KAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAWASILI KUKAGUA KIWANDA CHA NGUZO ZA ZEGE TCPM – TABORA
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Mhe. Subira Mgalu (Mb), imewasili katika Kiwanda cha Kutengeneza Nguzo za Zege cha TCPM Tabora kinachomilikiwa na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kupitia kampuni tanzu...
NJOMBE MAIN MARKET TRADERS RECEIVE TRAINING ON CLEAN COOKING ENERGY ADOPTION
Traders at Njombe Main Market have undergone comprehensive training on the adoption of clean cooking energy, as part of an ongoing campaign to promote a transition from environmentally harmful and health‑hazardous fuels such as firewood and charcoal....
WIZARA YA NISHATI YAPOKEA TRIL. 1.15/- ZA MIRADI YA MAENDELEO
WIZARA ya Nishati imepokea Sh. trilioni 1.150 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika kipindi cha Julai 2025 hadi Februari 2026, sawa na asilimia 61 ya bajeti ya maendeleo iliyoidhinishwa kwa mwaka wa fedha 2025/26.Taarifa hiyo imetole...
SHULE 13 TEMEKE KUANZA KUPIKA KWA UMEME
GHARAMA za kupika chakula cha wanafunzi katika shule 13 za msingi Wilaya ya Temeke, mkoani Dar es Salaam, zinatarajiwa kupungua kwa kiasi kikubwa kufuatia shule hizo kuanza kutumia nishati ya umeme kupikia badala ya kuni.Hatua hiyo ni sehemu ya uteke...
ASILIMIA 89 YA VITONGOJI NKASI VIMEFIKIWA NA UMEME - MHE.SALOME
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema asilimia 89 ya vitongoji 724 wilayani Nkasi Mkoa wa Rukwa vimesambaziwa umeme, na vitongoji vilivyosalia vitakuwa vimesambaziwa nishati hiyo ifikapo 2030.Mhe. Salome amesema hayo katika Mji wa Nam...
WANAWAKE WIZARA YA NISHATI WASHIRIKI SIKU YA WANAMKE DUNIANI.
Wanawake Wizara ya Nishati kutoka katika idara na vitengo mbalimbali wameungana na wanawake wote duniani kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani Machi 8, Wilayani Kongwa mkoani Dodoma.Maadhimisho ya mwaka 2026 yanaongozwa na kauli mbiu isemayo: “Haki na...
WANANCHI RUKWA KUPATA UMEME WA GRIDI MWEZI MEI 2026-MHE.SALOME
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema wananchi wa Mkoa wa Rukwa wataanza kupata umeme wa gridi kuanzia mwezi mei mwaka huu mara utakapokamilika mradi wa usafirishaji umeme wa msongo wa kV 400 kutokea mkoani Iringa.Ameyasema hayo katika...
NDEJEMBI: MIL. 704/- KUIMARISHA UMEME LINDI, MTWARA
Serikali imewekeza Sh.milioni 704 kufunga transfoma ya ziada katika kituo cha kupoza umeme cha Mahumbika mkoani Lindi ili kupunguza changamoto ya kukatika kwa umeme mara kwa mara katika mikoa ya Lindi na Mtwara.Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndej...
MHE.SALOME AIBANA KAMPUNI YA DONGFANG KWA KASI ISIYORIDHISHA MRADI WA UMEME MALAGARASI
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe.Salome Makamba Machi 07, 2026 amekagua utekelezaji wa mradi wa kuzalisha umeme wa Malagarasi (MW 49.5) unaotekelezwa katika Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma ambapo ameeleza kutoridhishwa kwake na kasi ya utekelezaji.Akiwa k...
NDEJEMBI ATOA SIKU 14 KWA MKANDARASI KUREJEA MRADI WA UMEME SONGEA - MAHUMBIKA
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amempa siku 14 mkandarasi anayetekeleza mradi wa kusafirisha umeme wa msongo wa kilovoti 220 kutoka Songea hadi Mahumbika kupitia Tunduru na Masasi kurejea eneo la mradi na kuendelea na kazi mara moja.Hatu...
Waziri Ndejembi Awasili Mtwara Kukagua Miradi ya Umeme
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amewasili mkoani Mtwara kwa ziara ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa miradi ya umeme. Akiwasili Machi 07, 2026 amepokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanali Donald MséngiMara baada ya kuwasili, Waziri...
Wachoma Nyama Dodoma Waanza Kuhamia Matumizi Ya Majiko Ya Gesi
Wizara ya Nishati kupitia Kitengo cha Nishati Safi ya Kupikia imefanya ziara ya kutembelea mjasiriamali anayejishughulisha na uchomaji wa nyama katika eneo la Maili Mbili, jijini Dodoma ili kujionea namna anavyonufaika na matumizi ya nishati safi ya...
MRADI WA MALAGARASI WAPELEKA UMEME KWA WANANCHI 750 KIGOMA
Takribani wananchi 750 wanaopitiwa na Mradi wa Uzalishaji Umeme wa Malagarasi (MW 49.5) unaotekelezwa mkoani Kigoma wamefaidika na mradi huo, ikiwa ni jitihada za Serikali kuhakikisha kuwa wananchi wanaopitiwa na miradi ya maendeleo wananufaika na mi...
MAGARI YA UMEME NAFUU KWA ASILIMIA 85 UKILINGANISHWA NA YA MAFUTA
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amesema utafiti unaonesha kuwa kuendesha gari la umeme nchini ni nafuu kwa takribani asilimia 85 kwa kila kilomita ikilinganishwa na gari linalotumia petroli au dizeli.Mramba ameyasema hayo Mac...
UMEME WA GRIDI KIGOMA UMEOKOA BILIONI 58 ZA MAFUTA NA MATENGENEZO –MHE. SALOME
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amelipongeza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa kusimamia na kukamilisha mradi wa kupeleka umeme wa gridi mkoani Kigoma na hivyo kuokoa takribani shilingi bilioni 58 zilizokuwa zikitumika kila mwaka k...
MHE. SALOME AZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI TANESCO MKOA WA KIGOMA
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amekutana na kufanya mazungumzo na Wafanyakazi wa TANESCO Mkoa wa Kigoma ambapo pamoja na kuwapongeza kwa kazi nzuri wanayofanya amewataka kuongeza nguvu katika utekelezaji wa mipango ya Serikali ya kubore...
MHE. SALOME AANZA ZIARA YA KIKAZI KIGOMA
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba ameanza ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Kigoma inayolenga kukagua miradi mbalimbali ya umeme ikiwemo mradi wa Malagarasi utakaozalisha megawati 49.5.Kabla ya kuanza ziara hiyo amekutana Kaimu Mkuu wa...
Matumizi ya Nishati Safi Yapunguza Ukataji wa Miti Mvomero
Wananchi wa Mvomero wamesema kuwa utekelezaji wa agizo la Serikali la kuhamasisha matumizi ya nishati safi umeanza kuleta matokeo chanya, ikiwemo kupungua kwa ukataji wa miti na uchomaji wa mkaa katika baadhi ya maeneo.Hayo yameelezwa na baadhi ya wa...
Mhe. Ndejembi Akutana na Chama cha Waagizaji na Wasambazaji wa Mafuta (TAOMAC)
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na Chama cha Waagizaji na Wasambazaji wa Mafuta Tanzania (TAOMAC) kwa lengo la kuboresha na kukuza sekta ya mafuta nchini pamoja na kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali n...
Mradi wa Umeme Jua Kayenze Wazalisha MW 5; Waongeza Nguvu ya Umeme na Maendeleo Ushetu
Naibu Waziri wa Nishati na Mbunge wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Salome Makamba, amesema mradi wa umeme wa jua wa Kayenze uliopo katika Jimbo la Ushetu unazalisha megawati 5 za umeme ambazo zinaingizwa katika Gridi ya Taifa kupitia njia ya msongo wa kilo...