KUANZA KWA MRADI WA UMEME WA JUA WA MEGAWATI 100 KISHAPU
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius J. Ndejembi (Mb.), (katikati) akishuhudia utiaji saini wa mkataba wa utekelezaji wa awamu ya pili ya Mradi wa Umeme wa Jua wa Kishapu wenye uwezo wa kuzalisha Megawati 100, utakaotekelezwa katika eneo la Ngunga, Wilaya ya Kishapu, Mkoa wa Shinyanga.