WAKALA WA UAGIZAJI MAFUTA KWA PAMOJA WAANZISHA MFUMO WA KUDHIBITI UPOTEVU WA MAFUTA.
Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA), kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya mafuta, umeanzisha mfumo wa kisasa wa Supervisory Control and Data Acquisition (SCADA) unaolenga kudhibiti upotevu wa mafuta kutoka melini hadi kwenye maghala ya kuhif...
DKT. MATARAGIO ATEMBELEA MAONESHO YA WIKI YA NISHATI DODOMA.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi Asilia, Dkt.James Mataragio, ametembelea maonesho ya Wiki ya Nishati yanayoendelea Jijini Dodoma.Maonesho hayo yameingia siku ya pili tangu kuanza kwa maonesho hayo Aprili 20, 2026, ambapo...
KATIBU MKUU MAFUTA NA GESI ASILIA AHAMASISHA WANANCHI KUTUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi Asilia, Dkt. James Mataragio, ametoa wito kwa wananchi kutumia nishati safi ya kupikia kama sehemu ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya mwaka 2050 inayolenga kuhamasisha matumizi ya nishati...
NDEJEMBI AWAHAMASISHA WABUNGE KUTEMBELEA MAONESHO YA WIKI YA NISHATI 2026.
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amewahamasisha Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutembelea maonesho ya Wiki ya Nishati 2026 yanayoendelea katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma, yaliyoanza rasmi Aprili 20, 2026.Akizungumza...
WIKI YA NISHATI 2026 YAANZA DODOMA.
Maonesho ya Wiki ya Nishati yanayohusisha Wizara ya Nishati na Taasisi zake yameanza katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma huku yakilenga kutoa elimu ya nadharia na vitendo kuhusu Sekta ya Nishati.Katika maonesho hayo Wabunge na Wananchi watafahamis...
TANZANIA INAENDELEA KUIMARISHA MATUMIZI YA GESI ASILIA KUZALISHA UMEME: NDEJEMBI.
Tanzania inaendelea kuimarisha na kuongeza matumizi ya gesi asilia katika uzalishaji wa nishati ya umeme nchini, hatua inayolenga kuiwezesha kufikia lengo la kuzalisha Megawati 8,000 za umeme ifikapo mwaka 2030. Katika mpango huo, gesi asilia ni mion...
SERIKALI YATENGA SH. BILIONI 3.2 KUSAMBAZA UMEME VIJIJI 9 LUDEWA.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema Serikali imetenga kiasi cha Sh Bilioni 3.2 kupitia kwa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa ajili ya kusambaza umeme katika vitongoji vilivyopo ndani ya vijiji Tisa vya Kitewele, Kimata, Ndoa, Chan...
TANZANIA NI NJIA YA USAFIRISHAJI MAFUTA YA UGANDA KUPITIA MRADI WA EACOP.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema ushiriki wa Tanzania kwenye Mradi wa Bomba la Mafuta (EACOP) upo kwenye biashara ya kusafirisha mafuta ghafi tu (transit nation) kutoka Kabaale Hoima hadi Chongoleani, Tanga na baadaye kupelekwa kw...
BILIONI 5.1 KULIPA FIDIA KWA WANANCHI 1,730 MRADI WA UMEME.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema Serikali katika mwaka wa fedha 2025/26 imetenga bajeti kwa ajili ya malipo ya fidia yenye thamani ya Sh Bilioni 5.1 kwa wananchi 1,730 wanaopisha njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa Kilovoti 220...
WAZIRI NDEJEMBI AKUTANA NA KAMPUNI ZA EQUINOR NA SHELL KUJADILI UTEKELEZAJI WA MRADI WA LNG NCHINI.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amekutana na kufanya mazungumzo na Kampuni ya Equinor Tanzania AS pamoja na Shell Exploration and Production Tanzania Ltd kuhusu utekelezaji wa uchimbaji wa gesi ya LNG katika mikoa ya kusini, leo Aprili 10...
WATENGENEZA MAUDHUI MTANDAONI WATAKIWA KUWA NGUVU YA KUBADILISHA JAMII KATIKA MATUMIZI YA NISHATI SA...
Katika mwendelezo wa mafunzo kwa watengeneza maudhui mtandaoni (Content Creators), awamu ya kwanza inayoendelea Jijini Arusha Aprili 8, 2026, Wizara ya Nishati imewahimiza washiriki kutumia majukwaa yao ya kidijitali kama chachu ya kuleta mabadiliko...
NISHATI SAFI YAFUNGUA MILANGO YA FURSA KWA WATENGENEZA MAUDHUI.
Watengeneza maudhui nchini wamehamasishwa kutumia ubunifu wao kujipatia kipato kupitia fursa zitokanazo na nishati safi ya kupikia, kwa kuelimisha jamii kupitia kazi zao zikiwemo video za elimu, vichekesho, hadithi na kampeni mbalimbali zitakazowafik...
WIZARA YA NISHATI KUWA MFANO WA MATUMIZI BORA YA NISHATI KATIKA MJI WA SERIKALI MTUMBA.
Wizara ya Nishati kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) inatarajia kutekeleza Mradi wa Matumizi Bora ya Nishati katika Jengo la Wizara ya Nishati na baadaye Mji wote wa Serikali Mtumba.Hayo yameelezwa na Kamishna wa Umem...
MAFUTA KUPANDA BEI, SERIKALI YAAHIDI SULUHISHO KWA WANANCHI.
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kusimamia upatikanaji wa bidhaa za mafuta ya petroli na mafuta mengine ili kuhakikisha bei zake zinaendelea kuwa himilivu, licha ya kuwepo kwa changamoto za kiusalama za kikanda na kimatai...
KITUO CHA UMEME IFAKARA CHACHOCHEA MAENDELEO KILOMBERO.
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imetumia shilingi bilioni 25 kujenga Kituo cha Kupoza Umeme 1x20MVA, 220/33kv pamoja na njia za kusambaza Umeme katika Wilaya ya Kilombero, hatua ambayo imeboresha upatikanaji wa umeme na kuondoa chan...
UKIKAMATWA UMEFICHA MAFUTA: NI KESI YA UHUJUMU UCHUMI.
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi, Dkt. James Mataragio, ameiagiza Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Huduma za Maji (EWURA) kuendesha operesheni ya kuwabaini watu wanaojihusisha na vitendo vya kuficha mafuta kwa makusudi i...
SERIKALI YAELEZA HALI YA UPATIKANAJI WA MAFUTA NCHINI.
Serikali kupitia Wizara ya Nishati imeeleza kuwa hali ya upatikanaji wa mafuta nchini bado ni shwari, huku bei zikiwa himilivu, ambapo mafuta yaliyopo yanatosheleza kwa kipindi cha miezi miwili hadi mitatu.Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya...
SERIKALI YAONGEZA NGUVU KATIKA MIKAKATI YA KUHAKIKISHA UPATIKANAJI ENDELEVU WA MAFUTA NCHINI.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratias Ndejembi amekutana na kufanya mazungumzo na Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishatizinashughuliki mafuta na gesi nchini katika Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es salaam.Kikao hicho kilichofanyika, Machi...
WAZIRI NDENJEMBI NA WAZIRI CHIKOTE WA ZAMBIA WAJADILI USHIRIKIANO SEKTA YA NISHATI.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Nishati wa Zambia, Mhe. Makozo Chikote, Machi 27, 2026 katika Jiji la Lusaka, Zambia.Katika kikao hicho kilichowashirikisha wataalam kutoka nchi hizo mbili, Vio...
UTEKELEZAJI MKAKATI MATUMIZI BORA YA NISHATI YA UMEME KUANZA JULAI MOSI.
Serikali itaanza utekelezaji wa Mkakati wa Taifa wa Ufanisi wa Nishati, Julai Mosi mwaka huu ili kuimarisha matumizi bora ya umeme na kupunguza gharama kwa watumiaji.Akizungumza jijini Dar es Salaam katika mdahalo wa ngazi ya juu kuhusu viwango vya c...