Taswira ya juu ya mradi wa umemejua unaotekelezwa wilayani kishapu mkoani Shinyanga unahusisha ujenzi wa paneli elfu 82 zenye uwezo wa Wati 605 kila moja. Mradi huu utakua na manufaa makubwa kutokana na umuhimu wake kwenye utunzaji wa mazingira unaoepuka uzalishaji wa hewa ya ukaa na umeajiri Watanzania wengi kwa kipindi chote cha utekelezaji wake. Mpaka sasa mradi umefikia zaidi ya asilimia 89