Mar 24, 2025
DKT. SAMIA AMETENDA MAAJABU SEKTA YA NISHATI MIAKA MINNE YA UONGOZI- DKT. BITEKO
Mashine ya 9 yakabidhiwa, yakamilisha MW 2115 -JNHPPAitaka Jumuiya ya Wazazi ieleze Watanzania mafanikio ya SerikaliAsema kuongezeka kwa mahitaji ya u...
Mar 23, 2025
BARAZA LA SABA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA NISHATI LAKUTANA DODOMA
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. Khatibu Kazungu leo Machi 22, 2025 amefungua Baraza la saba la Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati ambalo limep...
Mar 23, 2025
WIZARA YA NISHATI YATAJA MAFANIKIO UTEKELEZAJI MAJUKUMU 2024/2025
Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga kwa niaba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametajamafanikio yaliyopatikana k...
Mar 21, 2025
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAPONGEZA UJENZI WA JENGO LA WIZARA YA NISHATI
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imekagua ujenzi wa jengo la Wizara ya Nishati katika mji wa Serikali Mtumba na kuipongeza Wizara kwa ha...
Mar 20, 2025
TANZANIA NA MISRI KUENDELEZA USHIRIKIANO KWENYE MIRADI YA UMEME
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga, amesema Tanzania na Misri zitaendeleza ushirikiano kwenye utekelezaji wa miradi ya umeme na kudunisha ush...
Mar 20, 2025
MRADI WA TAZA MBIONI KUKAMILIKA
📌 Unahusisha ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme kutoka Iringa hadi Sumbawanga📌 Kapinga asema Mkoa wa Rukwa kuunganishwa na gridi ya Taifa kupitia mra...
Mar 20, 2025
DKT. BITEKO AZITAKA MAMLAKA ZA MAJI KUPUNGUZA UPOTEVU WA MAJI
📌 Azindua taarifa ya Utendaji wa Mamlaka za maji mwaka 2023/24📌 Upotevu wa maji wasababisha hasara ya shilingi bilioni 114.12📌 Maganzo yaibuka kidedea...
Mar 19, 2025
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YARIDHISHWA NA HATUA ZA UTEKELEZAJI MRADI WA TAZA
📌Zaidi ya Bilioni 20 kulipa fidia waliopisha mradi📌Serikali yasema utakamilika kwa wakatiKamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imefanya ziara...
Mar 19, 2025
HONGERA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutimiza miaka minne madarakani
Mar 19, 2025
WANANCHI NJOMBE WAIOMBA TANESCO, REA KUONGEZA KASI YA KUWAUNGANISHIA UMEME
📌 Hamasa ya kuunganishiwa umeme yatokana na kasi ya maendeleo katika sehemu zenye huduma ya umeme📌Kapinga asema ifikapo 2030 Wananchi wote watakuwa wa...
Mar 18, 2025
KAMATI YA BUNGE YAITAKA REA, TANESCO KUBANDIKA BEI ZA UUNGANISHAJI UMEME KATIKA OFISI ZA SERIKALI ZA...
📌 Lengo ni kila Mwananchi kufahamu gharama halisi za kuunganisha umeme📌Kapinga awataka Mameneja REA, TANESCO kuongeza kasi uhamasishaji wananchi kuung...
Mar 18, 2025
NI MAONO YA DKT.SAMIA WANANCHI WOTE WAPATE UMEME
📌 Asema wakati Serikali ya Awamu ya Sita inaingia madarakani Vijiji 4000 havikuwa na umeme.📌 Aitaka TANESCO na REA kuendelea kutoa elimu ya kuunganish...
Mar 17, 2025
BILIONI 60 KULIPA FIDIA WANANCHI WALIOPITIWA MRADI WA RUHUDJI NA RUMAKALl
*📌Serikali ya Awamu ya Sita yapongezwa kupelekea Umeme Maeneo Korofi mwambao wa ziwa Nyasa**📌Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini yaipongeza REA na TA...
Mar 14, 2025
UMEME WA JOTOARDHI KUUNGANISHWA KWENYE GRIDI YA TAIFA IFIKAPO 2030 - MRAMBA
Mikoa 16 kunufaika na Nishati ya JotoardhiSEforALL yatakiwa kuwekeza katika utafiti na ubunifuTanzania imelenga kuunganisha nishati ya jotoardhi kweny...
Mar 14, 2025
SEforALL KUIMARISHA USHIRIKIANO UPATIKANAJI NISHATI ENDELEVU
Dkt. Biteko asema Nishati Safi ya Kupikia ni ajenda endelevuRais wa Sierra Leone asema ukombozi wa maeneo ya vijijini ni muhimu kufikia maendeleoWazir...
Mar 13, 2025
KAPINGA AZINDUA NAMBA YA BURE YA HUDUMA KWA WATEJA WA TANESCO
Awapongeza TANESCO kutekeleza agizo la Mhe. Dkt. Biteko kuwataka kuanzisha namba ya huduma kwa wateja bure Asema namba hii ya 180 ya bure kwa wateja k...
Mar 12, 2025
DKT. BITEKO AWASILI BARBADOS KUNADI NISHATI SAFI KIMATAIFA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewasili nchini Barbados kushiriki Mkutano wa Kimataifa kuhusu matumizi ya Nishati ende...
Mar 12, 2025
MHA. MRAMBA: BIASHARA YA KUUZIANA UMEME KUINUFAISHA TANZANIA
Afafanua kuuuza na kununua umeme ni jambo la kawaida kwa nchiAsisitiza kununua umeme kwa Mikoa ya Kaskazini kunamanufaa kwa Mikoa husikaAsema kukamili...
Mar 10, 2025
DKT.MWINYI AZIHAMASISHA NCHI ZA EAC KUANZISHA MIFUKO YA MAENDELEO YA PETROLI
Asema lengo ni kuwa na uhakika wa kuendeleza Sekta ya Mafuta na Gesi AsiliaAfunga Kongamano na Maonesho ya Petroli ya Afrika MasharikiAtaka Rasilimali...
Mar 10, 2025
DKT.MPANGO ATAKA AFRIKA KUBUNI NJIA BORA UENDELEZAJI RASILIMALI ZA NISHATI ILI KUKIDHI MAHITAJI
Asema upatikanaji wa Nishati Afrika bado ni mdogo kulinganisha na Mabara mengineAsisitiza uendelezaji wa vyanzo vya Nishati uzingatie mustakabali wa v...