DKT.BITEKO AFUNGUA MKUTANO WA MWAKA WA KIUTENDAJI WA MAAFISA USTAWI WA JAMII NCHINI
DKT.BITEKO AFUNGUA MKUTANO WA MWAKA WA KIUTENDAJI WA MAAFISA USTAWI WA JAMII NCHININaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amefungua mkutano wa mwaka wa kiutendaji wa Maafisa Ustawi wa Jamii kutoka Wizara za Kisekta, Taasisi za...
NAIBU WAZIRI MKUU NA WAZIRI WA NISHATI APOKELEWA RASMI WIZARA YA NISHATI , AAMBATANA NA NAIBU WAZIRI...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko pamoja na Naibu Waziri wa Nishati, Mhe.Judith Kapinga wamepokelewa rasmi na Menejimenti na Watumishi wa Wizara ya Nishati katika Ofisi za Wizara ya Nishati zilizopo jijini Dodoma baada ya...
REA YAWANEEMESHA WANANCHI KWA KUKAMILISHA KITUO CHA KUPOZA UMEME IFAKARA
REA YAWANEEMESHA WANANCHI KWA KUKAMILISHA KITUO CHA KUPOZA UMEME IFAKARASerikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imekamilisha Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Kupoza Umeme kilichopo Ifakara (Ifakara Substation) na kuleta neema ya umeme wa uhakik...
KAMATI YA BUNGE YAPONGEZA KASI YA UJENZI WA KIWANDA CHA MABOMBA MRADI WA EACOP
KAMATI YA BUNGE YAPONGEZA KASI YA UJENZI WA KIWANDA CHA MABOMBA MRADI WA EACOPKamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imepongeza kasi ya ujenzi wa kiwanda kitakachokuwa kikiweka mifumo ya upashaji jotona plastiki itakayozuia upotevu wa joto kw...
ZAIDI YA BILIONI 300 YAONGEZWA KATIKA USAMBAZAJI WA UMEME VIJIJINI.
ZAIDI YA BILIONI 300 YAONGEZWA KATIKA USAMBAZAJI WA UMEME VIJIJINI.Serikali imeongeza zaidi ya shilingi bilioni mia tatu katika mradi wa usambazaji umeme vijijini kufikia shilingi trillioni moja na billioni mia tano lengo ikiwa ni kuongeza kilomita...
MIUNDOMBINU YA KUSAFIRISHA NA KUSAMBAZA UMEME IMEIMARIKA NCHINI
MIUNDOMBINU YA KUSAFIRISHA NA KUSAMBAZA UMEME IMEIMARIKA NCHINIWaziri wa Nishati, January Makamba amesema kuwa hali ya miundombinu ya kusafirisha na kusambaza umeme nchini imeimarika na hivyo kuwezesha upatikanaji wa umeme wa uhakika kwa wateja wanao...
MRADI WA GESI ASILIA UNALENGA KUZALISHA, KUCHAKATA NA KUSINDIKA GESI---Byabato
MRADI WA GESI ASILIA UNALENGA KUZALISHA, KUCHAKATA NA KUSINDIKA GESI---ByabatoWaziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato amesema Mradi wa kuchakata na kusindika Gesi Asilia kuwa kimiminika unalenga kuzalisha, kuchakata na kusindika Gesi asilia iliyogu...
China kuendelea kushirikiana na Tanzania katika Sekta ya Nishati nchini.
China kuendelea kushirikiana na Tanzania katika Sekta ya Nishati nchini.Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China imesema kuwa itaendelea kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuendelea kuwekeza katika kutekeleza miradi ya Sekta ya N...
Tanzania na Malawi wajadili mradi wa umeme Mto Songwe
Tanzania na Malawi wajadili mradi wa umeme Mto SongweKatibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amesema kuwa, Serikali ya Tanzania na Malawi zimeanza majadiliano ili kuona uwezekano wa kujenga mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia maporo...
WAZIRI MAKAMBA AWASIHI VIONGOZI KUWAELEZA UKWELI WANANCHI KUHUSU MCHAKATO WA UPATIKANAJI WA MAFUTA...
WAZIRI MAKAMBA AWASIHI VIONGOZI KUWAELEZA UKWELI WANANCHI KUHUSU MCHAKATO WA UPATIKANAJI WA MAFUTA NA GESI*Awataka Wazanzibari kuvuta Subira wakati Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inafanyia kazi utafutaji wa mafuta na Gesi.Waziri wa Nishati January Ma...
TANZANIA KUNUFAIKA NA FURSA ZA UWEKEZAJI WA MIRADI YA JOTOARDHI
“TANZANIA KUNUFAIKA NA FURSA ZA UWEKEZAJI WA MIRADI YA JOTOARDHI”Tanzania itanufaika na Mpango wa kuzalisha umeme kwa kutumia nishati ya Jotoardhi na teknolojia za kisasa ili kuleta maendeleo endelevu. Mpango huo unatekelezwa na Shirika la Maendeleo...
MRADI WA KUFUA UMEME WA JNHPP KUINUA FURSA ZA KIUCHUMI NA UWEKEZAJI
MRADI WA KUFUA UMEME WA JNHPP KUINUA FURSA ZA KIUCHUMI NA UWEKEZAJIViongozi wa Baraza la Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (CPCT) wamesema Mradi wa kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) una manufaa makubwa kwa Taifa, licha ya kuzalisha umeme pia utai...
VIONGOZI WA DINI WAPONGEZA SERIKALI KWA KUTEKELEZA MRADI WA KUZALISHA UMEME.
VIONGOZI WA DINI WAPONGEZA SERIKALI KWA KUTEKELEZA MRADI WA KUZALISHA UMEME.Viongozi wa Dini wameipongeza Serikali kwa usimamizi wa Mradi wa kimkakati wa kuzalisha umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) utakaozalisha megawati 2,115 kuanzia Juni, Mwaka 2024,...
BAKWATA YAOMBA SERIKALI KUTOA ELIMU KWA JAMII JUU YA MIRADI YA KIMKAKATI.
BAKWATA YAOMBA SERIKALI KUTOA ELIMU KWA JAMII JUU YA MIRADI YA KIMKAKATI.Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limeiomba Serikali kutoa elimu ya kutosha kwa jamii ili kufahamu vema Miradi ya kimkakati inayotekelezwa nchini ukiwemo Mradi wa kuzali...
MAKAMBA AYATAKA MAKAMPUNI YA BIMA NCHINI KUTUMIA FURSA KATIKA SEKTA YA NISHATI
MAKAMBA AYATAKA MAKAMPUNI YA BIMA NCHINI KUTUMIA FURSA KATIKA SEKTA YA NISHATIMakampuni ya Bima nchini, yametakiwa kuhakikisha kwamba yanazitumia fursa zilizopo katika Sekta ya Nishati, kuzitambua na kufahamu kuwa wana nafasi ya kuzifikia na kuzipata...
Wakili Stephen Byabato ashiriki katika Mkutano wa pili wa Kamisheni ya Bonde la Mto Songwe
Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato ameshiriki katika Mkutano wa pili wa Kamisheni ya Bonde la Mto Songwe uliofanyika Jijini Dar es Salaam tarehe 13 Julai 2023 ukiwajumuisha wajumbe wa Baraza la Mawaziri wanaotokana na Wizara za Kisekta...
Mradi wa umeme wa Tanzania na Kenya kuboresha huduma ya umeme Mikoa ya Kanda ya Kaskazini
Mradi wa umeme wa Tanzania na Kenya kuboresha huduma ya umeme Mikoa ya Kanda ya KaskaziniKatibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amesema kuwa, mradi wa kimkakati wa umeme utakaounganisha Tanzania na Kenya kupitia kituo cha kupokea na...
KATIBU MKUU NISHATI AFANYA MAZUNGUMZO NA MWAKILISHI MKAZI WA IMF
KATIBU MKUU NISHATI AFANYA MAZUNGUMZO NA MWAKILISHI MKAZI WA IMFKatibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) nchini Tanzania, Jens Reinkena wate...
Mkataba wa kwanza wa uzalishaji umeme Jua (MW 50) wasainiwa
Mkataba wa kwanza wa uzalishaji umeme Jua (MW 50) wasainiwaWizara ya Nishati kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) imesaini mkataba wa kwanza wa uzalishaji wa umeme Jua wa kiasi cha megawati 50 utakaotekelezwa wilayani Kishapu mkoani Shinyanga....
Wabunge wapata elimu ya Nishati Safi ya Kupikia
Wabunge wapata elimu ya Nishati Safi ya KupikiaWabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamepata elimu kwa kina ya nishati safi ya kupikia ambayo imejumuisha pia Rasimu ya Dira ya Taifa ya Matumizi ya Nishati Safi ya kupikia na Mpango Mkak...