Picha ya pamoja ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko na Wakuu wa Idara ya Wizara ya Nishati jijini Dodoma wakati akizindua Mkakati wa Muda Mrefu wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) wa miaka 25 (2024/2025 hadi 2049/2050)
BUNGE LAPITISHA KWA KISHINDO BAJETI YA WIZARA YA NISHATI 2025/2026
BUNGE LAPITISHA KWA KISHINDO BAJETI YA WIZARA YANISHATI 2025/2026
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko(wa nne toka kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na Mawaziri wa Nishati wa nchi wanachama wa Umoja wa Soko la pamoja la Kuuziana Umeme katika ukanda wa Mashariki mwa Afrika (EAPP) mara baada ya ufunguzi wa Mkutano wa 20 wa Baraza la Mawaziri wa Nishati wa nchi Wanachama wa Umoja wa Soko la Pamoja la Kuuziana Umeme katika Ukanda wa Mashariki mwa Afrika (EAPP), mkutano huo umefanyika 17 Aprili 2025 Jijini Kampala, Nchini Uganda