TUNAIMARISHA MAZINGIRA YA UWEKEZAJI NA MIUNDOMBINU YA NISHATI ILI KUFIKISHA HUDUMA KWA WOTE- DKT.MAT...
Asisitiza nia ya Serikali ni kutoa huduma stahiki bila kuangalia umbali au kipatoApongeza kampuni ya Puma Energy Tanzania kushirikiana na Serikali uhamasishaji Nishati Safi ya Kupikia Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio amesem...
SERIKALI ITAENDELEA KUSHIRIKISHA WAWEKEZAJI UENDELEZAJI NISHATI JADIDIFU- DKT.MATARAGIO
Asema maeneo yenye vyanzo vya Nishati Jadidifu yameshatambuliwaMikoa 16 yatajwa kuwa na rasilimali ya Jotoardhi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio amesema Serikali itaendelea kuwashirikisha wawekezaji katika maeneo yenye ni...
KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA UTENDAJI KAZI WIZARA YA NISHATI
Yakoshwa na ETDCO kuongeza ufanisi wa kaziKapinga asema Serikali itaendelea kuboresha upatikanaji wa Nishati safi ya Kupikia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeeleza kuridhishwa kwake na majukumu yanayotekelezwa na Wizara ya Nishati n...
TANZANIA NA SINGAPORE KUIMARISHA UHUSIANO WAKE
Tanzania na Singapore Kuongeza Kiwango cha Ufanyaji BiasharaNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa uhusiano wa Tanzania na Singapore ni wa muda mrefu na kuwa nchi hizo zinatakiwa kuangalia sababu za uwepo wa uhusia...
Dkt. Biteko afanya mazungumzo na Mwakilishi wa Heshima wa Tanzania
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko Oktoba 21, 2024 akiwa nchini Singapore amekutana na kufanya mazungunzo na Mwakilishi wa Heshima wa Tanzania nchini humo, Bw. Teo Siong Seng ambaye pia ni mwenyekiti mwenza wa Kampuni ya Pa...
Kongamano la Kimataifa la Jotoardhi laanza kwa mafanikio Dar es Salaam
Lahusisha nchi 21 na Washiriki 800Kuangazia Sera, fursa za masoko na uwekezaji Kamishna Luoga asema lengo ni kuendeleza nishati ya Jotoardhi nchini UNEP yaipongeza Tanzania kwa maandalizi Kongamano la 10 la Jotoardhi Afrika (ARGeo-C10) limeanza kw...
DKT. BITEKO AKARIBISHA WAWEKEZAJI SEKTA YA NISHATI
Ataja Mikakati ya Serikali Kuimarisha Sekta ya NishatiAeleza Namna Tanzania Inavyojiandaa Kuuza Umeme nchi Jirani na Uwepo wa Soko la UhakikaAsema Ushiriki wa Sekta Binafsi ni Muhimu kwa Maendeleo ya NchiAshiriki Wiki ya Kimataifa ya Nishati Singapor...
WATU MILIONI 300 AFRIKA KUTUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA IFIKAPO 2030- DKT. BITEKO
Benki ya Dunia na AfDB zaunga mkono Ajenda ya Nishati Safi ya KupikiaMkutano wa Marais Afrika kufanyika Tanzania; Ajenda ya Nishati Safi kupewa kipaumbeleTanzania yawa mfano Afrika mapinduzi Sekta ya NishatiNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe...
SERIKALI YAWEKA MKAZO KUKUZA TASNIA YA UFUGAJI WA KUKU
Vijana Wahimizwa Kujiajiri Kupitia Ufugaji KukuDkt. Biteko Atoa Maagizo kwa Wizara ya Mifugo Kukuza Tasnia ya ufugaji wa KukuWatanzania Wahimizwa Kufuga Kibiashara sio Kitamaduni Mkutano wa Kwanza wa Tasnia ya Kuku na ndege wafugwao Kusini mwa Afrika...
SERIKALI IMEENDELEA KUJALI WALIMU KWA VITENDO
Waziri Mkuu Majaliwa Asisitiza Maboresho KitaalumaDkt. Biteko Awashukuru Walimu kwa Mchango WaoDkt. Biteko Aahidi Kuendelea Kushirikiana na Walimu NchiniWaziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Elimu, Sa...
DKT. BITEKO AONGOZA WANANCHI BUKOMBE KUJIANDIKISHA DAFTARI LA MPIGA KURA
Awahimiza Kujitokeza kwa Wingi KujiandikishaAwataka Kutumia Haki ya Kikatiba kuchagua Viongozi WaoNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe amewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi na kuji...
BUKOMBE WAUNGA MKONO JITIHADA ZA RAIS SAMIA, WAKABIDHIWA MITUNGI YA GESI
Mitungi ya Gesi 1500 Yatolewa BureDC Bukombe Ahimiza Wananchi Kutumia Nishati Safi ya Kupikia na Kutunza MazingiraMkuu wa Wilaya ya Bukombe, Mhe. Paskazi Muragili amesema kuwa Wilaya yake imeendelea kuunga mkono jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungan...
RAIS SAMIA APONGEZWA MAGEUZI MAKUBWA SEKTA YA AFYA
Serikali Yawapongeza Wanaradiografia kwa Mchango wao kwa JamiiUwekezaji katika Sekta ya Afya Waokoa FedhaTanzania Nchi ya Nne Afrika kuwa na PET SCAN Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikali imeendelea kuwek...
KONGAMANO LA WIKI YA MAFUTA AFRIKA LAFUNGULIWA NCHINI AFRIKA KUSINI
Masuala ya Gesi Asilia, Mafuta na Nishati Mbadala kujadiliwaKapinga aongoza ujumbe wa TanzaniaNaibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga ameshiriki ufunguzi wa Kongamano la Wiki ya Mafuta Afrika ( Afrika Oil Week 2024), lililofunguliwa rasmi na Wazi...
TANZANIA INA MKAKATI MADHUBUTI UTAKAOFANIKISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA - BALOZI CHANA
Atoa wito kwa Watanzania kuyaishi maono ya Rais SamiaWaziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana amesema Serikali imeandaa mkakati madhubuti wa Nishati Safi ya Kupikia wenye lengokuwaondoa watanzania katika adha itokanayo na matumizi ya ni...
DKT. BITEKO AWAASA WANAJAMII KUTENDA MEMA, KUACHA ALAMA
Ashiriki Kumbukizi ya Askofu wa Kwanza AICTAsema Vikwazo Visiwavunje Moyo Viongoziwa DiniUandikishaji Daftari la Wapigakura Mwanza Oktoba 11 hadi 20 Mwaka HuuNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewaasa wanajamii kutenda mat...
SERIKALI YAKARIBISHA WAWEKEZAJI SEKTA YA MADINI
Dkt. Biteko Asema Matumizi ya Teknolojia na Nishati Safi katika Shughuli za Madini HayaepukikiSerikali Yendelea Kufanya Mapinduzi Makubwa katika Sekta ya MadiniMaonesho ya Madini Geita kuwa ya KimataifaNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt...
MRAMBA AKAGUA JENGO LA WIZARA YA NISHATI MTUMBA
Asisitiza utekelezaji wa agizo la Dkt.Biteko la ufungaji mitambo ya umeme JuaJengo lafikia asilimia 84.3Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba leo ameongoza Menejimenti ya Wizara ya Nishati kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la...
SERIKALI YATHAMINI MCHANGO WA VIONGOZI WA DINI KWENYE MAENDELEO
Dkt. Biteko Ashiriki Jubilei ya Miaka 25 ya Padre Dkt. Faustine KamugishaAsisitiza Tofauti ya Dini si Tatizo, Watanzania Waendelee Kuishi kwa Umoja na AmaniNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt Doto Biteko amesema kuwa Serikali inathamini...
KATIBU MKUU NISHATI ASISITIZA UFANISI UTOAJI HUDUMA SEKTA YA NISHATI
Azungumza na Watumishi Wizara ya NishatiAtaka weledi kazinikuchochea ukuaji Sekta ya NishatiKatibu Mkuu Wizara ya Nishati Mha.Felchesmi Mramba ambaye ni Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi katika Wizara hiyo amekutana na kuzungumza na Watumishi kwa a...