Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania

Ministry of Energy

Events

29th

Dec 2022
Events
RAIS SAMIA AFUNGA NJIA YA KUCHEPUSHA MAJI NA KUANZA UJAZAJI WA MAJI BWAWA LA JNHPPALIYOSEMA RAIS WA...
Read More

25th

May 2021
Events
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania mhe. Samia Hassan Suluhu amesema kuwa ujenzi wa bomba la maf...
Read More
Announcements
​10TH EAST AFRICAN PETROLEUM CONFERENCE AND EXHIBITION 2023
24th Oct 2022
10TH EAST AFRICAN PETROLEUM CONFERENCE AND EXHIBITION 20239th - 11th May, 2023TH...
Read More
TANGAZO LA MNADA WA HADHARA
10th Nov 2021
Wizara ya Nishati inapenda kuwaalika wananchi wote kwenye mnada wa hadhara wa vi...
Read More
MHE. JANUARY MAKAMBA, WAZIRI WA NISHATI

Kwa mujibu wa mkataba wa mradi wa umeme wa Julius Nyerere, pale fedha zinapochelewa kulipwa kwa kila hatua huwa kuna adhabu, hatujawahi kuchelewa hata mara moja kufanya malipo ya mradi huu na hadi leo hii hatudaiwi fedha yoyote. 22/12/2022

WAZIRI WA NISHATI, MHE. JANUARY MAKAMBA

"Tunamshukuru Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwani bila ruzuku ya shilingi Bilioni 100 anayoitoa kila mwezi bei ya Mafuta ingekuwa imeongezeka sh.500 kwa kila lita ya Dizeli na sh.200 kwa kila lita ya Petroli.”

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba

Tanzania ina jumla ya maeneo 52 yanayoweza kutoa nishati ya Jotoardhi ambayo tayari yameshatambuliwa.

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe.Stephen Byabato

Moja ya makubaliano tuliyofikia katika kikao cha Mawaziri wa Sekta ya Miundombinu na Nishati wa nchi za Afrika ni kuongeza kasi ya kujenga Miundombinu ya Gesi katika nchi za Afrika ikiwemo Tanzania ili tunufaike na masuala ya Nishati mbadala

Waziri wa Nishati, Mhe.January Makamba

“Shilingi Milioni 500 zimetengwa ili kufanya kampeni kubwa ya kuhamasisha matumizi ya nishati bora ya kupikia pamoja na tafiti za kubaini nishati, mfumo sahihi na vivutio vya kusambaza nishati hiyo kwa maeneo ya vijijini”

Waziri wa Nishati, Mhe.January Makamba

"Usambazaji umeme vijijini umeongezwa kwa kilomita mbili kwa kila kijiji tofauti na wigo wa zamani wa kilomita moja, ili kuwezesha wananchi wengi kupata umeme"