11 EAST AFRICAN PETROLEUM CONFERENCE AND EXHIBITION 9
View
Taswira ya juu ya mradi wa umemejua unaotekelezwa wilayani kishapu mkoani Shinyanga unahusisha ujenzi wa paneli elfu 82 zenye uwezo wa Wati 605 kila moja. Mradi huu utakua na manufaa makubwa kutokana na umuhimu wake kwenye utunzaji wa mazingira unaoepuka uzalishaji wa hewa ya ukaa na umeajiri Watanzania wengi kwa kipindi chote cha utekelezaji wake. Mpaka sasa mradi umefikia zaidi ya asilimia 89
View
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amezindua mradi wa usambazaji wa umeme katika vitongoji vya Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro,15 Disemba, 2025.
View
Waziri wa Nishati Deogratius Ndejembi azindua Mita janja katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali, wadau wa sekta ya nishati na watendaji wa TANESCO, Disemba 05, 2025.
View
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome Makamba ametembelea na kukagua mradi wa kuzalisha umeme kwa njia ya maji la Bwala la Mtera liliopo mpakani kati ya Iringa na Dodoma, Novemba 26, 2025.
View
Mhe. Ndejembi akiwa ziarani katika Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) iliyolenga kujionea namna mradi huo unavyozalisha umeme na kujihakikishia kuwa uzalishaji unaendelea kwa ufanisi kama ilivyopangwa,Novemba 26, 2025
View
Mradi wa kufua umeme kwa maji wa Julius Nyerere umejengwa katika maporomoko ya mto Rufiji umekamilika na una uwezo wa kuzalisha umeme Megawati 2,115.
View
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius John Ndejembi (Mb), akila kiapo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika hafla wa uapisho wa mawaziri iliyofanyika Ikulu Chamwino, Dodoma
View
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome W. Makamba (Mb), akila kiapo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika hafla ya uapisho wa mawaziri iliyofanyika Ikulu Chamwino, Dodoma.
View
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mha. Felchesmi Mramba akizindua kituo cha Gesi Asilia iliyoshindiliwa (CNG) cha kampuni ya Puma Energy kilichopo Bagamoyo road Septemba 24, 2025 jijini Dar es Salaam.