WAZIRI WA NISHATI MHE. NDEJEMBI AZINDUA RASMI MITA JANJA
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter) yenye lengo la kuboresha na kumrahisishia mteja kufanya manunuzi ya umeme moja kwa moja ikiwa ni mageuzi makubwa ya teknolojia yanayofanywa na TANESCO katika kuongeza...
PBPA HAKIKISHENI WAWEKEZAJI WAZAWA WANAPEWA KIPAUMBELE KATIKA FURSA ZA UWEKEZAJI MHE.SALOME.
Wadau wa masuala ya Nishati safi ya kupikia zikiwepo Wizara na Taasisi mbalimbali nchini, wamekutana Jijini Dodoma na kujadili mbinu mbalimbali za kufikia wadau muhimu zitakazowezesha kufikisha asilimia 80 ya wananchi wanaotumia nishati safi ya kupik...
SHULE ZA SEKONDARI 52; CHUO CHA VETA KUFUNGIWA MIUNDOMBINU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imesaini mikataba ya kufunga miundombinu ya nishati safi ya kupikia kwa shule za Sekondari 52 na Chuo cha VETA kimoja hapa nchini.Hafla hiyo ya utiaji saini imeongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mha. Hassan Saidy leo,...
HAKIKISHENI MRADI WA NJIA ZA KUSAFIRISHA UMEME ZINAKAMILIKA KWA WAKATI MHE. NDEJEMBI
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amemtaka Mkandarasi anayetekeleza mradi wa njia za kusafirisha umeme kutoka Chalinze hadi Dodoma kuhakikisha kuwa kazi za njia za kusafirisha umeme zinakamilika kwa wakati uliopangwa.Mhe. Ndejembi ameyasema...
MKAKATI WA MAWASILIANO WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KICHOCHEO CHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI- MBUJA
Imeelezwa kuwa Mkakati wa Taifa wa Mawasiliano wa Nishati Safi ya Kupikia ni nyenzo muhimu ya kufanikisha malengo ya Taifa ya kuhakikisha wananchi wanapika kwa kutumia nishati safi, salama na rafiki wa mazingira.Hayo yamebainishwa leo Novemba 27, 202...
WANANCHI MIKOA YA IRINGA NA DODOMA KUWA NA UMEME WA UHAKIKA-MHE. MAKAMBA.
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome Makamba leo Novemba 26, 2025 ametembelea na kukagua mradi wa kuzalisha umeme kwa njia ya maji la Bwala la Mtera liliopo mpakani kati ya Iringa na Dodoma, ambapo amesema kuwa wananchi wa mikoa ya Dodoma na Iringa sa...
NDEJEMBI: TANZANIA SASA INA UMEME WA KUTOSHA
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema Tanzania kwa sasa ina umeme wa kutosha na hivyo ukamilifu wa Mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere umeondoa kabisa mgao wa umeme nchini.Mhe. Ndejembi ameyasema hayo leo Novemba 26, 2025 wakati wa z...
REA-VIJANA CHANGAMKIENI FURSA ZILIOPO KWENYE NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Wakala wa Nishati vijijini (REA) imewataka vijana nchini na vikundi vya wanawake kuchangamkia mafunzo yatakayotolewa na REA ya fursa zilizopo katika mnyororo wa thamani wa nishati safi ya kupikia. kupitia ruzuku kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa k...
CLEAN COOKING ENERGY
Clean cooking energy remains a significant developmental and public health priority in Tanzania.The Government of Tanzania, through the Ministry of Energy, has developed the National Clean Cooking Strategy (2024 - 2034) to accelerate the adoption of...
MHE. NDEJEMBI ASISITIZA UTEKELEZAJI WA VIPAUMBELE VYA SERIKALI KUFIKIA 2030
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amewaagiza Watumishi wa Wizara hiyo kufanya kazi kwa bidii ili kutimiza Vipaumbele vya Serikali katika Sekta ya Nishati ikiwemo kufikia Megawati 8000 ifikapo 2030.Mhe. Ndejembi ameyasema hayo tarehe 18 Novem...
MHA. LUOGA AZINDUA UTAFITI WA MATUMIZI YA NISHATI KATIKA KAYA, WA MWAKA 2023.
Kamishina wa Umeme na Nishati Jadidifu Mha. Innocent Luoga kutoka Wizara ya Nishati , amezindua Takwimu za Matumizi ya Nishati katika Kaya kwa mwaka 2023.Hafla hiyo imefanyika katika Ofisi ya Taifa ya Takwimu leo tarehe 17 Novemba 2025 Jijini Dodoma....
MKAKATI WA TAIFA UMELENGA KUFIKIA 80% YA WATANZANIA KUTUMIA NISHATI SAFI IFIKAPO 2034
Imeelezwa Kuwa, Mkakati wa Mawasiliano wa Nishati Safi ya Kupikia ni Dira muhimu ya kufanikisha malengo ya Taifa ya kuhakikisha wananchi wanatumia nishati safi na salama, rafiki wa mazingira na yenye gharama nafuu hadi kufikia mwaka 2034 ambapo asili...
AGIZO LA MINADA YOTE NCHINI KUTUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA LAANZA KUTEKELEZWA
Agizo la Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko kwa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha kuwa minada yote nchini inakuwa na miundombinu itakayowawezesha Wachoma nyama, Mama Lishe na Baba Lishe kutumia nishati Safi ya Ku...
MKAKATI WA MAWASILIANO WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA: DIRA YA MAFANIKIO YA TAIFA – MHA. KABUNDUGURU
Imeelezwa kuwa, Mkakati wa Mawasiliano wa Nishati Safi ya Kupikia ni dira muhimu ya kufanikisha malengo ya Taifa ya kuhakikisha wananchi wanatumia nishati safi na salama, rafiki wa mazingira na yenye gharama nafuu hadi kufikia mwaka 2034.Hayo yameele...
ELIMU YA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KUOKOA MAISHA ZAIDI YA ELFU 33 KILA MWAKA NCHINI
Elimu ya matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia inayotolewa na Wizara ya Nishati kwa maafisa dawati na waratibu wa nishati safi ya kupikia katika halmashauri na mikoa yote nchini, inatarajiwa kuokoa vifo vya watu zaidi ya 33,000 kila mwaka vinavyotokana...
WIZARA YA NISHATI YAPONGEZWA KWA KUTOA ELIMU YA NISHATI SAFI MIKOA YA NYANDA ZA JUU
Mwakilishi wa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mbeya, Simon Parmet ameipongeza Wizara ya Nishati kwa kutoa elimu kwa Maafisa Dawati kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia, hatua ambayo itachochea kasi ya utekelezaji wa Mkakati wa Kitaifa wa Nishati Safi...
DKT. MATARAGIO AAGIZA VIFAA VYOTE VYA UHAKIKI WA JOTOARDHI ZIWA NGOZI KUFIKA KWA WAKATI
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Kampuni yake Tanzu ya Uendelezaji Jotoardhi (TGDC) kuhakikisha kuwa vifaa vyote vya uhakiki wa rasilimali Jotoardhi katika mradi wa Ziwa Ngo...
TANZANIA NA MISRI KUENDELEZA USHIRIKIANO KWENYE MIRADI YA UMEME -KAPINGA
TANZANIA NA MISRI KUENDELEZA USHIRIKIANO KWENYE MIRADI YA UMEME -KAPINGA Waziri wa Mambo Nje Misri atembelea Bwawa la Julius Nyerere Asifu hatua za Rais wa Tanzania na Misri kusimamia utekelezaji wa mradi Mradi wafikia asilimia 99.89...
test
test
DALILI ZA UWEPO WA GESI ASILIA KATIKA KITALU CHA LINDI-MTWARA
Utafiti unaoendelea kufanyika katika Kitalu cha Lindi–Mtwara, mkoani Mtwara umeonesha dalili za uwepo wa Gesi Asilia, hususani katika vijiji vya Mnyundo na Mpapura, ambapo visima vya maji vilibainika kuvujisha gesi asilia.Utafiti huo unajumuisha juml...