Naibu Katibu Mkuu Nishati aongoza kikao cha Kikundi Kazi cha Taifa cha Nishati Safi ya Kupikia
Naibu Katibu Mkuu Nishati aongoza Kikao kazi cha Kikundi Kazi cha Taifa cha Nishati Safi ya Kupikia Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Athumani Mbuttuka ameongoza kikao cha wataalam wa Kikundi Kazi cha Taifa cha Nishati Safi ya Kupikia ili kupitia...
Mradi wa kufua umeme wa Kakono kuanza
Mradi wa kufua umeme wa Kakono kuanzaShilingi Bilioni 750 za kuendeleza mradi zasainiwa Mradi wa kufua umeme kwa kutumia maporomoko ya maji ya Mto Kagera (Kakono) wenye uwezo wa MW 87.8 utaanza kutekelezwa hivi karibuni baada ya kusainiwa kwa mkopo w...
Serikali, WFP, UNCDF kuwezesha 80% ya watanzania kutumia Nishati Safi ya Kupikia
Serikali, WFP, UNCDF kuwezesha 80% ya watanzania kutumia Nishati Safi ya KupikiaSerikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Chakula Duniani (WFP), Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Maendeleo ya Mitaji (UNCDF) na wadau wengine wa maendeleo ndani na...
KATIBU MKUU WIZARA YA NISHATI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI MPYA WA JAPAN NCHINI
KATIBU MKUU WIZARA YA NISHATI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI MPYA WA JAPAN NCHINIKatibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amekutana na kufanya mazunguzo na Balozi Mpya wa Japan nchini Tanzania, Yasushi Misawa kuhusu kuendelea kushirikian...
UJENZI WA NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME KATIKA MRADI WA JNHPP YAFIKIA ASILIMIA 92
UJENZI WA NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME KATIKA MRADI WA JNHPP YAFIKIA ASILIMIA 92Waziri wa Nishati, Mhe.January Makamba amesema kuwa, Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) inaendelea na utekelezaji wa mradi wa njia ya kusafirisha umeme kut...
MAJADILIANO MRADI WA KUCHAKATA NA KUSINDIKA GESI ASILIA (LNG) YAKAMILIKA
MAJADILIANO MRADI WA KUCHAKATA NA KUSINDIKA GESI ASILIA (LNG) YAKAMILIKAWaziri wa Nishati, Mhe. January Makamba, amesema kuwa, majadiliano yanayohusu Mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi Asilia baina ya Serikali ya Tanzania na wawekezaji Kampuni ya S...
MAKAMBA AKAGUA UJENZI WA JENGO LA WIZARA YA NISHATI KATIKA MJI WA SERIKALI, DODOMA
MAKAMBA AKAGUA UJENZI WA JENGO LA WIZARA YA NISHATI KATIKA MJI WA SERIKALI, DODOMAWaziri wa Nishati Mhe. January Makamba tarehe 01/03/2023, amekagua Mradi wa Ujenzi wa Jengo la Ofisi za Wizara ya Nishati zilizopo katika mji wa Serikali Mtumba.Waziri...
NAIBU KATIBU MKUU MBUTTUKA AOMBA USHIRIKIANO KUTEKELEZA MAJUKUMU YAKE NISHATI
NAIBU KATIBU MKUU MBUTTUKA AOMBA USHIRIKIANO KUTEKELEZA MAJUKUMU YAKE NISHATI*Aahidi kutoa ushirikiano mzuri kwa uongozi na watumishi wa Wizara ya Nishati kuendeleza utendaji mzuri.Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati ameomba kupatiwa ushirikiano m...
MAKAMBA AWATAKA WARATIBU WAPYA MIRADI YA UMEME VIJIJINI KUTOIANGUSHA SERIKALI
MAKAMBA AWATAKA WARATIBU WAPYA MIRADI YA UMEME VIJIJINI KUTOIANGUSHA SERIKALIWaziri wa Nishati, January Makamba amewaasa vijana walioajiriwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa nafasi ya Waratibu Miradi ya Umeme Vijijini kutekeleza majukumu yao k...
BODI YA WAKURUGENZI MRADI WA UMEME WA RUSUMO YAKAGUA MRADI
BODI YA WAKURUGENZI MRADI WA UMEME WA RUSUMO YAKAGUA MRADINA. RUBEN RICHARD- RUSUMO NGARA.Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi kutoka Tanzania wanaosimamia mradi wa kuzalisha umeme wa Maji wa Rusumo wamefanya ukaguzi wa kazi ya ujenzi wa Mradi huo ambao kw...
WADAU WA NISHATI WAHAMASISHWA KUSHIRIKI MKUTANO NA MAONESHO YA PETROLI YA AFRIKA MASHARIKI
WADAU WA NISHATI WAHAMASISHWA KUSHIRIKI MKUTANO NA MAONESHO YA PETROLI YA AFRIKA MASHARIKIWadau mbalimbali katika Sekta ya Mafuta na Gesi Asilia nchini wamehamasishwa kushiriki katika Mkutano na Maonesho ya 10 Petroli yanayotarajiwa kufanyika nchini...
Watanzania 170 watakaohusika katika mradi wa Bomba la Mafuta wapata mafunzo
Watanzania 170 watakaohusika katika mradi wa Bomba la Mafuta wapata mafunzoWatanzania 170 watakaohusika katika ujenzi wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi kutoka Hoima - Uganda hadi Chongoleani Tanga (EACOP), wamepatiwa mafunzo maalum yakayayowawezesha...
RAIS SAMIA ASHUHUDIA TUKIO LA UTIAJI SAINI MIKATABA YA UMEME VIJIJINI NA UIMARISHAJI GRIDI
RAIS SAMIA ASHUHUDIA TUKIO LA UTIAJI SAINI MIKATABA YA UMEME VIJIJINI NA UIMARISHAJI GRIDIVeronica Simba, Zuena Msuya na Issa Sabuni – Dar es SalaamRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshuhudia tukio kubwa la kihistori...
Mradi wa Bomba la Mafuta unaendelea kutekelezwa-BYABATO
Mradi wa Bomba la Mafuta unaendelea kutekelezwa-BYABATONaibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato amesema kuwa, utekelezaji wa mradi Bomba la Mafuta Ghafi kutoka Uganda hadi Tanzania (EACOP) unaendelea kutekelezwa na kwamba shughuli mbalimbali z...
Watumishi watakiwa kufahamu maendeleo ya michango yao kwenye Mifuko ya Hifadhi ya Jamii
Watumishi watakiwa kufahamu maendeleo ya michango yao kwenye Mifuko ya Hifadhi ya JamiiWatumishi wa Wizara ya Nishati wametakiwa kujenga utamaduni wa kufahamu maendeleo ya michango wanayochanga katika Mifuko wa Hifadhi ya Jamii ili kuondoa changamoto...
Nguzo za Mita 13 zinapatikana nchini wakandarasi zitumieni katika miradi ya kusambaza Umeme
Nguzo za Mita 13 zinapatikana nchini wakandarasi zitumieni katika miradi ya kusambaza UmemeKamati ya kuishauri Serikali namna ya upatikanaji wa Nguzo bora za Umeme za Miti, imesema kuwa nguzo za miti za umeme zenye ukubwa wa mita 13 zinapatikana nchi...
BYABATO ASHIRIKI MKUTANO WA 16 WA MAWAZIRI WA NCHI WANACHAMA WA EAPP
BYABATO ASHIRIKI MKUTANO WA 16 WA MAWAZIRI WA NCHI WANACHAMA WA EAPPNaibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato ameshiriki Mkutano wa 16 wa Mawaziri wanaohusika na Umeme kutoka nchi za Mashariki mwa Afrika ambazo zimeunganisha mifumo ya kusafiris...
Mfuko wa Nishati Safi ya Kupikia (CookFund) wakabidhi ruzuku ya Shilingi bilioni 3.21 kwa wasambaza...
Mfuko wa Nishati Safi ya Kupikia (CookFund) wakabidhi ruzuku ya Shilingi bilioni 3.21 kwa wasambazaji wa gesi ya mitungi Lengo ni kuchochea upatikanaji wa nishati safi ya kupikia nchini Tanzania. Mfuko wa Nishati Safi ya Kupikia (CookFund) Tanzania u...
MILANGO YA UWEKEZAJI NISHATI IPO WAZI- MAKAMBA
MILANGO YA UWEKEZAJI NISHATI IPO WAZI- MAKAMBAWaziri wa Nishati, Mhe.January Makamba amesema Tanzania imeweka milango wazi kwenye uwekezaji wa Sekta ya Nishati kutokana na uwepo wa mahitaji makubwa ya nishati nchini.Waziri Makamba ameyasema hayo mkoa...
SERIKALI KUBADILI UTARATIBU WA KUTOA KAZI KWA WAKANDARASI WA MIRADI YA UMEME VIJIJINI
SERIKALI KUBADILI UTARATIBU WA KUTOA KAZI KWA WAKANDARASI WA MIRADI YA UMEME VIJIJINIVeronica Simba – Dar es SalaamWaziri wa Nishati, Mheshimiwa Januari Makamba amesema Serikali iko katika mchakato wa kubadilisha utaratibu mzima wa kutoa kazi kwa Wak...