Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania

Ministry of Energy

News

Jul 20, 2022
Migodi 336 kupelekewa umeme na Wakala wa Nishati Vijijini
Migodi 336 kupelekewa umeme na Wakala wa Nishati VijijiniSerikali imepanga kupeleka umeme katika migodi 336 nchini kupitia Wakala wa Nishati Vijijini...
Jul 15, 2022
WAZIRI MAKAMBA ATATUA CHANGAMOTO YA UMEME SENGEREMA
Waziri wa Nishati, Mhe.January Makamba ametatua changamoto ya muda mrefu ya kutopata umeme wa uhakika wilayani Sengerema kutokana na sababu mbalimbali...
Jul 14, 2022
MRAMBA: MWEZI AGOSTI 2022 TUNAWASHA UMEME WA GRIDI KIGOMA
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amewahakikishia wakazi wa Mkoa wa Kigoma kuwa Mwezi wa Agosti mwaka huu, mkoa huo utaanza kut...
Jul 14, 2022
UJENZI WA KIWANDA CHA KUWEKA PLASTIKI KATIKA MABOMBA YA CHUMA YA KUSAFIRISHA MAFUTA WAANZA
Makatibu Wakuu kutoka Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba, na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Emmanuel Tutuba wamewataka watanzania k...
Jul 14, 2022
MRADI WA RUSUMO KUKAMILIKA NOVEMBA 2022, UJENZI WAFIKIA 95%
Mradi wa kuzalisha Umeme kwa kutumia nguvu ya maji ya Mto Kagera wa RUSUMO MW 80 utakamilika mwezi Novemba 2022 na kuanza kuzalisha Umeme utakaoungani...
Jul 14, 2022
SHILINGI BILIONI 75 KUIMARISHA UPATIKANAJI UMEME SIMIYU
SHILINGI BILIONI 75 KUIMARISHA UPATIKANAJI UMEME SIMIYUWaziri wa Nishati, Mhe. January Makamba, ameeleza kuwa changamoto ya upatikanaji wa umeme wa uh...
Jul 14, 2022
BEI YA UMEME KUTOKA MIRADI MIDOGO YA UMEME SASA NI SHILINGI 1600
Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba, amesema kuwa, shilingi 1600 itakuwa bei mpya ya umeme kwa unit katika miradi midogo ya umeme iliyo nje ya Gri...
Jun 30, 2022
​Menejimenti ya Wizara ya Nishati yakagua maendeleo ya mradi wa JNHPP
Menejimenti ya Wizara ya Nishati yakagua maendeleo ya mradi wa JNHPPNa Zuena Msuya, PwaniWajumbe wa Menejimenti ya Wizara ya Nishati wamefanya ziara y...
Jun 24, 2022
​Waziri wa Nishati afanya mazungumzo na Mwakilishi wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza
Waziri wa Nishati afanya mazungumzo na Mwakilishi wa Waziri wa Mambo ya Nje wa UingerezaNa Teresia MhagamaWaziri wa Nishati, Mhe.January Makamba ameku...
Jun 21, 2022
Byabato ashiriki kikao cha Mawaziri wa Nishati Afrika.
Byabato ashiriki kikao cha Mawaziri wa Nishati Afrika.Na Timotheo Mathayo, Dodoma.Naibu wa Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato ameshiriki kikao...
Jun 11, 2022
YALIYOJIRI WAKATI WA HAFLA YA UWEKAJI SAINI MAKUBALIANO YA AWALI YA MKATABA WA NCHI HODHI WA MRAD...
*Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan*#Huu ni mradi mkubwa na wa kimkakati kwa nchi yetu, tumekuwa na miradi mingine ya k...
Jun 08, 2022
​Wizara ya Nishati yaahidi ushirikiano kwa watengenezaji wa magari ya umeme
Wizara ya Nishati yaahidi ushirikiano kwa watengenezaji wa magari ya umemeNa Teresia Mhagama, ArushaNaibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Kheri Mahi...
May 27, 2022
​Katibu Mkuu Wizara ya Nishati apongeza Watumishi Wizara na Taasisi kwa utekelezaji wa miradi
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati apongeza Watumishi Wizara na Taasisi kwa utekelezaji wa miradiNa Teresia Mhagama, DodomaKatibu Mkuu wa Wizara ya Nishati...
May 27, 2022
​Tanzania, Zambia kushirikiana katika umeme, mafuta na gesi.
Tanzania, Zambia kushirikiana katika umeme, mafuta na gesi.Na Timotheo Mathayo, Dar es Salaam.Mawaziri wa Nishati kutoka Zambia na Tanzania wamekutana...
May 10, 2022
KAULI YA WAZIRI WA NISHATI KWA BUNGE KUHUSU KUPANDA KWA BEI ZA MAFUTA NA HATUA ZINAZOCHUKULIWA KUSHU...
Mheshimiwa Spika, tarehe 05 Mei 2022, katika kikao cha kumi na sita (16) cha Mkutano wa Saba (7) wa Bunge la 12, Waheshimiwa Wabunge walijadili kuhusu...
May 02, 2022
​Makamba awahakikishia soko la ndani Wadau wa nguzo za umeme
Makamba awahakikishia soko la ndani Wadau wa nguzo za umemeØ Aunda Kamati maalum itakayowezesha upatikanaji wa nguzo zenyeubora zaidiNa Zuena Msuya, I...
Apr 19, 2022
​Megawati 200 za Jotoardhi kuzalishwa kabla ya mwaka 2025
Megawati 200 za Jotoardhi kuzalishwa kabla ya mwaka 2025Na Teresia Mhagama, MbeyaSerikali imesema kuwa, Tanzania itazalisha umeme wa kiasi cha megawat...
Apr 19, 2022
​Visima vya nishati ya Jotoardhi kuanza kuchorongwa Songwe
Visimavya nishati ya Jotoardhi kuanza kuchorongwa Songwe Imeelezwa kuwa, Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC) kuanzia mwezi Mei mwaka huu...
Apr 06, 2022
​Hakuna uhaba wa mafuta nchini -Waziri Makamba
Hakuna uhaba wa mafuta nchini -Waziri MakambaNa Janeth Mesomapya Waziri wa Nishati Mhe. January Makamba amesema kuwa mafuta yaliyopo kwenye maghala,...
Mar 30, 2022
​Naibu Katibu Mkuu Nishati, akagua eneo la upakuaji mafuta katika kina kirefu cha Bahari
Naibu Katibu Mkuu Nishati, akagua eneo la upakuaji mafuta katika kina kirefu cha BahariNaibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Kheri Mahimbali amefanya z...