Watumishi wa Wizara ya Nishati wameungana na Wafanyakazi wengine Duniani kuadhimisha siku ya Wafanyakazi duniani ambayo kitaifa imefanyika Mkoani Njombe. Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.