SALOME AKUTANA NA WAWAKILISHI WA KAMATI TENDAJI KUTOKA TANZANIA NCHINI ETHIOPIA.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amekutana na kufanya kikao cha pembeni na wajumbe wa Kamati Tendaji (Steering Committee) ya Soko la Pamoja la Nishati Mashariki mwa Afrika (Eastern African Power Pool - EAPP), ya kutoka Tanzania waliopo n...
MPOTO ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA NISHATI SABASABA.
Msanii maarufu wa sanaa za maonesho na mashairi, Mrisho Mpoto ni miongoni mwa wananchi wanaoendelea kutembelea Banda la Wizara ya Nishati katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayoendelea katika Viwanja vya Mwal...
KATIKA SIKUKUU YA SABASABA; NISHATI TUPO TAYARI KUKUHUDUMIA.
Katika kuadhimisha Sikukuu ya Sabasaba, Wizara ya Nishati pamoja na taasisi zake inaendelea kukaribisha wananchi kutembelea banda lake katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF) yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Jul...
WAZIRI NDEJEMBI AJADILI AWAMU YA PILI YA MRADI WA UMEME WA JUA KISHAPU NA WASHIRIKA WA MAENDELEO.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na wawakilishi kutoka Wizara ya Fedha ya Ufaransa, Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD) pamoja na kampuni ya SAGECOM, kwa lengo la kujadili utekelezaji wa awamu ya pili ya...
WAZIRI WA ULINZI ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA NISHATI SABASABA.
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Rhimo Nyansaho ametembelea banda la Wizara ya Nishati katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba) yanayoendelea katika viwanja vya Mwl. Nyerere jijini Dar es Salaam.Katika Banda la Wizara...
Ni SIKU YA NANE SABASABA: WIZARA YA NISHATI TUPO HAPA KUKUHUDUMIA.
Ikiwa ni siku ya nane ya Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba), Wizara ya Nishati inaendelea kuwakaribisha wananchi kutembelea banda lake katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam.Katika banda hilo,...
KAIMU MENEJA MKUU TGDC ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA NISHATI SABASABA.
Kaimu Meneja Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC), Mha. Shakiru Idrissa Kajugus, ametembelea banda la Wizara ya Nishati katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF) yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalim...
SERIKALI KUTEKELEZA MRADI WA UMEME JUA KATIKA VISIWA SABA MUSOMA.
Serikali kupitia Wizara ya Nishati imetenga shilingi milioni 273.6 kwa ajili ya kutekeleza mradi wa kusambaza umeme wa jua katika visiwa saba vya Wilaya ya Musoma ikiwemo Nyasaungu, Muroba, Kagongo, Nyamasanje, Rukuba na Iriga, ikiwa ni sehemu ya ute...
MJI WA SERIKALI MTUMBA KUWA MFANO WA MATUMIZI YA NISHATI SAFI KUPITIA GESI ASILIA.
Imeelezwa kuwa Serikali inaendelea na maandalizi ya kuufanya Mji wa Serikali Mtumba, uliopo jijini Dodoma, kuwa mfano kwenye matumizi ya nishati safi kupitia mradi wa usambazaji wa gesi asilia.Miundombinu hiyo itaunganisha gesi asilia katika majengo...
MADAFTARI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAPELEKA FURAHA FAHARI ELITE.
Ikiwa zimebaki siku chache kabla ya kuanza kwa muhula mpya wa masomo, wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi ya Fahari Elite iliyopo Mvuti, jijini Dar es Salaam, wamepata fursa ya kujifunza kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia na kukabidhiwa mad...
WIZARA YA NISHATI YAWAHAMASISHA WATOTO KUWA MABALOZI WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Watoto wameaswa kuwa mabalozi wa matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuunga mkono juhudi za Serikali za kulinda mazingira, kupunguza athari za kiafya zitokanazo na matumizi ya nishati zisizo safi na kufanikisha lengo la Taifa la kuhakikisha asili...
MHE. SALOME: WANANCHI WANAOPITIWA NA MIUNDOMBINU YA UMEME WAUNGANISHIWE HUDUMA KWA SH. 27,000.
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome Makamba, amesema Serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Rais, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeelekeza kuwa wananchi wote ambao wamepitiwa na miundombinu ya umeme lakini bado hawajaunganishiwa huduma hiyo w...
WIZARA YA NISHATI YAENDELEA KUTOA HUDUMA KWA WANANCHI KATIKA BANDA LAKE SABASABA.
Wizara ya Nishati na taasisi zake inaendelea kuwahudumia wananchi wanaotembelea banda lake katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF), yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam.Julai 3,...
ZAWADI KWA WANAFUNZI NA WAZAZI ZINAENDELEA KUTOLEWA KATIKA BANDA LA WIZARA YA NISHATI.
Usikose fursa hii! Tembelea Banda la Wizara ya Nishati na upate elimu sahihi kuhusu sekta ya nishati kupitia wataalamu wetu walio tayari kukuhudumia na kujibu maswali yako yote.Watoto wanapata elimu kwa njia rahisi na ya kuvutia, huku wazazi wakipata...
WANAFUNZI NA WAZAZI TULIWAITA… NA WAMEITIKA!
Banda la Wizara ya Nishati linaendelea kupokea watoto na wazazi wanaofika kujifunza, kuburudika na kupata uzoefu wa kipekee kuhusu sekta ya nishati.Nawe mlete mwanao apate elimu kuhusu nishati kwa njia rahisi na ya kuvutia, aondoke na zawadi yake, pa...
TAASISI 300 KUFUNGIWA MIFUMO YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA 2026/2027.
Katika juhudi za kuhakikisha kuwa Tanzania inafikia asilimia 80 ya matumizi ya nishati safi ya kupikia ifikapo 2034, Serikali katika mwaka wa fedha 2026/2027 itasambaza mifumo ya nishati safi ya kupikia katika taasisi 300 zinazolisha watu zaidi ya 10...
MRADI WA NJIA YA UMEME CHALINZE - DODOMA WAFIKIA ASILIMIA 89.
Mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa kilovoti 400 kutoka Chalinze hadi Dodoma wenye urefu wa kilometa 345 umefikia asilimia 89 ya utekelezaji na unatarajiwa kukamilika ifikapo Agosti 21, 2026. Kukamilika kwa mradi huo kutaimarish...
MLETE MWANAO BANDA LA WIZARA YA NISHATI.
Watoto ni viongozi wa kesho, na kujenga uelewa wao kuhusu masuala ya nishati kunaanza leo.Mlete mwanao atembelee Banda la Wizara ya Nishati katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba), ambapo atapata elimu kwa njia rahi...
BADO HUJACHELEWA!
Tabasamu, huduma bora na elimu sahihi vinakusubiri katika Banda la Wizara ya Nishati kwenye Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba).Fika uzungumze moja kwa moja na wataalamu wetu, upate majibu ya maswali yako, ujifunze kuh...
SIKU 4: SABASABA YA DHAHABU.
Ni siku njema tena katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba)Leo, Julai 1, 2026, Banda la Wizara ya Nishati limeanza siku kwa kumpokea mgeni wake wa kwanza, Bi. Ester Mashaka Msengi, mkazi wa Kibaha Mjini, mkoani Pwani...