11 EAST AFRICAN PETROLEUM CONFERENCE AND EXHIBITION 12
View
Viongozi mbalimbali wameungana na Rais Samia katika uzinduzi huo, akiwemo Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi,Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba; Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, Mhe. Moustafa Madbouly; Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi; pamoja na viongozi wengine.
View
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) chenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,115, Agosti 22, 2026, katika eneo la mradi lililopo Rufiji, mkoani Pwani
View
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiwa na viongozi wengine, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP), chenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,115 katika eneo la Rufiji, mkoani Pwani, Agosti 22, 2026.
View
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akipokea maelezo kutoka kwa Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, kuhusu Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP), chenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,115
View
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akivuta kifaa maalum pamoja na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, Dkt. Mostafa Kamal Madbouly, kuashiria uzinduzi wa mitambo tisa ya kuzalisha umeme yenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,115 ndani ya jengo la mitambo (Power House) katika Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP), Rufiji, mkoani Pwani, tarehe 22 Agosti, 2026.
View
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome Makamba akipokea tuzo kutoka kwa Rais, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kutambua mchango wa Wizara ya Nishati na Taasisi zake katika kufanikisha mdahalo wa Nishati safi ya Kupikia uliofanyika Agosti 11, 2026 Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar.
View
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba akipika kwa Nishati safi ya Kupikia (Kuni Poa) alipomtembelea Bi. Afua Juma maarufu kama Mama Manyema, kukambidhi mfumo wa Nishati safi ya kupikia katika eneo lake la kazi Mabibo Jijini Dar es Salaam.
View
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi kwenye zoezi la uwekaji jiwe la msingi wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mradi wa Ujenzi wa Njia Maalum ya Kusafirisha Umeme wa Msongo wa Kilovolti 33 kutoka Kituo cha Kubadilisha njia za umeme (Switching station) cha Masasi hadi Wilaya ya Newala, Mkoa wa Mtwara.
View
The Crude Oil will be exported via a 2 km long jetty where Tankers can safely be moored and access with sufficient water depth.
View
Kituo cha kuchajisha vyombo vya moto vya umeme kilichopo Jamatini, jijini Dodoma chenye uwezo wa Kilowati 22 na kina uwezo wa kuchajisha vyombo vitatu vya moto kwa wakati mmoja.
View
Mradi wa umeme jua wa Kishapu mkoani Shinyanga utakaozalisha megawati 150. Kwa sasa mradi umeanza kuzalisha megawati 50 ikiwa ni utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mradi.
View
Mradi wa kufua umeme kwa maji wa Julius Nyerere umejengwa katika maporomoko ya mto Rufiji umekamilika na una uwezo wa kuzalisha umeme Megawati 2,115.