KAPINGA AFUNGUA KIKAO KAZI TPDC
Awataka kuyapa kipaumbele masuala ya wafanyakaziAtaka changamoto ya wafanyakazi kukaimu muda mrefu kufanyiwa kaziNaibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga leo Septemba 17, 2024 amefungua kikao kazi cha Menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya Petroli T...
MIKATABA YA SH. BILIONI 50.9 YASAINIWA KUWEZESHA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Mitungi ya Gesi 400,000 yapewa Ruzuku Dkt. Biteko Asisitiza Nishati Safi ya Kupikia kwa Wote Aagiza Majengo ya Wizara ya Nishati/Taasisi kufunga mifumo ya Umeme Jua Azindua Jengo la REA; Aipongeza kwa usimamizi wa miradi, asisitiza huduma boraNaibu W...
SERIKALI KUVUTIA WAWEKEZAJI UTAFUTAJI WA MAFUTA NA GESI- DKT. BITEKO
Ashuhudia makabidhiano leseni ya uendelezaji Gesi Asilia Kisima cha Ruvuma Azitaka TPDC na ARA Petroleum kutoa kipaumbele kwa wazawa katika ajira Kitalu cha Ruvuma kuzalisha Gesi futi ujazo trilioni 1.6 Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dk...
DHAMIRA YA RAIS SAMIA NI KUONA WANANCHI WANANUFAIKA NA MIRADI KATIKA MAENEO YAO- KAPINGA
TPDC yatekeleza maagizo ya Dkt.Biteko Msimbati Wananchi kuanza kunufaika na uwepo wa kituo cha Afya na Polisi Kapinga asisitiza ushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za MitaaNaibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema kuwa dhamira ya Rais wa Jam...
TUUNGE MKONO JITIHADA ZA DKT.SAMIA KATIKA NISHATI SAFI YA KUPIKIA- KAPINGA
Asema Ajenda ya Nishati ya Safi ya Kupikia inagusa makundi yote ya WanachiNaibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amewataka wananchi kuendelea kuunga mkono jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika ma...
TANZANIA YAJIPANGA KUTUMIA NISHATI YA NYUKLIA KUZALISHA UMEME
Dkt. Biteko atangaza msimamo katika Mkutano wa Kimataifa wa Nishati ya NyukliaAsema mashapo 58,500 ya urani kutumika kama chanzo cha uzalishajiMarekani kuendeleza ushirikiano na Afrika matumizi Nishati ya NyukliaNa Mwandishi wetu, NairobiTanzania ime...
TAZAMA YATOA GAWIO BILIONI 4.35 KWA SERIKALI
Dkt. Biteko asema ni matokea ya ziara ya Rais Samia nchini Zambia Aitaka TAZAMA ijiendeshe kwa faida Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amepokea gawio la Serikali la zaidi ya Shilingi Bilioni 4.35, kutoka Kampuni ya Bom...
TANZANIA IPO TAYARI KUTUMIA FURSA YA SOKO LA PAMOJA KUUZIANA UMEME - DKT. BITEKO
Ni kufuatia uwepo wa fursa hiyo kwa nchi 13 wanachama wa EAPP Mawaziri waridhia uwepo wa kitengo huru cha masoko cha kuuziana umeme Wanachama EAPP watachangia Megawati Elfu 90 kwenye soko la pamoja la kuuziana umeme Tanzania imejipanga vema kuhaki...
WAKANDARASI MRADI WA TAZA (kV 400) WATAKIWA KUKAMILISHA KAZI KWA WAKATI
Leo Agosti 17, 2024 Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio ameongoza kikao cha Tatu cha Kamati ya Uongozi ya Mradi wa usafirishaji umeme wa msongo wa kilovoti 400 wa Tanzania- Zambia (TAZA) kilichofanyika katika Ofisi ndogo za Wiza...
TANZANIA MWENYEJI MKUTANO WA MAFUTA NA GESI MACHI 2025
Wadau Sekta ya Nishati zaidi ya 1000 kushirikiDkt. Biteko awataka wadau kushirikiana kuelekea mkutano huo Nishati Safi ya kupikia kupewa kipaumbele Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameshiriki katika kikao cha maandalizi...
RAIS SAMIA AMEIBEBA AJENDA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KIMATAIFA - DKT. BITEKO
Ashiriki Kongamano la Nishati Safi ya kupikia ZanzibarAhamasisha ubunifu katika teknolojia za Nishati Safi ya Kupikia Apongeza ubunifu wa mita za kupimia gesi Wadau wahamasishwa kutoa elimu ya Nishati Safi ya Kupikia Imeelezwa kuwa, Rais wa Jamhur...
WAKANDARASI, REA FANYENI KAZI KWA UADILIFU NA KUKAMILISHA KWA WAKATI - DKT. BITEKO
Awataka REA, Wakandarasi kuwajibika utekelezaji wa miradiMkataba wa Shilingi bilioni 362 wasainiwaVitongoji 3,060 kupelekewa umeme Wakandarasi wanaotekeleza miradi mbalimbali ya Kimkakati ya Nishati hususan miradi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA)...
WIZARA YA NISHATI YASHIRIKI TAMASHA LA KIZIMKAZI ZANZIBAR
Yatoa huduma moja kwa moja kwa Wananchi kupitia Taasisi zakeNishati safi ya kupikia, yawa ajenda ya kuvutia Wizara ya Nishati pamoja na Taasisi zake leo Agosti 21, 2024 zimeshiriki katika Tamasha la Kizimkazi (Kizimkazi Festival) yanayoendelea kweny...
SHILINGI BILIONI 4.6 KUPELEKA UMEME MAENEO YA MIGODI RUVUMA - KAPINGA
Asema Serikali itaendelea kupeleka umeme maeneo ya uwekezajiSerikali kuendelea kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali imetenga takribani shilingi bilioni 4.6 kupeleka umeme kwenye maeneo ya m...
RAIS SAMIA AMEFANYA UMEME KUWA SI ANASA- KAPINGA
Tanzania kufuta historia ya Vijiji kutokuwa na umemeKati ya Vijiji 12,318 bado Vijiji 151 tu kufikiwa na umemeWananchi watakiwa kutunza miundombinu ya umeme Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, M...
RAIS SAMIA ATAKA WIZARA YA NISHATI KUONGEZA KASI USIMAMIZI WA MIRADI
Lengo ni kuhakikisha miradi inakamilika kwa wakati Aeleza umeme unavyochagiza shughuli za kiuchumi Vijiji 621 Morogoro vyafikiwa na umeme kati ya Vijiji 669 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara ya...
GRIDI YA TAIFA INA UMEME WA KUTOSHA - RAIS SAMIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema mfumo wa gridi ya Taifa una umeme wa kutosheleza mahitaji ya kijamii na kiuchumi.Rais Samia ameyasema hayo leo Agosti 02, 2024 wilayani Gairo Mkoa wa Morogoro akiwa katika...
WIZARA YA NISHATI, MTIBWA WAJADILI UJENZI NJIA YA UMEME
Ni ya msongo wa kilovoti 132 Ni kufuatia ombi la Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kiwanda cha Mtibwa Bilioni 28 kutekeleza miradi ya umeme Vijijini Mvomero Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe amesema, Wizara ya Nishati na Kiwanda cha sukari c...
KAMATI YA BUNGE YA BAJETI YAAHIDI KUUPA MSUKUMO MRADI WA EACOP
Yampongeza Rais Samia kutekeleza miradi inayoleta mageuzi ya kiuchumi Dkt. Mataragio asema mradi umefikia asilimia 39.2 Tanzania kufaidika na shilingi trilioni 2.3 kipindi cha ujenzi na uendeshaji EACOP yawezesha manunuzi ya Dola milioni 462 W...
MGODI WA GGM WAANZA KUTUMIA UMEME WA GRIDI BADALA YA MAFUTA
MGODI WA GGM WAANZA KUTUMIA UMEME WA GRIDI BADALA YA MAFUTADkt.Biteko azindua kituo cha kupoza umeme cha GGM (MW 34) Asema kitaongeza mapato ya Serikali Aipongeza GGM kuzipa kipaumbele kampuni za kizawa TANESCO kuingiza mapato ya sh.Bilioni 2 ha...