MRADI WA KUFUNGA MIFUMO YA UMEME JUA MAENEO YA VISIWANI KWA BEI YA RUZUKU WAZINDULIWA
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amezindua mradi wa kusambaza mifumo ya umeme jua visiwani unaolenga kuweka mifumo 20,000 ya umeme jua katika visiwa 120 kwa gharama ya Shilingi Bilioni 8 ambapo Rais, Dkt.Samia Suluhu Hassan ameweka ruzuku...
MHE SALOME; TPDC FANYIENI KAZI MAELEKEZO YA VIONGOZI WAKUU KUKAMILISHA MIRADI YA KIMKAKATI
Watendaji katika Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) wametakiwa kutekeleza kwa vitendo maelekezo ya Viongozi Wakuu wa Kitaifa yanayolenga kuendeleza sekta ya mafuta na gesi asilia, ikiwemo agizo la kuhakikisha mazungumzo ya Mradi wa Kucha...
KAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAIPONGEZA TANESCO KWA MATOKEO CHANYA
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imefanya Ziara yake leo kwa kutembelea miradi ya umeme na imeipongeza Serikali ya Mhe. Samia Suluhu Hassan, uongozi na wafanyakazi wa TANESCO kwa kazi na hali ya uzalishaji wa umeme, ambapo sasa nchi ina...
KAMPENI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAWAFIKIA WANANCHI WA MIKESE MOROGORO
Elimu ya matumizi ya nishati safi ya kupikia imeendelea kuwafikia wananchi katika soko la Mahindi na vijiwe vya bodaboda waliopo Mikese Morogoro lengo likiwa ni kuhakikisha watu wanaachana na matumizi ya nishati isiyo safi ya kupikia kama vile kuni n...
KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA MFUMO WA UAGIZAJI MAFUTA NCHINI
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati, Mhe. Subira Mgalu, ameipongeza Serikali kwa kazi kubwa inayofanyika katika kuhakikisha mafuta nchini yanapatikana kwa wakati, kwa uwazi na kwa kuzingatia viwango stahiki.Ametoa pongezi hizo tarehe 1...
DKT. MATARAGIO AZUNGUMZA NA NBC DODOMA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi Asilia, Dkt. James Mataragio, amefanya kikao na uongozi wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) leo tarehe 19 Februari 2026 jijini Dodoma.Kikao hicho kililenga kujadili namna ambavyo Wizara...
KAMATI YA BUNGE YAITA WAWEKEZAJI UJENZI WA VITUO VYA GESI ASILIA ILIYOSHINDILIWA (CNG)
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, kupitia Mwenyekiti wake Mhe. Subira Mgalu, imetoa wito kwa wawekezaji kuunga mkono Serikali katika ujenzi wa vituo vya gesi asilia iliyoshindiliwa (CNG) ili kurahisisha upatikanaji wa huduma hiyo kwa wa...
NDEJEMBI: UPATIKANAJI WA NISHATI SAFI TANZANIA UMEONGEZEKA MARA TATU NDANI YA MIAKA MINNE
UPATIKANAJI wa nishati safi ya kupikia nchini Tanzania umeongezeka kutoka asilimia 6.9 mwaka 2021 hadi asilimia 23.2 mwaka 2025, sawa na ongezeko la zaidi ya mara tatu ndani ya kipindi cha miaka minne.Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, ames...
KAMPENI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA; NI WILAYA KWA WILAYA
Elimu ya matumizi ya nishati safi ya kupikia imeendelea kuwafikia wananchi katika maeneo mbalimbali ikiwemo katika vijiwe vya draft, vijiwe vya kahawa, masoko na vituo vya mabasi nchini lengo likiwa ni kuhakikisha watu wanaachana na matumizi ya nisha...
SERIKALI YAZINDUA AWAMU YA KWANZA YA MRADI WA KUPELEKA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KWA TAASISI ZINAZOHUD...
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amezindua awamu ya kwanza ya mradi wa kusambaza nishati safi ya kupikia katika taasisi zinazohudumia watu zaidi ya 100, unaohusisha shule 52 za sekondari pamoja na chuo kimoja cha Mafunzo ya Ufundi Stadi...
WAZIRI NDEJEMBI AKUTANA NA BALOZI WA OMAN, WAJADILI MASUALA YA MAFUTA NA GESI
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Oman nchini Tanzania, Mhe. Saud Al-Shidhani yaliyolenga kuimarisha na kuendeleza ushirikiano kati ya nchi hizo mbili katika sekta ya nishati. Mazungumzo hayo yam...
MATARAGIO AENDELEA NA MAJUKUMU JIJINI DODOMA
Na Mwandishi Wetu, Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi Asilia, Dkt. James Mataragio amepokelewa katika Ofisi za Wizara ya Nishati jijini Dodoma baada ya kuanza majukumu yake jijini Dar es salaam baada ya kupokelewa rasmi na Waziri wa Nishati Mhe....
KAMPENI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAFIKA MASOKONI, VITUO VYA MABASI HANDENI
Kampeni ya nishati safi ya kupikia imeendelea kuwafikia wananchi katika masoko na vituo vya mabasi wilayani Handeni mkoani Tanga ikiwa ni sehemu ya juhudi za Serikali kuhamasisha matumizi ya nishati safi kwa wananchi.Wizara ya Nishati kwa kushirikian...
ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 70 ZIMEKUSANYWA KUPITIA MRADI WA EACOP- MHE.SALOME
Serikali imekusanya zaidi ya shilingi bilioni 70 kupitia tozo, ada na ushuru mbalimbali zitokanazo na utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), na inatarajia kukusanya zaidi ya shilingi trilioni 2.3 mradi utakapoanza...
WAZIRI MKUU AKAGUA MRADI WA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Jumatatu (Februari 16, 2026) amekagua mradi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima (Uganda) hadi Chongoleani mkoani Tanga na amesema kuwa amefurahishwa na utekelezaji wake.Amesema kuwa mradi huo ni wa kimkakati am...
KIWANDA CHA NGUZO ZA ZEGE TCPM – TABORA CHA SERIKALI SIO TISHIO KWA SEKTA BINAFSI: NDEJEMBI
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema ujenzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Nguzo za Zege cha TCPM Tabora kinachomilikiwa na Shirika la Umeme Tanzania - TANESCO kupitia kampuni tanzu ya TCPM haukusudii kuathiri wala kudhoofisha uwekezaji wa...
URAMBO NA KALIUA ZIPO TAYARI KWA UWEKEZAJI – NDEJEMBI.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema wilaya za Urambo na Kaliua mkoani Tabora zipo tayari kwa uwekezaji, hususan wa viwanda kwani umeme unaopatikana katika Kituo cha Kupoza na Kusambaza Umeme Urambo unatosheleza na hata kuzidi mahitaji...
WAZIRI NDEJEMBI AWASILI TABORA KWA ZIARA YA KIKAZI
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amewasili wilayani Urambo Mkoani Tabora kwa ziara ya Kikazi na kupokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Urambo, Dkt. Khamis Mkanachi, leo tarehe 14 Februari 2026.Katika Ziara hiyo Waziri Ndejembi atatembelea na kuka...
ELIMU YA LISHE BORA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA INAHITAJIKA ZAIDI KWA WANANCHI
Serikali imesema kuwa elimu ya lishe bora na matumizi ya nishati safi inahitajika zaidi kwa wananchi ili wafahamu namna ya kuboresha afya ya familia na kutunza mazingira.Hayo yameelezwa na mwakilishi wa Mkurugenzi wa Kitengo cha Nishati Safi ya Kupik...
Bilioni 44.14 Kubadilisha Taswira ya Umeme Handeni
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amesema mradi wa kimkakati wa ujenzi wa kituo cha kupoza umeme katika eneo la Mkata wilayani Handeni utagharimu shilingi bilioni 44.14 mpaka kukamilika kwake na utaimarisha upatikanaji wa umeme wa uhakika na...