Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania

Ministry of Energy

News

Nov 06, 2024
SERIKALI IMETEKELEZA MIRADI MINGI SEKTA YA AFYA-DKT. BITEKO
Azindua Jengo la Kisasa la Upasuaji Sengerema DDH na Mradi wa Umeme wa JuaAhimiza wananchi kutunza miundombinu ya hospitaliAtaja mageuzi makubwa yaliy...
Oct 29, 2024
DKT.BITEKO ATAKA UMOJA, USHIRIKIANO NA UBUNIFU TAASISI ZA NISHATI
Asema Rais Samia anataka Ubunifu ili kusogeza huduma bora kwa wananchiAsisitiza utendaji kazi umuangalie Mtanzania wa kawaida anayeitegemea Serikali k...
Oct 29, 2024
KONGAMANO LA JOTOARDHI AFRIKA KULETA UWEKEZAJI NA UBUNIFU MPYA TANZANIA-KADUARA
Waziri wa Maji, Nishati na Madini wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Shaibu Kaduara amesema Kongamano la Kimataifa la Jotoardhi Afrika (ARGeo-C10...
Oct 29, 2024
DKT.MPANGO ATAKA AFRIKA KUUNGANISHA NGUVU UENDELEZAJI WA JOTOARDHI
Aeleza umuhimu wa Sekta Binafsi kuhusishwa uendelezaji Jotoardhi Akaribisha uwekezaji katika vyanzo vya Jotoardhi Tanzania Kapinga amshukuru Dkt.Sam...
Oct 29, 2024
TUNAIMARISHA MAZINGIRA YA UWEKEZAJI NA MIUNDOMBINU YA NISHATI ILI KUFIKISHA HUDUMA KWA WOTE- DKT.MAT...
Asisitiza nia ya Serikali ni kutoa huduma stahiki bila kuangalia umbali au kipatoApongeza kampuni ya Puma Energy Tanzania kushirikiana na Serikali uha...
Oct 25, 2024
SERIKALI ITAENDELEA KUSHIRIKISHA WAWEKEZAJI UENDELEZAJI NISHATI JADIDIFU- DKT.MATARAGIO
Asema maeneo yenye vyanzo vya Nishati Jadidifu yameshatambuliwaMikoa 16 yatajwa kuwa na rasilimali ya Jotoardhi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishat...
Oct 24, 2024
KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA UTENDAJI KAZI WIZARA YA NISHATI
Yakoshwa na ETDCO kuongeza ufanisi wa kaziKapinga asema Serikali itaendelea kuboresha upatikanaji wa Nishati safi ya Kupikia Kamati ya Kudumu ya Bung...
Oct 22, 2024
TANZANIA NA SINGAPORE KUIMARISHA UHUSIANO WAKE
Tanzania na Singapore Kuongeza Kiwango cha Ufanyaji BiasharaNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa uhusiano wa Tan...
Oct 22, 2024
Dkt. Biteko afanya mazungumzo na Mwakilishi wa Heshima wa Tanzania
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko Oktoba 21, 2024 akiwa nchini Singapore amekutana na kufanya mazungunzo na Mwakilishi wa...
Oct 22, 2024
Kongamano la Kimataifa la Jotoardhi laanza kwa mafanikio Dar es Salaam
Lahusisha nchi 21 na Washiriki 800Kuangazia Sera, fursa za masoko na uwekezaji Kamishna Luoga asema lengo ni kuendeleza nishati ya Jotoardhi nchini...
Oct 21, 2024
DKT. BITEKO AKARIBISHA WAWEKEZAJI SEKTA YA NISHATI
Ataja Mikakati ya Serikali Kuimarisha Sekta ya NishatiAeleza Namna Tanzania Inavyojiandaa Kuuza Umeme nchi Jirani na Uwepo wa Soko la UhakikaAsema Ush...
Oct 17, 2024
WATU MILIONI 300 AFRIKA KUTUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA IFIKAPO 2030- DKT. BITEKO
Benki ya Dunia na AfDB zaunga mkono Ajenda ya Nishati Safi ya KupikiaMkutano wa Marais Afrika kufanyika Tanzania; Ajenda ya Nishati Safi kupewa kipaum...
Oct 17, 2024
SERIKALI YAWEKA MKAZO KUKUZA TASNIA YA UFUGAJI WA KUKU
Vijana Wahimizwa Kujiajiri Kupitia Ufugaji KukuDkt. Biteko Atoa Maagizo kwa Wizara ya Mifugo Kukuza Tasnia ya ufugaji wa KukuWatanzania Wahimizwa Kufu...
Oct 16, 2024
SERIKALI IMEENDELEA KUJALI WALIMU KWA VITENDO
Waziri Mkuu Majaliwa Asisitiza Maboresho KitaalumaDkt. Biteko Awashukuru Walimu kwa Mchango WaoDkt. Biteko Aahidi Kuendelea Kushirikiana na Walimu Nch...
Oct 16, 2024
DKT. BITEKO AONGOZA WANANCHI BUKOMBE KUJIANDIKISHA DAFTARI LA MPIGA KURA
Awahimiza Kujitokeza kwa Wingi KujiandikishaAwataka Kutumia Haki ya Kikatiba kuchagua Viongozi WaoNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Do...
Oct 16, 2024
BUKOMBE WAUNGA MKONO JITIHADA ZA RAIS SAMIA, WAKABIDHIWA MITUNGI YA GESI
Mitungi ya Gesi 1500 Yatolewa BureDC Bukombe Ahimiza Wananchi Kutumia Nishati Safi ya Kupikia na Kutunza MazingiraMkuu wa Wilaya ya Bukombe, Mhe. Pask...
Oct 10, 2024
RAIS SAMIA APONGEZWA MAGEUZI MAKUBWA SEKTA YA AFYA
Serikali Yawapongeza Wanaradiografia kwa Mchango wao kwa JamiiUwekezaji katika Sekta ya Afya Waokoa FedhaTanzania Nchi ya Nne Afrika kuwa na PET SCAN...
Oct 09, 2024
KONGAMANO LA WIKI YA MAFUTA AFRIKA LAFUNGULIWA NCHINI AFRIKA KUSINI
Masuala ya Gesi Asilia, Mafuta na Nishati Mbadala kujadiliwaKapinga aongoza ujumbe wa TanzaniaNaibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga ameshiriki u...
Oct 08, 2024
TANZANIA INA MKAKATI MADHUBUTI UTAKAOFANIKISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA - BALOZI CHANA
Atoa wito kwa Watanzania kuyaishi maono ya Rais SamiaWaziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana amesema Serikali imeandaa mkakati madhubut...
Oct 07, 2024
DKT. BITEKO AWAASA WANAJAMII KUTENDA MEMA, KUACHA ALAMA
Ashiriki Kumbukizi ya Askofu wa Kwanza AICTAsema Vikwazo Visiwavunje Moyo Viongoziwa DiniUandikishaji Daftari la Wapigakura Mwanza Oktoba 11 hadi 20 M...