NDEJEMBI ATAKA EWURA KUKAGUA MAGHALA YA MAFUTA KUHAKIKISHA HAKUNA MAFUTA YANAYOFICHWA.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kuhakikisha kuwa, hakuna mfanyabiashara anayeficha mafuta kwa kisingizio cha kusubiri bei za mafuta zipande kutokana na mgogoro unaoendelea...
MAHITAJI YA UMEME YAONGEZEKA KWA WASTANI WA 10 - 15% KILA MWAKA.
Ongezeko la idadi ya watu pamoja na kuimarika kwa shughuli za viwanda na biashara limeendelea kuchochea kasi ya mahitaji ya umeme nchini kwa wastani wa asilimia 10 hadi 15 kila mwaka.Kutokana na mwenendo huo, Serikali imejipanga kuongeza jitihada za...
MAENEO YA UWEKEZAJI SEKTA YA NISHATI YATAJWA NCHINI INDIA.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, ametangaza fursa mbalimbali za uwekezaji zilizopo katika sekta ya nishati nchini, akizialika kampuni na wawekezaji wa kimataifa kuchangamkia nafasi h...
TANZANIA YAJIPANGA KUNUFAIKA NA GESI TRILIONI 57.54, WAWEKEZAJI WAALIKWA.
Tanzania imeingia katika hatua mpya ya maendeleo ya sekta ya gesi asilia kufuatia kuthibitishwa kwa uwepo wa akiba kubwa inayokadiriwa kufikia futi trilioni 57.54, hatua inayotarajiwa kubadilisha mwelekeo wa uchumi wa Taifa.Akizungumza katika mkutano...
SERIKALI YATANGAZA FURSA ZA UWEKEZAJI NISHATI ZA DOLA BIL. 12.9
Serikali ya Tanzania imetangaza uwepo wa fursa kubwa za uwekezaji katika sekta ya nishati zenye thamani ya dola za Marekani bilioni 12.9, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kukuza uchumi na kuboresha upatikanaji wa huduma za nishati nchini.Akizungumza kat...
TUNAIMARISHA UZALISHAJI NA USAMBAZAJI UMEME KUKIDHI MAHITAJI YA UCHUMI UNAOKUA - MHANDISI MRAMBA.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, ameieleza Jumuiya ya kimataifa kuwa Tanzania inaendelea kuchukua hatua za kimkakati kuimarisha uzalishaji, usafirishaji na usimamizi wa umeme ili kuk...
SHULE YA SEKONDARI NJOMBE YAOKOA MIL.9/- KWA KUACHANA NA KUNI.
Shule ya sekondari njombe imeokoa zaidi ya sh. Milioni tisa kwa muhula baada ya kuachana na matumizi ya kuni na kuanza kutumia nishati safi ya kupikia.Mkuu wa shule hiyo, benard william, amesema hatua hiyo imetokana na utekelezaji wa maelekezo ya ser...
BAADA YA SADC KUITAJA TANZANIA KINARA WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA; KAMISHNA LUOGA ATAKA WATUMISHI KUK...
Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga amewataka Watumishi wa Wizara ya Nishati kuendelea kukuza matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini ili kufanikisha ajenda hiyo ambayo kinara wake ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanza...
TUMEONDOA VAT KATIKA UAGIZAJI WA MITUNGI YA GESI ILI KURAHISISHA UPATIKANAJI WA NISHATI SAFI YA KUPI...
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema kuwa Serikali imeondoa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwenye uagizaji wa mitungi ya gesi (LPG), mitungi mikubwa ya gesi (LPG bulk facility) pamoja na carbonizers za kutengeneza mkaa mbadala ikiwa...
MAJIKO YA UMEME YALETA MAPINDUZI SHULE SITA ZA MSINGI TABORA
Shule sita za msingi Manispaa ya Tabora, zikiwemo za wanafunzi wenye mahitaji maalum (viziwi na wasioona), zimejengewa majiko ya kisasa yanayotumia umeme kwa ajili ya kupikia chakula cha wanafunzi kupitia mradi wa kuhamasisha matumizi ya nishati safi...
SHULE YA VIZIWI NJOMBE YAHAMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Shule ya Viziwi Njombe Sekondari ya mkoani Njombe imetekeleza agizo la Serikali la kuhamia katika matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuepukana na madhara ya kiafya yanayosababishwa na moshi wa nishati isiyo safi ya kupikia.Akizungumza wakati wa...
KUTOKA NDOTO HADI FURAHA: UMEME KUMFIKIA BIBI SESILIA.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, alipata nafasi ya kusikiliza ombi la Bibi Sesilia Charles wakati wa mazungumzo na wananchi katika Kitongoji cha Elimu, Kijiji cha Mushinde, Kata ya Buwangongo wilayani Geita. Bibi Sesilia alimueleza kuwa...
UWEKEZAJI WA SHILINGI BILIONI 50 KITUO CHA MPOMVU WAIMARISHA UPATIKANAJI WA UMEME KANDA YA ZIWA.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imefanya ziara ya ukaguzi katika Kituo cha Kupokea na Kupoza Umeme cha Mpomvu kilichopo mkoani Geita, Machi 15, 2026, ikiwa ni sehemu ya ufuatiliaji wa utekelezaji wa miradi ya kimkakati ya Nishati inayo...
KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA KASI YA USAMBAZAJI UMEME VITONGOJI 15 KILA JIMBO.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeipongeza Wizara ya Nishati kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kasi ya utekelezaji wa mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji 15 kwa kila jimbo nchini ili kuchochea maendeleo ya kijamii na...
MIKAKATI MIPYA YAWEKWA KUONGEZA UTAFUTAJI WA MAFUTA NA GESI NCHINI.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia mafuta na Gesi asilia Dkt. James Mataragio amewaelekeza Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kuimarisha shughuli za utafutaji akibainisha kuwa shughuli hizo zimepungua kwa kiasi kikubwa ka...
MIRADI SEKTA YA MAFUTA NA GESI ASILIA IKAMILIKE KWA WAKATI - DKT. MATARAGIO
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi Asilia, Dkt. James Mataragio, ameitaka Menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuhakikisha kuwa miradi ya mafuta na gesi asilia inayoendelea nchini inatekelezwa na k...
MEGAWATI 50 ZA UMEME JUA KISHAPU ZAIKOSHA KAMATI YA BUNGE
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeipongeza Wizara ya Nishati kwa kuendelea kutekeleza mkakati wa kuzalisha umeme kwa kutumia vyanzo mbalimbali vya nishati (Energy Mix) ukiwamo mradi wa kuzalisha umeme wa jua wenye uwezo wa megawati 50...
TANWAT WOOD BRIQUETTES BOOST CLEAN COOKING ENERGY USE IN NJOMBE.
A team from the Ministry of Energy in collaboration with the United Nations Capital Development Fund (UNCDF), visited the Tanganyika Wattle Company Limited (TANWAT) factory in Njombe on 12 March 2026 to observe the production of wood briquettes.The v...
PARLIAMENTARY COMMITTEE ON ENERGY AND MINERALS CONTINUES WITH SHINYANGA REGION TOUR
The Standing Parliamentary Committee on Energy and Minerals, led by its Chairperson Hon. Subira Mgalu (MP) accompanied by the Minister of Energy, Hon. Deogratius Ndejembi arrived at the Regional Commissioner’s Office in Shinyanga today March 13, 2026...
NDEJEMBI: KIWANDA CHA NGUZO TABORA KINAJIENDESHA KWA FAIDA, SERIKALI YAPANGA KUJENGA VINGINE.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameihakikishia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kuwa Kiwanda cha Kutengeneza Nguzo za Zege cha TCPM kilichopo mkoani Tabora kinajiendesha kwa faida, hali inayokifanya kuwa chachu ya kuanzishw...