Mhe. Ndejembi Akutana na Chama cha Waagizaji na Wasambazaji wa Mafuta (TAOMAC)
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na Chama cha Waagizaji na Wasambazaji wa Mafuta Tanzania (TAOMAC) kwa lengo la kuboresha na kukuza sekta ya mafuta nchini pamoja na kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali n...
Mradi wa Umeme Jua Kayenze Wazalisha MW 5; Waongeza Nguvu ya Umeme na Maendeleo Ushetu
Naibu Waziri wa Nishati na Mbunge wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Salome Makamba, amesema mradi wa umeme wa jua wa Kayenze uliopo katika Jimbo la Ushetu unazalisha megawati 5 za umeme ambazo zinaingizwa katika Gridi ya Taifa kupitia njia ya msongo wa kilo...
KIHONGOSI AIPONGEZA WIZARA YA NISHATI KWA MRADI WA UMEME JUA KAYENZE
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenan Kihongosi ameipongeza Wizara ya Nishati kwa utekelezaji wa mradi wa umeme jua wenye thamani ya shilingi bilioni 11 unaoingiza megawati tano (5) katika Gridi ya Taifa.Kihon...
Shule 43 Ruvuma Zatumia Nishati Safi ya Kupikia kwa Ushirikiano na Wadau
Mkoa wa Ruvuma umefanikiwa kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia katika shule za sekondari 43 kati ya 153 zilizopo mkoani humo kupitia ushirikiano na wadau mbalimbali.Afisa Elimu Mkoa wa Ruvuma, Mwl. Edith Mpinzile, amesema mafanikio hayo y...
MAAFISA ELIMU WAPEWA MBINU KUIMARISHA MIUNDOMBINU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA SHULENI
Maafisa Elimu nchini wametakiwa kushirikiana kwa karibu na wadau mbalimbali wakiwemo sekta binafsi, mashirika yasiyo ya kiserikali na jamii ili kuwekeza na kuimarisha miundombinu ya nishati safi ya kupikia katika shule.Wito huo umetolewa Machi 4, 202...
Waziri Ndejembi Akutana na Wamiliki wa Kampuni za Mafuta, Atoa Uhakika wa Upatikanaji wa Mafuta Nchi...
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na wamiliki wa kampuni za mafuta nchini pamoja na viongozi wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati zinazoshughulikia Sekta ndogo ya mafuta na gesi.Kikao hicho kimefanyi...
Waziri Ndejembi Akutana na Taasisi za Mafuta na Gesi Kuimarisha Ushirikiano wa Kisekta
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi leo Machi 03, 2026 amekutana na kufanya mazungumzo na taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati zinazoshughulikia sekta ya mafuta na gesi katika Ofisi Ndogo za Wizara jijini Dar es salaam.Kikao hicho kimehud...
Maandalizi ya Mjadala (Debate) wa Clean Cooking Solutions utakaowahusisha wanafunzi wa shule za Seko...
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amekutana na Mkurugenzi wa Go Plant Tanzania Bw. Emmanuel Likida kwa lengo la kujadili namna ya kushirikiana katika maandalizi ya Mjadala (Debate) wa Clean Cooking Solutions utakaowahusisha wanafunzi wa sh...
KILOSA MGUU SAWA UHAMASISHAJI MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa imeahidi kushirikiana bega kwa bega na Wizara ya Nishati katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa wananchi ili kulinda mazingira na kuboresha afya za jamii.Afisa Mazingira wa Wilaya ya Kilosa, Alex Ba...
UPATIKANAJI WA MAENEO YA UCHIMBAJI WA GESI.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amelitaka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuongeza kasi katika utafiti wa upatikanaji wa maeneo mapya ya uchimbaji wa visima vipya vya gesi asilia ili kuongeza upatikanaji wa gesi kwa matumi...
NDEJEMBI: BOMBA LA GESI NTORYA–MADIMBA LIKAMILIKE IFIKAPO SEPTEMBA 2026
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amelitaka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kumsimamia kikamilifu Mkandarasi anayetekeleza mradi wa ujenzi wa bomba la kusafirisha gesi asilia kutoka eneo la ugunduzi la Ntorya hadi Kiwanda ch...
KASI YA MRADI WA EACOP YAPONGEZWA NA WATUMISHI WIZARA YA NISHATI
Watumishi kutoka Wizara ya Nishati wamepongeza kasi ya utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) ambao umefikia asilimia 81 huku ukifungua fursa nyingi kwa wananchi ikiwemo upatikanaji wa ajira na ujuzi..Akizungumza Fe...
WAZIRI NDEJEMBI AWASILI MTWARA KWA ZIARA YA KIKAZI
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amewasili Mkoani Mtwara kwa ziara ya kikazi na kupokelewa na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Abdallah Mwaipaya pamoja na Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi na Serikali, leo tarehe 27 Februari 2026.Katika zi...
MHE. NDEJEMBI AITAKA PURA KUWAJENGEA UWEZO WATANZANIA KUSHIRIKI MRADI WA LNG
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratous Ndejembi, ameitaka Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kuimarisha mipango yake katika ukusanyaji wa data sahihi, tathmini ya vitalu vya utafiti, na maandalizi ya Watanzania kushiriki kikamilifu katik...
DKT. MATARAGIO: PURA ONGEZENI KASI UTAFITI WA MAENEO MAPYA YA MAFUTA NA GESI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi, Dkt. James Mataragio, ameielekeza Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kuongeza kasi ya utafiti wa awali katika maeneo mapya ya mafuta na gesi asilia ili kuvutia wawekez...
SADC Yavutiwa na Mikakati ya Tanzania katika Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia
Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika – SADC) imeeleza kuvutiwa na mikakati ya Tanzania katika kuharakisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, hususan hatua ya kuondoa kodi na kutoa ruzuku kwa vifaa kama mitungi ya gesi na majiko banifu, pamoja na...
WAJASIRIAMALI NA BODABODA WAFIKIWA NA ELIMU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA MOROGORO
Wajasiriamali na bodaboda katika Soko Kuu la Kingalu, Stendi Kuu ya Mabasi Msamvu na maeneo ya Kihonda mkoani Morogoro wamepatiwa elimu ya nishati safi ya kupikia kupitia kampeni inayoendelea nchini yenye lengo la kuhamasisha mabadiliko ya tabia kuel...
NDEJEMBI: UPATIKANAJI WA NISHATI SAFI TANZANIA UMEONGEZEKA MARA TATU NDANI YA MIAKA MINNE
UPATIKANAJI wa nishati safi ya kupikia nchini Tanzania umeongezeka kutoka asilimia 6.9 mwaka 2021 hadi asilimia 23.2 mwaka 2025, sawa na ongezeko la zaidi ya mara tatu ndani ya kipindi cha miaka minne.Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, ames...
REA YAANZA USAMBAZAJI WA MAJIKO BANIFU 6,692 KATIKA MKOA WA SINGIDA
Wakala wa Nishati Vijijini imeanza utekelezaji wa mpango mkakati wa kitaifa wa nishati safi ya kupikia ili kufikia lengo la zaidi ya asilimia themanini 80% ya watanzania ifikapo mwaka 2034 wawe wanatumia nishati safi ya kupikia nishati ambayo ni sala...
Watumishi Wapongeza Utekelezaji wa Mradi wa EACOP Kwa Kuzingatia Uhifadhi wa Mazingira
Watumishi wa Wizara ya Nishati wameipongeza Serikali kwa utekelezaji wa mradi mkubwa wa kimkakati wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP). wakieleza kuwa katika hatua zote za utekelezaji, mradi umezingatia kwa kina masuala ya uhifadhi wa...