11 EAST AFRICAN PETROLEUM CONFERENCE AND EXHIBITION 10
View
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome Makamba (Katikati) akishuhudia utiaji Saini utekelezaji mradi wa kusafirisha umeme wa msongo wa 220kV kutoka Mpomvu hadi mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) pamoja na ujenzi wa Kituo cha Kupokea na Kupoza Umeme cha 220Kv chenye transfoma uwezo wa MVA 90, kati ya TANESCO na Mkandarasi.
View
Viongozi mbalimbali wameungana na Rais Samia katika uzinduzi huo, akiwemo Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi,Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba; Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, Mhe. Moustafa Madbouly; Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi; pamoja na viongozi wengine.
View
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) chenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,115, Agosti 22, 2026, katika eneo la mradi lililopo Rufiji, mkoani Pwani
View
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiwa na viongozi wengine, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP), chenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,115 katika eneo la Rufiji, mkoani Pwani, Agosti 22, 2026.
View
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akivuta kifaa maalum pamoja na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, Dkt. Mostafa Kamal Madbouly, kuashiria uzinduzi wa mitambo tisa ya kuzalisha umeme yenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,115 ndani ya jengo la mitambo (Power House) katika Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP), Rufiji, mkoani Pwani, tarehe 22 Agosti, 2026.
View
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome Makamba akipokea tuzo kutoka kwa Rais, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kutambua mchango wa Wizara ya Nishati na Taasisi zake katika kufanikisha mdahalo wa Nishati safi ya Kupikia uliofanyika Agosti 11, 2026 Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar.
View
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba akipika kwa Nishati safi ya Kupikia (Kuni Poa) alipomtembelea Bi. Afua Juma maarufu kama Mama Manyema, kukambidhi mfumo wa Nishati safi ya kupikia katika eneo lake la kazi Mabibo Jijini Dar es Salaam.
View
The Crude Oil will be exported via a 2 km long jetty where Tankers can safely be moored and access with sufficient water depth.
View
Mradi wa umeme jua wa Kishapu mkoani Shinyanga utakaozalisha megawati 150. Kwa sasa mradi umeanza kuzalisha megawati 50 ikiwa ni utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mradi.
View
Mradi wa kufua umeme kwa maji wa Julius Nyerere umejengwa katika maporomoko ya mto Rufiji umekamilika na una uwezo wa kuzalisha umeme Megawati 2,115.