jotoardhi, Tanzania inayo fursa ya kuviendeleza vyanzo hivyo ili wananchi wapate nishati ya kutosha, nafuu na endelevu ikiwa pia ni sehemu ya kuunga...
TANZANIA KUZALISHA MEGAWATI 130 ZA JOTOARDHI KUFIKIA 2030
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema katika kuendeleza nishati ya jotoardhi, Tanzania inaendelea na shughuli za utafiti ikiwemo katika eneo la Ziwa Ngozi lilipo wilayani Rungwe mkoani Mbeya ili kuhakikisha inazalisha megawati 130 za jo...
TANZANIA YATAJA MAFANIKIO YAKE YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KATIKA JUKWAA LA KIMATAIFA LA IRENA -ABU D...
meelezwa kuwa, Tanzania inaendelea kufanya jitihada mbalimbali ili kuhakikisha wananchi wanaendelea kupata nishati safi, salama na nafuu ya kupikia, kwa kuhakikisha fedha za kuwezesha miradi ya nishati safi ya kupikia zinapatikana kutoka Serikalini,...