Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania

Ministry of Energy

News

May 20, 2025
KAMATI MPYA YA UKAGUZI WIZARA YA NISHATI YAFANYA ZIARA KATIKA MIRADI YA UMEME MKOANI PWANI
Kamati mpya ya Ukaguzi ya Wizara ya Nishati imefanya ziara katika miradi ya umeme mkoani Pwani ili kujionea utekelezaji wa miradi hiyo hali itakayopel...
May 17, 2025
NISHATI SAFI YA KUPIKIA NI KIPAUMBELE CHA SERIKALI
Katibu Mkuu wa Wizara Ya Nishati Mha. Felchesmi Mramba amesema kuwa, suala la upatikanaji wa nishati safi ya kupikia ni moja ya vipaumbele vya nchi na...
May 15, 2025
DKT. BITEKO ATETA NA SPIKA WA BUNGE LA MOROCCO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe Dkt. Doto Biteko ametembelea Bunge la Morocco ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kikazi nchini humo.Akiwa Bu...
May 15, 2025
TANZANIA, MOROCCO KUONGEZA USHIRIKIANO SEKTA YA NISHATI
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ufalme wa Morocco wamekubaliana kuimarisha ushirikiano wa matumizi ya teknolojia katika Sekta ya Nishati ili kuiwez...
May 14, 2025
SERIKALI INAENDELEA KUTEKELEZA MIRADI YA UMEME KWENYE MAENEO YA KIMKAKATI
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa kupeleka umeme kwenyemaeneo ya kimkakati nchini ikiwemo ma...
May 13, 2025
DKT. BITEKO AWASILI NCHINI MOROCCO KWA ZIARA YA KIKAZI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewasili nchini Morocco kwa ziara ya kikazi inayolenga kukuza na kuimarisha mahusiano k...
May 13, 2025
ZAIDI YA NYUMBA 800 MTWARA KUUNGANISHWA NA MFUMO WA GESI YA KUPIKIA
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) inatarajia kuunganisha mfumo wa g...
May 12, 2025
SERIKALI INABORESHA MIUNDOMBINU YA UMEME KIBITI KUONDOA CHANGAMOTO YA UMEME- KAPINGA
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) inatekeleza miradi mbalimbali ya matengenezo...
May 12, 2025
KANISA ANGLIKANA LASISITIZA UMUHIMU WA UCHAGUZI MKUU OKTOBA
Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Mhashamu Maimbo Mmdolwa amewahimiza Watanzania kushiriki katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025 na kuongeza kuw...
May 10, 2025
SERIKALI ITAENDELEA KUIAMINI NA KUIUNGA MKONO RED CROSS - DKT. BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Serikali itaendelea kuiamini na kukiunga Mkono Chama cha Msalaba mwekundu (RED C...
May 10, 2025
DKT. BITEKO ASHIRIKI TULIA MARATHON MBEYA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amempongezaSpika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge...
May 09, 2025
KAPINGA AZINDUA KITUO MAMA CHA GESI ASILIA ILIYOSHINDILIWA (CNG) JIJINI DAR ES SALAAM
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amezindua Kituo Mama cha Gesi Asilia iliyoshindiliwa (CNG) ambacho kina uwezo wa kujaza Gesi Asilia kweny...
May 09, 2025
MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KUFIKIA 75% MWAKA 2030 - DKT. BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikaliimeendelea kuboresha, kuimarisha, kurahisisha na kuwezesha upatikan...
May 08, 2025
TANZANIA YADHAMIRIA KUENDELEZA MAGEUZA YA KIDIGITALI KATIKA ELIMU: DKT. BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewahimiza wadau wa elimu barani Afrika kuendeleza mkakati na ushirikiano utakaowezesha...
May 08, 2025
SHULE 216 ZA SERIKALI ZATUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA-KAPINGA
Naibu Waziri Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema hadi kufikia mwezi Machi 2025 takribani Shule za Serikali 216 zimehamia katika matumizi ya nishati sa...
May 08, 2025
DKT. BITEKO AWATAKA MAAFISA MAENDELEO JAMII WASIKUBALI KUACHWA NYUMA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewahimiza maafisa maendeo ya jamii nchini kushirikiana na kuhakikisha wanashirikishwa...
May 07, 2025
WATAALAM AFRIKA MASHARIKI WAJADILI NISHATI SAFI YA KUPIKIA JIJINI ARUSHA
Leo tarehe 7 Mei, 2025 ambayo ni Siku ya Pili ya Kongamano, Wataalam kutoka Tanzania, Rwanda, Kenya, Burundi, Uganda na Malawwanaendelea na majadilian...
May 06, 2025
KONGAMANO LA KWANZA LA NISHATI SAFI YA KUPIKIA AFRIKA MASHARIKI LAFANYIKA ARUSHA
Wadau mbalimbali kutoka Nchi za Afrika Mashariki wamekutana jijini Arusha katikaKongamano la kwanza Nishati Safi ya Kupikia la Afrika Mashariki linalo...
May 06, 2025
GEREZA LA LILUNGU WAPONGEZWA KUTUMIA GESI ASILIA KUPIKIA
Imeelezwa kuwa matumizi ya nishati safi ya kupikia imepunguza nusu ya gharama iliyokuwa inatumika katika kuandaa chakula cha wafungwa katika magereza....
May 06, 2025
NYAMGUMA MAHAMUD AIBUKA MSHINDI HABARI ZA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Nyamguma Mahamud, Mwandishi wa Habari kutoka Mlimani FM ameibuka kidedea katika Tuzo za Uandishi wa Habari za Samia Kalamu Awards 2025 kupitia kipenge...