Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Wakuu wa Nchi mbalimbali barani Afrika na Viongozi wengine wakishiriki Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchemsi Mramba akizungumza katika mkutano wa Kimataifa wa Nishati unaowakutanisha Viongozi mbalimbali wa Afrika, Mashirika ya Kimataifa; Viongozi wa Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Afrika na taasisi ya Rockefeller (M300) inayofanyika leo Januari 27, 2025 jijini Dar es salaam.
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akifungua mkutano wa Kimataifa wa Nishati unaowakutanisha Viongozi mbalimbali wa Afrika, Mashirika ya Kimataifa; Viongozi wa Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Afrika na taasisi ya Rockefeller (M300) inayofanyika jijini Dar es salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Mhandisi Felchesmi Mramba ( kwanza-kushoto) akizungumza wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na kampuni ya kuzalisha umeme ya Songas katika ukumbi wa Mikutano wa Wizara uliopo Kikuyu jijini Dodoma
11 EAST AFRICAN PETROLEUM CONFERENCE AND EXHIBITION (EAPCE'25)