PIKA KWA NISHATI SAFI
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba akipika kwa Nishati safi ya Kupikia (Kuni Poa) alipomtembelea Bi. Afua Juma maarufu kama Mama Manyema, kukambidhi mfumo wa Nishati safi ya kupikia katika eneo lake la kazi Mabibo Jijini Dar es Salaam.