MHE. SALOME ASHIRIKI MKUTANO WA 21 WA MAWAZIRI WA NISHATI AFRIKA MASHARIKI.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, ameiwakilisha Tanzania katika Mkutano wa 21 wa Baraza la Mawaziri wa Nishati wa Ukanda wa Mashariki mwa Afrika, uliofanyika Aprili 29, 2026 jijini Cairo, Misri, ukiwa na lengo la kuimarisha ushirikiano wa...
SERIKALI YAIMARISHA HATUA ZA KUDHIBITI BEI ZA MAFUTA.
Serikali imeendelea kuchukua hatua madhubuti za kudhibiti mwenendo wa bei za mafuta nchini, ikiwa ni jitihada za kulinda uchumi wa wananchi na kuhakikisha upatikanaji wa mafuta unaendelea kuwa wa uhakika.Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ni...
MHE. SALOME ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MISRI.
Naibu Waziri wa Nishati,Mhe. Salome Makamba ametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Misri, ambapo alipokelewa na Balozi wa Tanzania nchini humo, Mej. Gen. Richard Makanzo.Katika mazungumzo yao, Balozi Makanzo alieleza majukumu mbalimbali yanayotekelez...
WAZIRI NDEJEMBI AKUTANA NA VIONGOZI WA KAMPUNI ZA SHELL NA EQUINOR KUHARAKISHA MRADI WA GESI KUSINI.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Shell Exploration and Production Tanzania Ltd pamoja na Equinor Tanzania kujadili utekelezaji na uendelezaji wa Mradi wa Kuchakata Gesi Asilia kuwa Kimiminika...
TANZANIA YAJINADI KIMATAIFA KATIKA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Tanzania imeendelea kujinadi Kimataifa kwa kuwasilisha mafanikio yake katika Matumizi ya Nishati safi ya kupikia, ambapo hadi kufikia mwaka 2025, asilimia 28.6 ya Wananchi wana nishati safi ya kupikia, hatua inayoonesha ongezeko kubwa la matumizi hay...
TANZANIA NA CANADA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA NISHATI.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Canada nchini, Emily Burns kwa lengo la kuimarisha na kuendeleza ushirikiano kati ya Tanzania na Canada katika sekta ya nishati.Mazungumzo hayo yamefanyika leo,...
KAMPENI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAZIDI KUSAMBAA MAENEO MBALIMBALI JIJINI DODOMA.
Wafanyabiashara wa soko la Mavunde Chang’ombe, Jijini Dodoma, wamepatiwa elimu kuhusu matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia ikiwa ni sehemu ya mwendelezo wa kampeni inayoendelea kutekelezwa katika maeneo mbalimbali ya Jiji hilo.Kampeni hiyo imelenga ku...
KAMISHNA LUOGA AONGOZA WATAALAMU KUTOKA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA AU KUHUSU NISHATI NA UCHUKUZI.
Wizara ya Nishati na Wizara ya Uchukuzi za Tanzania zimeshiriki katika Mkutano wa 5 wa mwaka wa Kamati Maalum ya Wataalamu ya Umoja wa Afrika kuhusu Uchukuzi na Nishati (Specialised Technical Committee (STC) on Transport and Energy), unaofanyika Jiji...
MHE. SALOME AUNGANA NA WATANZANIA CAIRO KUSHEREHEKEA MUUNGANO.
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome Makamba ameshiriki katika maadhimisho ya sherehe za Muungano zilizoandaliwa na Ubalozi wa Tanzania nchini Misri, Jijini Cairo April 26, 2026.Mhe. Salome amepata wasaa wa kukutana na viongozi mbalimbali ikiwa ni pam...
NCHIMBI: MALKIA WA NGUVU TUMIENI MAJUKWAA YENU KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewataka waandaaji wa tamasha la Malkia wa Nguvu kutumia majukwaa yao kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini ili kuwafikia wanawake wengi zaidi na...
NISHATI SAFI YAINGIA SOKONI: WAMACHINGA WAPEWA MAFUNZO MUHIMU.
Wafanyabiashara wadogo maarufu kama wamachinga wanaofanyia shughuli zao katika Soko la Machinga Complex jijini Dodoma wamepatiwa elimu ya matumizi sahihi ya Nishati Safi ya Kupikia, ikiwa ni hatua muhimu katika kuboresha afya zao na kulinda mazingira...
NDEJEMBI AONGOZA KIKAO CHA KUWEKA MIKAKATI YA UTEKELEZAJI WA BAJETI NA HOJA ZA WABUNGE.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, pamoja na Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba wamekutana na Viongozi wa Wizara pamoja na Taasisi zilizo chini ya Wizara kuweka mikakati mahsusi ya kuanza utekelezaji wa hoja na mapendekezo yaliyot...
NDEJEMBI: TUTATIMIZA MAONO YA RAIS SAMIA YA KUZALISHA MW 8,000.
Wizara ya Nishati imesisitiza kuwa ipo katika mkakati madhubuti wa kutimiza maono ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kufikisha uzalishaji wa umeme Megawati 8,000 ifikapo mwaka 2030.Kauli hiyo ilitolewa bungeni na Waziri wa Nishati,Mhe. Deogratius Ndejemb...
SERIKALI YAIMARISHA NISHATI SAFI NA UMEME VIJIJINI, WANANCHI WANUFAIKA ZAIDI.
Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amesema Serikali inaendelea kuimarisha matumizi ya nishati safi ya kupikia na upatikanaji wa umeme nchini, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Bajeti ya Wizara ya Nishati ya mwaka 2026/2027.Amesema hayo Aprili 2...
BUNGE LAPITISHA KWA KISHINDO BAJETI YA WIZARA YA NISHATI 2026/2027.
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha kwa kishindo shilingi trilioni 2.53 kwa ajili ya matumizi ya Wizara ya Nishati 2026/2027.Kati ya fedha hizo, Shilingi trilioni 2.46 sawa na asilimia 97.5 ya bajeti yote imeelekezwa kwenye miradi ya...
WIZARA YA NISHATI YAPONGEZWA KUONDOA UTEGEMEZI WA FEDHA ZA NJE KATIKA MIRADI.
Mbunge wa Jimbo la Itilima, Njalu Silanga (CCM) amepongeza hatua ya Wizara ya Nishati kupunguza utegemezi wa fedha kutoka nje katika utekelezaji wa miradi ya sekta ya nishati.Akichangia hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Nishatina...
AJIRA 1,439 MPYA SEKTA YA NISHATI, WATUMISHI 5,207 KUPATA MAFUNZO KUONGEZA UFANISI.
Ajira mpya 1,439 zinatarajiwa kutolewa katika sekta ya nishati huku watumishi 5,207 wakipatiwa mafunzo maalum ili kuongeza ufanisi wa utendaji kazi na utoaji huduma kwa wananchi.Hayo yameelezwa na Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi alipokuwa...
KAMATI YA NISHATI YARIDHISHWA NA BAJETI, YASISITIZA USIMAMIZI MADHUBUTI WA MIRADI.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Mhe. Subira Mgalu, amesema Kamati hiyo imeishauri Serikali kuongeza ufanisi, ubunifu na usimamizi madhubuti katika usimamizi wa miradi ya nishati, ukusanyaji wa mapato na utoaji wa huduma...
BAJETI YA WIZARA YA NISHATI 2026/2027 YAGUSA MAENDELEO KWA ASILIMIA 97.5.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi leo ameomba kuidhinishiwa na Bunge Sh. trilioni 2.53 kwa ajili ya matumizi ya Wizara ya Nishati na taasisi zake kwa mwaka wa fedha 2026/27, ambapo sh. trilioni 2.46 sawa na asilimia 97.5 ya bajeti yote imee...
MHE. SALOME AVUTIWA NA MATUMIZI YA NISHATI SAFI KATIKA MAONESHO YA WIKI YA NISHATI DODOMA.
Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba (Mb), leo Aprili 22, 2026 ametembelea mabanda ya maonesho ya Wiki ya Nishati yanayoendelea katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma, ambapo alijionea kwa karibu maendeleo ya teknolojia na ubunifu unaolenga kuimar...