NI MAONO YA DKT.SAMIA WANANCHI WOTE WAPATE UMEME
📌 Asema wakati Serikali ya Awamu ya Sita inaingia madarakani Vijiji 4000 havikuwa na umeme.📌 Aitaka TANESCO na REA kuendelea kutoa elimu ya kuunganisha umeme.📌 Nishati ya umeme yauongezea ufanisi Zahanati ya Mang'otoNaibu Waziri Nishati, Mhe. Judi...
BILIONI 60 KULIPA FIDIA WANANCHI WALIOPITIWA MRADI WA RUHUDJI NA RUMAKALl
*📌Serikali ya Awamu ya Sita yapongezwa kupelekea Umeme Maeneo Korofi mwambao wa ziwa Nyasa**📌Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini yaipongeza REA na TANESCO *📌Zaidi ya asilimia 98 ya Vijiji vyote Njombe vina umeme*Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nisha...
UMEME WA JOTOARDHI KUUNGANISHWA KWENYE GRIDI YA TAIFA IFIKAPO 2030 - MRAMBA
Mikoa 16 kunufaika na Nishati ya JotoardhiSEforALL yatakiwa kuwekeza katika utafiti na ubunifuTanzania imelenga kuunganisha nishati ya jotoardhi kwenye gridi ya taifa ifikapo mwaka 2030 ili kuwa na umeme wa uhakika unaotokana na nishati jadidifu kuel...
SEforALL KUIMARISHA USHIRIKIANO UPATIKANAJI NISHATI ENDELEVU
Dkt. Biteko asema Nishati Safi ya Kupikia ni ajenda endelevuRais wa Sierra Leone asema ukombozi wa maeneo ya vijijini ni muhimu kufikia maendeleoWaziri Mkuu wa Barbados apendekeza ushirikiano wa kimataifa kumaliza changamotoza nishatiViongozi mbalimb...
KAPINGA AZINDUA NAMBA YA BURE YA HUDUMA KWA WATEJA WA TANESCO
Awapongeza TANESCO kutekeleza agizo la Mhe. Dkt. Biteko kuwataka kuanzisha namba ya huduma kwa wateja bure Asema namba hii ya 180 ya bure kwa wateja kuimarisha huduma kwa wateja na kutatua changamoto zaoAwaagiza Mameneja wa Mikoa na wilaya wa TANESCO...
DKT. BITEKO AWASILI BARBADOS KUNADI NISHATI SAFI KIMATAIFA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewasili nchini Barbados kushiriki Mkutano wa Kimataifa kuhusu matumizi ya Nishati endelevu utakaofanyika katika jiji la Bridgetown kuanzia tarehe 12 hadi 14 Machi, 2025.Katika Uwanja wa...
MHA. MRAMBA: BIASHARA YA KUUZIANA UMEME KUINUFAISHA TANZANIA
Afafanua kuuuza na kununua umeme ni jambo la kawaida kwa nchiAsisitiza kununua umeme kwa Mikoa ya Kaskazini kunamanufaa kwa Mikoa husikaAsema kukamilika kwa Mradi wa TAZA kutainufaisha Tanzania na biashara ya umemeKatibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Mha...
DKT.MWINYI AZIHAMASISHA NCHI ZA EAC KUANZISHA MIFUKO YA MAENDELEO YA PETROLI
Asema lengo ni kuwa na uhakika wa kuendeleza Sekta ya Mafuta na Gesi AsiliaAfunga Kongamano na Maonesho ya Petroli ya Afrika MasharikiAtaka Rasilimali na Mafuta na Gesi Asilia kuchangia maendeleo ya Sekta nyingineRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Bar...
DKT.MPANGO ATAKA AFRIKA KUBUNI NJIA BORA UENDELEZAJI RASILIMALI ZA NISHATI ILI KUKIDHI MAHITAJI
Asema upatikanaji wa Nishati Afrika bado ni mdogo kulinganisha na Mabara mengineAsisitiza uendelezaji wa vyanzo vya Nishati uzingatie mustakabali wa vizazi vijavyoAfungua Kongamano na Maonesho ya Petroli kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAPCE’25)Maka...
SERIKALI KUJENGA MTANDAO MKUBWA WA MABOMBA YA GESI-DKT.BITEKO
Asema lengo ni kurahisisha huduma kwa wananchiAfanya mazungumzo na kampuni Rashal Energies inayojenga Bomba la Gesi Kisemvule-MbagalaAikaribisha kampuni ya CNOOC kushiriki Duru a Tano Vitalu vya Mafuta na Gesi Asilia Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa N...
AFRIKA TUNAYAPA KIPAUMBLE MATUMIZI YA NISHATI SAFI ILI KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI-DKT....
Asema Sera na Sheria zinazowekwa zinahimiza matumizi ya Nishati Safi Afungua Mkutano wa Awali EAPCE'25 Ataka utumike kujadili na kuweka mipango itakayowezesha matumizi ya Nishati Safi Ataka mkazo kuwekwa kwenye Nishati Safi ya Kupikia kwani matumi...
KOROGWE WAIPONGEZA SERIKALI UTEKELEZAJI MIRADI YA UMEME
Ni katika ziara ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan mkoani TangaVijiji vyote 118 vyafikishiwa umemeNaibu Waziri Kapinga ashiriki ziaraWananchi wa Wilaya ya Korogwe wameipongeza Serikali kwa utekelezaji wa miradiya umeme Vijijini ambapo katika wilaya hi...
SERIKALI, SEKTA BINAFSI KUIMARISHA HUDUMA ZA FEDHA NCHINI
Dkt. Biteko afungua tawi la Exim Benki KahamaExim yachangia vifaa vya matibabu vya shilingi milioni 25 Hospitali ya Wilaya KahamaUzinduzi wa tawi la Exim Bank Kahama ni uthibitisho wa ukuaji wa sekta ya benki, ushirikiano wa sekta binafsi na Serikali...
SERIKALI IMEIMARISHA USHIRIKI WA WANAWAKE KATIKA UONGOZI NA SHUGHULI ZA KIUCHUMI-KAPINGA
Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani atoa wito wa kushikamanaNaibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema kuwa Serikali imeboresha mazingira ya wanawake nchini ili waweze kushiriki kikamilifu kwenye shughuli za kiuchumi, maendeleo ya Tanzania na ku...
UJENZI KITUO CHA KUPOZA UMEME HANDENI KUIMARISHA UPATIKANAJI UMEME- RAIS SAMIA
Kituo kugharimushilingi bilioni 50Zaidi ya Shillingi billioni 98 kutekeleza mradi wa gridi imara KilindiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema utekelezaji wa ujenzi wa kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Hand...
WAKANDARASI WASIMAMIWE KUTEKELEZA MIRADI YA NISHATI KWA WAKATI - KAPINGA
Aagiza wasimamiwe kwa karibu kumaliza miradiAwataka Watendaji TANESCO kuwa na mahusiano mazuri na wananchiNaibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amewataka watendaji wa Sekta ya Nishati kuwajengea uwezo watoa huduma wanaotekeleza miradi mbalimba...
PURA ENDELEENI KUWAVUTIA WAWEKEZAJI KATIKA SHUGHULI ZA UTAFUTAJI MAFUTA NA GESI- KAPINGA
Ataka Duru ya Tano ya kunadi vitalu vya utafutaji wa mafuta na gesi asilia kuwa na matokeo chanyaAipongeza PURA kuwashirikisha Watumishikujadili mipango ya Bajeti ya TaasisiNaibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga ameielekeza Mamlaka ya Udhibiti...
KILI MARATHON ITUMIKE KUTANGAZA UTALII - DKT. BITEKO
Watu zaidi ya 20,000 washiriki Kili MarathonAwaasa kuzingatia ulaji na kufanya mazoeziSerikali kuboresha miundombinu ya viwanja vya michezoNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameiagiza Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na M...
DKT. BITEKO AONGOZA HARAMBEE UJENZI WA KANISA KUU JIMBO LA RULENGE-NGARA
Ampongeza Mhashamu Severine Niwemugizi kwa maono ya kujenga KanisaRais Samia apongezwa kwa ushirikiano wake na taasisi za diniNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amempongeza Askofu wa Jimbo Katoliki Rulenge -Ngara, Mhashamu...
DKT. BITEKO ATETA NA JUMUIYA YA WASAMBAZAJI WA MITUNGI YA GESI NCHINI
Awashukuru kwa mchango wao utekelezaji Mkakati wa Nishati Safi ya KupikiaAtaka LPG ipatikane kwa wingi hadi ngazi ya VijijiAhimiza Tanzania kuwa kitovu cha usambazaji LPG Afrika MasharikiTanzania yaendelea kupigiwa mfano Kimataifa matumizi ya Nishati...