MAJIKO YA UMEME YALETA MAPINDUZI SHULE SITA ZA MSINGI TABORA
Shule sita za msingi Manispaa ya Tabora, zikiwemo za wanafunzi wenye mahitaji maalum (viziwi na wasioona), zimejengewa majiko ya kisasa yanayotumia umeme kwa ajili ya kupikia chakula cha wanafunzi kupitia mradi wa kuhamasisha matumizi ya nishati safi...
SHULE YA VIZIWI NJOMBE YAHAMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Shule ya Viziwi Njombe Sekondari ya mkoani Njombe imetekeleza agizo la Serikali la kuhamia katika matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuepukana na madhara ya kiafya yanayosababishwa na moshi wa nishati isiyo safi ya kupikia.Akizungumza wakati wa...
KUTOKA NDOTO HADI FURAHA: UMEME KUMFIKIA BIBI SESILIA.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, alipata nafasi ya kusikiliza ombi la Bibi Sesilia Charles wakati wa mazungumzo na wananchi katika Kitongoji cha Elimu, Kijiji cha Mushinde, Kata ya Buwangongo wilayani Geita. Bibi Sesilia alimueleza kuwa...
UWEKEZAJI WA SHILINGI BILIONI 50 KITUO CHA MPOMVU WAIMARISHA UPATIKANAJI WA UMEME KANDA YA ZIWA.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imefanya ziara ya ukaguzi katika Kituo cha Kupokea na Kupoza Umeme cha Mpomvu kilichopo mkoani Geita, Machi 15, 2026, ikiwa ni sehemu ya ufuatiliaji wa utekelezaji wa miradi ya kimkakati ya Nishati inayo...
KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA KASI YA USAMBAZAJI UMEME VITONGOJI 15 KILA JIMBO.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeipongeza Wizara ya Nishati kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kasi ya utekelezaji wa mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji 15 kwa kila jimbo nchini ili kuchochea maendeleo ya kijamii na...
MIKAKATI MIPYA YAWEKWA KUONGEZA UTAFUTAJI WA MAFUTA NA GESI NCHINI.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia mafuta na Gesi asilia Dkt. James Mataragio amewaelekeza Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kuimarisha shughuli za utafutaji akibainisha kuwa shughuli hizo zimepungua kwa kiasi kikubwa ka...
MIRADI SEKTA YA MAFUTA NA GESI ASILIA IKAMILIKE KWA WAKATI - DKT. MATARAGIO
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi Asilia, Dkt. James Mataragio, ameitaka Menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuhakikisha kuwa miradi ya mafuta na gesi asilia inayoendelea nchini inatekelezwa na k...
MEGAWATI 50 ZA UMEME JUA KISHAPU ZAIKOSHA KAMATI YA BUNGE
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeipongeza Wizara ya Nishati kwa kuendelea kutekeleza mkakati wa kuzalisha umeme kwa kutumia vyanzo mbalimbali vya nishati (Energy Mix) ukiwamo mradi wa kuzalisha umeme wa jua wenye uwezo wa megawati 50...
TANWAT WOOD BRIQUETTES BOOST CLEAN COOKING ENERGY USE IN NJOMBE.
A team from the Ministry of Energy in collaboration with the United Nations Capital Development Fund (UNCDF), visited the Tanganyika Wattle Company Limited (TANWAT) factory in Njombe on 12 March 2026 to observe the production of wood briquettes.The v...
PARLIAMENTARY COMMITTEE ON ENERGY AND MINERALS CONTINUES WITH SHINYANGA REGION TOUR
The Standing Parliamentary Committee on Energy and Minerals, led by its Chairperson Hon. Subira Mgalu (MP) accompanied by the Minister of Energy, Hon. Deogratius Ndejembi arrived at the Regional Commissioner’s Office in Shinyanga today March 13, 2026...
NDEJEMBI: KIWANDA CHA NGUZO TABORA KINAJIENDESHA KWA FAIDA, SERIKALI YAPANGA KUJENGA VINGINE.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameihakikishia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kuwa Kiwanda cha Kutengeneza Nguzo za Zege cha TCPM kilichopo mkoani Tabora kinajiendesha kwa faida, hali inayokifanya kuwa chachu ya kuanzishw...
KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA KIWANDA CHA NGUZO ZA ZEGE TABORA, UZALISHAJI WAANZA RASMI
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeridhishwa na kukamilika kwa ujenzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Nguzo za Zege cha TCPM kilichopo mkoani Tabora, ambacho sasa kimeanza rasmi uzalishaji wa nguzo hizo kwa ajili ya kuimarisha miundombinu y...
KAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAWASILI KUKAGUA KIWANDA CHA NGUZO ZA ZEGE TCPM – TABORA
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Mhe. Subira Mgalu (Mb), imewasili katika Kiwanda cha Kutengeneza Nguzo za Zege cha TCPM Tabora kinachomilikiwa na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kupitia kampuni tanzu...
NJOMBE MAIN MARKET TRADERS RECEIVE TRAINING ON CLEAN COOKING ENERGY ADOPTION
Traders at Njombe Main Market have undergone comprehensive training on the adoption of clean cooking energy, as part of an ongoing campaign to promote a transition from environmentally harmful and health‑hazardous fuels such as firewood and charcoal....
WIZARA YA NISHATI YAPOKEA TRIL. 1.15/- ZA MIRADI YA MAENDELEO
WIZARA ya Nishati imepokea Sh. trilioni 1.150 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika kipindi cha Julai 2025 hadi Februari 2026, sawa na asilimia 61 ya bajeti ya maendeleo iliyoidhinishwa kwa mwaka wa fedha 2025/26.Taarifa hiyo imetole...
SHULE 13 TEMEKE KUANZA KUPIKA KWA UMEME
GHARAMA za kupika chakula cha wanafunzi katika shule 13 za msingi Wilaya ya Temeke, mkoani Dar es Salaam, zinatarajiwa kupungua kwa kiasi kikubwa kufuatia shule hizo kuanza kutumia nishati ya umeme kupikia badala ya kuni.Hatua hiyo ni sehemu ya uteke...
ASILIMIA 89 YA VITONGOJI NKASI VIMEFIKIWA NA UMEME - MHE.SALOME
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema asilimia 89 ya vitongoji 724 wilayani Nkasi Mkoa wa Rukwa vimesambaziwa umeme, na vitongoji vilivyosalia vitakuwa vimesambaziwa nishati hiyo ifikapo 2030.Mhe. Salome amesema hayo katika Mji wa Nam...
WANAWAKE WIZARA YA NISHATI WASHIRIKI SIKU YA WANAMKE DUNIANI.
Wanawake Wizara ya Nishati kutoka katika idara na vitengo mbalimbali wameungana na wanawake wote duniani kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani Machi 8, Wilayani Kongwa mkoani Dodoma.Maadhimisho ya mwaka 2026 yanaongozwa na kauli mbiu isemayo: “Haki na...
WANANCHI RUKWA KUPATA UMEME WA GRIDI MWEZI MEI 2026-MHE.SALOME
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema wananchi wa Mkoa wa Rukwa wataanza kupata umeme wa gridi kuanzia mwezi mei mwaka huu mara utakapokamilika mradi wa usafirishaji umeme wa msongo wa kV 400 kutokea mkoani Iringa.Ameyasema hayo katika...
NDEJEMBI: MIL. 704/- KUIMARISHA UMEME LINDI, MTWARA
Serikali imewekeza Sh.milioni 704 kufunga transfoma ya ziada katika kituo cha kupoza umeme cha Mahumbika mkoani Lindi ili kupunguza changamoto ya kukatika kwa umeme mara kwa mara katika mikoa ya Lindi na Mtwara.Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndej...