Feb 11, 2025
AFRIKA TUNAPASWA KUTUMIA RASILIMALI TULIZONAZO KUZALISHA UMEME WA KUTOSHA - DKT. BITEKO
Asema pamoja na dunia kuhamia kwenye nishati jadidifu, makaa ya mawe yatasaidia Afrika kuwa na umeme wa kutosha Aeleza mafanikio sekta ya nishati Tanz...
Feb 11, 2025
DKT. BITEKO AWASILI NCHINI INDIA KWA ZIARA YA KIKAZI
Kushiriki Mikutano ya Kimataifa na Wiki ya Nishati ya IndiaMawaziri wa Nishati, Watunga Sera na Wavumbuzi wa teknolojia za Nishati kukutanaNaibu Wazir...
Feb 10, 2025
DKT. BITEKO AWAASA WAISLAMU KUENDELEA KUHIFADHI QUR’AAN TUKUFU
Aipongeza Al- Hikma kwa kukuza Mashindano ya kuhifadhi Qur’aan TukufuMashindano ya Qur’aan Tukufu kufanyika mwezi ujaoMashindano ya Qur'aan Afrika yaw...
Feb 10, 2025
RAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI UKUMBI SHULE BUKOMBE
Awapongeza wananchi kwa kuwa na ukumbi wa kisasaAmpongeza Rais Samia kwa jitihada zake za kuboresha elimu nchiniRais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhur...
Feb 10, 2025
BUKOMBE YATEKELEZA ILANI YA CCM KWA KISHINDO
Rais Samia aleta mapinduzi ya maendeleo GeitaRais Mstaafu Kikwete asema Watanzania wana deni kwa Rais Samia mwezi Oktoba Wanachama wa CCM waaswa kuzin...
Feb 06, 2025
KAMATI YA WATAALAM NISHATI SAFI YA KUPIKIA WAJADILI UTEKELEZAJI WA MKAKATI WA NISHATI SAFI YA KUPIKI...
Kamati ya wataalam iliyoundwa na Maafisa Waandamizi kutoka katika Wizara na Taasisi mbalimbali kwa ajili ya kusimamia utekelezaji wa Mkakati wa Nishat...
Feb 05, 2025
UTENDAJI KAZI KITUO CHA HUDUMA KWA WATEJA TANESCO WAMKWAZA DKT. BITEKO
Amuagiza Mkurugenzi Mtendaji TANESCO kumchukulia hatua mtaalam aliyemfokea mtejaAtaka Mpango Mahsusi wa Nishati uliosainiwa katika Mkutano wa Mission...
Feb 04, 2025
BAADA YA KUMALIZA KAZI YA KUPELEKA UMEME VIJIJINI SASA KASI INAHAMIA VITONGOJINI - MHE. KAPINGA
Asema upelekaji umeme vitongojini umefikia asilimia 52.3Asisitiza umeme kufika maeneo ya uchimbaji madiniNaibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga a...
Feb 04, 2025
AZMA YA SERIKALI NI KUHAKIKISHA WANANCHI WANAPATA UMEME WA UHAKIKA WAKATI WOTE- MHE. KAPINGA
Serikali yafuatilia kwa karibu upatikanaji umeme LushotoVijiji vyote Nkasi vyafikiwa na huduma ya umemeNaibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga ame...
Feb 04, 2025
DKT.KAZUNGU AKAGUA VITUO VYA UMEME HALE, PANGANI NA NYUMBA YA MUNGU
Lengo ni kuhakikisha vinafanya kazi kwa ufanisiAtaka ukarabati wa mitambo Hale kumalizika kwa wakatiNaibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. Khati...
Feb 04, 2025
DKT. KAZUNGU AKAGUA VITUO VYA UMEME NJIRO NA LEMUGURU- ARUSHA
Aipongeza TANESCO kwa kazi nzuriAsema kituo cha Lemuguru kitakuza biashara ya umeme na nchi jiraniNaibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. Khatibu...
Jan 27, 2025
DKT. BITEKO AFUNGUA MKUTANO WA NISHATI WA VIONGOZI - AFRIKA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amefungua mkutano wa Kimataifa wa Nishati unaowakutanisha Viongozi mbalimbali wa Afrika,...
Jan 21, 2025
SERIKALI KUIMARISHA MAZINGIRA WEZESHI YA UPATIKANAJI WA MAFUTA NCHINI - KAPINGA
TBS kujenga Maabara ya kupimaubora wa mafuta katika bandari ya TangaSerikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeahidi kuendel...
Jan 17, 2025
UWEZO WA MITAMBO YA KUFUA UMEME WAFIKIA MEGAWATI 3,091.71- MHE.KAPINGA
Wateja wapya 109,918 waunganishiwa na huduma ya umeme nchiniKamati ya Bunge yaipongeza TANESCO kwa kuimarisha Miundombinu ya umemeSerikali kupitia Shi...
Jan 16, 2025
WIZARA YA NISHATI YAWASILISHA UTEKELEZAJI WA BAJETI 2024/2025 KATIKA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NI...
Maeneo ya kipaumbele yaliyotekelezwa kwa mwaka 2024/2025 yaelezwaNi pamoja na hali ya uzalishaji na upatikanaji wa Nishati ya Umeme nchiniNaibu Waziri...
Jan 15, 2025
WIZARA YA NISHATI YAWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MAAZIMIO YA BUNGE
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga (Mb) ameiongoza Menejimenti ya Wizara ya Nishati kuwasilisha taarifa ya Wizara hiyo mbele ya Kamati ya Ku...
Jan 13, 2025
TANZANIA IPO TAYARI KUPOKEA WAKUU WA NCHI AFRIKA KATIKA MKUTANO WA NISHATI WA MISSION 300 -DKT.KAZU...
Aliambia Jukwaa la IRENA UAE kuwa Tanzania imejipanga vema kwa ujio huoAsema Tanzania imerekebisha sheria ya uwekezaji kuruhusu sekta binafsi kutekele...
Jan 13, 2025
TUMEFIKIA MAKUNDI MENGI KAMPENI YA NISHATI SAFI- GAMBO
Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo, ameweka wazi mikakati yake ya kushirikisha makundi mbalimbali katika kampeni ya matumizi ya nishati safi ya kupi...
Jan 13, 2025
DIPLOMASIA YA RAIS SAMIA INAWALETA WAKUU WA NCHI AFRIKA KUSHIRIKI MKUTANO WA M300 -DKT. BITEKO
Asema mafanikio ya Sekta ya Nishati nayo yameibeba Tanzania Mkutano wa M300Vijiji vyote Tanzania vyafikishiwa umemeAtaja faida za Mkutano wa M300 nchi...
Jan 10, 2025
DKT. BITEKO AAGIZA KITUO CHA HUDUMA KWA WATEJA TANESCO KUSUKWA UPYA
Akerwa na kusuasua kwa utendaji wa Kituo hichoAwataka watendaji kuondokana na kufanya kazi kwa mazoeaAhoji sababu za kutelekezwa kwa maelekezo yake ya...