TANZANIA INA MKAKATI MADHUBUTI UTAKAOFANIKISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA - BALOZI CHANA
Atoa wito kwa Watanzania kuyaishi maono ya Rais SamiaWaziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana amesema Serikali imeandaa mkakati madhubuti wa Nishati Safi ya Kupikia wenye lengokuwaondoa watanzania katika adha itokanayo na matumizi ya ni...
DKT. BITEKO AWAASA WANAJAMII KUTENDA MEMA, KUACHA ALAMA
Ashiriki Kumbukizi ya Askofu wa Kwanza AICTAsema Vikwazo Visiwavunje Moyo Viongoziwa DiniUandikishaji Daftari la Wapigakura Mwanza Oktoba 11 hadi 20 Mwaka HuuNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewaasa wanajamii kutenda mat...
SERIKALI YAKARIBISHA WAWEKEZAJI SEKTA YA MADINI
Dkt. Biteko Asema Matumizi ya Teknolojia na Nishati Safi katika Shughuli za Madini HayaepukikiSerikali Yendelea Kufanya Mapinduzi Makubwa katika Sekta ya MadiniMaonesho ya Madini Geita kuwa ya KimataifaNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt...
MRAMBA AKAGUA JENGO LA WIZARA YA NISHATI MTUMBA
Asisitiza utekelezaji wa agizo la Dkt.Biteko la ufungaji mitambo ya umeme JuaJengo lafikia asilimia 84.3Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba leo ameongoza Menejimenti ya Wizara ya Nishati kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la...
SERIKALI YATHAMINI MCHANGO WA VIONGOZI WA DINI KWENYE MAENDELEO
Dkt. Biteko Ashiriki Jubilei ya Miaka 25 ya Padre Dkt. Faustine KamugishaAsisitiza Tofauti ya Dini si Tatizo, Watanzania Waendelee Kuishi kwa Umoja na AmaniNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt Doto Biteko amesema kuwa Serikali inathamini...
KATIBU MKUU NISHATI ASISITIZA UFANISI UTOAJI HUDUMA SEKTA YA NISHATI
Azungumza na Watumishi Wizara ya NishatiAtaka weledi kazinikuchochea ukuaji Sekta ya NishatiKatibu Mkuu Wizara ya Nishati Mha.Felchesmi Mramba ambaye ni Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi katika Wizara hiyo amekutana na kuzungumza na Watumishi kwa a...
WIZARA YA NISHATI NA UNDP ZAWANOA WATAALAM MATUMIZI BORA YA NISHATI
Ni Taasisi zinazosimamia Matumizi Bora na Sahihi ya Nishati nchiniWataalam kuja na andiko la kusimamia ubora wa bidhaa za NishatiUNDP yaahidi kuendeleza ushirikiano matumizi sahihi ya NishatiWizara ya Nishati kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo...
WATAALAMU WA MAABARA TOENI MAJIBU SAHIHI KUWASAIDIA WATANZANIA - DKT. BITEKO
WATAALAMU WA MAABARA TOENI MAJIBU SAHIHI KUWASAIDIA WATANZANIA - DKT. BITEKOSerikali Yafanya Mageuzi Makubwa Sekta ya Afya Nchini ataalam wa Maabara za Binadamu Wasisitizwa Kulinda Taaluma YaoTanzania ya Tatu Barani Afrika kwa Huduma Bora za MaabaraN...
DKT. BITEKO awataka Wananchi Kulinda Miundombinu ya Shule kuleta Maendeleo
DKT. BITEKO Awataka Wananchi Kulinda Miundombinu ya Shule kuleta MaendeleoNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka wazazi na walezi nchini kutumia fursa ya miundombinu ya shule inayojengwa kwa ushirikiano wa Serikali n...
MRAMBA AZIKARIBISHA KAMPUNI ZA UINGEREZA KUWEKEZA KWENYE NISHATI JADIDIFU
MRAMBA AZIKARIBISHA KAMPUNI ZA UINGEREZA KUWEKEZA KWENYE NISHATI JADIDIFU üAsema Serikali imeamua Gridi iwe na umeme mwingi unaotokana na Nishati Jadidifu üAsisitiza Tanzania kuendana na mipango ya Dunia ya uzalishaji umeme kwa kutumia nishati safi...
MKAKATI WA MATUMIZI YA MAJI KWA KUZINGATIA MAHITAJI YA KILA SEKTA UMELETA MAFANIKIO- KAPINGA.
MKAKATI WA MATUMIZI YA MAJI KWA KUZINGATIA MAHITAJI YA KILA SEKTA UMELETA MAFANIKIO- KAPINGA. Ampongeza Dkt.Biteko kutoa muongozo matumizi endelevu ya maji Asema JNHPP ni kielelezo cha matumizi bora ya maji Asisitiza Taasisi za Serikali kuendelea kus...
TUUNGE MKONO KWA VITENDO MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA- MHE.KATIMBA
TUUNGE MKONO KWA VITENDO MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA- MHE.KATIMBA* Asisitiza Watanzania kuwa sehemu ya Mkakati Aeleza athari za matumizi ya Nishati isiyo safiNaibu Waziri Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Mhe. Zainabu Katimba ametoa rai kwa wa...
DKT. BITEKO AAGIZA KIGOMA KUINGIZWA KWENYE GRIDI KABLA YA 2025
Ataka TANESCO kuongeza kasi utekelezaji miradi ya umeme wa gridiAagiza majenereta ya umeme wa mafuta Kigoma kuzimwa mwishoni mwa 2024Azindua ujenzi mradi wa umeme Malagarasi 49.5MWAtoa neno kuhusu uchaguzi Serikali za MitaaNaibu Waziri Mkuu na Waziri...
KAPINGA AFUNGUA KIKAO KAZI TPDC
Awataka kuyapa kipaumbele masuala ya wafanyakaziAtaka changamoto ya wafanyakazi kukaimu muda mrefu kufanyiwa kaziNaibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga leo Septemba 17, 2024 amefungua kikao kazi cha Menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya Petroli T...
MIKATABA YA SH. BILIONI 50.9 YASAINIWA KUWEZESHA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Mitungi ya Gesi 400,000 yapewa Ruzuku Dkt. Biteko Asisitiza Nishati Safi ya Kupikia kwa Wote Aagiza Majengo ya Wizara ya Nishati/Taasisi kufunga mifumo ya Umeme Jua Azindua Jengo la REA; Aipongeza kwa usimamizi wa miradi, asisitiza huduma boraNaibu W...
SERIKALI KUVUTIA WAWEKEZAJI UTAFUTAJI WA MAFUTA NA GESI- DKT. BITEKO
Ashuhudia makabidhiano leseni ya uendelezaji Gesi Asilia Kisima cha Ruvuma Azitaka TPDC na ARA Petroleum kutoa kipaumbele kwa wazawa katika ajira Kitalu cha Ruvuma kuzalisha Gesi futi ujazo trilioni 1.6 Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dk...
DHAMIRA YA RAIS SAMIA NI KUONA WANANCHI WANANUFAIKA NA MIRADI KATIKA MAENEO YAO- KAPINGA
TPDC yatekeleza maagizo ya Dkt.Biteko Msimbati Wananchi kuanza kunufaika na uwepo wa kituo cha Afya na Polisi Kapinga asisitiza ushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za MitaaNaibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema kuwa dhamira ya Rais wa Jam...
TUUNGE MKONO JITIHADA ZA DKT.SAMIA KATIKA NISHATI SAFI YA KUPIKIA- KAPINGA
Asema Ajenda ya Nishati ya Safi ya Kupikia inagusa makundi yote ya WanachiNaibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amewataka wananchi kuendelea kuunga mkono jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika ma...
TANZANIA YAJIPANGA KUTUMIA NISHATI YA NYUKLIA KUZALISHA UMEME
Dkt. Biteko atangaza msimamo katika Mkutano wa Kimataifa wa Nishati ya NyukliaAsema mashapo 58,500 ya urani kutumika kama chanzo cha uzalishajiMarekani kuendeleza ushirikiano na Afrika matumizi Nishati ya NyukliaNa Mwandishi wetu, NairobiTanzania ime...
TAZAMA YATOA GAWIO BILIONI 4.35 KWA SERIKALI
Dkt. Biteko asema ni matokea ya ziara ya Rais Samia nchini Zambia Aitaka TAZAMA ijiendeshe kwa faida Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amepokea gawio la Serikali la zaidi ya Shilingi Bilioni 4.35, kutoka Kampuni ya Bom...