TANZANIA YASISITIZA UMUHIMU WA USHIRIKIANO WA KIKANDA KATIKA NISHATI YA NYUKLIA.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Felchesmi Mramba amesema ushirikiano wa kikanda ni muhimu katika kuharakisha matumizi ya nishati ya nyuklia kwa ajili ya kuhakikisha upatikanaji wa nishati salama, ya uhak...
TANZANIA NA RWANDA ZASAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO WA NISHATI MBELE YA RAIS SAMIA NA KAGAME.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mhe. Paul Kagame leo Mei 19, 2026 wameshuhudia zoezi la utiaji saini wa ushirikiano wa masuala ya Sekta ya Nishati baina ya Tanzania na Rwanda hatua...
TANESCO YAANZA UTEKELEZAJI WA MAELEKEZO YA WAZIRI NDEJEMBI, TRANSFOMA KUBWA YAWASILI NGARA.
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeanza kutekeleza maelekezo ya Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, kwa kuanza kazi ya kufunga transfoma mpya yenye uwezo mkubwa katika Wilaya ya Ngara mkoani Kagera ili kuboresha upatikanaji wa umeme wa...
BARAZA LA USHINDANI LATEMBELEA WIZARA YA NISHATI KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KITAASISI.
Baraza la Ushindani lililo chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara, leo Mei 18, 2026 limetembelea Wizara ya Nishati iliyopo Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma kwa lengo la kuimarisha ushirikiano wa kitaasisi katika kusimamia ushindani wa haki pamoja...
MRADI WA UTAFUTAJI MAFUTA WA EYASI WEMBERE; KIELELEZO CHA UBORA NA UFANISI WA TPDC.
Mradi wa Utafutaji Mafuta wa Eyasi Wembere unaendelea kuwa kielelezo cha ubora, ufanisi na uwezo wa kitaalam ambao Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeujenga katika sekta ya utafutaji wa mafuta na gesi asilia nchini.Akizungumza wakati...
“WATEJA WA TANESCO WAHUDUMIWE KWA HARAKA NA BILA URASIMU” MHE. SALOME.
Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba, ameitaka TANESCO kuhakikisha huduma zinazotolewa kwa wateja zina viwango vinavyofanana katika mikoa yote nchini bila kujali eneo husika kwani hatua hiyo itasaidia kupunguza mkanganyiko kwa wananchi pamoja na k...
TANESCO YATAKIWA KUBUNI TEKNOLOJIA MPYA KUBORESHA HUDUMA KWA WATEJA.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, ameielekeza TANESCO kuendelea kufanya tafiti na kubuni teknolojia mpya zitakazorahisisha utoaji wa huduma kwa wateja nchini.Amesema dunia inabadilika kwa kasi kubwa hivyo Shirika hilo linapaswa kuendana n...
MHE. SALOME AWAHIMIZA WANANCHI CHEMBA KUUNGA MKONO MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amewahimiza wananchi wa Wilaya ya Chemba kuachana na matumizi ya kuni na mkaa na kuhamia katika matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kulinda mazingira, kuboresha afya na kuongeza ufanisi wa shughuli za...
MRADI WA GRIDI IMARA KUIMARISHA UPATIKANAJI UMEME – MHE. MWIGULU.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa utekelezaji wa Mradi wa Gridi Imara utakuwa suluhu ya upatikanaji wa umeme wa uhakika utakaokidhi ongezeko kubwa la matumizi ya umeme kufuatia upanuzi wa huduma hiy...
SERIKALI KUIMARISHA NISHATI YA UMEME WILAYANI KONDOA.
Katika jitihada za kuendeleza ustawi wa wananchi na kuchochea uchumi wa maeneo ya vijijni na vitongojini, Serikali inaendelea kuimarisha upatikanaji wa umeme wilayani Kondoa kupitia mpango wa kusambaza umeme katika vitongoji vyote vya wilaya hiyo. Mp...
SERIKALI YAFIKISHA UMEME KATIKA MIGODI 289 YA WACHIMBAJI WADOGO.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema hadi kufikia Mei 2026, jumla ya migodi 289 ya wachimbaji wadogo imepatiwa umeme ikiwemo migodi 18 katika Jimbo la Lupa wilayani Chunya mkoani Mbeya ambayo ni pamoja na migodi ya Singa, Chokaa Moja,...
TANZANIA NA KENYA KUHARAKISHA UTEKELEZAJI MIRADI YA KUUNGANISHA NJIA ZA UMEME.
Tanzania na Kenya zimekubaliana kuharakisha utekelezaji wa miradi mbalimbali ya njia za umeme zinazounganisha gridi za nchi hizo mbili pamoja na kuboresha mifumo ya usafirishaji wa umeme ili kuimarisha usalama wa nishati, kuongeza uhakika wa upatikan...
CHEVRON YAONESHA NIA YA KUWEKEZA TANZANIA KATIKA SEKTA NDOGO YA MAFUTA NA GESI ASILIA.
Kampuni ya nishati kutoka Marekani, Chevron Corporation imeeleza utayari wake wa kuwekeza nchini Tanzania katika shughuli za utafutaji wa mafuta na gesi asilia, hatua inayodhihirisha kuendelea kuimarika kwa mazingira ya uwekezaji katika sekta ya nish...
NDEJEMBI, UBALOZI WA SWEDEN NA UJERUMANI WAJADILI FURSA ZA USHIRIKIANO SEKTA YA NISHATI.
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi leo Mei 12, 2026 amekutana na kufanya mazungumzo na Wawakilishi kutoka Ubalozi wa Sweden, Ujerumani na kampuni ya Siemens Energy kwa lengo la kujadili fursa za uwekezaji na ushirikiano katika sekta ya nishat...
MENEJIMENTI YA WIZARA YA NISHATI YATEMBELEA MRADI WA EACOP TANGA, WAFIKIA 85% YA UTEKELEZAJI.
Menejimenti ya Wizara ya Nishati imetembelea mradi wa kimkakati wa kusafirisha mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga nchini Tanzania wa EACOP (East African Crude Oil Pipeline) leo Mei 11, 2026.Menejimenti hiyo ikiongoz...
MKANDARASI WA MRADI WA UMEME MALAGARASI MATATANI BAADA YA WAZIRI KUTORIDHISHWA NA KASI YA UJENZI.
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amesema hajaridhishwa na mwenendo wa mkandarasi anayetekeleza Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Megawati 49.5 katika maporomoko ya maji ya mto Malagarasi kutokana na kuchelewa kwa utekelezaji wa kazi pamoja na kus...
BILIONI 275.6 KUIMARISHA UPATIKANAJI WA UMEME MKOANI KAGERA.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange amesema Serikali kupitia TANESCO inatekeleza mradi wa Benaco hadi Kyaka wenye thamani ya shilingi bilioni 275.6 kwa lengo la kuimarisha upatikanaji wa umeme wa uhakika mkoa...
MBUNGE BAHEMU AIBUA CHANGAMOTO YA KUKATIKA UMEME NGARA, WAZIRI NDEJEMBI ATOA MWEZI MMOJA KUFUNGWA TR...
Mbunge wa Jimbo la Ngara, Mhe. Dotto Bahemu amesema Serikali imefanikiwa kufikisha huduma ya umeme katika vijiji vyote vya Wilaya ya Ngara, hatua inayochochea maendeleo ya wananchi na kukuza shughuli za kiuchumi wilayani humo licha ya changamoto ya k...
SERIKALI YAANZA UTEKELEZAJI WA MRADI WA UMEME KUUNGANISHA MKOA WA KAGERA KWENYE GRIDI YA TAIFA.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovoti 220 kutoka Benaco hadi Kyaka pamoja na kituo cha kupoza umeme cha Benaco, ambao utaunganisha Mkoa wa Kagera kweny...
WAZIRI NDEJEMBI AWASILI NGARA - KAGERA KWA ZIARA YA KIKAZI.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius J. Ndejembi amewasili wilayani Ngara mkoani Kagera kwa ziara ya kikazi na kupokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Ngara, Kanali Martius Kahabi, leo Mei 09, 2026.Amepewa mapokezi pia na viongozi wa Serikali na Chama Cha Mapi...