Mhe. Deogratius Ndejembi (Kulia) Waziri wa Nishati Tanzania akiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Dkt. Kgosientsho Ramokgopa Waziri wa Umeme na Nishati Afrika Kusini mara baada ya kushiriki Mkutano wa tano (5) wa Mawaziri wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika wanashughulikia Nishati na Uchukuzi uliofanyika Jijini Johannesburg, Afrika Kusini, ambapo walikubaliana kuimarisha ushirikiano katika Sekta ya Nishati kati ya Nchi hizo mbili.