Jul 23, 2025
LUKUVI AIPONGEZA WIZARA YA NISHATI KUTEKELEZA AZMA YA SERIKALI YA KUHAMIA KATIKA MJI WA SERIKALI MTU...
Wizara ya Nishati imepongezwa kwa kuhamia rasmi katika Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma ambapo Idara na Vitengo vyote vya Wizara sasa vimeshahamia...
Jul 23, 2025
BENKI YA DUNIA KUJENGA MRADI WA NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME WA KV 400 KUTOKA UGANDA HADI TANZANIA
Benki ya Dunia (WB) imeeleza kuwa itatoa fedha za utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo mkubwa wa kilovolti 400 kutoka...
Jul 21, 2025
MAFUTA GHAFI MRADI WA EACOP KUZALISHA UMEME KUKIDHI MAHITAJI WAKATI WA DHARURA
Mradi wa ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga utazalisha umeme wake kwa kutumi...
Jul 18, 2025
MRADI WA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA (EACOP) HAUATHIRI SHUGHULI ZA KIUTENDAJI ZA WANANCHI
Mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga haujaathiri shughuli mbalimbali...
Jul 17, 2025
MRADI WA EACOP HAUNA ATHARI ZA KIMAZINGIRA; WANANCHI ZAIDI YA 26,000 WANUFAIKA NA MAJI
Imeelezwa kuwa mradi wa ujenzi wa bomba la Mafuta ghafi la Afrika Mashariki -EACOP hauna athari za kimazingira kutokana na Serikali kuweka Sera nzuri...
Jul 16, 2025
MRADI WA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA (EACOP) UMELETA MAPINDUZI YA KIUCHUMI KWA WANANCHI WA TANGA
Wananchi waishio kwenye vijiji vinavyopakana na mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki, EACOP wamesema Serikali ya awamu ya sita ya Mhe. R...
Jul 14, 2025
WAZIRI MKUU MAJALIWA AKABIDHI TUZO YA UMAHIRI KWA MKUU WA KITENGO CHA MAWASILIANO WIZARA YA NISHATI
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa leo tarehe 13 Julai, 2025 amemkabidhi Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Se...
Jul 10, 2025
TANZANIAINA UMEME WA KUTOSHA – DKT. BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Tanzania ina umeme wa kutosha hatua ambayo imechangiwa na kukamilika kwaMiradi m...
Jul 09, 2025
SEKTA YA HABARI NI NYENZO MUHIMU KULINDA NA KUDUMISHA AMANI KIPINDI CHA UCHAGUZI: DKT. BITEKO
Tasnia ya habari nchini inatoa mchango mkubwa katika maendeleo ya nchi kabla na baada ya uhuru ambapo uwepo wa baadhi ya vyombo vya habari vya awali k...
Jul 09, 2025
RAIS MWINYI ATEMBELEA BANDA LA NISHATI MAONESHO YA SABASABA
Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi leo 7 Julai, 2025 ametembelea banda la Wizara ya Nishati kwenye maonesho...
Jul 04, 2025
SADC: SEKTA YA NISHATI IWE KICHOCHEO CHA KUIUNGANISHA AFRIKA KUJENGA UCHUMI
Mawaziri wanaoshughulikia masuala ya Nishati na Maji wa Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wametaka Sekta ya Nishati kuwa kichocheo...
Jul 04, 2025
NISHATI SAFI YA KUPIKIA NI AJENDA YA DUNIA, WIZARA INAITEKELEZA KWA VITENDO - DKT. KAZUNGU
Naibu katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia umeme na nishati Jadidifu, Dkt Khatibu Kazungu leo 04 Julai, 2025 amepokea magari mawili yatakayo...
Jul 03, 2025
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga akiwa ameambatana na Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe...
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga akiwa ameambatana na Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Mhe. Suzan Kaganda, wameshiriki katika hafla fup...
Jul 03, 2025
SADC YAITAJA TANZANIA KINARA UTEKELEZAJI AJENDA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametajwa kuwa kinara namba moja wa uhamasishaji wa matumizi ya nishati safi ya...
Jul 03, 2025
DKT KAZUNGU AKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN, WAAHIDI KUWEKEZA KWENYE MIRADI YA UMEME
Naibu katibu Mkuu Wizara ya Nishati, anayeshughulikia umeme na nishati jadidifu Dkt Khatibu Kazungu, leo amekutana na kuzungumza na ujumbe wa wawekeza...
Jul 03, 2025
WIZARA YA NISHATI YAANZA KUFANYIA KAZI MAAGIZO YA RAIS SAMIA KUHUSU NISHATI YA NYUKLIA
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. Khatibu Kazungu ameongoza kikao kazi maalum kilicholenga kujadili hatua za utekelezaji wa maagizo ya Rais...
Jul 03, 2025
MIRADI YA NISHATI SAFI IACHE ALAMA KWA WANANCHI, ASEMA KAMISHNA LUOGA
Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Innocent Luoga amesema utekelezaji wa miradi ya nishati safi ya kupikia inapaswa kuweka alama kwa wananchi...
Jun 29, 2025
DKT. BITEKO AWASILI RWANDA KUSHIRIKI MKUTANO WA NYUKLIA AFRIKA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt Doto Biteko Juni 29, 2025 amewasili Kigali nchini Rwanda kwa ajili ya kushiriki katika Mkutano unaohu...
Jun 29, 2025
WiZARA YA NISHATI TEMBEENI KIFUA MBELE MNAFANYA KAZI NZURI-DKT BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Sekta ya Nishati ni miongoni mwa sekta zinazotajwa kukua kwa kasi ya asilimia 14....
Jun 28, 2025
RAIS SAMIA ATAJA MAFANIKIO SEKTA YA NISHATI 2020-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameeleza kuwa Sekta ya Nishati imekuwa na mafanikio makubwakatika kipindi cha m...