WATUMISHI WIZARA YA NISHATI WAPATIWA ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Watumishi wa Wizara ya Nishati leo wamepata elimu ya matumizi bora na sahihi ya majiko yanayotumia umeme kidogo (Induction cookers) baada ya kukabidhiwa majiko hayo na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko hivi karibuni.Dkt. B...
SERIKALI YA AUSTRIA KUFADHILI MIRADI YA UMEME TANZANIA
Serikali ya Austria kupitia Benki ya UniCredit imeahidi kuipatia fedha Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kiasi cha Euro Milioni 20 sawa na takribani Shilingi bilioni 60 kwa ajili ya Utekelezaji wa miradi ya kuzalisha umeme kwa kutumia jua...
MHANDISI MRAMBA ASHIRIKI MKUTANO WA KIMATAIFA WA NGUVU ZA ATOMIKI NCHINI AUSTRIA
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Mha.Felchesmi Mramba ameshiriki mkutano wa 69 wa Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomiki -IAEA jijini Vienna Austria ambao unawashirikisha wadau mbalimbali wanaotumia nishati ya nyuklia kama chanzo cha umeme.Mha. Mramba...
DKT. MATARAGIO: MRADI WA TAZA NI UTEKELEZAJI WA MPANGO MAHSUSI WA NISHATI (MISSION 300)
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Dkt.James Mataragio amesema kuwa utekelezaji wa Mradi wa TAZA unachangia kwa kiwango kikubwa utekelezaji wa Mpango Mahususi wa Nishati (MISSION 300) uliokubaliwa katika Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afr...
MFUMO WA UFUATILIAJI NA TATHMINI NI NYENZO YA UTENDAJI KAZI FANISI SERIKALINI- DKT. BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amehitimisha Kongamano la Nne la Kitaifa la Ufuatiliaji, Tathmini na Kujifunza lililofanyika Jijini Mwanza akiweka mkazo kuwa mfumo wa ufuatiliaji na tathmini ni nyenzo muhimu katika kuhak...
RUZUKU YA SH. MILIONI 250 YATOLEWA KWA WABUNIFU WA MATUMIZI BORA YA NISHATI
Serikali kupitia Wizara ya Nishati kwa kushirikiana na Umoja wa Ulaya (EU) na Mpango wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP), imetoa ruzuku ya jumla ya Shilingi milioni 250 kwa wabunifu kumi waliofanya vizuri katika Mashindano ya Ubunifu na Ufanisi w...
MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAONGEZEKA NCHINI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mha.Felchesmi Mramba ameeleza kuwa matumizi ya nishati safi ya kupikia nchinj yameongezeka kutoka asilimia 6.9 mwaka 2021 hadi asilimia 20.3 huku lengo likiwa ni kufikia asilimia 80 ndani ya miaka 10, ambapo hadi sas...
WATAALAM WA UFUATILIAJI NA TATHMINI WIZARA YA NISHATI WASHIRIKI KONGAMANO LA KITAIFA LA UFUATILIAJI...
Wataalam kutoka Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini Wizara ya Nishati wakiongozwa na Mkurugenzi wa Kitengo hicho Bi. Anitha Ishengoma, wameshiriki Kongamano la Nne la Kitaifa la Wiki ya Ufuatiliaji, Tathmini na Kujifunza linalofanyika jijini Mwanza.K...
MHANDISI MRAMBA NA JICA WAJADILI UTEKELEZAJI WA MIRADI YA NISHATI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amekutana na Wataalam kutoka Shirika la Maendeleo la Japan (JICA) ili kujadili hali ya utekelezaji wa miradi ya Nishati inayofadhiliwa na shirika hilo kwa lengo la kuhakikisha kuwa miradi hi...
DKT. BITEKO AHIMIZA WANAMICHEZO KUCHUNGUZA AFYA ZAO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa rai kwa wanamichezo kufanya uchunguzi wa afya zao kwa kuhusisha vipimo vyote muhimu ikiwemo vya moyo, damu na viungo vyote vya mwili ili kuhakikisha usalama wa Afya zao.Ameliomba Sh...
TIMU YA NETIBOLI NISHATI YATINGA KUMI NA SITA BORA MASHINDANO YA SHIMIWI
Wakati mashindano yaliyoandaliwa na Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) yakishika kasi jijini Mwanza kwa hatua za awali, Wizara ya Nishati imetinga katika hatua ya 16 bora katika mchezo wa Netiboli kwa kuwa na jumla ya alam...
SHIMIWI NI MAHALA PA KAZI – Bi ZIANA MLAWA
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Wizara ya Nishati, Bi. Ziana Mlawa leo amesema kushiriki michezo mbali mbali inasaidia katika kujenga afya ya mwili na akili hivyo mtumishi anapopata nafasi ya kushiriki michezo yeyote aitumie ipasavyo pia hus...
NISHATI SAFI YA KUPIKIA SIO GESI NA UMEME PEKEE-BW. MLAY
Mkurugenzi wa Nishati safi ya kupikia kutoka Wizara ya Nishati Bw. Nolasco Mlay amesema kuwa nishati safi ya kupikia sio gesi na umeme pekee bali ni zaidi ambapo ameeleza uwepo wa kuni smart,pamoja na teknolojia mbalimbali zinazotumika katika kupikia...
SERIKALI YAIMARISHA MIUNDOMBINU YA CNG KATIKA HARAKATI ZA KULETA MAPINDUZI YA NISHATI
Katika juhudi za kuiwezesha Tanzania kupiga hatua katika matumizi ya gesi asilia iliyoshindiliwa (CNG) kwa ajili ya magari, Serikali kupitia Wizara ya Nishati inaendelea kuimarisha upatikanaji wa miundombinu muhimu, ikiwemo ujenzi wa vituo vipya vya...
DKT. BITEKO AZINDUA TEKNOLOJIA YA KUONDOA UVIMBE MWILINI BILA UPASUAJI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameziindua teknolojia ya kuondoa uvimbe mwilini bila upasuaji inayofahamika kama High-Intensity Focused Ultrasound (HIFU) katika Hospitali ya Kairuki ikiwa ni mara ya kwanza kwa huduma hiy...
DKT. BITEKO AHIMIZA UTEKELEZAJI WA MAAZIMIO VIKAO VYA KIMKAKATI VYA WENYEVITI WA BODI NA WAKUU WA T...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewahimiza Wenyeviti na Wakuu wa Taasisi za Umma nchini kusimamia utekelezaji wa maazimio ya kimkakati yanayofikiwa katika vikao kazi wanavyofanya kwa kutambua kuwa wamebeba dhamana ya ku...
AHADI YA SERIKALI KUFIKISHA UMEME WA GRIDI KAGERA YATEKELEZWA
Ahadi ya Serikali ya kufikisha umeme wa gridi ya taifa katika Wilaya zote za Mkoa wa Kagera imetekelezwa baada ya Serikali kusaini mikataba ya ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovoti 220 kutoka Benako, Ngara hadi Kyaka wilayani Mise...
DKT. BITEKO ATAKA WATUMISHI WIZARA YA NISHATI NA TAASISI ZAKE KUWA MFANO WA MATUMIZI NISHATI SAFI Y...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, amewataka watumishi katika Wizara ya Nishati na Taasisi zilizochini ya wizara hiyo kuwa mfano katika matumizi ya Nishati Safi ya kupikia ili kuitekeleza kwa vitendo ajenda iliyoasisiswa n...
AGIZO LA MINADA YOTE NCHINI KUTUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA LAANZA KUTEKELEZWA
Agizo la Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko kwa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha kuwa minada yote nchini inakuwa na miundombinu itakayowawezesha Wachoma nyama, Mama Lishe na Baba Lishe kutumia nishati Safi ya Ku...
WATUMISHI WAHIMIZWA KUJENGA MAKAZI KABLA YA KUSTAAFU
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba, amewahimiza watumishi wa umma kutumia fursa zilizopo katika taasisi za kifedha kwa ajili ya kujiimarisha kiuchumi, ikiwemo kujenga makazi yao binafsi kabla ya kustaafu.Ushauri huo umetolewa...