MRADI WA EACOP UMETOA ZAIDI YA AJIRA 3,000 MKOANI SINGIDA: MHE.SALOME.
Zaidi ya ajira 3,000 zimetolewa mkoani Singida kupitia utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), huku wananchi wakinufaika pia kwa kutoa huduma mbalimbali ikiwemo kuuza vyakula, kukodisha vyombo vya usafiri na kutoa h...
MHA. MRAMBA AKUTANA NA WADAU WA KIMATAIFA KUHARAKISHA MIRADI YA JOTOARDHI NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA...
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Felchesmi Mramba, amefanya mazungumzo na wadau mbalimbali wa sekta ya nishati kuhusu fursa za kuendeleza miradi ya jotoardhi na kuimarisha matumizi ya nishati safi ya kupi...
KITUO CHA EV - CHARGING STATION DODOMA CHAFUNGUA UKURASA MPYA KWA VYOMBO VYA USAFIRI VINAVYOTUMIA UM...
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amezindua rasmi kituo cha kwanza cha kuchajia vyombo vya usafiri vinavyotumia umeme EV Charging Station jijini Dodoma, hatua inayotajwa kuwa mageuzi makubwa katika sekta ya usafirishaji nchini.Kituo hicho...
WATANZANIA MILIONI MOJA KUNUFAIKA NA MIKOPO YA MAJIKO YA UMEME KUPITIA TANESCO.
Watanzania milioni moja wanatarajiwa kunufaika na mpango wa mikopo ya majiko ya umeme kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), kufuatia utiaji saini wa makubaliano kati ya shirika hilo na wadau wa uzalishaji na usambazaji wa vifaa vya nishati saf...
WAZIRI NDEJEMBI AZINDUA MPANGO WA MKOPO WA MAJIKO YA UMEME, VITUO VYA KUCHAJIA MAGARI YA UMEME.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, leo Juni 11, 2026 jijini Dodoma amezindua rasmi mpango wa ukopeshaji wa majiko ya umeme kwa wateja wa TANESCO pamoja na mradi wa vituo vya kuchajia vyombo vya usafiri vinavyotumia umeme, hatua inayolenga k...
WAZIRI NDEJEMBI AZINDUA KITUO CHA KUCHAJIA VYOMBO VYA USAFIRI VYA UMEME – DODOMA.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius J. Ndejembi (Mb.), akiwa pamoja na viongozi wengine, akikata utepe na kuweka jiwe la msingi katika uzinduzi wa Kituo cha Kuchajia Vyombo vya Usafiri Vinavyotumia Umeme katika Ofisi za Shirika la Umeme Tanzania (TANE...
HANNYG INVESTMENT YAONGEZA KASI YA MATUMIZI YA NISHATI SAFI KUPITIA TEKNOLOJIA YA KUNI POA (BRIQUETT...
Kampuni ya HannyG Investment imeendelea kuwa kinara katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kupitia uzalishaji, usambazaji na uuzaji wa Kuni Poa (Briquettes), bidhaa mbadala ya kuni na mkaa inayolenga kulinda mazingira na kuboresha upa...
“USHIRIKIANO WA WADAU NI MUHIMU KUFIKIA LENGO LA NISHATI SAFI YA KUPIKIA LA 2034”: MHE. SALOME.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa agenda ya nishati safi ya kupikia, ambapo upatikanaji wa huduma hiyo umeongezeka kutoka asilimia 6.9 mwaka 2021 hadi asilimia 28.6 mwaka 2025.Ames...
WAZIRI NDEJEMBI APOKEA TAARIFA YA TATHMINI MRADI WA MALAGARASI.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, leo Juni 10, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na timu ya wakaguzi wa Mradi wa Malagarasi kutoka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), kwa lengo la kupokea taarifa ya tathmini ya utekelezaji wa mradi hu...
TUMIA KWA KADRI ULIVYOLIPIA: TEKNOLOJIA YA MGAS LPG YAFANYA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KUFIKIKA KWA WEN...
Kampuni ya Mgas LPG imeendelea kutoa mchango mkubwa katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini kupitia teknolojia ya Smart Meter, mfumo unaomwezesha mtumiaji kufuatilia kiwango cha gesi kilichosalia kulingana na matumizi yake ya ki...
SERIKALI YAONGEZA KASI YA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA NCHINI.
Mkurugenzi wa Nishati Safi ya Kupikia Wizara ya Nishati, Ndg. Nolasco Mlay, amesema kuwa nishati safi ya kupikia ni suluhisho muhimu linalorahisisha maisha ya wananchi kutokana na usalama wake, gharama nafuu pamoja na manufaa yake kwa afya na mazingi...
MRAMBA AITANGAZA TANZANIA CANADA; ASEMA NI KITOVU CHA UWEKEZAJI WA NISHATI.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Felchesmi Mramba, ameendelea kuitangaza Tanzania kimataifa kwa lengo la kuvutia uwekezaji zaidi katika Sekta ya Nishati akieleza kuwa Tanzania ni kitovu cha uwekezaji wa n...
SERIKALI KUPELEKA UMEME KATIKA MITAA 14 ILIYOSALIA TARIME MJINI.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) imepanga kupeleka umeme katika mitaa 14 iliyosalia bila huduma hiyo katika Mji wa Tarime, kwa kuhakikisha mitaa yote inafikiwa na umeme.Mhe. Sal...
UCHORONGAJI VISIMA VYA GESI ASILIA MTWARA WALETA NEEMA
Mradi wa uchorongaji wa visima vitatu vya gesi asilia unaotekelezwa katika Kitalu cha Mnazi Bay, mkoani Mtwara, umeelezwa kuleta manufaa makubwa kwa wananchi na Taifa kupitia ongezeko la uzalishaji wa gesi, ajira na fursa za biashara.Mhandisi kutoka...
MWENGE WA UHURU WASHUHUDIA UGAWAJI WA MITUNGI 50 YA GESI KWA WAFANYABIASHARA CHAMWINO.
Wakala wa Nishati Vijijini (REA), umegawa mitungi 50 ya gesi ya kupikia kwa Wafanyabiashara wa huduma za chakula maarufu kama mama lishe na baba lishe katika Wilaya ya Chamwino, Mkoa wa Dodoma, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuhamasisha matumizi ya n...
MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA TANESCO CHAMWINO
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ndugu. Wazo Mwang’onda ameweka jiwe la msingi katika ujenzi wa jengo la utawala la Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma leo Juni 06, 2026.Ujenzi wa jengo hilo utagharimu kia...
DKT. NCHIMBI: WIZARA ZA KISEKTA ZITUMIE FURSA BIASHARA YA KABONI KUKIJANISHA TANZANIA.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi. Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amezihimiza Wizara za kisekta kujumuisha fursa zilizopo katika biashara ya caboni katika mpango yao kuchangia uhifadhi wa mazingira na maendeleo endelevu nchi...
WIZARA YA NISHATI YABAINISHA MCHANGO WA NISHATI KATIKA KUTUNZA MAZINGIRA
Mkuu wa Kitengo cha Mazingira Wizara ya Nishati, Bw. Emilian Nyanda, akizungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu Wizara ya Nishati wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yaliyofanyika Juni 05, 2026 jijini Dodoma, ameeleza majukumu yanayotekelezw...
TPDC YAKABIDHI KARAKANA YA KISASA YA CNG KWA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM.
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limekabidhi rasmi Karakana ya kuongeza mfumo wa matumizi ya gesi asilia Iliyoshindiliwa kwenye vyombo vya usafiri (CNG Conversion Workshop) kwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), hatua inayotarajiwa k...
ELIMU YA CNG NA TEKNOLOJIA ZA NISHATI SAFI ZIWAFIKIE WANANCHI WA KIPATO CHA KAWAIDA: MHE. KUNDO.
Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Kundo Mathew, amesema kuna umuhimu mkubwa wa kuhakikisha teknolojia za kisasa ikiwemo matumizi ya gesi asilia iliyoshindiliwa (CNG) kwenye magari, pamoja na mifumo mingine ya nishati safi, zinawafikia wananchi wa kipato cha...