Feb 04, 2025
BAADA YA KUMALIZA KAZI YA KUPELEKA UMEME VIJIJINI SASA KASI INAHAMIA VITONGOJINI - MHE. KAPINGA
Asema upelekaji umeme vitongojini umefikia asilimia 52.3Asisitiza umeme kufika maeneo ya uchimbaji madiniNaibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga a...
Feb 04, 2025
AZMA YA SERIKALI NI KUHAKIKISHA WANANCHI WANAPATA UMEME WA UHAKIKA WAKATI WOTE- MHE. KAPINGA
Serikali yafuatilia kwa karibu upatikanaji umeme LushotoVijiji vyote Nkasi vyafikiwa na huduma ya umemeNaibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga ame...
Feb 04, 2025
DKT.KAZUNGU AKAGUA VITUO VYA UMEME HALE, PANGANI NA NYUMBA YA MUNGU
Lengo ni kuhakikisha vinafanya kazi kwa ufanisiAtaka ukarabati wa mitambo Hale kumalizika kwa wakatiNaibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. Khati...
Feb 04, 2025
DKT. KAZUNGU AKAGUA VITUO VYA UMEME NJIRO NA LEMUGURU- ARUSHA
Aipongeza TANESCO kwa kazi nzuriAsema kituo cha Lemuguru kitakuza biashara ya umeme na nchi jiraniNaibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. Khatibu...
Jan 27, 2025
DKT. BITEKO AFUNGUA MKUTANO WA NISHATI WA VIONGOZI - AFRIKA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amefungua mkutano wa Kimataifa wa Nishati unaowakutanisha Viongozi mbalimbali wa Afrika,...
Jan 21, 2025
SERIKALI KUIMARISHA MAZINGIRA WEZESHI YA UPATIKANAJI WA MAFUTA NCHINI - KAPINGA
TBS kujenga Maabara ya kupimaubora wa mafuta katika bandari ya TangaSerikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeahidi kuendel...
Jan 17, 2025
UWEZO WA MITAMBO YA KUFUA UMEME WAFIKIA MEGAWATI 3,091.71- MHE.KAPINGA
Wateja wapya 109,918 waunganishiwa na huduma ya umeme nchiniKamati ya Bunge yaipongeza TANESCO kwa kuimarisha Miundombinu ya umemeSerikali kupitia Shi...
Jan 16, 2025
WIZARA YA NISHATI YAWASILISHA UTEKELEZAJI WA BAJETI 2024/2025 KATIKA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NI...
Maeneo ya kipaumbele yaliyotekelezwa kwa mwaka 2024/2025 yaelezwaNi pamoja na hali ya uzalishaji na upatikanaji wa Nishati ya Umeme nchiniNaibu Waziri...
Jan 15, 2025
WIZARA YA NISHATI YAWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MAAZIMIO YA BUNGE
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga (Mb) ameiongoza Menejimenti ya Wizara ya Nishati kuwasilisha taarifa ya Wizara hiyo mbele ya Kamati ya Ku...
Jan 13, 2025
TANZANIA IPO TAYARI KUPOKEA WAKUU WA NCHI AFRIKA KATIKA MKUTANO WA NISHATI WA MISSION 300 -DKT.KAZU...
Aliambia Jukwaa la IRENA UAE kuwa Tanzania imejipanga vema kwa ujio huoAsema Tanzania imerekebisha sheria ya uwekezaji kuruhusu sekta binafsi kutekele...
Jan 13, 2025
TUMEFIKIA MAKUNDI MENGI KAMPENI YA NISHATI SAFI- GAMBO
Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo, ameweka wazi mikakati yake ya kushirikisha makundi mbalimbali katika kampeni ya matumizi ya nishati safi ya kupi...
Jan 13, 2025
DIPLOMASIA YA RAIS SAMIA INAWALETA WAKUU WA NCHI AFRIKA KUSHIRIKI MKUTANO WA M300 -DKT. BITEKO
Asema mafanikio ya Sekta ya Nishati nayo yameibeba Tanzania Mkutano wa M300Vijiji vyote Tanzania vyafikishiwa umemeAtaja faida za Mkutano wa M300 nchi...
Jan 10, 2025
DKT. BITEKO AAGIZA KITUO CHA HUDUMA KWA WATEJA TANESCO KUSUKWA UPYA
Akerwa na kusuasua kwa utendaji wa Kituo hichoAwataka watendaji kuondokana na kufanya kazi kwa mazoeaAhoji sababu za kutelekezwa kwa maelekezo yake ya...
Jan 10, 2025
WIZARA YA NISHATI YAPOKEA MAGARI KUTOKA MRADI WA UMEME WA NYAKANAZI
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Wizara ya Nishati, Bi Ziana Mlawa ameongoza Watendaji mbalimbalikupokea magari sita kutoka Mradi wa Usafirish...
Jan 07, 2025
DKT. BITEKO AKAGUA UJENZI WA OFISI YA WAZIRI MKUU NA JENGO LA OFISI YA NISHATI MJI WA SERIKALI-MTUMB...
Aagiza ujenzi ukamilishwe harakaMajengo yakamilika kwa asilimia 88Wakandarasi waomba nyongezasiku 90Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt....
Dec 31, 2024
DKT. KAZUNGU AKAGUA MAENDELEO YA MRADI WA UMEME WA JNHPP
Asema ni chanzo kikubwa cha ukuaji wa uchumi nchiniApongeza kazi kubwa iliyofanyika katika mradi huoMradi wafikia asilimia Naibu Katibu Mkuu wa Wizara...
Dec 31, 2024
DKT. KAZUNGU AKAGUA MRADI WA NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME KUTOKA JNHPP HADI CHALINZE
Apongeza kazi kubwa iliyofanyika katika kuboresha hali ya upatikanaji wa umeme nchini.Mradi wafikia asilimia 97.38Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nisha...
Dec 31, 2024
KAPINGA ATUMIA KONGAMANO LA BIASHARA NA UWEKEZAJI SAUDI ARABIA KUNADI FURSA ZA UWEKEZAJI NCHINI
Zaidi ya Wafanyabiasha na Wawekezaji 250 wakutanaJNHPP yatajwa kuongeza uhakika wa uwepo wa umemeNaibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga amesema K...
Dec 24, 2024
BENKI YA DUNIA, SADC ZAMPONGEZA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO
Dkt. Biteko asema nia njema ya Rais Samia iungwe mkono kuleta maendeleo kwa WatanzaniaAmpongeza Mbunge Kiswaga kwa Utekelezaji wa Ilani ya UchaguziNai...
Dec 23, 2024
DKT. BITEKO ASEMA KAGERA BADO INA FURSA YA KUONGEZA UZALISHAJI WA KAHAWA
Dkt. Samia aweka historia kupandisha bei kahawa kutoka 1200 hadi 6,000 kwa kiloDkt. Biteko ampongeza Rais Samia kwa jitihada zake za kutatua changamot...