KAMATI YA BUNGE YAKAGUA VITUO VYA GESI JIJINI DAR ES SALAAM
Yashauri vituo vya kujazia gesi kwenye magari visambae mikoaniWananchi wachangamkia ujazaji gesi kwenye magariMhe. Kapinga akaribisha wawekezaji kwenye CNGWajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imekagua vituo vya gesi iliyoshindili...
KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI MRADI WA UMEME MKOANI ARUSHA
Mradi wagharimu takribani Dola milioni 258Kunufaisha nchi zipatazo 13Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imefanya ziara Mkoani Arusha kukagua mradi wa ujenzi wa njia kuu ya umeme wenye msongo wa kilovoti 400 katika eneo la Lemugur mkoani A...
UWEKEZAJI KWENYE SEKTA YA ELIMU LAZIMA UMGUSE MWALIMU – DKT. BITEKO
Azindua programu ya Kuboresha Kada ya Ualimu nchini (GPETSP)Ataja ongezeko la ajira kwa Walimu, madaraja na Bajeti ya ElimuAeleza vipaumbele 8 kuendeleza Kada ya UalimuAtaka Walimu wawe na Siku Maalum ya MotishaJK atoa neno kuhusu Taasisi ya GPENaibu...
KAMATI YA BUNGE YAKAGUA UJENZI WA JENGO LA WIZARA YA NISHATI MTUMBA
Yapongeza Wizara kushirikisha Taasisi za Umma kwenye ujenziYataka mkandarasi kuongeza kasi ya ujenziUjenzi wafikia asilimia 75Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeipongeza Wizara ya Nishati kwa kushirikisha Taasisi za Umma katika utekele...
NAIBU KATIBU MKUU NISHATI AWASILI RASMI OFISINI
Apokelewa na Katibu Mkuu na Wafanyakazi wa WizaraAahidi kushirikiana na wadau kumsaidia Mhe. Rais kufikia malengoNaibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio amewasili rasmi ofisini na kuahidi kumsaidia Rais, Mhe. Samia Suluhu Hassan kut...
DKT. BITEKO AKUTANA NA KATIBU MKUU WIZARA YA NISHATI ZAMBIA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati wa Zambia (anayeshughulikia Huduma za Kiufundi), Peter Mumba (wa Pili kushoto) mara baada ya kikao chao kilichol...
RAIS SAMIA HATAKI MISUKOSUKO KWA WAFANYABIASHARA- DKT. BITEKO
Ataka Watendaji Warasimu wajionee aibu;watimize wajibuWatumishi wakumbushwa shughuli za Serikali kufanyika DodomaNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan amejipambanua kama mlezi wa Se...
MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAANZA RASMI- DKT. BITEKO
Agawa mitungi ya Gesi na Majiko Banifu kwa Wajasiriamali Dar es SalaamAtaka Taasisi kuachana matumizi ya kuni na mkaaAhimiza wadau kuunga mkono juhudi za SerikaliBaadhi ya Wajasiriamali wafungukaNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto...
UTAMADUNI NA UTU WA MTANZANIA USIDHALILISHWE – DKT. BITEKO
Awapongeza Wasanii kwa kutopuuza utamaduni wa MtanzaniaAmpongeza Dkt. Samia kwa kuufufua Mfuko wa UtamaduniAtaka Wasanii kuhamasisha Uchaguzi wa Serikali za MitaaNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Watanzania wana ki...
UCHORONGAJI VISIMA VYA JOTOARDHI KUANZA APRILI 2024- DKT. BITEKO
Lengo ni kuwa na vyanzo mchanganyiko vya umemeKampuni ya KenGen ya Kenya na TGDC kushirikiana katika uhakikiNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa kazi ya uchorongaji wa visima vya Jotoardhi nchini Tanzania itaanza...
NCHI WANACHAMA EAPP ZAKUBALIANA KUIPA MSUKUMO MIRADI YA UMEME
Dkt. Biteko asema suala la kuwapa nishati wananchi sio hiariAsisitiza miradi ya usafirishaji umeme EAPP kukamilika kwa wakatiVyanzo vipya vya umeme kuendelezwa kukidhi mahitajiBaraza la Mawaziri wanaohusika na mfumo wa pamoja wa umeme kwa nchi za Mas...
HISTORIA YAANDIKWA; JNHPP YAINGIZA MEGAWATI 235 GRIDI YA TAIFA
Serikali yatekeleza ahadi kabla ya siku tatuMegawati 235 nyingine kuingizwa Machi, 2024Uzinduzi rasmi kufanyika mwezi Machi mwaka huuDkt. Biteko asema hakuna kulala; vyanzo vipya kutekelezwaMkandarasi apongeza usimamizi wa Dkt.BitekoNaibu Waziri Mkuu...
SERIKALI IBORESHE MFUMO WA SCADA KUDHIBITI UPOTEVU WA MAFUTA-KAMATI YA BUNGE
Wataka mfumo wa SCADA uwe chini ya SerikaliWaagiza flowmeter kuwekewa uzioKamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeishauri Serikali kupitia kwa Wakala wa Uagizaji wa Mafuta kwa pamoja (PBPA) kuufanyia maboresho mfumo wa SCADA ambao umebuniwa...
DKT. BITEKO AENDELEA NA UKAGUZI WA VYANZO VYA UMEME NCHINI
Akagua mabwawa ya Kihansi na KidatuAkuta mabwawa yamejaa maji, asema changamoto ya umeme ipo ukingoniAkataza Likizo kwa watendaji kipindi cha changamoto za umemeAmshangaa Meneja aliyeenda likizo kipindi cha changamotoAweso awataka watendaji waondokan...
VIJIJI VYOTE 360 IRINGA VYAPATA UMEME
Zaidi ya asilimia 64 ya vitongoji vyote vina umemeDkt. Biteko ataka kasi ya usambazaji iendane na mahitajiAtuma Salamu uchaguzi Serikali za MitaaUsambazaji umeme vijijini mkoani Iringa umefanyika kwa asilimia 100 ambapo vijiji vyote 360 mkoani humo v...
MRADI WA RUMAKALI (222MW) SASA UNAANZA KUTEKELEZWA - DKT. BITEKO
Asema ni maagizo ya Rais, Dkt. Samia Suluhu HassanNi mradi mkubwa wa umeme baada ya JNHPPUpembuzi yakinifu wakamilikaRuhudji (358 MW) nayo haijasahaulikaNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, mradi wa umeme wa maj...
WAZALISHAJI WADOGO WA UMEME WAPATA TUMAINI JIPYA
Waishukuru Serikali kwa uwezeshajiSerikali yaahidi kuendelea kutatua changamoto zaoDkt. Biteko awataka kujiamini, Serikali inawathaminiNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe.Dkt. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na Wazalishaji wadogo...
DKT. BITEKO ATAKA MIUNDOMBINU YA UMEME KUBORESHWA KWA WAKATI
Aagiza kituo cha kupoza umeme kujengwa Wanging'ombe Asema JNHPP imefikia asilimia 97 Ataka kigezo cha mavazi kisikwamishe watoto kwenda shuleVijiji vyote 108 Wanging'ombe vyapata umemeNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amew...
MIRADI YA UMEME WA JOTOARDHI IENDELEZWE- DKT. BITEKO
Ataka TGDC kuchagiza mafanikioAkagua miradi ya Jotoardhi Kiejo-Mbaka na NgoziAsema Dkt.Samia anataka huduma bora kwa wananchiNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Serikali imeamua kwa dhati kuendeleza vyanzo vya umeme...
DKT. BITEKO AWASILI MBEYA KWA ZIARA YA KIKAZI
Aeleza jitihada za Serikali kupunguza changamoto ya umemeAipongeza Mbeya kwa utekelezaji miradi ya maendeleoAsisitiza siasa zisiwagawe wananchiNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt.Doto Biteko, leo amewasili mkoani Mbeya kwa ziara ya kikaz...