WIZARA YA NISHATI YASISITIZA USHIRIKIANO KUFIKIA ASILIMIA 80 YA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA...
Wizara ya Nishati imesisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya Serikali, sekta binafsi na wadau wa maendeleo katika kufanikisha lengo la Taifa la kufikia asilimia 80 ya matumizi ya nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034.Wito huo ulitolewa na Mjiolo...
ILI KUFIKIA UMEME WA MEGAWATI 8,000 IFIKAPO 2030; NDEJEMBI ATAJA VYANZO.
Waziri wa Nishati, Mhe.Deogratius Ndejembi, amesema Serikali imejipanga kuongeza uzalishaji wa umeme kutoka megawati 4,300 za sasa hadi kufikia megawati 8,000 ifikapo mwaka 2030 kupitia utekelezaji wa miradi mbalimbali mikubwa ya uzalishaji wa umeme...
LINDI, MTWARA, KAGERA NA RUKWA KUPATA UMEME WA GRIDI NDANI YA MWAKA WA FEDHA 2026/2027.
Serikali imesema katika mwaka wa fedha 2026/2027 itatekeleza miradi mbalimbali ya umeme ikiwemo kuunganisha mikoa ya Lindi, Mtwara, Kagera na Rukwa kwenye gridi ya taifa ya umeme ili kuhakikisha wananchi wengi zaidi wanapata huduma hiyo nchini.Akicha...
MAFANIKIO YA USAMBAZAJI UMEME: MHA.MRAMBA APONGEZA REA NA TANESCO.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba, amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika upatikanaji wa huduma ya umeme, kutoka hatua ya kusambaza umeme kwenye mikoa hadi kufikia ngazi ya vitongoji, ambapo amewapongeza Wakala wa Nisha...
WAZIRI NDEJEMBI: WAKANDARASI WA UMEME WASIOFANYA VIZURI WASIPEWE MIRADI MINGINE.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameuelekeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha kuwa wakandarasi ambao hawajafanya vizuri katika utekelezaji wa miradi ya umeme inayosimamiwa na Wakala huo kutopewa kazi nyingine, ili kutokwamisha...
WATAALAM WA REA ZAMBIA KUJIFUNZA MAFANIKIO YA TANZANIA KATIKA USAMBAZAJI UMEME VIJIJINI.
Viongozi wa Mamlaka ya Nishati Vijijini (REA) kutoka nchini Zambia wawasili nchini kwa ajili ya ziara ya kujifunza na kubadilishana ujuzi na Wakala wa Nishati Vijijini (REA).REA Zambia ambao wameongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Zambia anay...
WANAFUNZI CHUO CHA MIPANGO WAJIFUNZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA NISHATI NCHINI.
Wanafunzi wa Chuo cha Mipango Dodoma (IRDP), wamepata fursa ya kujifunza utekelezaji na usimamizi wa miradi ya Nishati inayotekelezwa nchini chini ya usimamizi wa Wizara ya Nishati.Wanafunzi hao kutoka kozi ya Mipango na Usimamizi wa Miradi (Project...
WANAFUNZI WA UHANDISI WA PETROLI NA GESI UDOM WAPATA ELIMU YA KINA KUHUSU FURSA ZA SEKTA YA NISHATI.
Wanafunzi wa Shahada ya Uhandisi wa Petroli na Gesi kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) walitembelea banda la Wizara ya Nishati katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2026 yaliyofanyika katika viwanja vya Chinangali jijini Dodoma, kwa lengo la k...
UMEME UPO WA KUTOSHA; MNAANGAZA MAISHA YA WANANCHI” – MHE. KIKWETE.
Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwan Kikwete ameipongeza Wizara ya Nishati na Taasisi zake kwa kuendelea kuhamasisha Matumizi ya Nishati Safi kwa Wananchi pamoja na kuimarika kwa upatikanaji wa huduma z...
MRADI MPYA WA UMEME KONGWA KULETA AHUENI KWA WAMILIKI WA VIWANDA.
Wamiliki wa viwanda vidogo katika Wilaya ya Kongwa wameeleza matumaini makubwa ya kuondokana na changamoto ya umeme mdogo (low voltage) na mgao wa umeme kufuatia kuzinduliwa kwa mradi mpya wa miundombinu ya umeme utakaoimarisha upatikanaji wa nishati...
NDEJEMBI AZINDUA MRADI WA SHILINGI BILIONI 10.5 MBANDE, KUNG'ARISHA WILAYA NNE.
Wizara ya Nishati kupitia Shirika la Umeme Tanzania TANESCO imepiga hatua nyingine katika kuimarisha miundombinu ya nishati nchini baada ya Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb.), kuzindua rasmi Kituo cha Kubadilishia Njia za Usambazaji Um...
MRADI WA EACOP UMETOA ZAIDI YA AJIRA 3,000 MKOANI SINGIDA: MHE.SALOME.
Zaidi ya ajira 3,000 zimetolewa mkoani Singida kupitia utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), huku wananchi wakinufaika pia kwa kutoa huduma mbalimbali ikiwemo kuuza vyakula, kukodisha vyombo vya usafiri na kutoa h...
MHA. MRAMBA AKUTANA NA WADAU WA KIMATAIFA KUHARAKISHA MIRADI YA JOTOARDHI NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA...
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Felchesmi Mramba, amefanya mazungumzo na wadau mbalimbali wa sekta ya nishati kuhusu fursa za kuendeleza miradi ya jotoardhi na kuimarisha matumizi ya nishati safi ya kupi...
KITUO CHA EV - CHARGING STATION DODOMA CHAFUNGUA UKURASA MPYA KWA VYOMBO VYA USAFIRI VINAVYOTUMIA UM...
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amezindua rasmi kituo cha kwanza cha kuchajia vyombo vya usafiri vinavyotumia umeme EV Charging Station jijini Dodoma, hatua inayotajwa kuwa mageuzi makubwa katika sekta ya usafirishaji nchini.Kituo hicho...
WATANZANIA MILIONI MOJA KUNUFAIKA NA MIKOPO YA MAJIKO YA UMEME KUPITIA TANESCO.
Watanzania milioni moja wanatarajiwa kunufaika na mpango wa mikopo ya majiko ya umeme kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), kufuatia utiaji saini wa makubaliano kati ya shirika hilo na wadau wa uzalishaji na usambazaji wa vifaa vya nishati saf...
WAZIRI NDEJEMBI AZINDUA MPANGO WA MKOPO WA MAJIKO YA UMEME, VITUO VYA KUCHAJIA MAGARI YA UMEME.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, leo Juni 11, 2026 jijini Dodoma amezindua rasmi mpango wa ukopeshaji wa majiko ya umeme kwa wateja wa TANESCO pamoja na mradi wa vituo vya kuchajia vyombo vya usafiri vinavyotumia umeme, hatua inayolenga k...
WAZIRI NDEJEMBI AZINDUA KITUO CHA KUCHAJIA VYOMBO VYA USAFIRI VYA UMEME – DODOMA.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius J. Ndejembi (Mb.), akiwa pamoja na viongozi wengine, akikata utepe na kuweka jiwe la msingi katika uzinduzi wa Kituo cha Kuchajia Vyombo vya Usafiri Vinavyotumia Umeme katika Ofisi za Shirika la Umeme Tanzania (TANE...
HANNYG INVESTMENT YAONGEZA KASI YA MATUMIZI YA NISHATI SAFI KUPITIA TEKNOLOJIA YA KUNI POA (BRIQUETT...
Kampuni ya HannyG Investment imeendelea kuwa kinara katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kupitia uzalishaji, usambazaji na uuzaji wa Kuni Poa (Briquettes), bidhaa mbadala ya kuni na mkaa inayolenga kulinda mazingira na kuboresha upa...
“USHIRIKIANO WA WADAU NI MUHIMU KUFIKIA LENGO LA NISHATI SAFI YA KUPIKIA LA 2034”: MHE. SALOME.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa agenda ya nishati safi ya kupikia, ambapo upatikanaji wa huduma hiyo umeongezeka kutoka asilimia 6.9 mwaka 2021 hadi asilimia 28.6 mwaka 2025.Ames...
WAZIRI NDEJEMBI APOKEA TAARIFA YA TATHMINI MRADI WA MALAGARASI.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, leo Juni 10, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na timu ya wakaguzi wa Mradi wa Malagarasi kutoka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), kwa lengo la kupokea taarifa ya tathmini ya utekelezaji wa mradi hu...