Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania

Ministry of Energy

News

Apr 26, 2025
MIAKA 61 YA MUUNGANO DKT. BITEKO AHIMIZA VIONGOZI KUACHA ALAMA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kuishi kwa upendo na kushirikiana kwa maslahi mapana ya jamii na Ta...
Apr 25, 2025
MIAKA MINNE YA RAIS SAMIA, ARUMERU YAPOKEA SHILINGI BILIONI 100.6 ZA MAENDELEO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema wananchi wa wilayani Arumeru, mkoani Arusha na Watanzania kwa ujumla wana kila s...
Apr 25, 2025
SERIKALI KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA SEKTA YA AFYA - DKT. BITEKO
Serikali imeahidi kuendelea kuboresha huduma za Afya nchini katika ngazi zote ili kuboresha huduma za Afya kwa Watanzania.Hayo yamesemwa Aprili, 25, 2...
Apr 24, 2025
ONGEZEKO LA MAPATO NAMANGA LAMKOSHA DKT. BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameeleza kufurahishwa kwake na ongezeko la ukusanyaji wa mapato katika kituo cha huduma...
Apr 23, 2025
DKT. BITEKO AWATAKA WATANZANIA KUTOGAWANYIKA WAKATI WA UCHAGUZI MKUU
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka wananchi kutogawanywa kwa itikadi ya dini wala siasa wakati huu kuelekea Uchag...
Apr 22, 2025
VITONGOJI 82 TARIME VIJIJINI KUPELEKEWA UMEME NA MRADI WA HEP IIB
Vitongoji 82 ambavyo bado havijafikiwa na umeme katika Wilaya ya Tarime mkoni Mara vitapelekewa umeme kupitia Mradi wa Kupeleka Umeme Vitongojini Awam...
Apr 17, 2025
DKT. BITEKO ASHIRIKI MKUTANO WA NISHATI WA MAWAZIRI EAPP NCHINI UGANDA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Aprili 17, 2025 jijini Kampala nchini Uganda ameshiriki katika Mkutano wa Baraza la...
Apr 16, 2025
DKT. BITEKO AONGOZA MAELFU KUMZIKA ALIYEKUWA MKURUGENZI WA TANESCO MHA.GISSIMA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe.Dokta.Doto Biteko leo Aprili 16,2025 ameongoza maelfu ya wananchi pamoja na viongozi mbalimbali kwenye shug...
Apr 16, 2025
NAIBU KATIBU MKUU NISHATI AONGOZA MAZISHI YA MUHAJIRI HAULE MLANDIZI-PWANI
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Dkt. Khatibu Kazungu ameongoza viongozi na wananchi mbalimbali waliojitokeza katika maziko ya aliyekua dereva wa M...
Apr 14, 2025
TPDC, ZPDC ZAENDELEA KUSHIRIKIANA UENDELEZAJI SEKTA YA GESI NCHINI
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) mwezi Februari, 2022 liliingia ma...
Apr 13, 2025
RAIS SAMIA AIWEZESHA REA BILIONI 96.8 UTEKELEZAJI MIRADI YA UMEME VIJIJINI DODOMA
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imetoa jumla ya kiasi cha shilingi bilioni 96.8 ili kuhakikisha miradi ya umeme vijijini inatekelezw...
Apr 11, 2025
KAPINGA ASEMA KIPAUMBELE CHA SERIKALI NI KUFIKISHA UMEME KWENYE TAASISI ZOTE.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema kipaumbele cha Serikali ni kuhakikisha Taasisi zote zinazotoa huduma za kijamii, kiuchumi na kidin...
Apr 10, 2025
SERIKALI INAENDELEA NA UKARABATI WA MIUNDOMBINU YA UMEME
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) inaendelea na ukarabati wa miundombinu ya kus...
Apr 09, 2025
DKT. BITEKO ATAKA WANANCHI WAPEWE MAJIBU YA HUDUMA KWA HARAKA NA HAKI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka watendaji wa sekta ya nishati kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa ufanis...
Apr 09, 2025
VITONGOJI 9000 KUSAMBAZIWA UMEME MWAKA 2025/2026
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imekamilisha kazi ya kupelekaumeme kwenye Vijiji...
Apr 08, 2025
KAPINGA ASEMA KAZI YA KUPELEKA UMEME KWENYE MIGODI MIDOGO INAENDELEA
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inaendelea na utekelezaji wa miradi ya kupeleka...
Apr 06, 2025
MRADI WA KUFUA UMEME WA JNHPP WAKAMILIKA RASMI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kutegemea kupata umeme wa uhakika baada ya Mradi wa kufua umeme kuto...
Mar 28, 2025
DKT. KAZUNGU AKUTANA NA BALOZI WA DENMARK NCHINI
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. Khatibu Kazungu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Mhe. Jesper Kammers...
Mar 25, 2025
DKT. BITEKO AWAPONGEZA WABUNGE KWA KUWASEMEA WATANZANIA
Asema Serikali itaendelea kuwawezesha wazawa kushiriki miradi ya nishatiAsema sekta ya nishati imepiga hatua kubwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nis...
Mar 25, 2025
WIZARA YA NISHATI YATAJA VIPAUMBELE VYA BAJETI YA MWAKA 2025/2026
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametajavipaumbele vya Wizaraya Nishati katika Bajeti ya mwaka wa fedha 2025/2026 ikiwemo...