Aug 18, 2025
TUKITUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA TUTAOKOA HEKTA 400,000 ZA MISITU ZINAZOTEKETEA KWA MWAKA-MJIOLOJIA...
Imeelezwa kuwa matumizi ya nishati isiyo safi ya kupikia si tu yanahatarisha afya bali pia yanachochea uharibifu wa mazingira ambapo takribani hekta 4...
Aug 18, 2025
ELIMU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAWAFIKIA WANAWAKE MKOANI MBEYA
Serikali kupitia Wizara ya Nishati imetoa wito kwa wananchi kuachana na matumizi ya nishati isiyo safi ya kupikia na kutumia nishati safi ya kupikia k...
Aug 09, 2025
UZALISHAJI UMEME KWA KUTUMIA NISHATI JADIDIFU UMEFIKIA ASILIMIA 67- KAMISHNA LUOGA
Tanzania imeendelea kuongeza vyanzo vya kuzalisha umeme kwa kutumia nishati jadidifu hadi kufikia asilimia 67, hii ikijumuisha matumizi ya nishati ya...
Aug 09, 2025
MHANDISI MRAMBA AFUNGUA MAFUNZO YA TEKNOLOJIA YA NISHATI JUA KWA WATAALAM
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mha. Felchesmi Mramba amefungua mafunzo ya wataalam kutoka taasisi mbalimbali nchini yanayohusu usanifu, utengenezaj...
Aug 04, 2025
CLEAN COOKING MARATHON YAHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA ARUSHA.
Mbio hizo ambazo ni za msimu wa pili zimeandaliwa na Jumuiya ya Wanawake Wafanyabiashara Tanzania (TABWA) kwa uratibu wa Kitengo cha Nishati Safi ya K...
Jul 31, 2025
RAIS SAMIA AIPA NEEMA MIRADI YA KUZALISHA UMEME IRINGA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi cha shilingi bilioni 15 kwenye mradi wa kuzalisha umeme wa Mwenga...
Jul 31, 2025
PROF. MWANDOSYA KINARA WA MATIBABU YA SARATANI NCHINI - DKT. BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amemuelezea Prof. Mark Mwandosya kuwa ni Shujaa wa Saratani ya Damu (Multiple Myeloma) a...
Jul 29, 2025
DKT MATARAGIO AITAKA EACOP KUONGEZA KASI UTEKELEZAJI MiRADI YA KIJAMII KWA WANANCHI WANAOPITIWA NA...
Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Sekta ya Mafuta na Gesi Wizara ya Nishati, Dkt James Mataragio, ameelekeza kampuni ya ujenzi wa bomba la mafuta -EA...
Jul 29, 2025
WANANCHI KIJIJI CHA NDEBWE CHAMWINO WAPATIWA MAJIKO BANIFU 310
Shirika la Offgridsun wakishirikiana na Shirika la Action for Community care leo tarehe 29 Julai 2025 wamegawa majiko banifu 310 kwa wananchi wa Kijij...
Jul 29, 2025
MASLAHI MAPANA YA NCHI YANAZINGATIWA UTEKELEZAJI WA MRADI WA EACOP-DKT. MATARAGIO
Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Sekta ya Mafuta na Gesi Wizara ya Nishati, Dkt James Mataragio, amesema utekelezaji wa mradi wa bomba la mafuta gha...
Jul 28, 2025
TUNAWEZA KUZUIA ASILIMIA 80 YA VIFO NCHINI TUKIBADILI MTINDO WA MAISHA-DKT.BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa asilimia 80 ya vifo nchini vinaweza kuzuilika endapo Watanzania wataamua ku...
Jul 25, 2025
DKT. BITEKO ATOA WITO VYOMBO VYA HABARI KUELIMISHA JAMII KUHUSU MASHUJAA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa vyombo vya habari kushirikiana na Serikali katika kuelimisha jamii kuhus...
Jul 24, 2025
VITUO VIWILI VYA KUPUNGUZA KASI YA MAFUTA GHAFI EACOP KUJENGWA NCHINI
Jumla ya vituo viwili vya kupunguza kasi ya mafuta ghafi yanayotoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani- Tanga vinatarajia kujengwa ili kusaidia upun...
Jul 23, 2025
LUKUVI AIPONGEZA WIZARA YA NISHATI KUTEKELEZA AZMA YA SERIKALI YA KUHAMIA KATIKA MJI WA SERIKALI MTU...
Wizara ya Nishati imepongezwa kwa kuhamia rasmi katika Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma ambapo Idara na Vitengo vyote vya Wizara sasa vimeshahamia...
Jul 23, 2025
BENKI YA DUNIA KUJENGA MRADI WA NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME WA KV 400 KUTOKA UGANDA HADI TANZANIA
Benki ya Dunia (WB) imeeleza kuwa itatoa fedha za utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo mkubwa wa kilovolti 400 kutoka...
Jul 21, 2025
MAFUTA GHAFI MRADI WA EACOP KUZALISHA UMEME KUKIDHI MAHITAJI WAKATI WA DHARURA
Mradi wa ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga utazalisha umeme wake kwa kutumi...
Jul 18, 2025
MRADI WA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA (EACOP) HAUATHIRI SHUGHULI ZA KIUTENDAJI ZA WANANCHI
Mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga haujaathiri shughuli mbalimbali...
Jul 17, 2025
MRADI WA EACOP HAUNA ATHARI ZA KIMAZINGIRA; WANANCHI ZAIDI YA 26,000 WANUFAIKA NA MAJI
Imeelezwa kuwa mradi wa ujenzi wa bomba la Mafuta ghafi la Afrika Mashariki -EACOP hauna athari za kimazingira kutokana na Serikali kuweka Sera nzuri...
Jul 16, 2025
MRADI WA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA (EACOP) UMELETA MAPINDUZI YA KIUCHUMI KWA WANANCHI WA TANGA
Wananchi waishio kwenye vijiji vinavyopakana na mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki, EACOP wamesema Serikali ya awamu ya sita ya Mhe. R...
Jul 14, 2025
WAZIRI MKUU MAJALIWA AKABIDHI TUZO YA UMAHIRI KWA MKUU WA KITENGO CHA MAWASILIANO WIZARA YA NISHATI
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa leo tarehe 13 Julai, 2025 amemkabidhi Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Se...
