SEKTA YA NISHATI YACHANGIA ASILIMIA 14.4 YA PATO LA TAIFA
Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Sekta ya Nishati ni moja kati ya Sekta tatu nchini ambazo zimechangia ukuaji wa pato la Taifa katika kipindi cha kati ya mwaka 2015 hadi 2025.Kapinga ameyasema hayo wakati akichangia hotuba ya Bajeti...
TANZANIA NA BENKI YA DUNIA WAJADILIANA UTEKELEZAJI MPANGO MAHSUSI WA NISHATI WA MISHENI 300
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felichesmi Mramba amekutana na Viongozi Waandamizi kutoka Benki ya Dunia (WB) kwa lengo la kujadili hatua mbalimbali zilizofikiwa katika utekelezaji wa Mpango Mahsusi wa kuwafikishiaumeme Waafrika milioni 30...
TANZANIA YAWA MFANO AFRIKA UTEKELEZAJI MIRADI SEKTA YA NISHATI
Ufanisi wa utekelezaji wa miradi ya Sekta ya Nishati nchini ikiwemo ukamilishaji wa mradi wa usambazaji umeme katika Vijiji 12,318 umekuwa kivutio katika Jukwaa la Nishati Afrika linalofanyika nchini Afrika Kusini.Kutokana na ufanisi huo unaojumuisha...
ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 107 ZAKAMILISHA USAMBAZAJI UMEME VIJIJINI SIMIYU
Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wizara ya Nishati imetumia takribani shilingi bilioni 107.36 kupeleka umeme kwenye Vijiji vyote474 vya Mkoa wa Simiyu.Kapinga ameyasema hayo leo Juni 18, 2025 wakati akitoa tathmini y...
MEATU MTAENDELEA KUPATA MIRADI MIKUBWA YA MAENDELEO IKIWEMO NISHATI- DKT.SAMIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassani amesema Serikali imeendelea kupeleka maendeleo katika Wilaya ya Meatu ikiwemo ukamilishaji wa usambazaji umeme katika Vijiji vyote 109 vya Wilaya hiyo.Dkt. Samia ameyasema hayo J...
MRAMBA AWASILI NCHINI AFRIKA KUSINI KUSHIRIKI JUKWAA LA NISHATI AFRIKA 2025
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felichesm Mramba amewasili nchini Afrika ya Kusini kushiriki Jukwaa la Nishati Afrika 2025 ambalo litaangalia masuala mbalimbali ya Nishati ikiwemo Nishati Safi ya Kupikia. Jukwaa hilo linaanza leo Juni 17,...
WIZARA YA NISHATI ENDELEENI KUWEZESHA UWEKEZAJI WA VITUO VYA MAFUTA VIJIJINI- SIMBACHAWENE
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene ameiasa Wizara ya Nishati kuendelea kuweka mazingira wezeshi yatakayowezesha uwekezaji zaidi wa vituo vya mafuta vijijini.Simbachaene amesema hayo...
KAMISHNA WA UMEME NA NISHATI JADIDIFU AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA UMEME JIJINI DAR ES SALAA...
Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati, Mhandisi Innocent Luoga, tarehe 12 Juni 2025, amefanya ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya umeme ya Gridi Imara inayoendelea katika Jiji la Dar es Salaam, na kutoa maelekezo muhimu...
KAMPENI YA PIKA SMART INAYOHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAZINDULIWA
Kamishina wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga amezindua kampeni ya kitaifa ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ya umeme inayokwenda na kaulimbiu ya PIKA SMART.Mha. Luoga amezindua kampeni hiyo leo Juni 13, 2025 jijini...
DKT. BITEKO AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA KITUO KIKUBWA CHA GESI AFRIKA MASHARIKI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa wawekezaji nchini kutoa kipaumbele cha ajira kwa Watanzania ili kukuza kipato cha mtu mmoja mmoja na uchumi wa Taifa kwa ujumla.Amewaomba wawekezaji wa mradi wa Kituo cha G...
TAASISI 762 ZATUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA NCHINI- DKT.MPANGO
Makamu Wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.Philip IsdorMpango ameeleza kuwa jumla ya taasisi 762 nchini zinatumia nishati safi ya kupikia ikiwa ni jitihada za kuepuka athari za kimazingira, kiafya, kijamii na kiuchumi.Amesema hayo tar...
UTENDAJI KAZI WA WIZARA YA NISHATI NA TAASISI ZAKE WAIMARIKA KWA ZAIDI YA ASILIMIA 95
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewapongeza Watendaji wa Wizara ya Nishati na Taasisi zake kwa kuendelea kuimarisha utendaji kazi na hivyo kuifanya Sekta ya Nishati kuwa na matokeo chanya katika utoaji wa huduma kwa wan...
VITONGOJI 284 ARUMERU MASHARIKI VYAFIKIWA NA UMEME
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imevifikishia huduma ya umeme Vitongoji 284 katika Jimbo la Arumeru Mashariki kati ya Vitongoji 330.Mhe. Kapinga ameyasema hayo leo Juni 03, 2025 b...
DKT. BITEKO AZINDUA MKAKATI WA TAIFA WA MAWASILIANO WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amezindua Mkakati wa Taifa wa Mawasiliano wa Nishati Safi ya Kupikia, pamoja na Kampeni ya Kitaifa ya Uhamasishaji na Uelimishaji kuhusu Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia lengo likiwa ni...
MAWAZIRI WA NISHATI JUMUIYA YA SADC KUKUTANA NCHINI ZIMBABWE.
Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga ameongoza jopo la Wataalam kutoka Wizara ya Nishati katika Kikao cha awali cha Kamati Ndogo ya Nishati ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), kilicholenga kujadili maandalizi y...
DKT.BITEKO KUZINDUA MKAKATI WA TAIFA WA MAWASILIANO WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Imeelezwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko tarehe 2 Juni 2025 atazindua Mkakati wa Taifa wa Mawasiliano wa Nishati Safi ya Kupikia ambao ni nyenzo muhimu katika kuhakikisha kuwa asilimia 80 ya Watanzania wanatumia Ni...
DKT. BITEKO ATAJA MAENEO SITA YA VIPAUMBELE UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM 2020/2025
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita aliyowasilisha ni ya mwisho katika utekelezaji wa Ilani ya Uchaguz...
KAPINGA ATAJA VIGEZO VYA ZIADA UPELEKAJI UMEME VITONGOJINI
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza miradi ya umeme katika Vitongoji kwa kuzingatia vigezo vya ziada ikiwemo ukubwa wa vitongoji, ukubwa wa Jimbo pamoja na mahitaji ya kiu...
WAZIRI MKUU MAJALIWA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI HATI ZA USHIRIKIANO TANZANIA NA JAPAN
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa ameshuhudia utiaji saini wa hati za makubaliano ya ushirikiano wa Sekta mbalimbali kati ya nchi ya Japan na Tanzania ikiwemo Sekta ya Nishati.Kwa upande wa Sekta ya Nishati taasisi inayosimamia uendelezaji wa Jotoard...
MITAA 58 HALMASHAURI YA MJI WA TARIME IMEFIKIWA NA UMEME
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali imefikishaumeme kwenye mitaa 58 ya Mji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime kati ya mitaa 81 ya Halmashauri hiyo.Mhe. Kapinga ameyasema hayo leo Mei 26, 2025 bungeni jijini Dodoma wakati akij...