UZINDUZI SHULE YA SEKONDARI BUNGE WASICHANA
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome Makamba amezindua mradi wa Nishati Safi ya Kupikia katika Shule ya Sekondari Bunge Wasichana iliyopo jijini Dodoma leo tarehe 04.02.2026. Mradi huu umetekelezwa chini ya Wizara ya Nishati na umegharimu takribani shilingi Milioni 30.