Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania

Ministry of Energy

News

Oct 26, 2022
​BYABATO AWATAKA WANANCHI MBARALI KUTOINGIZA MIFUGO KWENYE VYANZO VYA MAJI
BYABATO AWATAKA WANANCHI MBARALI KUTOINGIZA MIFUGO KWENYE VYANZO VYA MAJINaibu waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato amewataka wananchi wa Kata ya...
Oct 20, 2022
​RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AWASHA UMEME WA GRIDI KASULU, KIGOMA
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AWASHA UMEME WA GRIDI KASULU, KIGOMARais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu tarehe 17 Oktoba, 2022 kwa mara...
Oct 17, 2022
Mjadala Mkubwa wa Kitaifa kuhusu nishati safi ya kupikia; JISAJILI SASA
Wizara ya Nishati imeandaa Mjadala Mkubwa wa Kitaifa kuhusu nishati safi ya kupikia utakaozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. S...
Oct 17, 2022
Mjadala wa Kitaifa wa Nishati Safi ya Kupikia.. JISAJILI SASA
Wizara ya Nishati imeandaa Mjadala Mkubwa wa Kitaifa kuhusu nishati safi ya kupikia utakaozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. S...
Oct 17, 2022
​MANYANYA: TUMERIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MRADI WA JNHPP.
MANYANYA: TUMERIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MRADI WA JNHPP. Kamati ya kudumu ya Nishati na Madini imeridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa mradi Mkubwa w...
Oct 17, 2022
​​VIJIJI 353 VINA UMEME GEITA
VIJIJI 353 VINA UMEME GEITASerikali imeahidi kuendelea kuimarisha huduma za upatikanaji wa umeme Vijijini ili kuwawezesha Wananchi waishio katika maen...
Oct 17, 2022
​Kamati ya Kudumu Bunge ya Nishati na Madini yakagua eneo la mradi wa LNG
Kamati ya Kudumu Bunge ya Nishati na Madini yakagua eneo la mradi wa LNGWajumbewa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini wamekagua eneo la Lik...
Oct 17, 2022
​Kamati ya Bunge yapongeza wazawa kuendesha mitambo ya gesi nchini
Kamati ya Bunge yapongeza wazawa kuendesha mitambo ya gesi nchiniKamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeipongeza Serikali kupitia Shirika l...
Oct 17, 2022
​KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAPONGEZAWAKALA WA UAGIZAJI MAFUTA KWA PAMOJA KWA KAZI NZURI
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAPONGEZAWAKALA WA UAGIZAJI MAFUTA KWA PAMOJA KWA KAZI NZURIKamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, leo tarehe 11 Octoba, 2022,...
Oct 17, 2022
Mjadala Mkubwa wa Kitaifa kuhusu nishati safi ya kupikia. JISAJILI SASA
Wizara ya Nishati imeandaa Mjadala Mkubwa wa Kitaifa kuhusu nishati safi ya kupikia utakaozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. S...
Oct 07, 2022
​WAKILI BYABATO ASHIRIKI WIKI YA MAFUTA AFRIKA NA KONGAMANO LA NISHATI RAFIKI NCHINI AFRIKA YA KUSIN...
WAKILI BYABATO ASHIRIKI WIKI YA MAFUTA AFRIKA NA KONGAMANO LA NISHATI RAFIKI NCHINI AFRIKA YA KUSINI*Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato a...
Oct 03, 2022
​BYABATO AHUDHURIA MKUTANO WA NGAZI YA JUU WA JOTOARDHI NCHINI EL SALVADOR
BYABATO AHUDHURIA MKUTANO WA NGAZI YA JUU WA JOTOARDHI NCHINI EL SALVADOR*Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato amedhuria Mkutano wa Pili wa...
Sep 30, 2022
​Waziri Makamba ashiriki warsha ya mradi wa kuchakata na kusindika gesi asilia nchini Norway
Waziri Makamba ashiriki warsha ya mradi wa kuchakata na kusindika gesi asilia nchini NorwayWaziri wa Nishati, Mhe. January Makamba, pamoja na Balozi w...
Sep 28, 2022
​Serikali inaendelea na ujenzi wa Bomba la Mafuta-Majaliwa
Serikali inaendelea na ujenzi wa Bomba la Mafuta-MajaliwaWaziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiw...
Sep 27, 2022
SERIKALI YAAHIDI KUJENGA VITUO 15 VYA KUPOZA UMEME.
SERIKALI YAAHIDI KUJENGA VITUO 15 VYA KUPOZA UMEME.Na Godfrey Mwemezi, Dodoma.Serikali inaendelea na mchakato wa kujenga vituo vya kupoza umeme katika...
Sep 26, 2022
​MITAA ISIYO NA UMEME HANDENI KUPATA HUDUMA HIYO IFIKAPO DESEMBA 2022
MITAA ISIYO NA UMEME HANDENI KUPATA HUDUMA HIYO IFIKAPO DESEMBA 2022Imeelezwa kuwa, Mitaa 28 ambayo bado haina umeme katika Jimbo la Handeni mjini ipo...
Sep 26, 2022
​SERIKALI YAAHIDI KUANZA MRADI WA KUZALISHA UMEME WA RUMAKALI.
SERIKALI YAAHIDI KUANZA MRADI WA KUZALISHA UMEME WA RUMAKALI.Na Timotheo Mathayo, Dodoma.Serikali imeahidi kuanza ujenzi wa mradi wa kuzalisha umeme w...
Sep 23, 2022
GOVERNMENT STATEMENT AGAINST EUROPEAN UNION PARLIAMENT RESOLUTION ON EACOP PROJECT.
...
Sep 15, 2022
​WAZIRI MAKAMBA AZINDUA KIWANDA CHA TRANSFOMA
WAZIRI MAKAMBA AZINDUA KIWANDA CHA TRANSFOMAWaziri wa Nishati, January Makamba, Septemba 12, 2022 amezindua kiwanda cha kuzalisha transfoma ikiwa ni a...
Sep 15, 2022
​Serikali kujenga Vituo vya Kupoza Umeme Katika Wilaya Zenye Uhitaji
Serikali kujenga Vituo vya Kupoza Umeme Katika Wilaya Zenye UhitajiSerikali imeendelea na mkakati wa kutekeleza Miradi ya kuimarisha huduma za upatika...