May 06, 2025
KONGAMANO LA KWANZA LA NISHATI SAFI YA KUPIKIA AFRIKA MASHARIKI LAFANYIKA ARUSHA
Wadau mbalimbali kutoka Nchi za Afrika Mashariki wamekutana jijini Arusha katikaKongamano la kwanza Nishati Safi ya Kupikia la Afrika Mashariki linalo...
May 06, 2025
GEREZA LA LILUNGU WAPONGEZWA KUTUMIA GESI ASILIA KUPIKIA
Imeelezwa kuwa matumizi ya nishati safi ya kupikia imepunguza nusu ya gharama iliyokuwa inatumika katika kuandaa chakula cha wafungwa katika magereza....
May 06, 2025
NYAMGUMA MAHAMUD AIBUKA MSHINDI HABARI ZA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Nyamguma Mahamud, Mwandishi wa Habari kutoka Mlimani FM ameibuka kidedea katika Tuzo za Uandishi wa Habari za Samia Kalamu Awards 2025 kupitia kipenge...
May 04, 2025
REB YARIDHISHWA MATUMIZI YA NISHATI SAFI GEREZA LA BUTIMBA
Wajumbe wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) wamefanya ziara ya kutembelea Gereza Kuu la Butimba lililopo jijini Mwanza kwa lengo la kukagua utekelezaji...
May 02, 2025
SEKTA YA NISHATI IPO SALAMA CHINI YA RAIS SAMIA - DKT. BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa k...
Apr 30, 2025
DKT.BITEKO ALITAKA SHIRIKA LA MAENDELEO YA PETROLI KUONGEZA KASI YA UENDELEZAJI VITALU VYA MAFUTA NA...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameliagiza Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC)kuongeza kasi ya uendelezaji w...
Apr 30, 2025
TIJA KWA NCHI NDIYO KIPAUMBELE CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KUCHAKATA NA KUSINDIKA GESI ASILIA (LNG)-...
TIJA KWA NCHI NDIYO KIPAUMBELE CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KUCHAKATA NA KUSINDIKA GESI ASILIA (LNG)- DKT.BITEKONaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,...
Apr 28, 2025
DKT.BITEKO AWASILISHA BUNGENI BAJETI YA WIZARA YA NISHATI KWA MWAKA 2025/2026
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt.Doto Biteko ameliomba Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuidhinisha Bajeti ya Wizara ya Nishat...
Apr 28, 2025
ETDCO WAKAMILISHA MRADI WA KILOVOLTI 132 TABORA - IPOLE
Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) imekamilisha ujenzi wa Mradi wa laini ya msongo wa Kilovo...
Apr 28, 2025
TANESCO YAANZA RASMI ZOEZI LA KULIPA FIDIA WANANCHI WALIOPISHA UJENZI WA MIRADI YA UMEME
Jumla ya wananchi 1,526 wanatarajia kunufaika na malipo ya fidia ya shilingi Bilioni 4.7 baada ya kupisha Mradi wa ujenzi wa njia kubwa ya kusafirisha...
Apr 27, 2025
ASKOFU ROMANUS MIHALI JIMBO LA IRINGA ASIMIKWA RASMI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewaomba viongozi wa dini nchini kuliombea Taifa wakati huu wakati Tanzania inaelekea k...
Apr 26, 2025
HALI YA UMEME ARUSHA YAZIDI KUIMARISHWA
Mkoa wa Arusha sasa umewezeshwa kupata umeme wa uhakika baada ya upanuzi wa Kituo cha kupooza na kusafirisha umeme cha Njiro, kwa kuongeza Transfoma y...
Apr 26, 2025
MIAKA 61 YA MUUNGANO DKT. BITEKO AHIMIZA VIONGOZI KUACHA ALAMA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kuishi kwa upendo na kushirikiana kwa maslahi mapana ya jamii na Ta...
Apr 25, 2025
MIAKA MINNE YA RAIS SAMIA, ARUMERU YAPOKEA SHILINGI BILIONI 100.6 ZA MAENDELEO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema wananchi wa wilayani Arumeru, mkoani Arusha na Watanzania kwa ujumla wana kila s...
Apr 25, 2025
SERIKALI KUENDELEA KUWEKEZA KATIKA SEKTA YA AFYA - DKT. BITEKO
Serikali imeahidi kuendelea kuboresha huduma za Afya nchini katika ngazi zote ili kuboresha huduma za Afya kwa Watanzania.Hayo yamesemwa Aprili, 25, 2...
Apr 24, 2025
ONGEZEKO LA MAPATO NAMANGA LAMKOSHA DKT. BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameeleza kufurahishwa kwake na ongezeko la ukusanyaji wa mapato katika kituo cha huduma...
Apr 23, 2025
DKT. BITEKO AWATAKA WATANZANIA KUTOGAWANYIKA WAKATI WA UCHAGUZI MKUU
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka wananchi kutogawanywa kwa itikadi ya dini wala siasa wakati huu kuelekea Uchag...
Apr 22, 2025
VITONGOJI 82 TARIME VIJIJINI KUPELEKEWA UMEME NA MRADI WA HEP IIB
Vitongoji 82 ambavyo bado havijafikiwa na umeme katika Wilaya ya Tarime mkoni Mara vitapelekewa umeme kupitia Mradi wa Kupeleka Umeme Vitongojini Awam...
Apr 17, 2025
DKT. BITEKO ASHIRIKI MKUTANO WA NISHATI WA MAWAZIRI EAPP NCHINI UGANDA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Aprili 17, 2025 jijini Kampala nchini Uganda ameshiriki katika Mkutano wa Baraza la...
Apr 16, 2025
DKT. BITEKO AONGOZA MAELFU KUMZIKA ALIYEKUWA MKURUGENZI WA TANESCO MHA.GISSIMA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe.Dokta.Doto Biteko leo Aprili 16,2025 ameongoza maelfu ya wananchi pamoja na viongozi mbalimbali kwenye shug...