SADC: SEKTA YA NISHATI IWE KICHOCHEO CHA KUIUNGANISHA AFRIKA KUJENGA UCHUMI
Mawaziri wanaoshughulikia masuala ya Nishati na Maji wa Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wametaka Sekta ya Nishati kuwa kichocheo cha kuiunganisha Afrika katika kujenga uchumi wake.Wamesema hayo leo Julai 4, 2025 wakati wakihitim...
NISHATI SAFI YA KUPIKIA NI AJENDA YA DUNIA, WIZARA INAITEKELEZA KWA VITENDO - DKT. KAZUNGU
Naibu katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia umeme na nishati Jadidifu, Dkt Khatibu Kazungu leo 04 Julai, 2025 amepokea magari mawili yatakayotumika kwa ajili ya kampeni ya kuhamasisha na kutoa elimu kwa wananchi kuhusu matumizi ya nishati sa...
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga akiwa ameambatana na Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe...
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga akiwa ameambatana na Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Mhe. Suzan Kaganda, wameshiriki katika hafla fupi ya chakula cha jioni sambamba na kupata burudani (Cocktail) iliyoandaliwa na Wizara ya Nishati ya...
SADC YAITAJA TANZANIA KINARA UTEKELEZAJI AJENDA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametajwa kuwa kinara namba moja wa uhamasishaji wa matumizi ya nishati safi ya kupikia Afrika na Mawaziri wanaoshughulikia masuala ya Nishati na Maji wa Jumuiya ya Maendeleo Kusin...
DKT KAZUNGU AKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN, WAAHIDI KUWEKEZA KWENYE MIRADI YA UMEME
Naibu katibu Mkuu Wizara ya Nishati, anayeshughulikia umeme na nishati jadidifu Dkt Khatibu Kazungu, leo amekutana na kuzungumza na ujumbe wa wawekezaji kutoka nchini Japan kupitia kampuni ya Toyota Tshusho Cooperation, uliolenga kufanya mazungumzo k...
WIZARA YA NISHATI YAANZA KUFANYIA KAZI MAAGIZO YA RAIS SAMIA KUHUSU NISHATI YA NYUKLIA
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. Khatibu Kazungu ameongoza kikao kazi maalum kilicholenga kujadili hatua za utekelezaji wa maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhusu maandalizi ya kuanzisha mat...
MIRADI YA NISHATI SAFI IACHE ALAMA KWA WANANCHI, ASEMA KAMISHNA LUOGA
Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Innocent Luoga amesema utekelezaji wa miradi ya nishati safi ya kupikia inapaswa kuweka alama kwa wananchi ili kutimiza malengo yaliyokusudiwaKamishna luoga ameyasema hayo leo julai 3 ,2025 wakati akifungua...
DKT. BITEKO AWASILI RWANDA KUSHIRIKI MKUTANO WA NYUKLIA AFRIKA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt Doto Biteko Juni 29, 2025 amewasili Kigali nchini Rwanda kwa ajili ya kushiriki katika Mkutano unaohusu masuala ya nyuklia Afrika.Katika Mkutano huo unaotarajiwa kuanza Juni 30 hadi Julai 1, 2025 nchin...
WiZARA YA NISHATI TEMBEENI KIFUA MBELE MNAFANYA KAZI NZURI-DKT BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Sekta ya Nishati ni miongoni mwa sekta zinazotajwa kukua kwa kasi ya asilimia 14.7 ukiacha ile ya Sanaa na Burudani inayokua kwa asilimia 17 na hivyo kuwa miongoni mwa sekta zinazof...
RAIS SAMIA ATAJA MAFANIKIO SEKTA YA NISHATI 2020-2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameeleza kuwa Sekta ya Nishati imekuwa na mafanikio makubwakatika kipindi cha miaka mitano.Ameyasema hayo wakati akihitimisha shughuli za Bunge Jijini Dodoma tarehe 28 Juni 2025."...
WATENDAJI TAASISI ZA WIZARA YA NISHATI WANOLEWA KUHUSU UFUATILIAJI NA TATHMINI
Watendaji kutoka Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati wamepata mafunzo kuhusuUfuatiliaji na Tathmini ambayo yanalenga kuziwezesha Taasisi hizo kuendeleakuboresha utendaji kazi.Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luogaamefung...
DKT. BITEKO MGENI RASMI NISHATI BONANZA 2025
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe Dkt Doto Biteko anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Bonanza la Wizara ya Nishati na Taasisi zake litakalofanyika jumamosi Juni28, 2025jijini Dodoma.Akizungumzia maandalizi ya Bonanza hilo, Mkuu wa Kitengo ch...
DKT. BITEKO AZIPONGEZA SSF NA TOTAL ENERGIES KUFIKIA VIWANGO VYA JUU VYA USALAMA VYA USAFIRISHAJI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amezipongeza Kampuni za Total Ernergies na Super Star Fowarders – SSFkwa kuweza kufikia viwango vya juu vya usalama vya usafirishaji huku akiwataka wasafirishaji wengine kufuatanyayo zao k...
SEKTA YA NISHATI YACHANGIA ASILIMIA 14.4 YA PATO LA TAIFA
Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Sekta ya Nishati ni moja kati ya Sekta tatu nchini ambazo zimechangia ukuaji wa pato la Taifa katika kipindi cha kati ya mwaka 2015 hadi 2025.Kapinga ameyasema hayo wakati akichangia hotuba ya Bajeti...
TANZANIA NA BENKI YA DUNIA WAJADILIANA UTEKELEZAJI MPANGO MAHSUSI WA NISHATI WA MISHENI 300
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felichesmi Mramba amekutana na Viongozi Waandamizi kutoka Benki ya Dunia (WB) kwa lengo la kujadili hatua mbalimbali zilizofikiwa katika utekelezaji wa Mpango Mahsusi wa kuwafikishiaumeme Waafrika milioni 30...
TANZANIA YAWA MFANO AFRIKA UTEKELEZAJI MIRADI SEKTA YA NISHATI
Ufanisi wa utekelezaji wa miradi ya Sekta ya Nishati nchini ikiwemo ukamilishaji wa mradi wa usambazaji umeme katika Vijiji 12,318 umekuwa kivutio katika Jukwaa la Nishati Afrika linalofanyika nchini Afrika Kusini.Kutokana na ufanisi huo unaojumuisha...
ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 107 ZAKAMILISHA USAMBAZAJI UMEME VIJIJINI SIMIYU
Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wizara ya Nishati imetumia takribani shilingi bilioni 107.36 kupeleka umeme kwenye Vijiji vyote474 vya Mkoa wa Simiyu.Kapinga ameyasema hayo leo Juni 18, 2025 wakati akitoa tathmini y...
MEATU MTAENDELEA KUPATA MIRADI MIKUBWA YA MAENDELEO IKIWEMO NISHATI- DKT.SAMIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassani amesema Serikali imeendelea kupeleka maendeleo katika Wilaya ya Meatu ikiwemo ukamilishaji wa usambazaji umeme katika Vijiji vyote 109 vya Wilaya hiyo.Dkt. Samia ameyasema hayo J...
MRAMBA AWASILI NCHINI AFRIKA KUSINI KUSHIRIKI JUKWAA LA NISHATI AFRIKA 2025
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felichesm Mramba amewasili nchini Afrika ya Kusini kushiriki Jukwaa la Nishati Afrika 2025 ambalo litaangalia masuala mbalimbali ya Nishati ikiwemo Nishati Safi ya Kupikia. Jukwaa hilo linaanza leo Juni 17,...
WIZARA YA NISHATI ENDELEENI KUWEZESHA UWEKEZAJI WA VITUO VYA MAFUTA VIJIJINI- SIMBACHAWENE
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene ameiasa Wizara ya Nishati kuendelea kuweka mazingira wezeshi yatakayowezesha uwekezaji zaidi wa vituo vya mafuta vijijini.Simbachaene amesema hayo...