Tanzania emblem
The United Republic of Tanzania

Ministry of Energy

News

Jan 26, 2024
KUTOKUTATUA KERO ZA WANANCHI KUNAMKERA RAIS SAMIA- DKT. BITEKO AWAELEZA WATENDAJI
Ataka Viongozi Serikalini kutatua kero za wananchi na si kusikiliza tuAagiza viongozi kuhakikisha wanafunzi wote wanaripoti mashuleni kabla ya MachiAw...
Jan 25, 2024
WATANZANIA WAPEWE KIPAUMBELE KATIKA MRADI WA EACOP-DKT. BITEKO
Ataka uwiano wa malipo kati ya Watalaam Wazawa na kutoka njeMabomba ya Mafuta yaendelea kuingia nchiniAkagua Mita za Kupimia Mafuta Bandari ya TangaAa...
Jan 23, 2024
DKT. BITEKO AONGOZA MAPOKEZI YA NAIBU WAZIRI MKUU WA CHINA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo ameongoza mapokezi ya Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Liu Guozho...
Jan 23, 2024
DKT.BITEKO NA WAZIRI WA NISHATI MISRI WAZUNGUMZA KUHUSU MRADI WA JNHPP
Majaribio ya mwanzo mtambo Na.9 JNHPP yaleta mafanikioKilowati 100 zaanza kuingizwa gridi ya TaifaWaridhishwa na utekelezaji wa mradi Naibu Waziri Mku...
Jan 23, 2024
SERIKALI YAENDELEA KUSHUSHA GHARAMA ZA ULETAJI MAFUTA ILI KULETA AHUENI KWA WANANCHI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, juhudi zinazofanywa na Wizara ya Nishati, Wakala wa Uagizaji wa Mafuta kwa...
Jan 11, 2024
Ziara ya Dkt. Biteko mkoani Mtwara yapelekea mitambo iliyosimama kuanza kuzalisha umeme
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Ahmed Abbas Ahmed ameeleza kuwa, ziara aliyofanya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Biteko mkoani Mtwar...
Jan 11, 2024
DKT.BITEKO ASHUHUDIA UTIAJI SAINI MIKATABA MIWILI YA KIHISTORIA YA GESI ASILIA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo ameshuhudia uwekaji saini Mkataba wa Mauziano ya Gesi Asilia itakayozalishwa katika...
Jan 10, 2024
Mhe. Kapinga akagua Ujenzi wa Flow Meter na Mapipa Mapya ya kuhifadhi mafuta Bandarini
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga amekagua Maendeleo ya Ujenzi wa Miundombinu ya Kupimia Mafuta yanayoingia na kutoka nchini Pamoja na Ujenz...
Jan 09, 2024
MHE. KAPINGA: TGDC ONESHENI MATOKEO CHANYA KWA KUZALISHA UMEME
Kampuni ya Uendelezaji wa Joto Ardhi Tanzania (TGDC) imetakiwa kuonesha Matokeo Chanya kwa kuzalisha Umeme kwa kutumia Rasilimali ya Jotoardhi ili kuu...
Jan 08, 2024
DKT. BITEKO AFUNGUA JENGO LA AFISI MAMLAKA YA MAJI ZANZIBAR
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, amefungua Jengo la Afisi ya Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA) lililoko eneo la Madema, Za...
Jan 08, 2024
JUMUIYA YA WAZAZI TUMIENI RASILIMALI ZILIZOPO KUJENGA NA KUENEZA MAFANIKIO YA CCM-DKT.BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameitaka Jumuiya ya Wazazi ya CCM kutumia rasilimali walizonazo katika kukijenga na kuki...
Jan 08, 2024
TUYAENZI NA KUYALINDA MAPINDUZI MATUKUFU YA ZANZIBAR - DKT.BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa Wananchi kuendelea kuyaenzi, kuyalinda na kuyaishi kwa dhamira ya dhati,...
Jan 08, 2024
MHE. KAPINGA: TANOIL IMARISHENI UTENDAJI KAZI KULETA MATOKEO CHANYA
Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni Tanzu ya Mafuta (TANOIL) ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Menejimenti ya Kampuni hiyo wameaswa kuh...
Jan 04, 2024
WATANZANIA JITOKEZENI KUTOA MAONI YA MISWADA YA SHERIA YA UCHAGUZI NA VYAMA VYA SIASA - DKT.BITEKO
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa Watanzania kushiriki katika kutoa maoni kuhusu muswada wa Sheria ya Ucha...
Jan 04, 2024
DKT. BITEKO AWASHUKURU WALIMU BUKOMBE KWA KUONGEZA UFAULU NA KUWAJALI WANAFUNZI
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewapongeza na kuwashukuru Walimu wote wanaofundisha shule za Msingi na Sekondari wilay...
Jan 04, 2024
DKT.BITEKO AMMWAGIA SIFA RAIS, DKT. SAMIA KWA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI BUKOMBE
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mhe. Dkt. Doto Biteko, amepongeza jitihada kubwa zinazofanywa na Rais wa...
Jan 04, 2024
UTEKELEZAJI MRADI WA UMEME WA JULIUS NYERERE (JNHPP) WAFIKIA ASILIMIA 94.78
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, utekelezaji wa mradi wa umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) utakaozalisha mega...
Jan 04, 2024
DKT. BITEKO ASHIRIKI ROMBO MARATHON; APONGEZA UBUNIFU WAKE
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo ameshiriki mashindano ya Rombo Marathon yaliyohusisha mbio za Kilometa tano, kumi na...
Jan 03, 2024
Kamati Ya PIC Yaitaka TANESCO na TRC kulinda Miundombinu ya Treni ya Kisasa (SGR)
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) imeliagiza Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) na Shirika la Reli Nchini (TRC), kutunza M...
Jan 03, 2024
MRADI WA UMEME- RUSUMO (80 MW) WAFIKIA ASILIMIA 99.9
Tanzania, Rwanda na Burundi zaanza kupata umeme kutoka RusumoMradi kuzinduliwa mwezi Machi 2024Dkt. Biteko ataka ukamilike mapemaNaibu Waziri Mkuu na...