Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania

Ministry of Energy

News

Apr 18, 2024
DKT. BITEKO AFUNGUA RASMI MAONESHO YA WIKI YA NISHATI 2024
DKT. BITEKO AFUNGUA RASMI MAONESHO YA WIKI YA NISHATI 2024Amshukuru Rais Dkt. Samia kwa nyenzo na maelekezoAhadi ya Rais ya umeme wa kutosha yatimizwa...
Apr 04, 2024
​NAIBU WAZIRI MKUU AKAGUA MATENGENEZO YA MASHINE ZA KUFUA UMEME KIDATU
NAIBU WAZIRI MKUU AKAGUA MATENGENEZO YA MASHINE ZA KUFUA UMEME KIDATU Ni kufuatia hitilafu ya umeme kwenye mfumo wa Gridi Aigaza TANESCO kutafuta mw...
Mar 28, 2024
DKT. BITEKO AAGIZA KUVUNJWA BODI YA ETDCO
Menejimenti ETDCO nayo isukwe upyaNi kufuatia Wizi, Utendaji mbovu na kusuasua kwa miradiAwataja baadhi ya Watumishi wanaohusika na vitendo hivyoWalio...
Mar 27, 2024
DKT. BITEKO AZINDUA KIWANDA CHA KUWEKA MIFUMO YA UPASHAJI NA UTUNZAJI JOTO MABOMBA YA EACOP
Asema Rais Samia anatoa fedha za mradi kwa wakatiTanzania imetoa asilimia 87 ya fedha za utekelezaji EACOPAsisitiza kampuni za wazawa kupewa kipaumbel...
Mar 26, 2024
DKT. BITEKO AAGIZA MPANGO MKAKATI KUIMARISHA HUDUMA AFYA YA MSINGI
Asisitiza kutoa elimu ya afya kwa jamiiAupongeza Mfumo wa M-mama uliobuniwa na WatanzaniaJumla ya vituo 2,799 vimejengwa na vingine kufanyiwa ukarabat...
Mar 25, 2024
DKT. BITEKO AAGIZA WIZARA YA MAJI KUHAKIKISHA WANANCHI WANAPATA MAJI SAFI NA SALAMA
Asisitiza Wananchi kutoa maoni utunzaji wa mazingira katika Dira 2050Ataka Bodi za Mabonde ya Maji/NEMC kudhibiti uchafuzi wa mazingiraUvunaji wa Maji...
Mar 19, 2024
DKT. BITEKO AFUNGUA BARAZA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA NISHATI
Aagiza kuanzishwa kwa Kitengo cha Nishati Safi ya KupikiaLengo ni kutekeleza Ajenda ya Rais ya Nishati Safi ya KupikiaAagiza Matumizi ya CNG kupewa ki...
Mar 19, 2024
DKT. BITEKO ASHIRIKI MISA TAKATIFU YA KUMWOMBEA HAYATI DKT. JOHN POMBE MAGUFULI CHATO
Asema Rais, Dkt. Samia anatekeleza kwa kasi kubwa misingi iliyowekwa na Hayati MagufuliDkt. Samia ajenga Makumbusho ya Hayati Magufuli ChatoFamilia ya...
Mar 19, 2024
DKT. BITEKO AAGIZA VIONGOZI WA SERIKALI KUTATUA KERO SI KUZICHUKUA
Akerwa na viongozi Mwanza kutofanyia kazi agizo la Makamu wa RaisAmwagiza Waziri wa Ardhi kwenda jijini Mwanza kutatua kero ya muda mrefuAweka jiwe la...
Mar 19, 2024
KAMATI YA BUNGE YAKAGUA VITUO VYA GESI JIJINI DAR ES SALAAM
Yashauri vituo vya kujazia gesi kwenye magari visambae mikoaniWananchi wachangamkia ujazaji gesi kwenye magariMhe. Kapinga akaribisha wawekezaji kweny...
Mar 14, 2024
KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI MRADI WA UMEME MKOANI ARUSHA
Mradi wagharimu takribani Dola milioni 258Kunufaisha nchi zipatazo 13Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imefanya ziara Mkoani Arusha kukag...
Mar 14, 2024
UWEKEZAJI KWENYE SEKTA YA ELIMU LAZIMA UMGUSE MWALIMU – DKT. BITEKO
Azindua programu ya Kuboresha Kada ya Ualimu nchini (GPETSP)Ataja ongezeko la ajira kwa Walimu, madaraja na Bajeti ya ElimuAeleza vipaumbele 8 kuendel...
Mar 14, 2024
KAMATI YA BUNGE YAKAGUA UJENZI WA JENGO LA WIZARA YA NISHATI MTUMBA
Yapongeza Wizara kushirikisha Taasisi za Umma kwenye ujenziYataka mkandarasi kuongeza kasi ya ujenziUjenzi wafikia asilimia 75Kamati ya Kudumu ya Bung...
Mar 14, 2024
NAIBU KATIBU MKUU NISHATI AWASILI RASMI OFISINI
Apokelewa na Katibu Mkuu na Wafanyakazi wa WizaraAahidi kushirikiana na wadau kumsaidia Mhe. Rais kufikia malengoNaibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati,...
Mar 14, 2024
DKT. BITEKO AKUTANA NA KATIBU MKUU WIZARA YA NISHATI ZAMBIA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati wa Zambia (a...
Mar 14, 2024
RAIS SAMIA HATAKI MISUKOSUKO KWA WAFANYABIASHARA- DKT. BITEKO
Ataka Watendaji Warasimu wajionee aibu;watimize wajibuWatumishi wakumbushwa shughuli za Serikali kufanyika DodomaNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishat...
Mar 14, 2024
MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAANZA RASMI- DKT. BITEKO
Agawa mitungi ya Gesi na Majiko Banifu kwa Wajasiriamali Dar es SalaamAtaka Taasisi kuachana matumizi ya kuni na mkaaAhimiza wadau kuunga mkono juhudi...
Mar 04, 2024
UTAMADUNI NA UTU WA MTANZANIA USIDHALILISHWE – DKT. BITEKO
Awapongeza Wasanii kwa kutopuuza utamaduni wa MtanzaniaAmpongeza Dkt. Samia kwa kuufufua Mfuko wa UtamaduniAtaka Wasanii kuhamasisha Uchaguzi wa Serik...
Feb 29, 2024
UCHORONGAJI VISIMA VYA JOTOARDHI KUANZA APRILI 2024- DKT. BITEKO
Lengo ni kuwa na vyanzo mchanganyiko vya umemeKampuni ya KenGen ya Kenya na TGDC kushirikiana katika uhakikiNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mh...
Feb 28, 2024
NCHI WANACHAMA EAPP ZAKUBALIANA KUIPA MSUKUMO MIRADI YA UMEME
Dkt. Biteko asema suala la kuwapa nishati wananchi sio hiariAsisitiza miradi ya usafirishaji umeme EAPP kukamilika kwa wakatiVyanzo vipya vya umeme ku...