13th Sep 2025
MFUMO WA UFUATILIAJI NA TATHMINI NI NYENZO YA UTENDAJI KAZI FANISI SERIKALINI- DKT. BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amehitimisha Kongamano la Nne la Kitaifa la Ufuatiliaji, Tathmini na Kujifunza lililofanyika Jijini Mwanza akiweka mkazo kuwa mfumo wa ufu...