MATUMIZI YA NISHATI SAFI YAFIKIA ASILIMIA 28.6.
Matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini yamefikia asilimia 28.6 mwaka 2025, hatua inayotajwa kuwa ishara ya mafanikio ya juhudi za serikali katika kuhamasisha wananchi kutumia nishati salama na rafiki kwa mazingira.Hayo yameelezwa Mei 8, 2026 Jiji...
DRC YAFANYA ZIARA YA MAFUNZO KUHUSU USIMAMIZI WA MAFUTA TANZANIA.
Waziri wa Hydrocarbons wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mhe. Acacia Bandubola Mongo, amesema nchi yake itaendelea kujifunza kutoka Tanzania kuhusu usimamizi bora wa sekta ya mafuta ili kuboresha mifumo yake ya upatikanaji na usambazaji wa n...
MHANDISI MRAMBA ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MSUMBIJI.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia masuala ya Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, ametembelea Ofisi za Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jijini Maputo, Msumbiji na kufanya mazungumzo na Kaimu Balozi, Tammy Kajig...
TANZANIA NA DRC KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA YA MAFUTA NA GESI ASILIA.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Hydrocarbons wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mhe. Acacia Bandubola Mongo, kwa lengo la kujadili masuala yatakayoimarisha ushirikiano katika Sekta ya...
WAZIRI MKUU: SERIKALI YAENDELEA KUHAKIKISHA MAFUTA HAYAADIMIKI NCHINI.
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali kuhakikisha upatikanaji wa mafuta nchini unaendelea kuwa wa uhakika na bidhaa hiyo haiadimiki.Akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Janeth Mahawanga Bungeni jij...
AFRIKA INAHITAJI USHIRIKIANO WA KIMKAKATI KUNUFAIKA NA RASILIMALI ZAKE MHA. MRAMBA.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, amesema Afrika inahitaji kuimarisha ushirikiano wa kimkakati ili kuhakikisha rasilimali zilizopo zinachangia kikamilifu maendeleo ya uchumi, ukuaji w...
MASHIRIKA BINAFSI YATAJWA KUWA NGUZO MUHIMU YA MAENDELEO YA SEKTA YA NISHATI.
Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga, amekutana na ujumbe kutoka mashirika binafsi ya ECOTA na Social for Change (SFC) kwa lengo la kujadili fursa zilizopo katika Sekta ya nishati Nchini na namna mashirika hayo yanavyoweza k...
KATIBU MKUU MATARAGIO AKUTANA NA UONGOZI ARA PETROLEUM KUJADILI MIRADI YA GESI.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi, Dkt. James Mataragio amekutana na kufanya mazungumzo na Meneja Mkuu wa ARA Petroleum Tanzania (APT), Erhan Saygi, leo Mei 05, 2026.Katika kikao hicho, Dkt. Mataragio amepokea taarifa kuhu...
NISHATI SAFI CUP: BAHI YATUMIA MICHEZO KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma imeanzisha kampeni maalum ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kupitia mashindano ya michezo yaliyopewa jina la “Nishati Safi Cup”, yakihusisha vijiji 16 kutoka katika kata 8 za wilaya hiyo.Mashindano hayo,...
RAIS RUTO AITAMBUA TANZANIA KAMA KITOVU CHA NISHATI AFRIKA MASHARIKI.
Rais wa Kenya, Mhe. William Ruto amesema kuwa miradi ya pamoja ya nishati kati ya Tanzania na Kenya inaendelea kuleta mapinduzi ya kiuchumi na kuimarisha ushirikiano wa kikanda.Akilihutubia Bunge la Tanzania kwa mwaliko wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hass...
TANZANIA NA KENYA ZASAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO SEKTA YA NISHATI.
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi na Waziri wa Nishati na Petroli wa Jamhuri ya Kenya, Mhe. Opiyo Wandayi wamesaini makubaliano ya ushirikiano ya kuanza mauziano ya umeme baina ya Tanzania na Kenya pamoja na upembuzi yakinifu wa mradi wa uje...
WANANCHI WA DODOMA WAPONGEZA JUHUDI ZA SERIKALI MKAKATI WA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Wananchi wa Dodoma wamepongeza juhudi za Serikali kupitia mkakati wa kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, wakieleza kuwa mkakati huo unasaidia kuboresha afya, kuokoa muda na kulinda mazingira.Hayo yamejiri Mei 4, 2026 katika Soko la Mavun...
KAMISHNA LUOGA NA MAKAMU BALOZI WA NEW ZEALAND WAJADILI MAENDELEO YA MRADI WA JOTOARDHI.
Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Innocent Luoga amekutana na Naibu Balozi wa New Zealand nchini, Nicholas Meehan ambapo wamejadiliana kuhusu ushirikiano katika miradi ya kuzalisha umeme kwa kutumia rasilimali ya jotoardhi.Kikao hicho kimef...
DKT.SAMIA ASISITIZA HAKI NA MASLAHI YA WAFANYAKAZI.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kulinda haki za wafanyakazi na kuboresha maslahi yao ili kuongeza tija na maendeleo ya taifa.Akihutubia katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (...
WAZIRI NDEJEMBI NA WAZIRI DKT. RAMOKGOPA WAKUBALIANA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA NISHATI.
Waziri wa Nishati wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi, amefanya mazungumzo na Waziri wa Umeme na Nishati wa Afrika Kusini, Dkt. Kgosientsho Ramokgopa, mara baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Mawaziri wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika wanaoshughu...
RAIS SAMIA ATAMBULIWA KUWA KINARA WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA AFRIKA.
Umoja wa Afrika umetambua juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika kuendeleza na kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ndani na nje ya nchi, na kumpendekeza kutangazwa rasmi kuwa kinara wa Umo...
TANZANIA NA JAPAN KUFUNGUA MILANGO MIPYA YA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA NISHATI.
Ushirikiano kati ya Tanzania na Japan katika sekta ya nishati unaingia hatua mpya, huku juhudi zikielekezwa zaidi katika kuvutia uwekezaji wa sekta binafsi na teknolojia za kisasa za uzalishaji umeme.Hatua hiyo imebainishwa jijini Dar es Salaam April...
MHE. SALOME ASHIRIKI MKUTANO WA 21 WA MAWAZIRI WA NISHATI AFRIKA MASHARIKI.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, ameiwakilisha Tanzania katika Mkutano wa 21 wa Baraza la Mawaziri wa Nishati wa Ukanda wa Mashariki mwa Afrika, uliofanyika Aprili 29, 2026 jijini Cairo, Misri, ukiwa na lengo la kuimarisha ushirikiano wa...
SERIKALI YAIMARISHA HATUA ZA KUDHIBITI BEI ZA MAFUTA.
Serikali imeendelea kuchukua hatua madhubuti za kudhibiti mwenendo wa bei za mafuta nchini, ikiwa ni jitihada za kulinda uchumi wa wananchi na kuhakikisha upatikanaji wa mafuta unaendelea kuwa wa uhakika.Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ni...
MHE. SALOME ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MISRI.
Naibu Waziri wa Nishati,Mhe. Salome Makamba ametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Misri, ambapo alipokelewa na Balozi wa Tanzania nchini humo, Mej. Gen. Richard Makanzo.Katika mazungumzo yao, Balozi Makanzo alieleza majukumu mbalimbali yanayotekelez...