Apr 17, 2025
DKT. BITEKO ASHIRIKI MKUTANO WA NISHATI WA MAWAZIRI EAPP NCHINI UGANDA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Aprili 17, 2025 jijini Kampala nchini Uganda ameshiriki katika Mkutano wa Baraza la...
Apr 16, 2025
DKT. BITEKO AONGOZA MAELFU KUMZIKA ALIYEKUWA MKURUGENZI WA TANESCO MHA.GISSIMA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe.Dokta.Doto Biteko leo Aprili 16,2025 ameongoza maelfu ya wananchi pamoja na viongozi mbalimbali kwenye shug...
Apr 16, 2025
NAIBU KATIBU MKUU NISHATI AONGOZA MAZISHI YA MUHAJIRI HAULE MLANDIZI-PWANI
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Dkt. Khatibu Kazungu ameongoza viongozi na wananchi mbalimbali waliojitokeza katika maziko ya aliyekua dereva wa M...
Apr 14, 2025
TPDC, ZPDC ZAENDELEA KUSHIRIKIANA UENDELEZAJI SEKTA YA GESI NCHINI
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) mwezi Februari, 2022 liliingia ma...
Apr 13, 2025
RAIS SAMIA AIWEZESHA REA BILIONI 96.8 UTEKELEZAJI MIRADI YA UMEME VIJIJINI DODOMA
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imetoa jumla ya kiasi cha shilingi bilioni 96.8 ili kuhakikisha miradi ya umeme vijijini inatekelezw...
Apr 11, 2025
KAPINGA ASEMA KIPAUMBELE CHA SERIKALI NI KUFIKISHA UMEME KWENYE TAASISI ZOTE.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema kipaumbele cha Serikali ni kuhakikisha Taasisi zote zinazotoa huduma za kijamii, kiuchumi na kidin...
Apr 10, 2025
SERIKALI INAENDELEA NA UKARABATI WA MIUNDOMBINU YA UMEME
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) inaendelea na ukarabati wa miundombinu ya kus...
Apr 09, 2025
DKT. BITEKO ATAKA WANANCHI WAPEWE MAJIBU YA HUDUMA KWA HARAKA NA HAKI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka watendaji wa sekta ya nishati kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa ufanis...
Apr 09, 2025
VITONGOJI 9000 KUSAMBAZIWA UMEME MWAKA 2025/2026
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imekamilisha kazi ya kupelekaumeme kwenye Vijiji...
Apr 08, 2025
KAPINGA ASEMA KAZI YA KUPELEKA UMEME KWENYE MIGODI MIDOGO INAENDELEA
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inaendelea na utekelezaji wa miradi ya kupeleka...
Apr 06, 2025
MRADI WA KUFUA UMEME WA JNHPP WAKAMILIKA RASMI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kutegemea kupata umeme wa uhakika baada ya Mradi wa kufua umeme kuto...
Mar 28, 2025
DKT. KAZUNGU AKUTANA NA BALOZI WA DENMARK NCHINI
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. Khatibu Kazungu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Mhe. Jesper Kammers...
Mar 25, 2025
DKT. BITEKO AWAPONGEZA WABUNGE KWA KUWASEMEA WATANZANIA
Asema Serikali itaendelea kuwawezesha wazawa kushiriki miradi ya nishatiAsema sekta ya nishati imepiga hatua kubwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nis...
Mar 25, 2025
WIZARA YA NISHATI YATAJA VIPAUMBELE VYA BAJETI YA MWAKA 2025/2026
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametajavipaumbele vya Wizaraya Nishati katika Bajeti ya mwaka wa fedha 2025/2026 ikiwemo...
Mar 24, 2025
DKT. SAMIA AMETENDA MAAJABU SEKTA YA NISHATI MIAKA MINNE YA UONGOZI- DKT. BITEKO
Mashine ya 9 yakabidhiwa, yakamilisha MW 2115 -JNHPPAitaka Jumuiya ya Wazazi ieleze Watanzania mafanikio ya SerikaliAsema kuongezeka kwa mahitaji ya u...
Mar 23, 2025
BARAZA LA SABA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA NISHATI LAKUTANA DODOMA
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. Khatibu Kazungu leo Machi 22, 2025 amefungua Baraza la saba la Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati ambalo limep...
Mar 23, 2025
WIZARA YA NISHATI YATAJA MAFANIKIO UTEKELEZAJI MAJUKUMU 2024/2025
Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga kwa niaba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametajamafanikio yaliyopatikana k...
Mar 21, 2025
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAPONGEZA UJENZI WA JENGO LA WIZARA YA NISHATI
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imekagua ujenzi wa jengo la Wizara ya Nishati katika mji wa Serikali Mtumba na kuipongeza Wizara kwa ha...
Mar 20, 2025
TANZANIA NA MISRI KUENDELEZA USHIRIKIANO KWENYE MIRADI YA UMEME
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga, amesema Tanzania na Misri zitaendeleza ushirikiano kwenye utekelezaji wa miradi ya umeme na kudunisha ush...
Mar 20, 2025
MRADI WA TAZA MBIONI KUKAMILIKA
📌 Unahusisha ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme kutoka Iringa hadi Sumbawanga📌 Kapinga asema Mkoa wa Rukwa kuunganishwa na gridi ya Taifa kupitia mra...