TANZANIA NA RWANDA ZASAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi (Kushoto) na Waziri wa Miundombinu wa Rwanda Mhe. Dkt. Jimmy Gasore (Kulia) wakisaini makubaliano ya ushirikiano kwenye Sekta ya Nishati kati ya Nchi hizo mbili, katika ukumbi wa Mikutano wa Kigali (KCC) uliopo Kigali, Rwanda.