Waziri wa Nishati Mhe, Deogratius Ndejembi akiwa katika picha ya pamoja wakati akizindua mradi wa uchimbaji wa visima vitatu ambapo viwili ni kwa ajili ya kuongeza uzalishaji wa gesi asilia katika Kitalu cha Mnazi Bay na kimoja kwa ajili ya utafutaji huku utekelezaji umefikia asilimia 58 tarehe 27 Februari 2026 mkoani Mtwara