Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania

Ministry of Energy

News

Jun 19, 2025
​MEATU MTAENDELEA KUPATA MIRADI MIKUBWA YA MAENDELEO IKIWEMO NISHATI- DKT.SAMIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassani amesema Serikali imeendelea kupeleka maendeleo katika Wilaya ya Meatu ikiwemo...
Jun 19, 2025
MRAMBA AWASILI NCHINI AFRIKA KUSINI KUSHIRIKI JUKWAA LA NISHATI AFRIKA 2025
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felichesm Mramba amewasili nchini Afrika ya Kusini kushiriki Jukwaa la Nishati Afrika 2025 ambalo litaanga...
Jun 19, 2025
WIZARA YA NISHATI ENDELEENI KUWEZESHA UWEKEZAJI WA VITUO VYA MAFUTA VIJIJINI- SIMBACHAWENE
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene ameiasa Wizara ya Nishati kuendelea kuweka mazi...
Jun 14, 2025
KAMISHNA WA UMEME NA NISHATI JADIDIFU AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA UMEME JIJINI DAR ES SALAA...
Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati, Mhandisi Innocent Luoga, tarehe 12 Juni 2025, amefanya ziara ya kukagua utekelezaji wa...
Jun 13, 2025
KAMPENI YA PIKA SMART INAYOHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAZINDULIWA
Kamishina wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga amezindua kampeni ya kitaifa ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ya ume...
Jun 06, 2025
DKT. BITEKO AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA KITUO KIKUBWA CHA GESI AFRIKA MASHARIKI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa wawekezaji nchini kutoa kipaumbele cha ajira kwa Watanzania ili kukuza k...
Jun 06, 2025
TAASISI 762 ZATUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA NCHINI- DKT.MPANGO
Makamu Wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.Philip IsdorMpango ameeleza kuwa jumla ya taasisi 762 nchini zinatumia nishati safi ya kupi...
Jun 04, 2025
UTENDAJI KAZI WA WIZARA YA NISHATI NA TAASISI ZAKE WAIMARIKA KWA ZAIDI YA ASILIMIA 95
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewapongeza Watendaji wa Wizara ya Nishati na Taasisi zake kwa kuendelea kuimarisha ute...
Jun 03, 2025
​VITONGOJI 284 ARUMERU MASHARIKI VYAFIKIWA NA UMEME
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imevifikishia huduma ya umeme Vitongoji 284 kat...
Jun 02, 2025
DKT. BITEKO AZINDUA MKAKATI WA TAIFA WA MAWASILIANO WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amezindua Mkakati wa Taifa wa Mawasiliano wa Nishati Safi ya Kupikia, pamoja na Kampeni...
May 30, 2025
​MAWAZIRI WA NISHATI JUMUIYA YA SADC KUKUTANA NCHINI ZIMBABWE.
Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga ameongoza jopo la Wataalam kutoka Wizara ya Nishati katika Kikao cha awali cha Kamati N...
May 29, 2025
DKT.BITEKO KUZINDUA MKAKATI WA TAIFA WA MAWASILIANO WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Imeelezwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko tarehe 2 Juni 2025 atazindua Mkakati wa Taifa wa Mawasiliano wa Nishati S...
May 29, 2025
DKT. BITEKO ATAJA MAENEO SITA YA VIPAUMBELE UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM 2020/2025
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mafan...
May 29, 2025
KAPINGA ATAJA VIGEZO VYA ZIADA UPELEKAJI UMEME VITONGOJINI
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza miradi ya umeme katika Vitongoji kw...
May 26, 2025
WAZIRI MKUU MAJALIWA ASHUHUDIA UTIAJI SAINI HATI ZA USHIRIKIANO TANZANIA NA JAPAN
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa ameshuhudia utiaji saini wa hati za makubaliano ya ushirikiano wa Sekta mbalimbali kati ya nchi ya Japan na Tanzania...
May 26, 2025
​MITAA 58 HALMASHAURI YA MJI WA TARIME IMEFIKIWA NA UMEME
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali imefikishaumeme kwenye mitaa 58 ya Mji wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime kati ya mitaa 8...
May 26, 2025
RAIS SAMIA ANATAKA TAIFA LENYE UPENDO NA MAENDELEO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amek...
May 25, 2025
​WAZIRI MKUU MAJALIWA ACHAGIZA SIKU YA TANZANIA MAONESHO YA EXPO 2025, JAPAN
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa Majaliwa amesema kuwa kumekuwa na ongezeko kubwa la biashara kati ya Tanzania na Ja...
May 24, 2025
DKT. BITEKO AWATAKA WAZAZI KUVUMILIANA KUTUNZA FAMILIA ZAO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa rai kwa wazazi nchini kuvumiliana na kushirikiana katika malezi ya watoto wao amb...
May 23, 2025
WANAJAMII TUJIPANGE KUEPUSHA MIGOGORO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka wanajamii kujiepusha na mazingira yanayoweza kusababisha migogoro baada ya wao...