EACOP IMEFIKIA ASILIMIA 86 YA UTEKELEZAJI
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi akiwa katika picha ya pamoja na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Tanga ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mkuu wa Mkoa Mhe. Balozi. Dkt. Batilda Burian mara baada ya kutembelea mradi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) ambalo utekelezaji wake umefikia asilimia 86.