DKT. BITEKO ATAKA WANANCHI WAPEWE MAJIBU YA HUDUMA KWA HARAKA NA HAKI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka watendaji wa sekta ya nishati kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa ufanisi ikiwa ni pamoja na kutoa huduma bora kwa wananchi.Pia, ameipongezaBodi ya Wakurugenzi na Wafanyaka...
VITONGOJI 9000 KUSAMBAZIWA UMEME MWAKA 2025/2026
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imekamilisha kazi ya kupelekaumeme kwenye Vijiji vyote Tanzania Bara nanguvu sasa inaelekezwa kwenye vitongoji.Mhe. Kapingaameeleza kuwa, pamoja na...
KAPINGA ASEMA KAZI YA KUPELEKA UMEME KWENYE MIGODI MIDOGO INAENDELEA
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inaendelea na utekelezaji wa miradi ya kupeleka umeme kwenye maeneo ya migodi midogo yakiwemo maeneo yanayozalisha chumvi wilayani Bagamoyo.Mhe. Kap...
MRADI WA KUFUA UMEME WA JNHPP WAKAMILIKA RASMI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kutegemea kupata umeme wa uhakika baada ya Mradi wa kufua umeme kutoka Bwawa la Julius Nyerere uliokuwa ukisubiriwa kwa shauku kubwa na Watanzania kukamilika rasmi. Waz...
DKT. KAZUNGU AKUTANA NA BALOZI WA DENMARK NCHINI
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. Khatibu Kazungu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Mhe. Jesper Kammersgaard naMakamu wa Rais wa Mfuko wa Uwekezaji wa Serikali ya Denmark (IFU)Bw. Theo Ib Larsen.Katika m...
DKT. BITEKO AWAPONGEZA WABUNGE KWA KUWASEMEA WATANZANIA
Asema Serikali itaendelea kuwawezesha wazawa kushiriki miradi ya nishatiAsema sekta ya nishati imepiga hatua kubwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewapongeza waheshimiwa wabunge kwa kuihimiza Serikali kuendelea kuweze...
WIZARA YA NISHATI YATAJA VIPAUMBELE VYA BAJETI YA MWAKA 2025/2026
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametajavipaumbele vya Wizaraya Nishati katika Bajeti ya mwaka wa fedha 2025/2026 ikiwemo kuendelea kutekeleza miradi ya uzalishaji, usafirishaji,usambazajiumeme na kufikisha gridi ya Taifa...
DKT. SAMIA AMETENDA MAAJABU SEKTA YA NISHATI MIAKA MINNE YA UONGOZI- DKT. BITEKO
Mashine ya 9 yakabidhiwa, yakamilisha MW 2115 -JNHPPAitaka Jumuiya ya Wazazi ieleze Watanzania mafanikio ya SerikaliAsema kuongezeka kwa mahitaji ya umeme nchini kunachochea ukuaji wa viwandaAtoa wito kwa Watanzania kuzingatia matumizi bora ya umemeN...
BARAZA LA SABA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA NISHATI LAKUTANA DODOMA
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. Khatibu Kazungu leo Machi 22, 2025 amefungua Baraza la saba la Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati ambalo limepitia pamoja na mambo mengine Rasimu ya bajeti ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2025/2026 na kupitia hoja...
WIZARA YA NISHATI YATAJA MAFANIKIO UTEKELEZAJI MAJUKUMU 2024/2025
Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga kwa niaba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametajamafanikio yaliyopatikana katika Wizarakwa mwaka2024/2025 mojawapo ikiwa ni kuimarika kwa uzalishaji wa umeme.Akiwasilisha mafa...
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAPONGEZA UJENZI WA JENGO LA WIZARA YA NISHATI
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imekagua ujenzi wa jengo la Wizara ya Nishati katika mji wa Serikali Mtumba na kuipongeza Wizara kwa hatua ya ujenzi iliyofikiwa kwa asilimia 94.Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. David Mathayo amesema hayo...
TANZANIA NA MISRI KUENDELEZA USHIRIKIANO KWENYE MIRADI YA UMEME
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga, amesema Tanzania na Misri zitaendeleza ushirikiano kwenye utekelezaji wa miradi ya umeme na kudunisha ushirikiano uliowekwa na waasisi wa nchi hizo.Mhe Kapinga ameyasema hayo leo tarehe 20 Machi,2025, mkoa...
MRADI WA TAZA MBIONI KUKAMILIKA
📌 Unahusisha ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme kutoka Iringa hadi Sumbawanga📌 Kapinga asema Mkoa wa Rukwa kuunganishwa na gridi ya Taifa kupitia mradi wa TAZA📌 Serikali yatoa Bilioni 21.4 kwa ajili ya kulipa fidia wananchi📌 Wananchi Wilaya ya M...
DKT. BITEKO AZITAKA MAMLAKA ZA MAJI KUPUNGUZA UPOTEVU WA MAJI
📌 Azindua taarifa ya Utendaji wa Mamlaka za maji mwaka 2023/24📌 Upotevu wa maji wasababisha hasara ya shilingi bilioni 114.12📌 Maganzo yaibuka kidedea, Rombo yavuta mkia utoaji wa huduma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Bitek...
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YARIDHISHWA NA HATUA ZA UTEKELEZAJI MRADI WA TAZA
📌Zaidi ya Bilioni 20 kulipa fidia waliopisha mradi📌Serikali yasema utakamilika kwa wakatiKamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imefanya ziara ya kukagua utekelezaji wa Mradi wa Umeme wa Tanzania na Zambia (TAZA) unaohusisha njia ya kusafir...
HONGERA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutimiza miaka minne madarakani
WANANCHI NJOMBE WAIOMBA TANESCO, REA KUONGEZA KASI YA KUWAUNGANISHIA UMEME
📌 Hamasa ya kuunganishiwa umeme yatokana na kasi ya maendeleo katika sehemu zenye huduma ya umeme📌Kapinga asema ifikapo 2030 Wananchi wote watakuwa wamefikiwa na huduma ya umemeWananchi wa Mkoa wa Njombe ambao bado hawajafikiwa na huduma ya umeme w...
KAMATI YA BUNGE YAITAKA REA, TANESCO KUBANDIKA BEI ZA UUNGANISHAJI UMEME KATIKA OFISI ZA SERIKALI ZA...
📌 Lengo ni kila Mwananchi kufahamu gharama halisi za kuunganisha umeme📌Kapinga awataka Mameneja REA, TANESCO kuongeza kasi uhamasishaji wananchi kuunganisha umeme*📌 Awahamasisha Wananchi kupiga namba 180 wanapopata changamoto ya umemeKamati ya Kud...
NI MAONO YA DKT.SAMIA WANANCHI WOTE WAPATE UMEME
📌 Asema wakati Serikali ya Awamu ya Sita inaingia madarakani Vijiji 4000 havikuwa na umeme.📌 Aitaka TANESCO na REA kuendelea kutoa elimu ya kuunganisha umeme.📌 Nishati ya umeme yauongezea ufanisi Zahanati ya Mang'otoNaibu Waziri Nishati, Mhe. Judi...
BILIONI 60 KULIPA FIDIA WANANCHI WALIOPITIWA MRADI WA RUHUDJI NA RUMAKALl
*📌Serikali ya Awamu ya Sita yapongezwa kupelekea Umeme Maeneo Korofi mwambao wa ziwa Nyasa**📌Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini yaipongeza REA na TANESCO *📌Zaidi ya asilimia 98 ya Vijiji vyote Njombe vina umeme*Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nisha...