UJENZI KITUO CHA KUPOZA UMEME HANDENI KUIMARISHA UPATIKANAJI UMEME- RAIS SAMIA
Kituo kugharimushilingi bilioni 50Zaidi ya Shillingi billioni 98 kutekeleza mradi wa gridi imara KilindiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema utekelezaji wa ujenzi wa kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Hand...
WAKANDARASI WASIMAMIWE KUTEKELEZA MIRADI YA NISHATI KWA WAKATI - KAPINGA
Aagiza wasimamiwe kwa karibu kumaliza miradiAwataka Watendaji TANESCO kuwa na mahusiano mazuri na wananchiNaibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amewataka watendaji wa Sekta ya Nishati kuwajengea uwezo watoa huduma wanaotekeleza miradi mbalimba...
PURA ENDELEENI KUWAVUTIA WAWEKEZAJI KATIKA SHUGHULI ZA UTAFUTAJI MAFUTA NA GESI- KAPINGA
Ataka Duru ya Tano ya kunadi vitalu vya utafutaji wa mafuta na gesi asilia kuwa na matokeo chanyaAipongeza PURA kuwashirikisha Watumishikujadili mipango ya Bajeti ya TaasisiNaibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga ameielekeza Mamlaka ya Udhibiti...
KILI MARATHON ITUMIKE KUTANGAZA UTALII - DKT. BITEKO
Watu zaidi ya 20,000 washiriki Kili MarathonAwaasa kuzingatia ulaji na kufanya mazoeziSerikali kuboresha miundombinu ya viwanja vya michezoNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameiagiza Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na M...
DKT. BITEKO AONGOZA HARAMBEE UJENZI WA KANISA KUU JIMBO LA RULENGE-NGARA
Ampongeza Mhashamu Severine Niwemugizi kwa maono ya kujenga KanisaRais Samia apongezwa kwa ushirikiano wake na taasisi za diniNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amempongeza Askofu wa Jimbo Katoliki Rulenge -Ngara, Mhashamu...
DKT. BITEKO ATETA NA JUMUIYA YA WASAMBAZAJI WA MITUNGI YA GESI NCHINI
Awashukuru kwa mchango wao utekelezaji Mkakati wa Nishati Safi ya KupikiaAtaka LPG ipatikane kwa wingi hadi ngazi ya VijijiAhimiza Tanzania kuwa kitovu cha usambazaji LPG Afrika MasharikiTanzania yaendelea kupigiwa mfano Kimataifa matumizi ya Nishati...
DKT.KAZUNGU AFANYA MAZUNGUMZO NA WAJUMBE KUTOKA SHIRIKA LA MAENDELEO LA SAUDIA
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Dkt. Khatibu Kazungu amekutana na ujumbe kutoka Shirika la Maendeleo la Saudia(Saud Fund for International Development (SFD) na kufanya mazungumzo kuhusuutekelezaji wamradi wanjia ya kusafirisha umeme msongo wa kV...
DKT. BITEKO AITAKA EWURA KUFANYA KAZI BILA KUYUMBISHWA, KUPINDISHWA
Vibali vituo vipya CNG vyatolewa, gharama za leseni zapunguzwaMorogoro, Makambako, Mbeya kutumika kushusha mafuta kutumia bomba la mafutaAfungua Baraza la Wafanyakazi EWURAAsisitiza mazingira mazuri, mafunzo kwa WatumishiNaibu Waziri Mkuu na Waziri w...
DKT. BITEKO AWAHIMIZA WATANZANIA KULIOMBEA TAIFA
Asema amani ya nchi ilindwe kwa wivu mkubwaAsisitiza uchaguzi Mkuu wa Oktoba usiligawe TaifaAsema Watanzania waendelee kumuombea Rais Samia kwa kazi nzuri anazofanyaSerikali kuboresha mipango yake kulingana na mahitaji ya duniaNaibu Waziri Mkuu na Wa...
DKT. BITEKO ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI INDIA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini India na kuzungumza na Watumishi katika ofisi hiyo.Akizungumza katika Ofisi hizo jijini New Delhi, Dkt. Biteko amempongezaBalozi wa Tanzania nchini I...
DKT. BITEKO AIKARIBISHA INDIA KUWEKEZA MIRADI YA UMEME JUA NCHINI
Asema suala la Tanzania kuwa na nishati ya uhakika si la kusubiriKampuni ya Kimataifa ya Umeme Jua (ISA) tayari imeonesha nia ya kuwekeza Kituo cha umahiri wa umeme jua kuzinduliwa Arusha Juni mwaka huuNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt....
SERIKALI YAJIDHATITI KUBORESHA SEKTA YA KILIMO – DKT BITEKO
Anadi soko la mazao jamii ya mikunde IndiaMnada mazao ya kunde mtandaoni waboresha biashara ya kimataifaBiashara kati ya Tanzania na India kufikia dola bilioni 7.9Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Serikali ya Tanza...
TANZANIA YATUMIA WIKI YA NISHATI INDIA KUNADI VITALU VYA MAFUTA NA GESI ASILIA NCHINI
Lengo ni kuvutia uwekezajikatika Mafuta na Gesi Asilia Bahari kuu na Nchi kavuDkt. Biteko aipongeza PURA kutumia majukwaa Kimataifa kutafuta wawekezajiAtilia mkazo uendelezaji wa vyanzo vyote vya nishatiVitalu 26 vya Mafuta na Gesi Asilia kunadiwaSer...
DKT. BITEKO AIKARIBISHA DUNIA KUWEKEZA SEKTA YA NISHATI
Dkt. Samia aleta Mapinduzi ya Nishati Afrika Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia yaendelea kujadiliwa kimataifaNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewakaribisha wawekezaji kutoka nchi mbalimbali duniani kuwekeza katika sekta...
INDIA KUWEKEZA KATIKA SEKTA YA NISHATI NCHINI
Ni kupitia mazungumzo kati ya Dkt. Biteko na Waziri wa Petroli na Gesi Asilia IndiaGesi, Nishati Safi ya Kupikia na Bayofueli zatajwaIndia yaipongeza Tanzania usambazaji umeme vijijiniDkt. Biteko akaribisha wawekezaji,wafanyabiashara kutoka IndiaNaib...
AFRIKA TUNAPASWA KUTUMIA RASILIMALI TULIZONAZO KUZALISHA UMEME WA KUTOSHA - DKT. BITEKO
Asema pamoja na dunia kuhamia kwenye nishati jadidifu, makaa ya mawe yatasaidia Afrika kuwa na umeme wa kutosha Aeleza mafanikio sekta ya nishati Tanzania katika Jukwaa la Mawaziri Wiki ya Nishati India Tanzania yapongezwa kwa miradi ya kikanda ya um...
DKT. BITEKO AWASILI NCHINI INDIA KWA ZIARA YA KIKAZI
Kushiriki Mikutano ya Kimataifa na Wiki ya Nishati ya IndiaMawaziri wa Nishati, Watunga Sera na Wavumbuzi wa teknolojia za Nishati kukutanaNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Februari 11, 2025 amewasili nchini India kwa...
DKT. BITEKO AWAASA WAISLAMU KUENDELEA KUHIFADHI QUR’AAN TUKUFU
Aipongeza Al- Hikma kwa kukuza Mashindano ya kuhifadhi Qur’aan TukufuMashindano ya Qur’aan Tukufu kufanyika mwezi ujaoMashindano ya Qur'aan Afrika yawa Mashindano Makubwa Zaidi ya Qur’aan Tukufu UlimwenguniNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe....
RAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI UKUMBI SHULE BUKOMBE
Awapongeza wananchi kwa kuwa na ukumbi wa kisasaAmpongeza Rais Samia kwa jitihada zake za kuboresha elimu nchiniRais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amewapongeza wananchi wa Wilaya ya Bukomb...
BUKOMBE YATEKELEZA ILANI YA CCM KWA KISHINDO
Rais Samia aleta mapinduzi ya maendeleo GeitaRais Mstaafu Kikwete asema Watanzania wana deni kwa Rais Samia mwezi Oktoba Wanachama wa CCM waaswa kuzingatia maslahi ya ChamaDkt. Biteko apongezwa usimamizi wa miradi ya maendeleoRais Mstaafu wa Awamu ya...