BUNGE LAPITISHA KWA KISHINDO BAJETI YA WIZARA YA NISHATI 2026/2027.
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha kwa kishindo shilingi trilioni 2.53 kwa ajili ya matumizi ya Wizara ya Nishati 2026/2027.Kati ya fedha hizo, Shilingi trilioni 2.46 sawa na asilimia 97.5 ya bajeti yote imeelekezwa kwenye miradi ya...
BAJETI YA WIZARA YA NISHATI 2026/27 YAPITISHWA KWA KISHINDO.
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeidhinisha jumla ya shilingi trilioni 2.5 kwa ajili ya matumizi ya Wizara ya Nishati na taasisi zake katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali kwa mwaka wa fedha 2026/2027.Bajeti hiyo imepitishwa leo Aprili...
WIZARA YA NISHATI YAPONGEZWA KUONDOA UTEGEMEZI WA FEDHA ZA NJE KATIKA MIRADI.
Mbunge wa Jimbo la Itilima, Njalu Silanga (CCM) amepongeza hatua ya Wizara ya Nishati kupunguza utegemezi wa fedha kutoka nje katika utekelezaji wa miradi ya sekta ya nishati.Akichangia hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Nishatina...
AJIRA 1,439 MPYA SEKTA YA NISHATI, WATUMISHI 5,207 KUPATA MAFUNZO KUONGEZA UFANISI.
Ajira mpya 1,439 zinatarajiwa kutolewa katika sekta ya nishati huku watumishi 5,207 wakipatiwa mafunzo maalum ili kuongeza ufanisi wa utendaji kazi na utoaji huduma kwa wananchi.Hayo yameelezwa na Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi alipokuwa...
KAMATI YA NISHATI YARIDHISHWA NA BAJETI, YASISITIZA USIMAMIZI MADHUBUTI WA MIRADI.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Mhe. Subira Mgalu, amesema Kamati hiyo imeishauri Serikali kuongeza ufanisi, ubunifu na usimamizi madhubuti katika usimamizi wa miradi ya nishati, ukusanyaji wa mapato na utoaji wa huduma...
BAJETI YA WIZARA YA NISHATI 2026/2027 YAGUSA MAENDELEO KWA ASILIMIA 97.5.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi leo ameomba kuidhinishiwa na Bunge Sh. trilioni 2.53 kwa ajili ya matumizi ya Wizara ya Nishati na taasisi zake kwa mwaka wa fedha 2026/27, ambapo sh. trilioni 2.46 sawa na asilimia 97.5 ya bajeti yote imee...
MHE. SALOME AVUTIWA NA MATUMIZI YA NISHATI SAFI KATIKA MAONESHO YA WIKI YA NISHATI DODOMA.
Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba (Mb), leo Aprili 22, 2026 ametembelea mabanda ya maonesho ya Wiki ya Nishati yanayoendelea katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma, ambapo alijionea kwa karibu maendeleo ya teknolojia na ubunifu unaolenga kuimar...
SERIKALI KUIMARISHA UZALISHAJI WA UMEME, YALENGA KUUZA ZIADA NJE YA NCHI.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema Serikali itaendelea kuhakikisha Nchi inakuwa na umeme wa kutosha kukidhi mahitaji ya ndani na ziada kwa ajili ya kuuza nje ya Nchi ili kuongeza mapato ya fedha za kigeni.Akiwasilisha hotuba yake Bun...
WIZARA YA NISHATI YAOMBA TRILIONI 2.5 BAJETI 2026/27.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameliomba Bunge kuidhinisha jumla ya bajeti ya Shilingi trilioni 2.5 kwa ajili ya Wizara ya Nishati na taasisi zake kwa mwaka 2026/27 ili kuwezesha utekelezaji wa majukumu yaliyopangwa.Amefafanua kuwa kati...
ASILIMIA 10 YA GESI ASILIA ILIYOGUNDULIWA AFRIKA INAPATIKANA TANZANIA.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, anayeshughulikia masuala ya Mafuta na Gesi Asilia, Dkt. James Mataragio ameeleza kuwa asilimia 10 gesi asilia iliyogundulika na ambayo haijaendelezwa Afrika inapatikana Tanzania.Dkt. Mataragio amesema hayo alipotembelea...
KISIMA B5 KITALU CHA MNAZI BAY CHAZALISHA GESI ASILIA MARA MBILI ZAIDI YA MATARAJIO.
Mkuu wa Kitengo cha Ushirikishwaji Wazawa na Wadau kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA), Charles Nyangi, amesema uwezo wa kuzalisha gesi katika kisima B5 katika kitalu cha Mnazi Bay mkoani Mtwara umekuwa zaidi ya mara mbili y...
WAKALA WA UAGIZAJI MAFUTA KWA PAMOJA WAANZISHA MFUMO WA KUDHIBITI UPOTEVU WA MAFUTA.
Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA), kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya mafuta, umeanzisha mfumo wa kisasa wa Supervisory Control and Data Acquisition (SCADA) unaolenga kudhibiti upotevu wa mafuta kutoka melini hadi kwenye maghala ya kuhif...
DKT. MATARAGIO ATEMBELEA MAONESHO YA WIKI YA NISHATI DODOMA.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi Asilia, Dkt.James Mataragio, ametembelea maonesho ya Wiki ya Nishati yanayoendelea Jijini Dodoma.Maonesho hayo yameingia siku ya pili tangu kuanza kwa maonesho hayo Aprili 20, 2026, ambapo...
KATIBU MKUU MAFUTA NA GESI ASILIA AHAMASISHA WANANCHI KUTUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi Asilia, Dkt. James Mataragio, ametoa wito kwa wananchi kutumia nishati safi ya kupikia kama sehemu ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya mwaka 2050 inayolenga kuhamasisha matumizi ya nishati...
NDEJEMBI AWAHAMASISHA WABUNGE KUTEMBELEA MAONESHO YA WIKI YA NISHATI 2026.
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amewahamasisha Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutembelea maonesho ya Wiki ya Nishati 2026 yanayoendelea katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma, yaliyoanza rasmi Aprili 20, 2026.Akizungumza...
WIKI YA NISHATI 2026 YAANZA DODOMA.
Maonesho ya Wiki ya Nishati yanayohusisha Wizara ya Nishati na Taasisi zake yameanza katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma huku yakilenga kutoa elimu ya nadharia na vitendo kuhusu Sekta ya Nishati.Katika maonesho hayo Wabunge na Wananchi watafahamis...
TANZANIA INAENDELEA KUIMARISHA MATUMIZI YA GESI ASILIA KUZALISHA UMEME: NDEJEMBI.
Tanzania inaendelea kuimarisha na kuongeza matumizi ya gesi asilia katika uzalishaji wa nishati ya umeme nchini, hatua inayolenga kuiwezesha kufikia lengo la kuzalisha Megawati 8,000 za umeme ifikapo mwaka 2030. Katika mpango huo, gesi asilia ni mion...
SERIKALI YATENGA SH. BILIONI 3.2 KUSAMBAZA UMEME VIJIJI 9 LUDEWA.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema Serikali imetenga kiasi cha Sh Bilioni 3.2 kupitia kwa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa ajili ya kusambaza umeme katika vitongoji vilivyopo ndani ya vijiji Tisa vya Kitewele, Kimata, Ndoa, Chan...
TANZANIA NI NJIA YA USAFIRISHAJI MAFUTA YA UGANDA KUPITIA MRADI WA EACOP.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema ushiriki wa Tanzania kwenye Mradi wa Bomba la Mafuta (EACOP) upo kwenye biashara ya kusafirisha mafuta ghafi tu (transit nation) kutoka Kabaale Hoima hadi Chongoleani, Tanga na baadaye kupelekwa kw...
BILIONI 5.1 KULIPA FIDIA KWA WANANCHI 1,730 MRADI WA UMEME.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema Serikali katika mwaka wa fedha 2025/26 imetenga bajeti kwa ajili ya malipo ya fidia yenye thamani ya Sh Bilioni 5.1 kwa wananchi 1,730 wanaopisha njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa Kilovoti 220...