WIZARA YA NISHATI YAKARIBISHA WANANCHI KUTEMBELEA BANDA LAKE MAONESHO YA NANENANE DODOMA.
Wizara ya Nishati inashiriki Maonesho ya Wakulima (NANENANE) yanayoendelea katika Viwanja vya Dkt. John Malecela, Nzuguni, jijini Dodoma.Kupitia maonesho hayo, Wizara inaonesha namna sekta ya nishati inavyochangia kuongeza tija katika kilimo kupitia...
MAMBAMIAMBA YAINGIA RASMI KATIKA SAFARI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Wananchi wa Kata ya Mambamiamba, Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Julai 30, 2026, wamejengewa uelewa kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia wakati wa hafla ya uzinduzi wa Tawi la Tanzania Women Empowerment Network (TAWEN).Hafla hiyo imezikutani...
NDEJEMBI ASHUHUDIA UTIAJI SAINI WA MKATABA WA SHILINGI BILIONI 204.7 WA MRADI WA UMEME WA JUA WA MEG...
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius J. Ndejembi (Mb.), Julai 27, 2026, ameshuhudia utiaji saini wa mkataba wa utekelezaji wa awamu ya pili ya Mradi wa Umeme wa Jua wa Kishapu utakazozalisha Megawati 100, utakaotekelezwa katika eneo la Ngunga, Wilaya y...
WAZIRI NDEJEMBI AWASILI SHINYANGA KWA ZIARA YA KIKAZI.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb.), amewasili mkoani Shinyanga kwa ziara ya kikazi na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Mboni Mhita, Julai 27, 2026.Akiwa mkoani humo, Waziri Ndejembi ataongoza viongozi na wananchi wa Mkoa w...
SERIKALI YAZINDUA MRADI WA MIKOPO NAFUU UJENZI WA VITUO VIDOGO VYA MAFUTA VIJIJINI.
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa ushirikiano na Benki ya Azania imezindua rasmi mradi wa utoaji wa mikopo nafuu kwa wajasiriamali wadogo, utakaofanikisha ujenzi na uendeshaji wa vituo vidogo vya kuuza mafuta ya petroli na dizeli...
WAZIRI NDEJEMBI ATOA ONYO KWA MKANDARASI ANAYETEKELEZA MRADI WA SONGEA - TUNDURU – MASASI.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameonesha kutoridhishwa na kasi ya utekelezaji wa Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme wa msongo wa kilovoti 220 kutoka Songea hadi Masasi kupitia Tunduru na kuagiza mkandarasi kuongeza juhudi ili kuhakikish...
NDEJEMBI ASISITIZA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA KUSAFIRISHA UMEME KATIKA MIKOA YA LINDI NA MTWAR...
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amewataka wakandarasi wote wanaotekeleza miradi ya kimkakati ya usafirishaji wa umeme katika ukanda wa kusini kuongeza kasi ya utekelezaji ili kuwezesha mikoa ya Lindi na Mtwara kuunganishwa katika Gridi ya...
MAMA MANYEMA AONGOZA MAPINDUZI YA NISHATI SAFI KWA WAFANYABIASHARA WA CHAKULA.
Mkurugenzi wa Nishati Safi ya Kupikia, Bw. Nolasco Mlay, amempongeza Bi. Afua Juma maarufu kama Mama Manyema, kwa kuhamiakwenye nishati safi ya kupikia katika shughuli zake za biashara, akieleza kuwa hatua hiyo ni mfano mzuri wa uhamasishaji wa matum...
NAIBU WAZIRI WA NISHATI APELEKA TABASAMU KWA MAMA MANYEMA.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba (Mb), amemuwezesha mfanyabiashara, Bi. Afua Juma maarufu kama Mama Manyema, kuanza kutumia nishati safi ya kupikia katika shughuli zake za biashara ikiwa ni sehemu ya juhudi za Serikali za kuhamasisha matu...
WANAHABARI WATAKIWA KUANDAA VIPINDI NA HABARI ZA KUSHAWISHI ZINAZOCHOCHEA MATUMIZI YA NISHATI SAFI Y...
Mkurugenzi wa Huduma za Redio kutoka Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Bi. Anna Kwambaza, amewataka Wanahabari kuandaa vipindi na habari zenye uwezo wa kushawishi na kubadili mitazamo ya wananchi kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia.Bi. Kwa...
SADC KUJA TANZANIA KUJIFUNZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Tanzania imeendelea kuthibitisha nafasi yake ya uongozi katika ajenda ya matumizi ya nishati safi ya kupikia barani Afrika, huku nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) zikieleza nia ya kuja nchini kujifunza mafanik...
WANAHABARI WATAKIWA KUWA MSTARI WA MBELE KATIKA KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Wanahabari wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ikiwa ni ajenda ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kuchangia kufikiwa kwa lengo la Taifa la asilimia 80 ya matumizi ya nishati safi ya k...
WARSHA YA MOROGORO YALENGA KUIMARISHA USHIRIKIANO KWA AJENDA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Mshauri wa Mawasiliano kutoka Kampuni ya Kengo, Bi. Niwaeli Gittens-Mbaga, ameendesha mada kuhusu nafasi ya vyombo vya habari kama wadau muhimu katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, akieleza umuhimu wa kujenga mahusiano imara na wad...
VYOMBO VYA HABARI NI MABALOZI MUHIMU WA KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Meneja wa Mradi wa CookFund kutoka Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Maendeleo ya Mitaji (UNCDF), Emmanuel Muro, amesema Waandishi wa habari na maafisa mawasiliano Serikalini wana nafasi muhimu katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa ku...
WAANDISHI NA MAAFISA MAWASILIANO WAPEWA ZANA ZA KUSUKUMA AJENDA YA NISHATI SAFI.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Nishati, Bi. Nteghenjwa Hosseah, amesema mafunzo ya siku mbili ya kuwajengea Uwezo Waandishi wa Habari na Maafisa Mawasiliano Serikalini kutoka katika Wizara na Taasisi kuhusu Uandishi na Uhamasis...
MHE.KILAKALA AIPONGEZA WIZARA YA NISHATI KWA KUENDELEA KUTOA ELIMU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Mussa Kilakala, ameipongeza Wizara ya Nishati kwa kuandaa Warsha ya Nishati Safi ya Kupikia kwa wanahabari na Maafisa habari, akisema mafunzo hayo ni hatua muhimu ya kuhakikisha elimu sahihi inawafikia wananchi na kui...
WANAHABARI NI WASHIRIKA MUHIMU WA KUHAMASISHA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Naibu Waziri wa Nishati amesema vyombo vya habari na maafisa mawasiliano Serikalini ni washirika muhimu wa maendeleo ya Taifa kutokana na nafasi yao ya kufikisha taarifa sahihi kwa wananchi na kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kupitia h...
UJUMBE SAHIHI UTAHARAKISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Mkurugenzi wa Nishati Safi ya Kupikia, Bw. Nolasco Mlay, amesema utoaji wa ujumbe sahihi na wenye uelewa wa pamoja kwa wananchi utaharakisha matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini, kwani jamii itakuwa na taarifa sahihi zitakazoiwezesha kufanya ma...
NAIBU WAZIRI SALOME AWASILI MOROGORO KUFUNGUA WARSHA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba akiambatana na Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Mussa Kilakala, amewasili katika Ukumbi wa Morena Hotel mkoani Morogoro kwa ajili ya kufungua warsha ya kuwajengea uwezo waandishi wa habari pamoja na Maafi...
RAIS MWINYI ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA NISHATI SABASABA.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametembelea banda la Wizara ya Nishati na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) katika kilele cha Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba),...