Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania

Ministry of Energy

News

May 10, 2025
SERIKALI ITAENDELEA KUIAMINI NA KUIUNGA MKONO RED CROSS - DKT. BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Serikali itaendelea kuiamini na kukiunga Mkono Chama cha Msalaba mwekundu (RED C...
May 10, 2025
DKT. BITEKO ASHIRIKI TULIA MARATHON MBEYA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amempongezaSpika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge...
May 09, 2025
KAPINGA AZINDUA KITUO MAMA CHA GESI ASILIA ILIYOSHINDILIWA (CNG) JIJINI DAR ES SALAAM
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amezindua Kituo Mama cha Gesi Asilia iliyoshindiliwa (CNG) ambacho kina uwezo wa kujaza Gesi Asilia kweny...
May 09, 2025
MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KUFIKIA 75% MWAKA 2030 - DKT. BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikaliimeendelea kuboresha, kuimarisha, kurahisisha na kuwezesha upatikan...
May 08, 2025
TANZANIA YADHAMIRIA KUENDELEZA MAGEUZA YA KIDIGITALI KATIKA ELIMU: DKT. BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewahimiza wadau wa elimu barani Afrika kuendeleza mkakati na ushirikiano utakaowezesha...
May 08, 2025
SHULE 216 ZA SERIKALI ZATUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA-KAPINGA
Naibu Waziri Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema hadi kufikia mwezi Machi 2025 takribani Shule za Serikali 216 zimehamia katika matumizi ya nishati sa...
May 08, 2025
DKT. BITEKO AWATAKA MAAFISA MAENDELEO JAMII WASIKUBALI KUACHWA NYUMA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewahimiza maafisa maendeo ya jamii nchini kushirikiana na kuhakikisha wanashirikishwa...
May 07, 2025
WATAALAM AFRIKA MASHARIKI WAJADILI NISHATI SAFI YA KUPIKIA JIJINI ARUSHA
Leo tarehe 7 Mei, 2025 ambayo ni Siku ya Pili ya Kongamano, Wataalam kutoka Tanzania, Rwanda, Kenya, Burundi, Uganda na Malawwanaendelea na majadilian...
May 06, 2025
KONGAMANO LA KWANZA LA NISHATI SAFI YA KUPIKIA AFRIKA MASHARIKI LAFANYIKA ARUSHA
Wadau mbalimbali kutoka Nchi za Afrika Mashariki wamekutana jijini Arusha katikaKongamano la kwanza Nishati Safi ya Kupikia la Afrika Mashariki linalo...
May 06, 2025
GEREZA LA LILUNGU WAPONGEZWA KUTUMIA GESI ASILIA KUPIKIA
Imeelezwa kuwa matumizi ya nishati safi ya kupikia imepunguza nusu ya gharama iliyokuwa inatumika katika kuandaa chakula cha wafungwa katika magereza....
May 06, 2025
NYAMGUMA MAHAMUD AIBUKA MSHINDI HABARI ZA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Nyamguma Mahamud, Mwandishi wa Habari kutoka Mlimani FM ameibuka kidedea katika Tuzo za Uandishi wa Habari za Samia Kalamu Awards 2025 kupitia kipenge...
May 04, 2025
REB YARIDHISHWA MATUMIZI YA NISHATI SAFI GEREZA LA BUTIMBA
Wajumbe wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) wamefanya ziara ya kutembelea Gereza Kuu la Butimba lililopo jijini Mwanza kwa lengo la kukagua utekelezaji...
May 02, 2025
SEKTA YA NISHATI IPO SALAMA CHINI YA RAIS SAMIA - DKT. BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa k...
Apr 30, 2025
DKT.BITEKO ALITAKA SHIRIKA LA MAENDELEO YA PETROLI KUONGEZA KASI YA UENDELEZAJI VITALU VYA MAFUTA NA...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameliagiza Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC)kuongeza kasi ya uendelezaji w...
Apr 30, 2025
TIJA KWA NCHI NDIYO KIPAUMBELE CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KUCHAKATA NA KUSINDIKA GESI ASILIA (LNG)-...
TIJA KWA NCHI NDIYO KIPAUMBELE CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KUCHAKATA NA KUSINDIKA GESI ASILIA (LNG)- DKT.BITEKONaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,...
Apr 28, 2025
DKT.BITEKO AWASILISHA BUNGENI BAJETI YA WIZARA YA NISHATI KWA MWAKA 2025/2026
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt.Doto Biteko ameliomba Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuidhinisha Bajeti ya Wizara ya Nishat...
Apr 28, 2025
ETDCO WAKAMILISHA MRADI WA KILOVOLTI 132 TABORA - IPOLE
Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) imekamilisha ujenzi wa Mradi wa laini ya msongo wa Kilovo...
Apr 28, 2025
TANESCO YAANZA RASMI ZOEZI LA KULIPA FIDIA WANANCHI WALIOPISHA UJENZI WA MIRADI YA UMEME
Jumla ya wananchi 1,526 wanatarajia kunufaika na malipo ya fidia ya shilingi Bilioni 4.7 baada ya kupisha Mradi wa ujenzi wa njia kubwa ya kusafirisha...
Apr 27, 2025
ASKOFU ROMANUS MIHALI JIMBO LA IRINGA ASIMIKWA RASMI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewaomba viongozi wa dini nchini kuliombea Taifa wakati huu wakati Tanzania inaelekea k...
Apr 26, 2025
HALI YA UMEME ARUSHA YAZIDI KUIMARISHWA
Mkoa wa Arusha sasa umewezeshwa kupata umeme wa uhakika baada ya upanuzi wa Kituo cha kupooza na kusafirisha umeme cha Njiro, kwa kuongeza Transfoma y...