MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA TANESCO CHAMWINO
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ndugu. Wazo Mwang’onda ameweka jiwe la msingi katika ujenzi wa jengo la utawala la Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma leo Juni 06, 2026.Ujenzi wa jengo hilo utagharimu kia...
DKT. NCHIMBI: WIZARA ZA KISEKTA ZITUMIE FURSA BIASHARA YA KABONI KUKIJANISHA TANZANIA.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi. Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amezihimiza Wizara za kisekta kujumuisha fursa zilizopo katika biashara ya caboni katika mpango yao kuchangia uhifadhi wa mazingira na maendeleo endelevu nchi...
WIZARA YA NISHATI YABAINISHA MCHANGO WA NISHATI KATIKA KUTUNZA MAZINGIRA
Mkuu wa Kitengo cha Mazingira Wizara ya Nishati, Bw. Emilian Nyanda, akizungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu Wizara ya Nishati wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yaliyofanyika Juni 05, 2026 jijini Dodoma, ameeleza majukumu yanayotekelezw...
TPDC YAKABIDHI KARAKANA YA KISASA YA CNG KWA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM.
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limekabidhi rasmi Karakana ya kuongeza mfumo wa matumizi ya gesi asilia Iliyoshindiliwa kwenye vyombo vya usafiri (CNG Conversion Workshop) kwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), hatua inayotarajiwa k...
ELIMU YA CNG NA TEKNOLOJIA ZA NISHATI SAFI ZIWAFIKIE WANANCHI WA KIPATO CHA KAWAIDA: MHE. KUNDO.
Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Kundo Mathew, amesema kuna umuhimu mkubwa wa kuhakikisha teknolojia za kisasa ikiwemo matumizi ya gesi asilia iliyoshindiliwa (CNG) kwenye magari, pamoja na mifumo mingine ya nishati safi, zinawafikia wananchi wa kipato cha...
BANDA LA WIZARA YA NISHATI LAENDELEA KUVUTIA WADAU KATIKA WIKI YA MAZINGIRA.
Wadau mbalimbali wameendelea kutembelea banda la Wizara ya Nishati katika Maonesho ya Wiki ya Mazingira yanayoendelea katika Viwanja vya Jakaya Kikwete Convention Centre (JKCC), jijini Dodoma, ambapo wamepata fursa ya kujionea mafanikio na fursa mbal...
NAIBU WAZIRI TAMISEMI APONGEZA MATUMIZI YA MAGARI YA UMEME KATIKA KUHIFADHI MAZINGIRA.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI anayeshughulikia Afya, Dkt. Jafar Seif, ametembelea banda la Wizara ya Nishati katika maonesho ya wiki ya Mazingira yanayoendelea kwenye Viwanja vya Jakaya Kikwete Convention Centre (JKCC) jijini Dodoma, a...
MHA. MRAMBA NA BENKI YA DUNIA WAJADILI UIMARISHAJI WA GRIDI YA TAIFA.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Felchesmi Mramba, amekutana na wawakilishi wa Benki ya Dunia (WB) kujadili matokeo ya utafiti uliofanyika chini ya ufadhili wa benki hiyo ukilenga kuimarisha mfumo wa Grid...
GOLDEN VALUE WAPATIWA ELIMU YA NISHATI KATIKA MAONESHO YA WIKI YA MAZINGIRA DUNIANI 2026.
Meneja wa Shule ya Golden Value Bi. Nuru Nyundo, ameongoza wanafunzi wa darasa la nne na la sita kutembelea banda la Wizara ya Nishati pamoja na taasisi zake katika Maonesho ya Wiki ya Mazingira Duniani 2026 yanayoendelea katika katika Viwanja vya Ja...
KUHIFADHI MAZINGIRA NI WAJIBU WA KILA MTANZANIA: MHE. KWAGILWA
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Reuben Kwagilwa, ametembelea mabanda mbalimbali ya taasisi na wadau wanaoshiriki Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira Duniani 2026 yanayofanyika katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Co...
MHE. SALOME AWAHIMIZA WANAWAKE KUCHANGAMKIA FURSA ZA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amewahimiza wanawake na vijana nchinikutumia fursa zilizopo katika sekta ya nishati safi ya kupikia ili kujiimarisha kiuchumi na kuchangia maendeleo ya taifa.Mhe. Salome amesema hayo wakati akishiriki har...
SERIKALI KUJENGA VITUO 10 VYA GESI YA CNG NCHINI: SALOME.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), kwa kushirikiana na sekta binafsi, inaendelea na maandalizi ya ujenzi wa vituo 10 vya CNG (Gesi Asilia Iliyobanwa) nchini katika mi...
VIONGOZI WAANDAMIZI JESHI LA POLISI WATEMBELEA MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA.
Viongozi waandamizi wa Jeshi la Polisi nchini wamefanya ziara ya kutembelea miundombinu mbalimbali ya gesi asilia inayosimamiwa na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuwaongezea uwezo kuhusu usimamizi na ul...
USALAMA WA NISHATI NI NGUZO MUHIMU YA USALAMA WA TAIFA: MHA. MRAMBA.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Felchesmi Mramba amesema kuwa usalama wa nishati umeendelea kuwa sehemu muhimu ya usalama wa taifa kutokana na mchango wake katika kukuza uchumi, utoaji wa huduma za kijam...
TPDC YAHIMIZA WANANCHI KULINDA MIUNDOMBINU YA BOMBA LA GESI ASILIA.
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeendelea kuwashirikisha wananchi katika kulinda miundombinu ya bomba la gesi asilia, likieleza kuwa usalama wa miundombinu hiyo unategemea kwa kiasi kikubwa ushirikiano wa jamii nzima.Katika kuimaris...
ZAIDI YA MAJIKO 14,000 YA NISHATI SAFI YASAMBAZWA IRINGA.
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome Makamba amesema Serikali inaendelea kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa njia mbalimbali ikiwemo usambazaji wa mitungi ya gesi kwa bei ya ruzuku pamoja na majiko banifu huku Mkoa wa Iringa ukiwa taya...
UPATIKANAJI UMEME KUENDELEA KUIMARIKA MKOANI IRINGA: MHE. SALOME.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema Serikali inaendelea kufanya jitihada mbalimbali ili kuimarisha upatikanaji wa umeme katika Mkoa wa Iringa.Amesema tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aingie...
SALOME: NGUZO ZA ZEGE NA CHUMA KUTUMIKA KUKABILI CHANGAMOTO YA KUANGUKA KWA NGUZO ZA UMEME ZA MITI.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema Serikali kupitia TANESCO inaendelea kubadilisha nguzo chakavu kwa kuweka nguzo imara zaidi, zikiwemo nguzo za zege na chuma, pamoja na kuimarisha misingi ya nguzo katika maeneo yenye udongo laini i...
WAZIRI NDEJEMBI AKUTANA NA BALOZI WA NORWAY WAJADILI USHIRIKIANO SEKTA YA NISHATI.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Norway nchini Tanzania, Mhe. Tone Tinnes yaliyolenga kuimarisha na kuendeleza ushirikiano kati ya nchi hizo mbili katika Sekta ya Nishati.Mazungumzo hayo yamefan...
TANZANIA YASISITIZA UMUHIMU WA USHIRIKIANO WA KIKANDA KATIKA NISHATI YA NYUKLIA.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Felchesmi Mramba amesema ushirikiano wa kikanda ni muhimu katika kuharakisha matumizi ya nishati ya nyuklia kwa ajili ya kuhakikisha upatikanaji wa nishati salama, ya uhak...