Oct 30, 2023
TaSUBa KITOVU CHA MAFUNZO TASNIA ZA SANAA NA UTAMADINI NCHINI - DKT. BITEKO
Imeelezwa kuwa, Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) ni kitovu cha mafunzo katika tasnia za Sanaa na Utamaduni nchini na Serikali imeendele...
Oct 20, 2023
SERIKALI YAWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU UPATIKANAJI WA MAFUTA NCHINI
Naibu waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa hali ya utoshelevu wa mafuta nchini kwa kipindi cha mwezi Julai hadi Septemb...
Oct 19, 2023
CNG IPEWE KIPAUMBELE KUENDESHA MITAMBO NA MAGARI NCHINI - KAMATI YA BUNGE
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeishauri Serikali kuweka kipaumbele katika kusambaza Vituo vya Nishati ya Gesi Iliyoshindiliwa (CNG)...
Oct 18, 2023
Rais Dkt. Samia apokea taarifa ya utekelezaji wa REA III Mzunguko wa Pili nchi nzima
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amepokea taarifa ya utekelezaji wa Mradi wa Usambazaji wa Umeme Vijijini Awamu y...
Oct 18, 2023
DKT.BITEKO AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI WA KANDA BENKI YA DUNIA (WB)
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, leo amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Benki ya Dunia (WB) ukiongozwa na Mkur...
Oct 17, 2023
SINGIDA HAITASHUKA 97% UPATIKANAJI WA UMEME DESEMBA 2023 - RAIS SAMIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema ifikapo mwaka 2024 Mkoa wa Singida hautashuka 97 % ya upatikanaji wa um...
Oct 16, 2023
VIJIJI 6 PEKEE VYASALIA KUUNGANISHWA UMEME JIMBO LA SINGIDA
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga amesema katika Jimbo la Singida Kaskazini Vijiji 6 vimesalia kuunganishwa na umeme kati ya vijiji 84 vya j...
Oct 16, 2023
NAWAAHIDI WAWEKEZAJI KUWA SERIKALI ITAWAPA USHIRIKIANO - DKT. BITEKO
Imeelezwa kuwa, Serikali itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wenye Viwanda, Wafanyabiashara na Wawekezaji kushiriki katika ukuzaji wa uchumi husus...
Oct 12, 2023
SERIKALI KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO YA UMEME KWA HARAKA
Serikali imeahidi kushughulikia changamoto ya umeme iliyopo nchini kwa kasi kubwa ili tatizo hilo liweze kuisha katika kipindi kifupi kuanzia sasa.Hay...
Oct 12, 2023
RAIS SAMIA AMEIBEBA KWA DHATI AJENDA YA MATUMIZI NISHATI MBADALA – NAIBU WAZIRI KAPINGA
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameibeba kwa dhati ajenda...
Oct 11, 2023
Kapinga asema Vijana tumieni Fursa kuwekeza kwenye Nishati
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga amewataka Vijana kuchangamkia fursa ya kuomba mikopo ili kuwekeza katika sekta ya Nishati inayotolewa na W...
Oct 06, 2023
MAWAZIRI WA NISHATI WA TANZANIA, RWANDA NA BURUNDI WAKAGUA MRADI WA UMEME WA RUSUMO (MW 80)
Mawaziri wa Nishati kutoka nchi za Tanzania, Rwanda na Burundi wakiongozwa na Mwenyekiti wa Mawaziri hao, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt....
Oct 06, 2023
DKT. BITEKO APELEKA SHANGWE ZA UMEME KIJIJI CHA IHAKO, BUKOMBE
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ameanza kazi ya kuwasha umeme vijijini ambapo leo amewasha umeme katika Kijiji cha Ihako, wil...
Oct 06, 2023
DKT.DOTO BITEKO AENDELEA NA MCHAKAMCHAKA WA KUWASHA UMEME VIJIJINI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt.Doto Biteko ameendelea na ziara yake ya kikazi katika mikoa mbalimbali nchini ambayo imejumuisha kuwasha u...
Oct 06, 2023
TUNAFANYA KILA JITIHADA KUPUNGUZA MAKALI YA UMEME NCHINI-DKT. DOTO BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, Wizara ya Nishati inafanya jitihada mbalimbali ili kupunguza makali ya umeme nc...
Oct 06, 2023
Kapinga: TANESCO boresheni mfumo wa utoaji huduma kwa wateja kupunguza malalamiko
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), kuboresha mfumo wa utoaji huduma kwa wateja ili kupunguza...
Oct 06, 2023
VIONGOZI NENDENI MKASIKILIZE WANANCHI-DKT. DOTO BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewataka viongozi wa ngazi mbalimbali nchini kwenda kwenye maeneo ya wananchi kwa ajili ya k...
Oct 06, 2023
Katibu Mkuu Kiongozi atembelea Mradi wa JNHPP, asema watanzania wanahitaji umeme
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, amesema kuwa watanzania wanahitaji kupata huduma ya umeme wa uhakika na kwamba ameridhishwa na kazi k...
Oct 06, 2023
Kapinga : Mwanzoni mwa Octoba 2023 tunaanza kuwalipa fidia Waliopisha mradi wa Kituo kusambaza Umeme...
Serikali imesema itaanza kuwalipa fidia ya shilingi milioni 399 kwa wananchi 496 waliopisha Mradi wa Kituo cha Kupoza na Kusambaza Umeme cha Uhuru kil...
Oct 06, 2023
Kazi ya kusambaza umeme vijijini mwisho Desemba 2023 - Mhe. Kapinga
Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema kuwa ifikapo mwezi Desemba mwaka huu, utekelezaji wa Mradi wa Kusambaza Umeme Vijijini wa Awamu ya Ta...