Dec 17, 2025
GEREZA LA KILIMO URAMBO KUNEEMEKA NA MIUNDOMBINU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imepanga kupeleka majiko matatu ya kisasa yanayotumia mkaa mbadala pamoja na sufuria zake katika Ger...
Dec 17, 2025
BARAZA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA NISHATI LAJENGEWA UELEWA KUHUSU DIRA 2050
Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati wamejengewa uelewa kuhusu mwelekeo wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, ikiwa ni sehemu ya maanda...
Dec 17, 2025
MRADI WA USAMBAZAJI UMEME VITONGOJINI SIHA-KILIMANJARO WAZINDULIWA
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amezindua mradi wa usambazaji wa umeme katika vitongoji vya Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, akisisitiz...
Dec 17, 2025
REA KULIONGEZEA UWEZO GEREZA LA KASULU KUZALISHA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) italipelekea Gereza la Kasulu mkoani Kigoma mashine moja ya kisasa ya kutengeneza mkaa mbadala, hatu...
Dec 17, 2025
MAADILI KAZINI YAWE MSINGI WA UTOAJI HUDUMA KWA WANANCHI – NDEJEMBI
Watumishi katika Wizara ya Nishati wametakiwa kuzingatia maadili ya utumishi wa umma ili kuendelea kutoa huduma bora kwa Watanzania, hususan kwa kujie...
Dec 17, 2025
GEREZA LA KIBONDO LABUNI MKAA MBADALA KUTEKELEZA AGIZO LA SERIKALI LA NISHATI SAFI
Jeshi la Magereza wilayani Kibondo mkoani Kigoma limeanza kutumia mkaa mbadala unaotokana na mchanganyiko wa maranda ya miti na udongo unaozalishwa nd...
Dec 17, 2025
MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAONGEZA UFANISI WA KAZI KWENYE MAGEREZA
Mkuu wa Gereza la Bukoba, Bw. Aloyce Kalihamwe amesema matumizi ya nishati safi ya kupikia yameleta mageuzi makubwa katika utekelezaji wa majukumu ya...
Dec 17, 2025
JESHI LA MAGEREZA LATEKELEZA AGIZO LA SERIKALI LA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Jeshi la Magereza nchini limetekeleza agizo la Serikali la matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kwa Taasisi zinazolisha watu zaidi ya 100 suala linaloi...
Dec 12, 2025
UWEKEZAJI MKUBWA ULIOFANYWA NA SERIKALI KITUO CHA GESI ASILIA MLIMANI WALETA NAFUU KWA WANANCHI
Naibu waziri wa Nishati Mhe.Salome Makamba ameeleza kuwa, Serikali imefanya uwekezaji mkubwa katika kujenga kituo cha kujaza gesi asilia kwenye vyombo...
Dec 12, 2025
ELIMU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YATOLEWA KWA WATUMISHI WA WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MI...
Wizara ya Nishati kupitia kitengo cha Nishati Safi ya Kupikia leo Disemba 11, 2025 kimetoa mafunzo kwa watumishi wa Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa...
Dec 11, 2025
WAZIRI NDEJEMBI AZINDUA MKAKATI MPYA WA MAGEUZI YA NISHATI AFRIKA.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amezindua Mkakati na Mpango Kazi wa Mageuzi ya Nishati kwa Bara la Afrika, ambao utaanza kutekelezwa kupit...
Dec 11, 2025
TUNAENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA UMEME ILI WANANCHI MPATE UMEME WA UHAKIKA- MHE.SALOME
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema kuwa Serikali inaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kuboresha miundombinu ya umeme nchini i...
Dec 10, 2025
NCHI ZA AFRIKA ZAHIMIZWA KUSHIRIKIANA KATIKA KUIMARISHA MATUMIZI BORA YA NISHATI.
WAZIRI wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ametoa wito kwa Nchi za Afrika kuungana kwa pamoja katika kutekeleza mikakati na mipango ya kuendeleza mat...
Dec 09, 2025
NDEJEMBI KUSHIRIKI KONGAMANO LA MAWAZIRI WA NISHATI WA AU NCHINI ETHIOPIA
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi leo Disemba 09, 2025 amewasili jijini Addis Ababa, Ethiopia kwa ajili ya kushiriki Kongamano la Mawaziri w...
Dec 08, 2025
TPDC na PURA hakikisheni Watanzania Wananufaika na Rasilimali za Mafuta na Gesi- MHE.SALOME
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome Makamba amefanya ziara katika Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) pamoja na Mamlaka ya Udhibiti wa Mko...
Dec 06, 2025
PBPA HAKIKISHENI WAWEKEZAJI WAZAWA WANAPEWA KIPAUMBELE KATIKA FURSA ZA UWEKEZAJI MHE.SALOME.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, ametoa wito kwa Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) kuhakikisha wanatoa fursa za uwekezaji kwa w...
Dec 06, 2025
WAZIRI WA NISHATI MHE. NDEJEMBI AZINDUA RASMI MITA JANJA
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter) yenye lengo la kuboresha na kumrahisishia mteja kufanya manunuzi y...
Dec 06, 2025
WADAU WAJADILIANA MBINU ZA KUFIKIA WALENGWA ILI KUFANIKISHA AJENDA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Wadau wa masuala ya Nishati safi ya kupikia zikiwepo Wizara na Taasisi mbalimbali nchini, wamekutana Jijini Dodoma na kujadili mbinu mbalimbali za ku...
Dec 04, 2025
SHULE ZA SEKONDARI 52; CHUO CHA VETA KUFUNGIWA MIUNDOMBINU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imesaini mikataba ya kufunga miundombinu ya nishati safi ya kupikia kwa shule za Sekondari 52 na Chuo cha VETA kimoja...
Nov 29, 2025
MHE. NDEJEMBI AWAHAKIKISHIA WAKAZI WA KIGAMBONI UMEME WA UHAKIKA
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amefanya ziara ya kikazi ndani ya Mkoa wa kitanesco wa Kigamboni na kuagiza kuchukuliwa hatua za haraka za...
