HISTORIA NYINGINE YAANDIKWA MRADI WA UMEME WA JULIUS NYERERE (JNHPP)
Dkt.Biteko azindua mradi wa usafirishaji umeme (kV 400) Chalinze-Dodoma na upanuzi wa vituo vya umeme Chalinze na ZuzuKuwezesha umeme kutoka JNHPP kufika Kanda mbalimbali za Tanzania, Migodi ,Viwanda, Kusini na Mashariki mwa Afrika Asema Tanzania in...
UDSM MARATHON KUBORESHA MAISHA YA WANAFUNZI
Dkt. Biteko Ahimiza Wadau Kuchangia Ujenzi wa Kituo cha WanafunziAwashukuru Wadhamini wa UDSM MarathonNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameeleza amefurahishwa kwake na uendeshaji wa UDSM Marathon na kusema kuwa inasaidia k...
SERIKALI BEGA KWA BEGA NA WAFANYABIASHARA KUTATUA CHANGAMOTO ZAO
Rais Samia Apongezwa Kuifungua Nchi KiuchumiDkt. Biteko Awahimiza Wafanyabiashara Kulipa Kodi Kwa Maendeleo ya Nchi TCCIA Yaendelea Kuwa Daraja la Wafanyabiashara wa Tanzania, Yafungua Ofisi China, London na UturukiSerikali Yapongezwa Kwa Kuwekeza Kw...
BARAZA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA NISHATI LAKUTANA JIJINI ARUSHA
Bajeti ya Wizara 2024/2025 na Majukumu ya Wizara kujadiliwa kwa kinaDkt.Kazungu afungua MkutanoAsema stahiki za kisheria za Watumishi zinapewa kipaumbele TUGHE yapongeza ushirikiano uliopo kati ya Menejimenti na WafanyakaziBaraza la Wafanyakazi la Wi...
Nchi za EAC na SADC zaazimia kuendeleza Teknolojia za Matumizi Bora ya Nishati
Ni katika Mkutano wa Kikanda wa Matumizi Bora ya NishatiDkt. Jafo asema maendeleo ya Viwanda yanategemea uwepo wa Nishati ya kutoshaMkutano wa Kikanda wa Matumizi Bora ya Nishati uliohusisha Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumu...
WAHASIBU AFRIKA WAASWA KUSIMAMIA UKWELI WA TAALUMA YAO
Dkt. Biteko Amwakilisha Rais Samia Kufunga Mkutano AAAGAsema Afrika Inawategemea Wahasibu Kunufaika na Utajiri wakeAsisitiza Matumizi ya Teknolojia kwa Wahasibu AfrikaNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amewaasa wahasibu bara...
SUALA LA MATUMIZI BORA YA NISHATI LIWE KWENYE MIPANGO YETU YA SERIKALI –DKT.BITEKO
Nia ni kuhakikisha Bara la Afrika linatumia nishati kwa ufanisi na kupunguza upotevu wa umemeAfungua Mkutano wa Kikanda wa Matumizi Bora ya Nishati (REEC 2024)Azindua Mkakati wa kwanza wa Kitaifa wa Matumizi Bora ya NishatiUNDP, WB na EU zatoa pongez...
DKT. BITEKO ATAKA WATAFITI, WABUNIFU NDANI YA NCHI WATAMBULIWE KULETA MAENDELEO
Asema Watafiti waendelezwe, wasivunjwe moyoAzindua Mfuko wa mikopo nafuu “SAMIA FUND”Norway Yaahidi kuendelea kufadhili utafiti wenye tijaAzindua Kongamano la 9 Sayansi, Teknolojiana UbunifuNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Bitek...
SERIKALI YASEMA UNYANYASAJI DHIDI YA WENYE ULEMAVU SASA BASI
Dkt. Biteko asema Serikali itakula Sahani moja na wanyanyasajiwa wenye ulemavuWakuu wa Mikoa waagizwa kusimamia mpango wa taifa haki na Ustawi kwa wenye ulemavuHalmashauri zatakiwa kutenga Bajenti ununuzi wa teknolojia saidizi kwa wenye ulemavuNaibu...
KAPINGA AENDELEA NA MCHAKAMCHAKA KUHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA.
Baada ya Namtumbo, aingia Mbinga VijijiniAtaka Wananchikujitokeza kwa wingi Novemba 27, 2024Mbunge wa Vijana Mkoa wa Ruvuma (CCM) ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga anaendelea na kazi ya kuhamasisha Wananchi katika maeneo mbal...
DKT. BITEKO AHIMIZA WATANZANIA KUPIGA KURA NOVEMBA 27, 2024
Asisitiza Kupiga Kura ni Haki ya KikatibaNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto BitekoamewahimizaWatanzania kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024.Dkt. Biteko ametoa rai hiyo leo Novemba 25, 2024 akiwa...
KASI YA MAENDELEO DAR ES SALAAM INACHANGIA ONGEZEKO LA MAHITAJI YA UMEME- MHE. KAPINGA
Serikali yajikita kufanya maboresho ya miundombinu ya umeme kukidhi mahitajiKituo umeme Kinyerezi chafanyiwa upanuzi; chafungwa Transfoma za MVA 175Zanzibar kunufaika na maboresho hayoNaibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga amesema ukuaji wa kasi...
MRADI WA UMEME WA RUSUMO WAFIKIA 99%
Mawaziri wa Nishati Tanzania Rwanda na Burundi Wajadili Uzinduzi wa MradiDkt. Biteko Ahimiza Utunzaji wa Mradi na MazingiraAsema Utazidi Kuchochea Ukuaji wa UchumiNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri w...
TANZANIA KUUNGANA NA DUNIA USALAMA WA AFYA KIMATAIFA
Dkt. Biteko Ataja Jitihada za Serikali Kuboresha Ajenda ya Mpango wa Kimataifa wa Usalama wa AfyaDkt. Biteko Afungua Kongamano la 14 la CUHASDkt. Biteko Aipongeza CUHAS kwa Tafiti na Mchango wake katika Sekta ya AfyaWanasayansi Kuunganisha Afya ya Bi...
TANZANIA YAFANYA MAZUNGUMZO NA TAASISI YA SUSTAINABLE ENERGY FOR ALL
Wajadili Mikakati ya kuendelea kusukuma Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia nchiniMhandisi Mramba aeleza Tanzania inavyopiga hatua utekelezaji wa Ajenda ya Nishati Safi ya KupikiaUjumbe wa Tanzania ukiongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Mhandis...
KUKAMILIKA KWA MRADI WA UMEME RUSUMO KUNAZIDI KUIIMARISHA GRIDI YA TAIFA- KAMATI YA BUNGE
Ni mradi wa megawati 80 unaotekelezwa na Tanzania, Burundi, RwandaKila nchi yafaidika na megawati 26.6Kamati yasema mradi utazidi kuimarisha uhusiano mzuri wa Tanzania, Burundi, RwandaImeelezwa kuwa, mradi wa kufua umeme unaotokana na maji wa Rusumo,...
DKT.BURIANI ATOA KONGOLE KWA TANZANIA NA UGANDA KUTEKELEZA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA
Aeleza faida za mradi mkoani TangaAsema EACOP itafungua fursa za tafiti za Mafuta TangaMkuu wa Mkoa wa Tanga Dkt. Batilda Buriani ameipongeza Serikali ya Tanzania na Uganda kwa kujenga Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) ambalo limefung...
DKT. BITEKO AIPONGEZA DODOMA JIJI KUVUKA LENGO UANDIKISHAJI WAPIGA KURA
Ujenzi Uwanja wa Ndege Msalato Wafikia 75%, Kukamika kwake Kutachochea MaendeleoAmpongeza Mhe. Mavunde Kwa Utekelezaji Mzuri wa Ilani ya CCMNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameipongeza Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa ku...
WIZARA YA NISHATI YAFANYA MAZUNGUMZO NA KAMPUNI YA EQUINOR TANZANIA
Wazungumzia uendelezaji wa Mradi wa LNGWizara ya Nishati imekutana na kufanya mazungumzo na Kampuni ya Equinor Tanzania AS kuhusu maendeleo ya utekelezaji wa Mradi wa Kusindika Gesi Asilia (LNG) pamoja na masuala mengine yanayohusu Gesi Asilia nchini...
KAPINGA ASEMA MAFANIKIO KATIKA SEKTA YA NISHATI YANATOKANA NA JITIHADA ZA RAIS SAMIA
Ni wakati akitoa mchango Bungeni kuhusu Mpango wa Taifa wa MaendeleoAtaja kuongezeka kwa kiasi cha umeme katika Gridi ya TaifaAeleza usambazaji umeme vijijini ulivyofanyika kwa mafanikio; Vijiji 78 Tu vyasaliaAeleza jitihada zilizofanyika Sekta ya Ma...