Mjadala Mkubwa wa Kitaifa kuhusu nishati safi ya kupikia; JISAJILI SASA
Wizara ya Nishati imeandaa Mjadala Mkubwa wa Kitaifa kuhusu nishati safi ya kupikia utakaozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan tarehe 1-2 Novemba 2022.
Ili kushiriki kwenye mjadala huo unatakiwa kujisajili kupitia tovuti: