11 EAST AFRICAN PETROLEUM CONFERENCE AND EXHIBITION 12
View
Kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Mpomvu mkoani Geita, chenye uwezo wa megawati 90.
Kituo kimeimarisha hali ya umeme katika Mikoa ya Geita, Kagera, Mwanza na Kigoma.
View
Minister for Energy Hon. Deogratius Ndejembi, receiving technical briefing from Tanzania Electricity Supplying Company Limited (TANESCO) Engineer during his inspection visit of Mahumbika Substation in Lindi Region, which has a capacity of 35MVA.
View
Deputy Minister for Energy Hon. Salome Makamba switching on electricity in Mdyandelema Hamlet, Uvinza District, Kigoma Region, during her visit to the 49.5 MW Malagarasi Hydropower project. Mdyandelema is among the 18 hamlets electrified through the project.
View
Mahumbika power substation in Lindi region with 35MVA capacity
View
Waziri wa Nishati Mhe, Deogratius Ndejembi akiwa katika picha ya pamoja wakati akizindua mradi wa uchimbaji wa visima vitatu ambapo viwili ni kwa ajili ya kuongeza uzalishaji wa gesi asilia katika Kitalu cha Mnazi Bay na kimoja kwa ajili ya utafutaji huku utekelezaji umefikia asilimia 58 tarehe 27 Februari 2026 mkoani Mtwara
View
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amezindua mradi wa kusambaza mifumo ya umeme jua visiwani unaolenga kuweka mifumo 20,000 ya umeme jua katika visiwa 120 kwa gharama ya Shilingi Bilioni 8 ambapo Rais, Dkt.Samia Suluhu Hassan ameweka ruzuku hadi ya asilimia 75 katika gharama za uunganishaji umeme.
View
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameshiriki Mdahalo wa Ngazi ya Juu wa Mawaziri ulioandaliwa na Shirika la Kimataifa la Nishati (IEA) jijini Paris, ambapo ameeleza kuhusu mafanikio yanayoendelea kupatikana Tanzania katika nishati safi ya kupikia.
View
Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba (Mb.), akipika kwa nishati
safi ya kupikia mara baada ya kuzindua mradi huo katika Shule ya
Sekondari ya Wasichana Kondoa Mkoani Dodoma leo tarehe 17.02.2026.
View
Mradi wa umeme jua wa Kishapu mkoani Shinyanga utakaozalisha megawati 150. Kwa sasa mradi umeanza kuzalisha megawati 50 ikiwa ni utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mradi.
View
Mradi wa kufua umeme kwa maji wa Julius Nyerere umejengwa katika maporomoko ya mto Rufiji umekamilika na una uwezo wa kuzalisha umeme Megawati 2,115.
View
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius John Ndejembi (Mb), akila kiapo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika hafla wa uapisho wa mawaziri iliyofanyika Ikulu Chamwino, Dodoma
View
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome W. Makamba (Mb), akila kiapo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika hafla ya uapisho wa mawaziri iliyofanyika Ikulu Chamwino, Dodoma.