GOLDEN VALUE WAPATIWA ELIMU YA NISHATI KATIKA MAONESHO YA WIKI YA MAZINGIRA DUNIANI 2026.
Meneja wa Shule ya Golden Value Bi. Nuru Nyundo, ameongoza wanafunzi wa darasa la nne na la sita kutembelea banda la Wizara ya Nishati pamoja na taasisi zake katika Maonesho ya Wiki ya Mazingira Duniani 2026 yanayoendelea katika katika Viwanja vya Ja...
KUHIFADHI MAZINGIRA NI WAJIBU WA KILA MTANZANIA: MHE. KWAGILWA
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Reuben Kwagilwa, ametembelea mabanda mbalimbali ya taasisi na wadau wanaoshiriki Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira Duniani 2026 yanayofanyika katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Co...
MHE. SALOME AWAHIMIZA WANAWAKE KUCHANGAMKIA FURSA ZA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amewahimiza wanawake na vijana nchinikutumia fursa zilizopo katika sekta ya nishati safi ya kupikia ili kujiimarisha kiuchumi na kuchangia maendeleo ya taifa.Mhe. Salome amesema hayo wakati akishiriki har...
SERIKALI KUJENGA VITUO 10 VYA GESI YA CNG NCHINI: SALOME.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), kwa kushirikiana na sekta binafsi, inaendelea na maandalizi ya ujenzi wa vituo 10 vya CNG (Gesi Asilia Iliyobanwa) nchini katika mi...
VIONGOZI WAANDAMIZI JESHI LA POLISI WATEMBELEA MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA.
Viongozi waandamizi wa Jeshi la Polisi nchini wamefanya ziara ya kutembelea miundombinu mbalimbali ya gesi asilia inayosimamiwa na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuwaongezea uwezo kuhusu usimamizi na ul...
USALAMA WA NISHATI NI NGUZO MUHIMU YA USALAMA WA TAIFA: MHA. MRAMBA.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Felchesmi Mramba amesema kuwa usalama wa nishati umeendelea kuwa sehemu muhimu ya usalama wa taifa kutokana na mchango wake katika kukuza uchumi, utoaji wa huduma za kijam...
TPDC YAHIMIZA WANANCHI KULINDA MIUNDOMBINU YA BOMBA LA GESI ASILIA.
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeendelea kuwashirikisha wananchi katika kulinda miundombinu ya bomba la gesi asilia, likieleza kuwa usalama wa miundombinu hiyo unategemea kwa kiasi kikubwa ushirikiano wa jamii nzima.Katika kuimaris...
ZAIDI YA MAJIKO 14,000 YA NISHATI SAFI YASAMBAZWA IRINGA.
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome Makamba amesema Serikali inaendelea kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa njia mbalimbali ikiwemo usambazaji wa mitungi ya gesi kwa bei ya ruzuku pamoja na majiko banifu huku Mkoa wa Iringa ukiwa taya...
UPATIKANAJI UMEME KUENDELEA KUIMARIKA MKOANI IRINGA: MHE. SALOME.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema Serikali inaendelea kufanya jitihada mbalimbali ili kuimarisha upatikanaji wa umeme katika Mkoa wa Iringa.Amesema tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aingie...
SALOME: NGUZO ZA ZEGE NA CHUMA KUTUMIKA KUKABILI CHANGAMOTO YA KUANGUKA KWA NGUZO ZA UMEME ZA MITI.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema Serikali kupitia TANESCO inaendelea kubadilisha nguzo chakavu kwa kuweka nguzo imara zaidi, zikiwemo nguzo za zege na chuma, pamoja na kuimarisha misingi ya nguzo katika maeneo yenye udongo laini i...
WAZIRI NDEJEMBI AKUTANA NA BALOZI WA NORWAY WAJADILI USHIRIKIANO SEKTA YA NISHATI.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Norway nchini Tanzania, Mhe. Tone Tinnes yaliyolenga kuimarisha na kuendeleza ushirikiano kati ya nchi hizo mbili katika Sekta ya Nishati.Mazungumzo hayo yamefan...
TANZANIA YASISITIZA UMUHIMU WA USHIRIKIANO WA KIKANDA KATIKA NISHATI YA NYUKLIA.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Felchesmi Mramba amesema ushirikiano wa kikanda ni muhimu katika kuharakisha matumizi ya nishati ya nyuklia kwa ajili ya kuhakikisha upatikanaji wa nishati salama, ya uhak...
TANZANIA NA RWANDA ZASAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO WA NISHATI MBELE YA RAIS SAMIA NA KAGAME.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mhe. Paul Kagame leo Mei 19, 2026 wameshuhudia zoezi la utiaji saini wa ushirikiano wa masuala ya Sekta ya Nishati baina ya Tanzania na Rwanda hatua...
TANESCO YAANZA UTEKELEZAJI WA MAELEKEZO YA WAZIRI NDEJEMBI, TRANSFOMA KUBWA YAWASILI NGARA.
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeanza kutekeleza maelekezo ya Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, kwa kuanza kazi ya kufunga transfoma mpya yenye uwezo mkubwa katika Wilaya ya Ngara mkoani Kagera ili kuboresha upatikanaji wa umeme wa...
BARAZA LA USHINDANI LATEMBELEA WIZARA YA NISHATI KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KITAASISI.
Baraza la Ushindani lililo chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara, leo Mei 18, 2026 limetembelea Wizara ya Nishati iliyopo Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma kwa lengo la kuimarisha ushirikiano wa kitaasisi katika kusimamia ushindani wa haki pamoja...
MRADI WA UTAFUTAJI MAFUTA WA EYASI WEMBERE; KIELELEZO CHA UBORA NA UFANISI WA TPDC.
Mradi wa Utafutaji Mafuta wa Eyasi Wembere unaendelea kuwa kielelezo cha ubora, ufanisi na uwezo wa kitaalam ambao Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeujenga katika sekta ya utafutaji wa mafuta na gesi asilia nchini.Akizungumza wakati...
“WATEJA WA TANESCO WAHUDUMIWE KWA HARAKA NA BILA URASIMU” MHE. SALOME.
Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba, ameitaka TANESCO kuhakikisha huduma zinazotolewa kwa wateja zina viwango vinavyofanana katika mikoa yote nchini bila kujali eneo husika kwani hatua hiyo itasaidia kupunguza mkanganyiko kwa wananchi pamoja na k...
TANESCO YATAKIWA KUBUNI TEKNOLOJIA MPYA KUBORESHA HUDUMA KWA WATEJA.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, ameielekeza TANESCO kuendelea kufanya tafiti na kubuni teknolojia mpya zitakazorahisisha utoaji wa huduma kwa wateja nchini.Amesema dunia inabadilika kwa kasi kubwa hivyo Shirika hilo linapaswa kuendana n...
MHE. SALOME AWAHIMIZA WANANCHI CHEMBA KUUNGA MKONO MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amewahimiza wananchi wa Wilaya ya Chemba kuachana na matumizi ya kuni na mkaa na kuhamia katika matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kulinda mazingira, kuboresha afya na kuongeza ufanisi wa shughuli za...
MRADI WA GRIDI IMARA KUIMARISHA UPATIKANAJI UMEME – MHE. MWIGULU.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa utekelezaji wa Mradi wa Gridi Imara utakuwa suluhu ya upatikanaji wa umeme wa uhakika utakaokidhi ongezeko kubwa la matumizi ya umeme kufuatia upanuzi wa huduma hiy...