UTIAJI SAINI KUPELEKA UMEME MIGODINI
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome Makamba (Katikati) akishuhudia utiaji Saini utekelezaji mradi wa kusafirisha umeme wa msongo wa 220kV kutoka Mpomvu hadi mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) pamoja na ujenzi wa Kituo cha Kupokea na Kupoza Umeme cha 220Kv chenye transfoma uwezo wa MVA 90, kati ya TANESCO na Mkandarasi.