TAZAMA YATOA GAWIO BILIONI 4.35 KWA SERIKALI
Dkt. Biteko asema ni matokea ya ziara ya Rais Samia nchini Zambia Aitaka TAZAMA ijiendeshe kwa faida Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amepokea gawio la Serikali la zaidi ya Shilingi Bilioni 4.35, kutoka Kampuni ya Bom...
TANZANIA IPO TAYARI KUTUMIA FURSA YA SOKO LA PAMOJA KUUZIANA UMEME - DKT. BITEKO
Ni kufuatia uwepo wa fursa hiyo kwa nchi 13 wanachama wa EAPP Mawaziri waridhia uwepo wa kitengo huru cha masoko cha kuuziana umeme Wanachama EAPP watachangia Megawati Elfu 90 kwenye soko la pamoja la kuuziana umeme Tanzania imejipanga vema kuhaki...
WAKANDARASI MRADI WA TAZA (kV 400) WATAKIWA KUKAMILISHA KAZI KWA WAKATI
Leo Agosti 17, 2024 Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio ameongoza kikao cha Tatu cha Kamati ya Uongozi ya Mradi wa usafirishaji umeme wa msongo wa kilovoti 400 wa Tanzania- Zambia (TAZA) kilichofanyika katika Ofisi ndogo za Wiza...
TANZANIA MWENYEJI MKUTANO WA MAFUTA NA GESI MACHI 2025
Wadau Sekta ya Nishati zaidi ya 1000 kushirikiDkt. Biteko awataka wadau kushirikiana kuelekea mkutano huo Nishati Safi ya kupikia kupewa kipaumbele Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameshiriki katika kikao cha maandalizi...
RAIS SAMIA AMEIBEBA AJENDA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KIMATAIFA - DKT. BITEKO
Ashiriki Kongamano la Nishati Safi ya kupikia ZanzibarAhamasisha ubunifu katika teknolojia za Nishati Safi ya Kupikia Apongeza ubunifu wa mita za kupimia gesi Wadau wahamasishwa kutoa elimu ya Nishati Safi ya Kupikia Imeelezwa kuwa, Rais wa Jamhur...
WAKANDARASI, REA FANYENI KAZI KWA UADILIFU NA KUKAMILISHA KWA WAKATI - DKT. BITEKO
Awataka REA, Wakandarasi kuwajibika utekelezaji wa miradiMkataba wa Shilingi bilioni 362 wasainiwaVitongoji 3,060 kupelekewa umeme Wakandarasi wanaotekeleza miradi mbalimbali ya Kimkakati ya Nishati hususan miradi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA)...
WIZARA YA NISHATI YASHIRIKI TAMASHA LA KIZIMKAZI ZANZIBAR
Yatoa huduma moja kwa moja kwa Wananchi kupitia Taasisi zakeNishati safi ya kupikia, yawa ajenda ya kuvutia Wizara ya Nishati pamoja na Taasisi zake leo Agosti 21, 2024 zimeshiriki katika Tamasha la Kizimkazi (Kizimkazi Festival) yanayoendelea kweny...
SHILINGI BILIONI 4.6 KUPELEKA UMEME MAENEO YA MIGODI RUVUMA - KAPINGA
Asema Serikali itaendelea kupeleka umeme maeneo ya uwekezajiSerikali kuendelea kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali imetenga takribani shilingi bilioni 4.6 kupeleka umeme kwenye maeneo ya m...
RAIS SAMIA AMEFANYA UMEME KUWA SI ANASA- KAPINGA
Tanzania kufuta historia ya Vijiji kutokuwa na umemeKati ya Vijiji 12,318 bado Vijiji 151 tu kufikiwa na umemeWananchi watakiwa kutunza miundombinu ya umeme Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, M...
RAIS SAMIA ATAKA WIZARA YA NISHATI KUONGEZA KASI USIMAMIZI WA MIRADI
Lengo ni kuhakikisha miradi inakamilika kwa wakati Aeleza umeme unavyochagiza shughuli za kiuchumi Vijiji 621 Morogoro vyafikiwa na umeme kati ya Vijiji 669 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara ya...
GRIDI YA TAIFA INA UMEME WA KUTOSHA - RAIS SAMIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema mfumo wa gridi ya Taifa una umeme wa kutosheleza mahitaji ya kijamii na kiuchumi.Rais Samia ameyasema hayo leo Agosti 02, 2024 wilayani Gairo Mkoa wa Morogoro akiwa katika...
WIZARA YA NISHATI, MTIBWA WAJADILI UJENZI NJIA YA UMEME
Ni ya msongo wa kilovoti 132 Ni kufuatia ombi la Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kiwanda cha Mtibwa Bilioni 28 kutekeleza miradi ya umeme Vijijini Mvomero Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe amesema, Wizara ya Nishati na Kiwanda cha sukari c...
KAMATI YA BUNGE YA BAJETI YAAHIDI KUUPA MSUKUMO MRADI WA EACOP
Yampongeza Rais Samia kutekeleza miradi inayoleta mageuzi ya kiuchumi Dkt. Mataragio asema mradi umefikia asilimia 39.2 Tanzania kufaidika na shilingi trilioni 2.3 kipindi cha ujenzi na uendeshaji EACOP yawezesha manunuzi ya Dola milioni 462 W...
MGODI WA GGM WAANZA KUTUMIA UMEME WA GRIDI BADALA YA MAFUTA
MGODI WA GGM WAANZA KUTUMIA UMEME WA GRIDI BADALA YA MAFUTADkt.Biteko azindua kituo cha kupoza umeme cha GGM (MW 34) Asema kitaongeza mapato ya Serikali Aipongeza GGM kuzipa kipaumbele kampuni za kizawa TANESCO kuingiza mapato ya sh.Bilioni 2 ha...
RAIS SAMIA ARIDHIA VITUO 75 VYA KUPOZA UMEME KUJENGWA NCHINI - KAPINGA
RAIS SAMIA ARIDHIA VITUO 75 VYA KUPOZA UMEME KUJENGWA NCHINI - KAPINGALengo ni kuimarisha upatikanaji umeme katika maeneo yote nchini Mradi kugharimu shilingi Trilioni 4.42 Vituo nane vyakamilika; sita vipo asilimia 97Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judit...
MRADI WA TAZA KUUNGANISHA UMEME AFRIKA
MRADI WA TAZA KUUNGANISHA UMEME AFRIKADkt. Biteko aweka Jiwe la MsingiAitaka TANESCO Kusimamia Mradi kikamilifuAtaka Wakandarasi wazembe Wachukuliwe HatuaTAZA kuiwezesha Rukwa kupata umeme wa gridiSerikali imesema kuwa mradi mkubwa wa usafirishaji um...
SEKTA YA NISHATI MANENO KIDOGO VITENDO ZAIDI-DKT.BITEKO
SEKTA YA NISHATI MANENO KIDOGO VITENDO ZAIDI-DKT.BITEKOAshiriki Bonanza la Nishati jijini DodomaAtaka Watumishi kupendana na kushirikianaAtunukiwa Nishani ya Uasisi Bonanza la NishatiEWURA yaibuka mshindi wa Jumla;Mkurugenzi Mkuu amshukuru Dkt.Biteko...
TUNAO UMEME WA KUTOSHA;ASEMA MHE. RAIS SAMIA
TUNAO UMEME WA KUTOSHA; ASEMA MHE. RAIS SAMIARais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan amesema kuwa kwa sasa nchi inao umeme wa kutosha kufuatia miradi mbalimbali ambayo Serikali imetekeleza ukiwemo ule wa JNHPP kwa kuwashwa...
SERIKALI KUIMARISHA MAGHALA YA MAFUTA
SERIKALI KUIMARISHA MAGHALA YA MAFUTADkt. Biteko akaribisha uwekezaji wa uzalishaji wa dawa za mifugo Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikali ina nia ya kuimarisha miundombinu ya maghala ya kuhifadhia mafut...
SERIKALI YAONDOA HOFU YA UMEME KUTOFIKA VITONGOJI VYOTE NCHINI
SERIKALI YAONDOA HOFU YA UMEME KUTOFIKA VITONGOJI VYOTE NCHINI Kapinga asema vitongoji vyote vitasambaziwa umeme Vituo vya kupoza umeme kujengwa Kilosa, Mbinga na Hanang Vitongoji 33,000 vyafikiwa na huduma ya umeme Wakandarasi kuendelea kusimamiwa k...