SINGIDA HAITASHUKA 97% UPATIKANAJI WA UMEME DESEMBA 2023 - RAIS SAMIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema ifikapo mwaka 2024 Mkoa wa Singida hautashuka 97 % ya upatikanaji wa umeme mkoani Singida.Mhe. Rais amesema hayo alipokuwa Mgeni Rasmi katika madhimisho ya Miaka 60 ya kua...
VIJIJI 6 PEKEE VYASALIA KUUNGANISHWA UMEME JIMBO LA SINGIDA
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga amesema katika Jimbo la Singida Kaskazini Vijiji 6 vimesalia kuunganishwa na umeme kati ya vijiji 84 vya jimbo hilo.Amesema hayo wakati akisalimia wananchi katika Kijiji cha Sagara, wakati wa ziara ya Rais...
NAWAAHIDI WAWEKEZAJI KUWA SERIKALI ITAWAPA USHIRIKIANO - DKT. BITEKO
Imeelezwa kuwa, Serikali itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wenye Viwanda, Wafanyabiashara na Wawekezaji kushiriki katika ukuzaji wa uchumi hususan kwenye Sekta ya Viwanda.Hayo yamebainishwa leo Oktoba 15, 2023 na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa...
SERIKALI KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO YA UMEME KWA HARAKA
Serikali imeahidi kushughulikia changamoto ya umeme iliyopo nchini kwa kasi kubwa ili tatizo hilo liweze kuisha katika kipindi kifupi kuanzia sasa.Hayo yameelezwa leo Oktoba 11, 2023 na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko katika M...
RAIS SAMIA AMEIBEBA KWA DHATI AJENDA YA MATUMIZI NISHATI MBADALA – NAIBU WAZIRI KAPINGA
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameibeba kwa dhati ajenda ya matumizi ya nishati mbadala kutokana na changamoto ya mabadiliko ya tabianchi.Mhe. Kapinga amesem...
Kapinga asema Vijana tumieni Fursa kuwekeza kwenye Nishati
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga amewataka Vijana kuchangamkia fursa ya kuomba mikopo ili kuwekeza katika sekta ya Nishati inayotolewa na Wakala wa Nishati Vijijini(REA) kwa nchi nzima.Mhe. Kapinga amesema hayo wakati wa semina iliyoandali...
MAWAZIRI WA NISHATI WA TANZANIA, RWANDA NA BURUNDI WAKAGUA MRADI WA UMEME WA RUSUMO (MW 80)
Mawaziri wa Nishati kutoka nchi za Tanzania, Rwanda na Burundi wakiongozwa na Mwenyekiti wa Mawaziri hao, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt.Doto Biteko leo wamefanya kikao cha ngazi ya Mawaziri na kukagua mradi wa umeme wa Rusumo utakaozali...
DKT. BITEKO APELEKA SHANGWE ZA UMEME KIJIJI CHA IHAKO, BUKOMBE
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ameanza kazi ya kuwasha umeme vijijini ambapo leo amewasha umeme katika Kijiji cha Ihako, wilayani Bukombe mkoani Geita na hivyo kuwezesha wananchi katika kijiji hicho kuanza kutumia rasmi nish...
DKT.DOTO BITEKO AENDELEA NA MCHAKAMCHAKA WA KUWASHA UMEME VIJIJINI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt.Doto Biteko ameendelea na ziara yake ya kikazi katika mikoa mbalimbali nchini ambayo imejumuisha kuwasha umemekatika baadhi ya vijiji vya wilaya ya Bukombe mkoani Geita, Biharamulo, na leo amewasha umeme ka...
TUNAFANYA KILA JITIHADA KUPUNGUZA MAKALI YA UMEME NCHINI-DKT. DOTO BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, Wizara ya Nishati inafanya jitihada mbalimbali ili kupunguza makali ya umeme nchini na hivyo kuwaondolea wananchi matatizo ya umeme wanayoyapata kwa sasa.Amesema hayo tarehe 02 Ok...
Kapinga: TANESCO boresheni mfumo wa utoaji huduma kwa wateja kupunguza malalamiko
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), kuboresha mfumo wa utoaji huduma kwa wateja ili kupunguza malalamiko na kuwapatia wananchi hao huduma ya umeme kwa wakati.Mhe. Kapinga ametoa maelekezo hayo...
VIONGOZI NENDENI MKASIKILIZE WANANCHI-DKT. DOTO BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewataka viongozi wa ngazi mbalimbali nchini kwenda kwenye maeneo ya wananchi kwa ajili ya kutoa huduma, kusikiliza kero zao na kuzitatua.Amesema hayo tarehe 28 Septemba, 2023 katika Kijiji ch...
Katibu Mkuu Kiongozi atembelea Mradi wa JNHPP, asema watanzania wanahitaji umeme
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, amesema kuwa watanzania wanahitaji kupata huduma ya umeme wa uhakika na kwamba ameridhishwa na kazi kubwa ya utekelezaji wa mradi wa kuzalisha umeme wa Julius Nyerere (JNHPP).Balozi Kusiluka ameeleza h...
Kapinga : Mwanzoni mwa Octoba 2023 tunaanza kuwalipa fidia Waliopisha mradi wa Kituo kusambaza Umeme...
Serikali imesema itaanza kuwalipa fidia ya shilingi milioni 399 kwa wananchi 496 waliopisha Mradi wa Kituo cha Kupoza na Kusambaza Umeme cha Uhuru kilichopo katika Kijiji cha Vumilia Wilayani Urambo Mkoani Tabora.Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith K...
Kazi ya kusambaza umeme vijijini mwisho Desemba 2023 - Mhe. Kapinga
Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema kuwa ifikapo mwezi Desemba mwaka huu, utekelezaji wa Mradi wa Kusambaza Umeme Vijijini wa Awamu ya Tatu mzunguko wa Pili katika vijiji vyote utakamilika na hivyo kupelekea kuanza utekelezaji wa mradi w...
Naibu Waziri wa Nishati akagua uzalishaji wa umeme katika Vituo vya Ubungo I na Ubungo II
Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga amewapa saa sita Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuirejesha katika hali ya kawaida ya uzalishaji mitambo iliyopata hitilafu katika kituo cha Ubungo I.Kapinga amesema hayo wakati wa ziara ya kukagua hali ya u...
DKT.BITEKO AANZA ZIARA YA KIKAZI BUKOMBE MKOANI GEITA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Dkt. Doto Biteko ameanza ziara ya kikazi katika jimbo hilo lililoko mkoani Geita ikiwa ni ziara ya kwanza kufanyikakutoka ateuliwe na kuapishwa na Rais, Dkt. Samia Sulu...
NWN Kapinga aweka historia, awasha Umeme Ikindwa kwa mara ya kwanza tangu nchi kupata uhuru
NWN Kapinga aweka historia, awasha Umeme Ikindwa kwa mara ya kwanza tangu nchi kupata uhuruMkandarasi apewa siku 7 kuwalipa Vijana waliofanya kaziNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameweka historia kwa kuwasha umeme kwa mara ya kwanza katika Kij...
MAJALIWA: TUNATAKA TUWE WAZALISHAJI WAKUBWA WA NISHATI
MAJALIWA: TUNATAKA TUWE WAZALISHAJI WAKUBWA WA NISHATIWAZIRI MKUU, Mhe. Kassim Majaliwa leo Septemba 20, 2023 amefungua Kongamano la Tano la Nishati Tanzania ambapo amesema Serikali imedhamiria kuwawezesha Wazalishaji na Wajasiriamali katika Sekta ya...
NAIBU WAZIRI MKUU AIELEKEZA REA KUTUMIA MUDA MWINGI VIJIJINI
NAIBU WAZIRI MKUU AIELEKEZA REA KUTUMIA MUDA MWINGI VIJIJININaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko ameiagiza Menejimenti ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kutumia muda mwingi zaidi wa kazi vijijini na muda mchache ofisini ili waend...