Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania

Ministry of Energy

News

Jun 29, 2025
​DKT. BITEKO AWASILI RWANDA KUSHIRIKI MKUTANO WA NYUKLIA AFRIKA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt Doto Biteko Juni 29, 2025 amewasili Kigali nchini Rwanda kwa ajili ya kushiriki katika Mkutano unaohu...
Jun 29, 2025
WiZARA YA NISHATI TEMBEENI KIFUA MBELE MNAFANYA KAZI NZURI-DKT BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Sekta ya Nishati ni miongoni mwa sekta zinazotajwa kukua kwa kasi ya asilimia 14....
Jun 28, 2025
RAIS SAMIA ATAJA MAFANIKIO SEKTA YA NISHATI 2020-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameeleza kuwa Sekta ya Nishati imekuwa na mafanikio makubwakatika kipindi cha m...
Jun 27, 2025
WATENDAJI TAASISI ZA WIZARA YA NISHATI WANOLEWA KUHUSU UFUATILIAJI NA TATHMINI
Watendaji kutoka Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati wamepata mafunzo kuhusuUfuatiliaji na Tathmini ambayo yanalenga kuziwezesha Taasisi hizo ku...
Jun 27, 2025
DKT. BITEKO MGENI RASMI NISHATI BONANZA 2025
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe Dkt Doto Biteko anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Bonanza la Wizara ya Nishati na Taasisi zake litakalofa...
Jun 26, 2025
DKT. BITEKO AZIPONGEZA SSF NA TOTAL ENERGIES KUFIKIA VIWANGO VYA JUU VYA USALAMA VYA USAFIRISHAJI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amezipongeza Kampuni za Total Ernergies na Super Star Fowarders – SSFkwa kuweza kufikia...
Jun 25, 2025
​SEKTA YA NISHATI YACHANGIA ASILIMIA 14.4 YA PATO LA TAIFA
Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Sekta ya Nishati ni moja kati ya Sekta tatu nchini ambazo zimechangia ukuaji wa pato la Taifa katika...
Jun 25, 2025
​TANZANIA NA BENKI YA DUNIA WAJADILIANA UTEKELEZAJI MPANGO MAHSUSI WA NISHATI WA MISHENI 300
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felichesmi Mramba amekutana na Viongozi Waandamizi kutoka Benki ya Dunia (WB) kwa lengo la kujadili hatua m...
Jun 25, 2025
TANZANIA YAWA MFANO AFRIKA UTEKELEZAJI MIRADI SEKTA YA NISHATI
Ufanisi wa utekelezaji wa miradi ya Sekta ya Nishati nchini ikiwemo ukamilishaji wa mradi wa usambazaji umeme katika Vijiji 12,318 umekuwa kivutio kat...
Jun 19, 2025
ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 107 ZAKAMILISHA USAMBAZAJI UMEME VIJIJINI SIMIYU
Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wizara ya Nishati imetumia takribani shilingi bilioni 107.36 kupeleka umeme kwenye...
Jun 19, 2025
​MEATU MTAENDELEA KUPATA MIRADI MIKUBWA YA MAENDELEO IKIWEMO NISHATI- DKT.SAMIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassani amesema Serikali imeendelea kupeleka maendeleo katika Wilaya ya Meatu ikiwemo...
Jun 19, 2025
MRAMBA AWASILI NCHINI AFRIKA KUSINI KUSHIRIKI JUKWAA LA NISHATI AFRIKA 2025
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felichesm Mramba amewasili nchini Afrika ya Kusini kushiriki Jukwaa la Nishati Afrika 2025 ambalo litaanga...
Jun 19, 2025
WIZARA YA NISHATI ENDELEENI KUWEZESHA UWEKEZAJI WA VITUO VYA MAFUTA VIJIJINI- SIMBACHAWENE
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene ameiasa Wizara ya Nishati kuendelea kuweka mazi...
Jun 14, 2025
KAMISHNA WA UMEME NA NISHATI JADIDIFU AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA UMEME JIJINI DAR ES SALAA...
Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati, Mhandisi Innocent Luoga, tarehe 12 Juni 2025, amefanya ziara ya kukagua utekelezaji wa...
Jun 13, 2025
KAMPENI YA PIKA SMART INAYOHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAZINDULIWA
Kamishina wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga amezindua kampeni ya kitaifa ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ya ume...
Jun 06, 2025
DKT. BITEKO AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA KITUO KIKUBWA CHA GESI AFRIKA MASHARIKI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa wawekezaji nchini kutoa kipaumbele cha ajira kwa Watanzania ili kukuza k...
Jun 06, 2025
TAASISI 762 ZATUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA NCHINI- DKT.MPANGO
Makamu Wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.Philip IsdorMpango ameeleza kuwa jumla ya taasisi 762 nchini zinatumia nishati safi ya kupi...
Jun 04, 2025
UTENDAJI KAZI WA WIZARA YA NISHATI NA TAASISI ZAKE WAIMARIKA KWA ZAIDI YA ASILIMIA 95
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewapongeza Watendaji wa Wizara ya Nishati na Taasisi zake kwa kuendelea kuimarisha ute...
Jun 03, 2025
​VITONGOJI 284 ARUMERU MASHARIKI VYAFIKIWA NA UMEME
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imevifikishia huduma ya umeme Vitongoji 284 kat...
Jun 02, 2025
DKT. BITEKO AZINDUA MKAKATI WA TAIFA WA MAWASILIANO WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amezindua Mkakati wa Taifa wa Mawasiliano wa Nishati Safi ya Kupikia, pamoja na Kampeni...