TUMEFIKIA MAKUNDI MENGI KAMPENI YA NISHATI SAFI- GAMBO
Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo, ameweka wazi mikakati yake ya kushirikisha makundi mbalimbali katika kampeni ya matumizi ya nishati safi ya kupikia.Akizungumza Jumamosi, Januari 11, 2025, katika hafla maalumu ya uhamasishaji wa nishati safi kwa...
DIPLOMASIA YA RAIS SAMIA INAWALETA WAKUU WA NCHI AFRIKA KUSHIRIKI MKUTANO WA M300 -DKT. BITEKO
Asema mafanikio ya Sekta ya Nishati nayo yameibeba Tanzania Mkutano wa M300Vijiji vyote Tanzania vyafikishiwa umemeAtaja faida za Mkutano wa M300 nchini Imeelezwa kuwa Tanzania imechaguliwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afri...
DKT. BITEKO AAGIZA KITUO CHA HUDUMA KWA WATEJA TANESCO KUSUKWA UPYA
Akerwa na kusuasua kwa utendaji wa Kituo hichoAwataka watendaji kuondokana na kufanya kazi kwa mazoeaAhoji sababu za kutelekezwa kwa maelekezo yake ya 2024Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameagiza kufumuliwa kwa Kituo cha...
WIZARA YA NISHATI YAPOKEA MAGARI KUTOKA MRADI WA UMEME WA NYAKANAZI
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Wizara ya Nishati, Bi Ziana Mlawa ameongoza Watendaji mbalimbalikupokea magari sita kutoka Mradi wa Usafirishaji wa Umeme Nyakanazi katika Ofisi za Wizara ya Nishati zilizopo Mtumba jijini Dodoma Leo Januari 0...
DKT. BITEKO AKAGUA UJENZI WA OFISI YA WAZIRI MKUU NA JENGO LA OFISI YA NISHATI MJI WA SERIKALI-MTUMB...
Aagiza ujenzi ukamilishwe harakaMajengo yakamilika kwa asilimia 88Wakandarasi waomba nyongezasiku 90Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amefanya ziara katika Mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma kukagua maendeleo ya ujenzi...
DKT. KAZUNGU AKAGUA MAENDELEO YA MRADI WA UMEME WA JNHPP
Asema ni chanzo kikubwa cha ukuaji wa uchumi nchiniApongeza kazi kubwa iliyofanyika katika mradi huoMradi wafikia asilimia Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. Khatibu Kazungu ametembelea mradi wa kufua Umeme wa maji wa Julius Nyerere (JNHPP)...
DKT. KAZUNGU AKAGUA MRADI WA NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME KUTOKA JNHPP HADI CHALINZE
Apongeza kazi kubwa iliyofanyika katika kuboresha hali ya upatikanaji wa umeme nchini.Mradi wafikia asilimia 97.38Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. Khatibu Kazungu ametembelea mradi wa njia ya kusafirisha umeme kutoka JNHPP hadi Chalinze n...
KAPINGA ATUMIA KONGAMANO LA BIASHARA NA UWEKEZAJI SAUDI ARABIA KUNADI FURSA ZA UWEKEZAJI NCHINI
Zaidi ya Wafanyabiasha na Wawekezaji 250 wakutanaJNHPP yatajwa kuongeza uhakika wa uwepo wa umemeNaibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga amesema Kongamano la Wafanyabiashara naWawekezaji nchini Saudi Arabia litaongeza uwekezaji kwenye Sekta ya Ni...
BENKI YA DUNIA, SADC ZAMPONGEZA RAIS SAMIA UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO
Dkt. Biteko asema nia njema ya Rais Samia iungwe mkono kuleta maendeleo kwa WatanzaniaAmpongeza Mbunge Kiswaga kwa Utekelezaji wa Ilani ya UchaguziNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano w...
DKT. BITEKO ASEMA KAGERA BADO INA FURSA YA KUONGEZA UZALISHAJI WA KAHAWA
Dkt. Samia aweka historia kupandisha bei kahawa kutoka 1200 hadi 6,000 kwa kiloDkt. Biteko ampongeza Rais Samia kwa jitihada zake za kutatua changamoto za zao la kahawaHivi karibuni Bodi ya Kahawa Tanzania (TCB) imesema kuwa imejipanga kushirikiana n...
WAWEKEZAJI WAKARIBISHWA KAGERA
Dkt. Biteko asisitiza teknolojia itumike uchakataji zao la ndiziDkt. Biteko ahimiza uwekezaji viwanda vya kuongeza thamani mazao ya uvuvi na ufugajiKagera yaongoza kwa uzalishaji zao la ndizi nchini kwa asilimia 60Mradi wa Mashamba Makubwa ya Kahawa...
Dkt. Biteko apongeza Tamasha la Ijuka Omuka
Washiriki Waomba Kujengewa Uwanja Mpya wa Ndege BukobaDkt. Biteko Apongeza Wawekezaji Kagera Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajjat Fatma Mwassa kwa maandalizi mazuri ya Kongamano la Uw...
KAPINGA ATUMIA KONGAMANO LA BIASHARA NA UWEKEZAJI SAUDI ARABIA KUNADI FURSA ZA UWEKEZAJI NCHINI
Zaidi ya Wafanyabiasha na Wawekezaji 250 wakutanaJNHPP yatajwa kuongeza uhakika wa uwepo wa umemeNaibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga amesema Kongamano la Wafanyabiashara naWawekezaji nchini Saudi Arabia litaongeza uwekezaji kwenye Sekta ya Ni...
TUWAINUE WABUNIFU WAZAWA KUWANADI KIMATAIFA - DKT. BITEKO
Asisitiza Mifumo iboreshwe kuakisi Maendeleo Serikali kuweka Mazingira wezeshi kwa wadau wa STARTUPs Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa pamoja na jitihada za kuwainua wabunifu wawekezaji nchini, bado kuna umu...
KUWENI BARAKA,SIO KITUNGUU KUWATOA MACHOZI WENGINE - DKT. BITEKO
Amwakilisha Rais Samia hafla ya kutabaruku kanisa SDA- MagomeniAtaka watu kutengenezeana furaha badala ya kuumizanaAhimiza Mshikamano wa Taifa ili kuleta maendeleoNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kuje...
HISTORIA NYINGINE YAANDIKWA MRADI WA UMEME WA JULIUS NYERERE (JNHPP)
Dkt.Biteko azindua mradi wa usafirishaji umeme (kV 400) Chalinze-Dodoma na upanuzi wa vituo vya umeme Chalinze na ZuzuKuwezesha umeme kutoka JNHPP kufika Kanda mbalimbali za Tanzania, Migodi ,Viwanda, Kusini na Mashariki mwa Afrika Asema Tanzania in...
UDSM MARATHON KUBORESHA MAISHA YA WANAFUNZI
Dkt. Biteko Ahimiza Wadau Kuchangia Ujenzi wa Kituo cha WanafunziAwashukuru Wadhamini wa UDSM MarathonNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameeleza amefurahishwa kwake na uendeshaji wa UDSM Marathon na kusema kuwa inasaidia k...
SERIKALI BEGA KWA BEGA NA WAFANYABIASHARA KUTATUA CHANGAMOTO ZAO
Rais Samia Apongezwa Kuifungua Nchi KiuchumiDkt. Biteko Awahimiza Wafanyabiashara Kulipa Kodi Kwa Maendeleo ya Nchi TCCIA Yaendelea Kuwa Daraja la Wafanyabiashara wa Tanzania, Yafungua Ofisi China, London na UturukiSerikali Yapongezwa Kwa Kuwekeza Kw...
BARAZA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA NISHATI LAKUTANA JIJINI ARUSHA
Bajeti ya Wizara 2024/2025 na Majukumu ya Wizara kujadiliwa kwa kinaDkt.Kazungu afungua MkutanoAsema stahiki za kisheria za Watumishi zinapewa kipaumbele TUGHE yapongeza ushirikiano uliopo kati ya Menejimenti na WafanyakaziBaraza la Wafanyakazi la Wi...
Nchi za EAC na SADC zaazimia kuendeleza Teknolojia za Matumizi Bora ya Nishati
Ni katika Mkutano wa Kikanda wa Matumizi Bora ya NishatiDkt. Jafo asema maendeleo ya Viwanda yanategemea uwepo wa Nishati ya kutoshaMkutano wa Kikanda wa Matumizi Bora ya Nishati uliohusisha Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumu...