WAZIRI MKUU APONGEZA TPDC KWA UJENZI WA SHULE YA MSINGI LIKONG'O KUPITIA MRADI WA LNG
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. Mwigulu Nchemba amepongeza Wizara ya Nishati kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kwa ujenzi wa shule bora ya Awali na Msingi katika Kijiji cha Likong'o mkoani Lindi inayojen...
GEREZA LA KILIMO URAMBO KUNEEMEKA NA MIUNDOMBINU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imepanga kupeleka majiko matatu ya kisasa yanayotumia mkaa mbadala pamoja na sufuria zake katika Gereza la Kilimo Urambo, mkoani Tabora.Hatua hiyo ni sehemu ya jitihada za Serikali kuimarisha matumizi...
MRADI WA USAMBAZAJI UMEME VITONGOJINI SIHA-KILIMANJARO WAZINDULIWA
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amezindua mradi wa usambazaji wa umeme katika vitongoji vya Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, akisisitiza kuwa Serikali itaendelea kutekeleza dhamira ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt....
REA KULIONGEZEA UWEZO GEREZA LA KASULU KUZALISHA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) italipelekea Gereza la Kasulu mkoani Kigoma mashine moja ya kisasa ya kutengeneza mkaa mbadala, hatua inayolenga kuliwezesha gereza hilo kuondokana na njia duni zilizokuwa zikitumika awali kuzalisha m...
MAADILI KAZINI YAWE MSINGI WA UTOAJI HUDUMA KWA WANANCHI – NDEJEMBI
Watumishi katika Wizara ya Nishati wametakiwa kuzingatia maadili ya utumishi wa umma ili kuendelea kutoa huduma bora kwa Watanzania, hususan kwa kujiepusha na vitendo vya rushwa, ubadhirifu na uzembe mahali pa kazi.Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratias...
GEREZA LA KIBONDO LABUNI MKAA MBADALA KUTEKELEZA AGIZO LA SERIKALI LA NISHATI SAFI
Jeshi la Magereza wilayani Kibondo mkoani Kigoma limeanza kutumia mkaa mbadala unaotokana na mchanganyiko wa maranda ya miti na udongo unaozalishwa ndani ya Gereza la Kibondo ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa agizo la Serikali la matumizi ya nishati...
MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAONGEZA UFANISI WA KAZI KWENYE MAGEREZA
Mkuu wa Gereza la Bukoba, Bw. Aloyce Kalihamwe amesema matumizi ya nishati safi ya kupikia yameleta mageuzi makubwa katika utekelezaji wa majukumu ya Magereza nchini yakichangia kwa kiasi kikubwa kuongeza ufanisi wa kazi, kulinda afya na mazingira pa...
JESHI LA MAGEREZA LATEKELEZA AGIZO LA SERIKALI LA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Jeshi la Magereza nchini limetekeleza agizo la Serikali la matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kwa Taasisi zinazolisha watu zaidi ya 100 suala linaloifanya jeshi hilo kujikinga na athari zinazotokana na nishati isiyo safi ya kupikia kama vile kuni na...
UWEKEZAJI MKUBWA ULIOFANYWA NA SERIKALI KITUO CHA GESI ASILIA MLIMANI WALETA NAFUU KWA WANANCHI
Naibu waziri wa Nishati Mhe.Salome Makamba ameeleza kuwa, Serikali imefanya uwekezaji mkubwa katika kujenga kituo cha kujaza gesi asilia kwenye vyombo vya usafiri katika eneo la Mlimani jijini Dar es Salaam ambapo zaidi ya sh.Bilioni 12 zimetumika ku...
ELIMU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YATOLEWA KWA WATUMISHI WA WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MIC...
Wizara ya Nishati kupitia kitengo cha Nishati Safi ya Kupikia leo Disemba 11, 2025 kimetoa mafunzo kwa watumishi wa Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo katika Ofisi za Wizara hiyo, zilizopo Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma ambapo watumis...
NDEJEMBI AZINDUA MKAKATI NA MPANGO KAZI WA MAGEUZI YA NISHATI UTAKAOTEKELEZWA NA NCHI ZA AFRIKA
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amezindua Mkakati na Mpango Kazi wa Mageuzi ya Nishati ambao utatekelezwa na Nchi za Afrika kupitia Kamisheni ya Nishati ya Afrika (AFREC).Uzinduzi huo umefanyika leo Desemba 11, 2025 ikiwa ni muendelezo wa...
TUNAENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA UMEME ILI WANANCHI MPATE UMEME WA UHAKIKA- MHE.SALOME
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema kuwa Serikali inaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kuboresha miundombinu ya umeme nchini ili kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa uhakika.Mhe. Salome ameyasema hayo Novemba 11, 2025 Jijini...
NCHI ZA AFRIKA ZAHIMIZWA KUSHIRIKIANA KATIKA KUIMARISHA MATUMIZI BORA YA NISHATI.
WAZIRI wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ametoa wito kwa Nchi za Afrika kuungana kwa pamoja katika kutekeleza mikakati na mipango ya kuendeleza matumizi bora ya Nishati, ili kuokoa upotevu wa Nishati pamoja na fedha ambazo zingetumika kwa uwekezaj...
TPDC NA PURA HAKIKISHENI WATANZANIA WANANUFAIKA NA RASIRIMALI ZA MAFUTA NA GESI- MHE.SALOME
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome Makamba amefanya ziara katika Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) pamoja na Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kwa lengo la kuzungumza na Watendaji taasisi hizo mara baada ya kuteuli...
PBPA HAKIKISHENI WAWEKEZAJI WAZAWA WANAPEWA KIPAUMBELE KATIKA FURSA ZA UWEKEZAJI MHE.SALOME.
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, ametoa wito kwa Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) kuhakikisha wanatoa fursa za uwekezaji kwa wawekezaji wazawa ili kuongeza ushindani na kuimarisha ushiriki wa Watanzania katika sekta ya nishati...
WAZIRI WA NISHATI MHE. NDEJEMBI AZINDUA RASMI MITA JANJA
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter) yenye lengo la kuboresha na kumrahisishia mteja kufanya manunuzi ya umeme moja kwa moja ikiwa ni mageuzi makubwa ya teknolojia yanayofanywa na TANESCO katika kuongeza...
PBPA HAKIKISHENI WAWEKEZAJI WAZAWA WANAPEWA KIPAUMBELE KATIKA FURSA ZA UWEKEZAJI MHE.SALOME.
Wadau wa masuala ya Nishati safi ya kupikia zikiwepo Wizara na Taasisi mbalimbali nchini, wamekutana Jijini Dodoma na kujadili mbinu mbalimbali za kufikia wadau muhimu zitakazowezesha kufikisha asilimia 80 ya wananchi wanaotumia nishati safi ya kupik...
SHULE ZA SEKONDARI 52; CHUO CHA VETA KUFUNGIWA MIUNDOMBINU YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imesaini mikataba ya kufunga miundombinu ya nishati safi ya kupikia kwa shule za Sekondari 52 na Chuo cha VETA kimoja hapa nchini.Hafla hiyo ya utiaji saini imeongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mha. Hassan Saidy leo,...
HAKIKISHENI MRADI WA NJIA ZA KUSAFIRISHA UMEME ZINAKAMILIKA KWA WAKATI MHE. NDEJEMBI
Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amemtaka Mkandarasi anayetekeleza mradi wa njia za kusafirisha umeme kutoka Chalinze hadi Dodoma kuhakikisha kuwa kazi za njia za kusafirisha umeme zinakamilika kwa wakati uliopangwa.Mhe. Ndejembi ameyasema...
WANANCHI MIKOA YA IRINGA NA DODOMA KUWA NA UMEME WA UHAKIKA-MHE. MAKAMBA.
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome Makamba leo Novemba 26, 2025 ametembelea na kukagua mradi wa kuzalisha umeme kwa njia ya maji la Bwala la Mtera liliopo mpakani kati ya Iringa na Dodoma, ambapo amesema kuwa wananchi wa mikoa ya Dodoma na Iringa sa...