Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania

Ministry of Energy

News

Nov 26, 2025
​WANANCHI MIKOA YA IRINGA NA DODOMA KUWA NA UMEME WA UHAKIKA-MHE. MAKAMBA.
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome Makamba leo Novemba 26, 2025 ametembelea na kukagua mradi wa kuzalisha umeme kwa njia ya maji la Bwala la Mtera li...
Nov 26, 2025
​REA-VIJANA CHANGAMKIENI FURSA ZILIOPO KWENYE NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Wakala wa Nishati vijijini (REA) imewataka vijana nchini na vikundi vya wanawake kuchangamkia mafunzo yatakayotolewa na REA ya fursa zilizopo katika m...
Nov 25, 2025
​MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA SIO ANASA-MHE. MAKAMBA.
Imeelezwa kuwa matumizi ya Nishati safi ya kupikia sio anasa bali ni muhimu kwa kutunza mazingira na afya za wananchi,na pia inasaidia kupunguza muda...
Nov 25, 2025
WAZIRI NDEJEMBI AWATAKA PBPA KUHAKIKISHA KUNAKUWEPO NA AKIBA YA KUTOSHA YA MAFUTA NCHINI
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amewataka Wakala wa Kuagiza Mafuta kwa Pamoja( PBPA) kuhakikisha kunakuwepo na akiba ya kutosha ya mafuta n...
Nov 24, 2025
​MHE.NDEJEMBI ASISITIZA USHIRIKIANO KWA VIONGOZI KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YENYE KIPAUMBELE KWA W...
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb), ametoa wito kwa viongozi na watendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) pamoja na M...
Nov 24, 2025
​NAIBU WAZIRI MAKAMBA ASISITIZA UWEPO WA MAGHALA YA KUHIFADHIA MAFUTA NCHINI.
Naibu Waziri wa Wizara ya Nishati Mhe. Salome Makamba ameitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kuimarisha njia bora na ya har...
Nov 24, 2025
MKAKATI WA TAIFA WA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KULETA MABADILIKO CHANYA KATIKA MAZINGIRA, A...
Imeelezwa kuwa Mkakati wa Taifa wa matumizi ya nishati safi ya kupikia umeendelea kuleta matokeo chanya katika maeneo ya masoko kwa wafanyabiashara wa...
Nov 22, 2025
WAZIRI NDEJEMBI AONGOZA KIKAO KAZI NA VIONGOZI WA TANESCO
Waziri Wizara ya Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameongoza kikao kazi cha Watumishi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Jijini Dodoma.Mhe. Ndej...
Nov 22, 2025
ELIMU YA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAENDELEA KUTOLEWA KWA WANANCHI
Imeelezwa kuwa Mkakati wa Taifa wa nishati safi ya kupikia unalenga kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi, kulinda afya za wananchi, kupunguza g...
Nov 22, 2025
​WAZIRI NDEJEMBI AZUNGUMZA NA WATAALAMU WA IDARA MBILI NDANI YA WIZARA YA NISHATI
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi, pamoja na Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Salome Makamba, wameongoza kikao cha watumishi kutoka katika Id...
Nov 22, 2025
​MKAKATI WA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA: KUONGEZA TIJA YA KIUCHUMI NA KIJAMII
Imeelezwa kuwa Mkakati wa Taifa wa matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini umefungua milango mipya ya ajira, uwekezaji na ujasiriamali huku ukilind...
Nov 20, 2025
​MKAKATI WA TAIFA WA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KUIMARISHA AFYA, MAZINGIRA NA UCHUMI WA NCH...
Wakati wa ufunguzi wa Mjadala wa Kitaifa wa Nishati Safi ya Kupikia uliofanyika mwezi Novemba, 2022 , Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jam...
Nov 20, 2025
WAZIRI NDEJEMBI AKABIDHIWA OFISI NA ALIYEKUWA NAIBU WAZIRI MKUU NA WAZIRI WA NISHATI DKT. BITEKO
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi leo 20 Novemba, 2025, amekabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mheshi...
Nov 20, 2025
MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA UMECHOCHEA MATUMIZI YA NISHATI NCHINI
Imeelezwa kuwa Mkakati wa Taifa wa matumizi ya nishati safi ya kupikia, umejikita katika kupunguza magonjwa katika mfumo wa upumuaji yanayotokana na m...
Nov 19, 2025
MHE. NDEJEMBI ASISITIZA UTEKELEZAJI WA VIPAUMBELE VYA SERIKALI KUFIKIA 2030
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amewaagiza Watumishi wa Wizara hiyo kufanya kazi kwa bidii ili kutimiza Vipaumbele vya Serikali katika Sekt...
Nov 17, 2025
​MHA. LUOGA AZINDUA UTAFITI WA MATUMIZI YA NISHATI KATIKA KAYA, WA MWAKA 2023.
Kamishina wa Umeme na Nishati Jadidifu Mha. Innocent Luoga kutoka Wizara ya Nishati , amezindua Takwimu za Matumizi ya Nishati katika Kaya kwa mwaka 2...
Nov 17, 2025
MKAKATI WA TAIFA UMELENGA KUFIKIA 80% YA WATANZANIA KUTUMIA NISHATI SAFI IFIKAPO 2034
Imeelezwa Kuwa, Mkakati wa Mawasiliano wa Nishati Safi ya Kupikia ni Dira muhimu ya kufanikisha malengo ya Taifa ya kuhakikisha wananchi wanatumia nis...
Nov 14, 2025
MKAKATI WA MAWASILIANO WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA: DIRA YA MAFANIKIO YA TAIFA – MHA. KABUNDUGURU
Imeelezwa kuwa, Mkakati wa Mawasiliano wa Nishati Safi ya Kupikia ni dira muhimu ya kufanikisha malengo ya Taifa ya kuhakikisha wananchi wanatumia nis...
Nov 11, 2025
​WIZARA YA NISHATI YAPONGEZWA KWA KUTOA ELIMU YA NISHATI SAFI MIKOA YA NYANDA ZA JUU
Mwakilishi wa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mbeya, Simon Parmet ameipongeza Wizara ya Nishati kwa kutoa elimu kwa Maafisa Dawati kuhusu matumizi ya nishati...
Oct 28, 2025
​SEKONDARI YA MORINGE SOKOINE YAPEWA ELIMU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Imeelezwa kuwa, familia nyingi nchini bado zinatumia kuni na mkaa kama vyanzo vikuu vya nishati safi ya kupikia, vyanzo ambavyo vina athari kubwa kwa...