SERIKALI INAKAMILISHA MKAKATI WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA - MHE. KAPINGA
Asema ni Ajenda ya Rais Dkt. Samia,Inachukuliwa kwa uzitoREA yaendelea kusambaza nishati hiyo kwenye TaasisiNaibu Waziri waNishati, Mhe. Judith Kapinga amesema kuwa, kwa sasa Serikali inakamilisha kazi ya uandaaji wa Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya N...
MRADI WA KUPELEKA UMEME WA GRIDI RUKWA UMESHAANZA- MHE. KAPINGA
Asema upungufu wa umeme unazidi kupunguaKatika jitihada za kuhakikisha maeneo yote nchini yanapata umeme wa uhakika, Serikali imeshaanza kutekeleza mradi wa kupeleka umeme wa Gridi katika Mkoa wa Rukwa kupitia mradiwa TAZA ulioanza kutekelezwa mwezi...
MAWAZIRI WA NISHATI TANZANIA, ZAMBIA WAJADILI UJENZI WA BOMBA JIPYA LA MAFUTA
Ni la Mafuta Safi kutoka Dar es Salaam hadi Ndola ZambiaDkt. Biteko asema pia litanufaisha mikoa ya kusiniZambia yasema ipo tayari kutekeleza mradi huoTimu ya Wataalam yaanza majadiliano Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko p...
DKT. BITEKO AKAGUA MITAMBO YA UMEME YA NEW PANGANI (MW 68)
Ataka matengenezo yafanyike kwa kasi na umakiniAiagiza TANESCO kufanya ukaguzi mara kwa mara kwenye vituo vya umemeAwasha umeme kijiji cha Ngomeni MuhezaAsifu viongozi wa Tanga kwa umoja walionaoNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto...
KUTOKUTATUA KERO ZA WANANCHI KUNAMKERA RAIS SAMIA- DKT. BITEKO AWAELEZA WATENDAJI
Ataka Viongozi Serikalini kutatua kero za wananchi na si kusikiliza tuAagiza viongozi kuhakikisha wanafunzi wote wanaripoti mashuleni kabla ya MachiAwasha umeme Kijiji cha Magodi na Kigandini wilayani MkingaApongeza REA kwa ufanisi wa usambazaji umem...
WATANZANIA WAPEWE KIPAUMBELE KATIKA MRADI WA EACOP-DKT. BITEKO
Ataka uwiano wa malipo kati ya Watalaam Wazawa na kutoka njeMabomba ya Mafuta yaendelea kuingia nchiniAkagua Mita za Kupimia Mafuta Bandari ya TangaAagiza Bandari ya Tanga na Mtwara zitumike kushusha mafuta kuleta unafuu kwa watumiajiNaibu Waziri Mku...
DKT. BITEKO AONGOZA MAPOKEZI YA NAIBU WAZIRI MKUU WA CHINA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo ameongoza mapokezi ya Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Liu Guozhong ambaye yupo nchini kwa ziara ya Siku Tatu.Akiwa nchini, Mhe. Guozhong anatarajiwa kukutana na kuf...
DKT.BITEKO NA WAZIRI WA NISHATI MISRI WAZUNGUMZA KUHUSU MRADI WA JNHPP
Majaribio ya mwanzo mtambo Na.9 JNHPP yaleta mafanikioKilowati 100 zaanza kuingizwa gridi ya TaifaWaridhishwa na utekelezaji wa mradi Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Nyumba, N...
SERIKALI YAENDELEA KUSHUSHA GHARAMA ZA ULETAJI MAFUTA ILI KULETA AHUENI KWA WANANCHI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, juhudi zinazofanywa na Wizara ya Nishati, Wakala wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (PBPA) na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) zimepelekea gharama za ul...
Ziara ya Dkt. Biteko mkoani Mtwara yapelekea mitambo iliyosimama kuanza kuzalisha umeme
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Ahmed Abbas Ahmed ameeleza kuwa, ziara aliyofanya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Biteko mkoani Mtwara tarehe 14 na 15 Novemba 2023 imeleta matokea chanya kwani maagizo yote aliyoyatoa yameanza kufanyi...
DKT.BITEKO ASHUHUDIA UTIAJI SAINI MIKATABA MIWILI YA KIHISTORIA YA GESI ASILIA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo ameshuhudia uwekaji saini Mkataba wa Mauziano ya Gesi Asilia itakayozalishwa katika eneo la Ntorya Kitalu cha Ruvuma kilichopo mkoani Mtwara na uwekaji saini hati ya Makubaliano kwa aj...
Mhe. Kapinga akagua Ujenzi wa Flow Meter na Mapipa Mapya ya kuhifadhi mafuta Bandarini
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga amekagua Maendeleo ya Ujenzi wa Miundombinu ya Kupimia Mafuta yanayoingia na kutoka nchini Pamoja na Ujenzi wa Mapipa mapya ya Kuhifadhi Mafuta Bandarini.Mhe. Kapinga amefanya ziara hiyo Tarehe 9, Januari 2...
MHE. KAPINGA: TGDC ONESHENI MATOKEO CHANYA KWA KUZALISHA UMEME
Kampuni ya Uendelezaji wa Joto Ardhi Tanzania (TGDC) imetakiwa kuonesha Matokeo Chanya kwa kuzalisha Umeme kwa kutumia Rasilimali ya Jotoardhi ili kuunga Mkono Mpango wa Serikali wa kuwa na Nishati Safi na Endelevu.Agizo hilo limetolewa na Naibu Wazi...
DKT. BITEKO AFUNGUA JENGO LA AFISI MAMLAKA YA MAJI ZANZIBAR
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, amefungua Jengo la Afisi ya Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA) lililoko eneo la Madema, Zanzibar na kupongeza mafanikio na ushindi wa kufanikisha miradi hiyo muhimu kwa maendeleo ya Zanzibar...
JUMUIYA YA WAZAZI TUMIENI RASILIMALI ZILIZOPO KUJENGA NA KUENEZA MAFANIKIO YA CCM-DKT.BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameitaka Jumuiya ya Wazazi ya CCM kutumia rasilimali walizonazo katika kukijenga na kukieneza Chama cha Mapinduzi (CCM) katika maeneo mbalimbali ya nchi na kuzungumza na wananchi kuhusu ka...
TUYAENZI NA KUYALINDA MAPINDUZI MATUKUFU YA ZANZIBAR - DKT.BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa Wananchi kuendelea kuyaenzi, kuyalinda na kuyaishi kwa dhamira ya dhati, Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kwani Waasisi wa Nchi walifanya mapinduzi hayo ili kuwa na Taifa hur...
MHE. KAPINGA: TANOIL IMARISHENI UTENDAJI KAZI KULETA MATOKEO CHANYA
Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni Tanzu ya Mafuta (TANOIL) ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Menejimenti ya Kampuni hiyo wameaswa kuhakikisha kuwa wanaimarisha na kuleta matokeo chanya kiutendaji yanayofanywa na kampuni hiyo kwa wata...
WATANZANIA JITOKEZENI KUTOA MAONI YA MISWADA YA SHERIA YA UCHAGUZI NA VYAMA VYA SIASA - DKT.BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa Watanzania kushiriki katika kutoa maoni kuhusu muswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa mwaka 2023, Muswada wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi wa mwaka 2023...
DKT. BITEKO AWASHUKURU WALIMU BUKOMBE KWA KUONGEZA UFAULU NA KUWAJALI WANAFUNZI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewapongeza na kuwashukuru Walimu wote wanaofundisha shule za Msingi na Sekondari wilayani Bukombe kwa kuwajali wanafunzi na kuwafundisha kwa weledi na maarifa ambayo yamepelekea wilaya h...
DKT.BITEKO AMMWAGIA SIFA RAIS, DKT. SAMIA KWA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI BUKOMBE
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mhe. Dkt. Doto Biteko, amepongeza jitihada kubwa zinazofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kutekeleza kwa kasi miradi mba...