TANZANIA NA KENYA KUHARAKISHA UTEKELEZAJI MIRADI YA KUUNGANISHA NJIA ZA UMEME.
Tanzania na Kenya zimekubaliana kuharakisha utekelezaji wa miradi mbalimbali ya njia za umeme zinazounganisha gridi za nchi hizo mbili pamoja na kuboresha mifumo ya usafirishaji wa umeme ili kuimarisha usalama wa nishati, kuongeza uhakika wa upatikan...
CHEVRON YAONESHA NIA YA KUWEKEZA TANZANIA KATIKA SEKTA NDOGO YA MAFUTA NA GESI ASILIA.
Kampuni ya nishati kutoka Marekani, Chevron Corporation imeeleza utayari wake wa kuwekeza nchini Tanzania katika shughuli za utafutaji wa mafuta na gesi asilia, hatua inayodhihirisha kuendelea kuimarika kwa mazingira ya uwekezaji katika sekta ya nish...
NDEJEMBI, UBALOZI WA SWEDEN NA UJERUMANI WAJADILI FURSA ZA USHIRIKIANO SEKTA YA NISHATI.
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi leo Mei 12, 2026 amekutana na kufanya mazungumzo na Wawakilishi kutoka Ubalozi wa Sweden, Ujerumani na kampuni ya Siemens Energy kwa lengo la kujadili fursa za uwekezaji na ushirikiano katika sekta ya nishat...
MENEJIMENTI YA WIZARA YA NISHATI YATEMBELEA MRADI WA EACOP TANGA, WAFIKIA 85% YA UTEKELEZAJI.
Menejimenti ya Wizara ya Nishati imetembelea mradi wa kimkakati wa kusafirisha mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga nchini Tanzania wa EACOP (East African Crude Oil Pipeline) leo Mei 11, 2026.Menejimenti hiyo ikiongoz...
MKANDARASI WA MRADI WA UMEME MALAGARASI MATATANI BAADA YA WAZIRI KUTORIDHISHWA NA KASI YA UJENZI.
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amesema hajaridhishwa na mwenendo wa mkandarasi anayetekeleza Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Megawati 49.5 katika maporomoko ya maji ya mto Malagarasi kutokana na kuchelewa kwa utekelezaji wa kazi pamoja na kus...
BILIONI 275.6 KUIMARISHA UPATIKANAJI WA UMEME MKOANI KAGERA.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange amesema Serikali kupitia TANESCO inatekeleza mradi wa Benaco hadi Kyaka wenye thamani ya shilingi bilioni 275.6 kwa lengo la kuimarisha upatikanaji wa umeme wa uhakika mkoa...
MBUNGE BAHEMU AIBUA CHANGAMOTO YA KUKATIKA UMEME NGARA, WAZIRI NDEJEMBI ATOA MWEZI MMOJA KUFUNGWA TR...
Mbunge wa Jimbo la Ngara, Mhe. Dotto Bahemu amesema Serikali imefanikiwa kufikisha huduma ya umeme katika vijiji vyote vya Wilaya ya Ngara, hatua inayochochea maendeleo ya wananchi na kukuza shughuli za kiuchumi wilayani humo licha ya changamoto ya k...
SERIKALI YAANZA UTEKELEZAJI WA MRADI WA UMEME KUUNGANISHA MKOA WA KAGERA KWENYE GRIDI YA TAIFA.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovoti 220 kutoka Benaco hadi Kyaka pamoja na kituo cha kupoza umeme cha Benaco, ambao utaunganisha Mkoa wa Kagera kweny...
WAZIRI NDEJEMBI AWASILI NGARA - KAGERA KWA ZIARA YA KIKAZI.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius J. Ndejembi amewasili wilayani Ngara mkoani Kagera kwa ziara ya kikazi na kupokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Ngara, Kanali Martius Kahabi, leo Mei 09, 2026.Amepewa mapokezi pia na viongozi wa Serikali na Chama Cha Mapi...
DC MODEST AZITAKA TAASISI ARUSHA KUTUMIA NISHATI SAFI KUPIKIA.
Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Mhe. Joseph Modest, amezitaka Taasisi zote zinazohudumia zaidi ya watu 100 katika Mkoa wa Arusha kuhamia katika matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kulinda afya za wananchi na mazingira.Mhe.Modest, aliyemwakilisha Mkuu w...
MATUMIZI YA NISHATI SAFI YAFIKIA ASILIMIA 28.6.
Matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini yamefikia asilimia 28.6 mwaka 2025, hatua inayotajwa kuwa ishara ya mafanikio ya juhudi za serikali katika kuhamasisha wananchi kutumia nishati salama na rafiki kwa mazingira.Hayo yameelezwa Mei 8, 2026 Jiji...
DRC YAFANYA ZIARA YA MAFUNZO KUHUSU USIMAMIZI WA MAFUTA TANZANIA.
Waziri wa Hydrocarbons wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mhe. Acacia Bandubola Mongo, amesema nchi yake itaendelea kujifunza kutoka Tanzania kuhusu usimamizi bora wa sekta ya mafuta ili kuboresha mifumo yake ya upatikanaji na usambazaji wa n...
MHANDISI MRAMBA ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MSUMBIJI.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia masuala ya Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, ametembelea Ofisi za Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jijini Maputo, Msumbiji na kufanya mazungumzo na Kaimu Balozi, Tammy Kajig...
TANZANIA NA DRC KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA MAFUTA NA GESI ASILIA.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Hydrocarbons wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mhe. Acacia Bandubola Mongo, kwa lengo la kujadili masuala yatakayoimarisha ushirikiano katika Sekta ya...
WAZIRI MKUU: SERIKALI YAENDELEA KUHAKIKISHA MAFUTA HAYAADIMIKI NCHINI.
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali kuhakikisha upatikanaji wa mafuta nchini unaendelea kuwa wa uhakika na bidhaa hiyo haiadimiki.Akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Janeth Mahawanga Bungeni jij...
AFRIKA INAHITAJI USHIRIKIANO WA KIMKAKATI KUNUFAIKA NA RASILIMALI ZAKE MHA. MRAMBA.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, amesema Afrika inahitaji kuimarisha ushirikiano wa kimkakati ili kuhakikisha rasilimali zilizopo zinachangia kikamilifu maendeleo ya uchumi, ukuaji w...
MASHIRIKA BINAFSI YATAJWA KUWA NGUZO MUHIMU YA MAENDELEO YA SEKTA YA NISHATI.
Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga, amekutana na ujumbe kutoka mashirika binafsi ya ECOTA na Social for Change (SFC) kwa lengo la kujadili fursa zilizopo katika Sekta ya nishati Nchini na namna mashirika hayo yanavyoweza k...
KATIBU MKUU MATARAGIO AKUTANA NA UONGOZI ARA PETROLEUM KUJADILI MIRADI YA GESI.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi, Dkt. James Mataragio amekutana na kufanya mazungumzo na Meneja Mkuu wa ARA Petroleum Tanzania (APT), Erhan Saygi, leo Mei 05, 2026.Katika kikao hicho, Dkt. Mataragio amepokea taarifa kuhu...
NISHATI SAFI CUP: BAHI YATUMIA MICHEZO KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma imeanzisha kampeni maalum ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kupitia mashindano ya michezo yaliyopewa jina la “Nishati Safi Cup”, yakihusisha vijiji 16 kutoka katika kata 8 za wilaya hiyo.Mashindano hayo,...
RAIS RUTO AITAMBUA TANZANIA KAMA KITOVU CHA NISHATI AFRIKA MASHARIKI.
Rais wa Kenya, Mhe. William Ruto amesema kuwa miradi ya pamoja ya nishati kati ya Tanzania na Kenya inaendelea kuleta mapinduzi ya kiuchumi na kuimarisha ushirikiano wa kikanda.Akilihutubia Bunge la Tanzania kwa mwaliko wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hass...