DKT. BITEKO ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI INDIA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini India na kuzungumza na Watumishi katika ofisi hiyo.Akizungumza katika Ofisi hizo jijini New Delhi, Dkt. Biteko amempongezaBalozi wa Tanzania nchini I...
DKT. BITEKO AIKARIBISHA INDIA KUWEKEZA MIRADI YA UMEME JUA NCHINI
Asema suala la Tanzania kuwa na nishati ya uhakika si la kusubiriKampuni ya Kimataifa ya Umeme Jua (ISA) tayari imeonesha nia ya kuwekeza Kituo cha umahiri wa umeme jua kuzinduliwa Arusha Juni mwaka huuNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt....
SERIKALI YAJIDHATITI KUBORESHA SEKTA YA KILIMO – DKT BITEKO
Anadi soko la mazao jamii ya mikunde IndiaMnada mazao ya kunde mtandaoni waboresha biashara ya kimataifaBiashara kati ya Tanzania na India kufikia dola bilioni 7.9Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Serikali ya Tanza...
TANZANIA YATUMIA WIKI YA NISHATI INDIA KUNADI VITALU VYA MAFUTA NA GESI ASILIA NCHINI
Lengo ni kuvutia uwekezajikatika Mafuta na Gesi Asilia Bahari kuu na Nchi kavuDkt. Biteko aipongeza PURA kutumia majukwaa Kimataifa kutafuta wawekezajiAtilia mkazo uendelezaji wa vyanzo vyote vya nishatiVitalu 26 vya Mafuta na Gesi Asilia kunadiwaSer...
DKT. BITEKO AIKARIBISHA DUNIA KUWEKEZA SEKTA YA NISHATI
Dkt. Samia aleta Mapinduzi ya Nishati Afrika Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia yaendelea kujadiliwa kimataifaNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewakaribisha wawekezaji kutoka nchi mbalimbali duniani kuwekeza katika sekta...
INDIA KUWEKEZA KATIKA SEKTA YA NISHATI NCHINI
Ni kupitia mazungumzo kati ya Dkt. Biteko na Waziri wa Petroli na Gesi Asilia IndiaGesi, Nishati Safi ya Kupikia na Bayofueli zatajwaIndia yaipongeza Tanzania usambazaji umeme vijijiniDkt. Biteko akaribisha wawekezaji,wafanyabiashara kutoka IndiaNaib...
AFRIKA TUNAPASWA KUTUMIA RASILIMALI TULIZONAZO KUZALISHA UMEME WA KUTOSHA - DKT. BITEKO
Asema pamoja na dunia kuhamia kwenye nishati jadidifu, makaa ya mawe yatasaidia Afrika kuwa na umeme wa kutosha Aeleza mafanikio sekta ya nishati Tanzania katika Jukwaa la Mawaziri Wiki ya Nishati India Tanzania yapongezwa kwa miradi ya kikanda ya um...
DKT. BITEKO AWASILI NCHINI INDIA KWA ZIARA YA KIKAZI
Kushiriki Mikutano ya Kimataifa na Wiki ya Nishati ya IndiaMawaziri wa Nishati, Watunga Sera na Wavumbuzi wa teknolojia za Nishati kukutanaNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Februari 11, 2025 amewasili nchini India kwa...
DKT. BITEKO AWAASA WAISLAMU KUENDELEA KUHIFADHI QUR’AAN TUKUFU
Aipongeza Al- Hikma kwa kukuza Mashindano ya kuhifadhi Qur’aan TukufuMashindano ya Qur’aan Tukufu kufanyika mwezi ujaoMashindano ya Qur'aan Afrika yawa Mashindano Makubwa Zaidi ya Qur’aan Tukufu UlimwenguniNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe....
RAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI UKUMBI SHULE BUKOMBE
Awapongeza wananchi kwa kuwa na ukumbi wa kisasaAmpongeza Rais Samia kwa jitihada zake za kuboresha elimu nchiniRais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amewapongeza wananchi wa Wilaya ya Bukomb...
BUKOMBE YATEKELEZA ILANI YA CCM KWA KISHINDO
Rais Samia aleta mapinduzi ya maendeleo GeitaRais Mstaafu Kikwete asema Watanzania wana deni kwa Rais Samia mwezi Oktoba Wanachama wa CCM waaswa kuzingatia maslahi ya ChamaDkt. Biteko apongezwa usimamizi wa miradi ya maendeleoRais Mstaafu wa Awamu ya...
KAMATI YA WATAALAM NISHATI SAFI YA KUPIKIA WAJADILI UTEKELEZAJI WA MKAKATI WA NISHATI SAFI YA KUPIKI...
Kamati ya wataalam iliyoundwa na Maafisa Waandamizi kutoka katika Wizara na Taasisi mbalimbali kwa ajili ya kusimamia utekelezaji wa Mkakati wa Nishati safi ya Kupikia kitaifa imekutana kujadili utekelezaji wa mkakati huo wenye lengo la kuhakikisha a...
UTENDAJI KAZI KITUO CHA HUDUMA KWA WATEJA TANESCO WAMKWAZA DKT. BITEKO
Amuagiza Mkurugenzi Mtendaji TANESCO kumchukulia hatua mtaalam aliyemfokea mtejaAtaka Mpango Mahsusi wa Nishati uliosainiwa katika Mkutano wa Mission 300 kupewa kipaumbelePURA, REA, EWURA zang'ara tathmini ya utendaji kazi Taasisi chini ya Wizara ya...
BAADA YA KUMALIZA KAZI YA KUPELEKA UMEME VIJIJINI SASA KASI INAHAMIA VITONGOJINI - MHE. KAPINGA
Asema upelekaji umeme vitongojini umefikia asilimia 52.3Asisitiza umeme kufika maeneo ya uchimbaji madiniNaibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema kuwa hadi kufikia Januari, 2025, Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imekamili...
AZMA YA SERIKALI NI KUHAKIKISHA WANANCHI WANAPATA UMEME WA UHAKIKA WAKATI WOTE- MHE. KAPINGA
Serikali yafuatilia kwa karibu upatikanaji umeme LushotoVijiji vyote Nkasi vyafikiwa na huduma ya umemeNaibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema ni azma ya Serikali kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa uhakika na unaotabirika kwa ajili ya...
DKT.KAZUNGU AKAGUA VITUO VYA UMEME HALE, PANGANI NA NYUMBA YA MUNGU
Lengo ni kuhakikisha vinafanya kazi kwa ufanisiAtaka ukarabati wa mitambo Hale kumalizika kwa wakatiNaibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. Khatibu Kazungu, amemtaka Mkandarasi anayekarabati mitambo katika kituo cha kufua umeme Hale kufanya kazi...
DKT. KAZUNGU AKAGUA VITUO VYA UMEME NJIRO NA LEMUGURU- ARUSHA
Aipongeza TANESCO kwa kazi nzuriAsema kituo cha Lemuguru kitakuza biashara ya umeme na nchi jiraniNaibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. Khatibu Kazungu amekagua vituo vya umeme vya Lemuguru na Njiro mkoani Arusha na kuipongeza TANESCO kwa kazi...
DKT. BITEKO AFUNGUA MKUTANO WA NISHATI WA VIONGOZI - AFRIKA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amefungua mkutano wa Kimataifa wa Nishati unaowakutanisha Viongozi mbalimbali wa Afrika, Mashirika ya Kimataifa; Viongozi wa Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Afrika na taasisi ya Rock...
SERIKALI KUIMARISHA MAZINGIRA WEZESHI YA UPATIKANAJI WA MAFUTA NCHINI - KAPINGA
TBS kujenga Maabara ya kupimaubora wa mafuta katika bandari ya TangaSerikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeahidi kuendelea kuweka mazingira wezeshi ili kuhakikisha kuwa bidhaa za mafuta ya petroli, dizeli pamoja na mafut...
UWEZO WA MITAMBO YA KUFUA UMEME WAFIKIA MEGAWATI 3,091.71- MHE.KAPINGA
Wateja wapya 109,918 waunganishiwa na huduma ya umeme nchiniKamati ya Bunge yaipongeza TANESCO kwa kuimarisha Miundombinu ya umemeSerikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema kuwa uwezo wa mitambo ya kufua umeme iliyounganishwa katik...