UZINDUZI KITUO CHA KUCHAJISHA VYOMBO VYA MOTO KWA UMEME DODOMA
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi (kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule (kushoto) wakifungua kitambaa wakati wa uzinduzi wa kituo cha kwanza cha kuchajisha vyombo vya moto vya umeme (EV- Charging Station), Jamatini jijini Dodoma.