Oct 18, 2023
DKT.BITEKO AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI WA KANDA BENKI YA DUNIA (WB)
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, leo amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Benki ya Dunia (WB) ukiongozwa na Mkur...
Oct 17, 2023
SINGIDA HAITASHUKA 97% UPATIKANAJI WA UMEME DESEMBA 2023 - RAIS SAMIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema ifikapo mwaka 2024 Mkoa wa Singida hautashuka 97 % ya upatikanaji wa um...
Oct 16, 2023
VIJIJI 6 PEKEE VYASALIA KUUNGANISHWA UMEME JIMBO LA SINGIDA
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga amesema katika Jimbo la Singida Kaskazini Vijiji 6 vimesalia kuunganishwa na umeme kati ya vijiji 84 vya j...
Oct 16, 2023
NAWAAHIDI WAWEKEZAJI KUWA SERIKALI ITAWAPA USHIRIKIANO - DKT. BITEKO
Imeelezwa kuwa, Serikali itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wenye Viwanda, Wafanyabiashara na Wawekezaji kushiriki katika ukuzaji wa uchumi husus...
Oct 12, 2023
SERIKALI KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO YA UMEME KWA HARAKA
Serikali imeahidi kushughulikia changamoto ya umeme iliyopo nchini kwa kasi kubwa ili tatizo hilo liweze kuisha katika kipindi kifupi kuanzia sasa.Hay...
Oct 12, 2023
RAIS SAMIA AMEIBEBA KWA DHATI AJENDA YA MATUMIZI NISHATI MBADALA – NAIBU WAZIRI KAPINGA
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameibeba kwa dhati ajenda...
Oct 11, 2023
Kapinga asema Vijana tumieni Fursa kuwekeza kwenye Nishati
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga amewataka Vijana kuchangamkia fursa ya kuomba mikopo ili kuwekeza katika sekta ya Nishati inayotolewa na W...
Oct 06, 2023
MAWAZIRI WA NISHATI WA TANZANIA, RWANDA NA BURUNDI WAKAGUA MRADI WA UMEME WA RUSUMO (MW 80)
Mawaziri wa Nishati kutoka nchi za Tanzania, Rwanda na Burundi wakiongozwa na Mwenyekiti wa Mawaziri hao, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt....
Oct 06, 2023
DKT. BITEKO APELEKA SHANGWE ZA UMEME KIJIJI CHA IHAKO, BUKOMBE
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ameanza kazi ya kuwasha umeme vijijini ambapo leo amewasha umeme katika Kijiji cha Ihako, wil...
Oct 06, 2023
DKT.DOTO BITEKO AENDELEA NA MCHAKAMCHAKA WA KUWASHA UMEME VIJIJINI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt.Doto Biteko ameendelea na ziara yake ya kikazi katika mikoa mbalimbali nchini ambayo imejumuisha kuwasha u...
Oct 06, 2023
TUNAFANYA KILA JITIHADA KUPUNGUZA MAKALI YA UMEME NCHINI-DKT. DOTO BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, Wizara ya Nishati inafanya jitihada mbalimbali ili kupunguza makali ya umeme nc...
Oct 06, 2023
Kapinga: TANESCO boresheni mfumo wa utoaji huduma kwa wateja kupunguza malalamiko
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), kuboresha mfumo wa utoaji huduma kwa wateja ili kupunguza...
Oct 06, 2023
VIONGOZI NENDENI MKASIKILIZE WANANCHI-DKT. DOTO BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewataka viongozi wa ngazi mbalimbali nchini kwenda kwenye maeneo ya wananchi kwa ajili ya k...
Oct 06, 2023
Katibu Mkuu Kiongozi atembelea Mradi wa JNHPP, asema watanzania wanahitaji umeme
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, amesema kuwa watanzania wanahitaji kupata huduma ya umeme wa uhakika na kwamba ameridhishwa na kazi k...
Oct 06, 2023
Kapinga : Mwanzoni mwa Octoba 2023 tunaanza kuwalipa fidia Waliopisha mradi wa Kituo kusambaza Umeme...
Serikali imesema itaanza kuwalipa fidia ya shilingi milioni 399 kwa wananchi 496 waliopisha Mradi wa Kituo cha Kupoza na Kusambaza Umeme cha Uhuru kil...
Oct 06, 2023
Kazi ya kusambaza umeme vijijini mwisho Desemba 2023 - Mhe. Kapinga
Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema kuwa ifikapo mwezi Desemba mwaka huu, utekelezaji wa Mradi wa Kusambaza Umeme Vijijini wa Awamu ya Ta...
Oct 06, 2023
Naibu Waziri wa Nishati akagua uzalishaji wa umeme katika Vituo vya Ubungo I na Ubungo II
Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga amewapa saa sita Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuirejesha katika hali ya kawaida ya uzalishaji mitambo il...
Sep 26, 2023
DKT.BITEKO AANZA ZIARA YA KIKAZI BUKOMBE MKOANI GEITA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Dkt. Doto Biteko ameanza ziara ya kikazi katika jimbo hilo lililoko...
Sep 26, 2023
NWN Kapinga aweka historia, awasha Umeme Ikindwa kwa mara ya kwanza tangu nchi kupata uhuru
NWN Kapinga aweka historia, awasha Umeme Ikindwa kwa mara ya kwanza tangu nchi kupata uhuruMkandarasi apewa siku 7 kuwalipa Vijana waliofanya kaziNaib...
Sep 21, 2023
MAJALIWA: TUNATAKA TUWE WAZALISHAJI WAKUBWA WA NISHATI
MAJALIWA: TUNATAKA TUWE WAZALISHAJI WAKUBWA WA NISHATIWAZIRI MKUU, Mhe. Kassim Majaliwa leo Septemba 20, 2023 amefungua Kongamano la Tano la Nishati T...