UWEKAJI JIWE LA MSINGI BENACO - KYAKA
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi katika matukio mbalimbali kwenye hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme msongo wa kilovoti 220 kutoka Benaco hadi Kyaka na ujenzi wa kituo cha kupoza umeme cha Benaco Wilaya ya Ngara mkoani Kagera.